Mimi nasema Mungu akubariki mchungaji wangu. Sijawahi pata mchungaji anaenena neno la Mungu kama huyu. Hata sina swali wala kipingamizi juu yake. Maneno ya Mungu matupu.
Uzaliwa wa kwanza ni cheo cha kiroho siyo umri. Mfano Daudi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia ya Yese, lakini cheo chake kiroho ni mzaliwa wa kwanza
Sawa muondoe mafungu ya kumi,shukran...na pia muache kuchangsha michango kanisani ya ujenzi..maana Yesu alimaliza yote...hosea 4:6 (watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.)huduma zipo tano leo hi unasema et huduma ya kinabii ipo kwa wachungaji😀😀kwa maandko yapi unayotumia? Upo sahihi mambo mengi lakini mengne unaendeshwa na chuki,wivu na kutafuta umaarufu wa kujiona Bora kuliko wengne...Mungu akuponye
Chakula kizuri cha roho kimekolea vizuri Munyu hakika Tunaangamizwa kwakukosa maarifa kwani leo kila mtu ni Mwalimu kanisa linatatizo kwenye Ualimu mafundisho ni mengi na potofu Baba kaza buti Taji yako ipo...!!!
Kama tunatakiwa kuachana na mambo ya walawi kwa 100% mbona mnatoza watu fungu la kumi na hili ni agizo litokanalo na sheria ya ukuhani wa lawi, Ebr 7:5-12., ondoeni na fungu la kumi maana Yesu hajaagiza hilo ktk ukuhani wake.
Ubarikiwe Sana Mtumishi Wa Mungu
Neno la Mungu haliexpai magembe YESU KRISTO Hakuja kutangua bali kuikamilisha
Mimi nasema Mungu akubariki mchungaji wangu.
Sijawahi pata mchungaji anaenena neno la Mungu kama huyu.
Hata sina swali wala kipingamizi juu yake. Maneno ya Mungu matupu.
Amin mchungaji
Amina mtumishi wa Mungu wa kweli!
MUNGU akubariki saana akupe mafunuo zaidi tuendelee kua na ufaham wa kumwelewa MUNGU
Amina mtumishi tunapokea
Amina mtumishi endelea kutufundisha
God bless you a lot🙏🙏
Asante mch nimekuelewa Sana.
BABA MCHUMGAJI MOSES MAGEMBEEE
HAYO MAHUBIRI NA MAFUNDISHO YANATAKIWA YAHUBIRIWE NA KUFUNDISHWA MARA KWA MARA KATIKA .HASA KWENYE VYUO VYA BIBLIA.
Great message
Amen amen, 🙏
What a great apologist. God bless you Rev. Moses for giving yourself to establish the church in sound doctrine. Ubarikiwe sana na karibu kwetu Kenya .
Great teaching from this True Man of God
This Man of God is really a theorologian
Kweliiiii iyooo inapita usipo ikubali yeyote hatamimi kufa nilazima kufa kama mbwaa 👉
Amen
Kweli Mungu atusaidie
Kabsa
Pastor umenena kisabato zaidi .God bless you biblia ndo kila kitu tutumie Bible kwa mafundisho yote
Kile nachokipenda ndicho nachokipata kwa Mtumishi huyu. Hakika Mungu anajivunia huyu Kuhani
Uzaliwa wa kwanza ni cheo cha kiroho siyo umri.
Mfano Daudi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia ya Yese, lakini cheo chake kiroho ni mzaliwa wa kwanza
Sawa muondoe mafungu ya kumi,shukran...na pia muache kuchangsha michango kanisani ya ujenzi..maana Yesu alimaliza yote...hosea 4:6 (watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.)huduma zipo tano leo hi unasema et huduma ya kinabii ipo kwa wachungaji😀😀kwa maandko yapi unayotumia? Upo sahihi mambo mengi lakini mengne unaendeshwa na chuki,wivu na kutafuta umaarufu wa kujiona Bora kuliko wengne...Mungu akuponye
Yupo sahihi. akuonee wivu wewe, ni nini unacho halafu yeye hana. Jifunze acheni kukurupuka na kujibandika tu majina, Prophet wa wapi wewe?
Kuna watu ni vichwa ngumu, af unajiita apostle, pole
KUNA LOGIC KUBWA
Chakula kizuri cha roho kimekolea vizuri Munyu hakika Tunaangamizwa kwakukosa maarifa kwani leo kila mtu ni Mwalimu kanisa linatatizo kwenye Ualimu mafundisho ni mengi na potofu Baba kaza buti Taji yako ipo...!!!
@Newbom Haule. Uko vizur
Kama tunatakiwa kuachana na mambo ya walawi kwa 100% mbona mnatoza watu fungu la kumi na hili ni agizo litokanalo na sheria ya ukuhani wa lawi, Ebr 7:5-12., ondoeni na fungu la kumi maana Yesu hajaagiza hilo ktk ukuhani wake.
Nasubiria majibu
Swali zuri
Luka 17:14
Amina
Amina