@@user-ij5ig4uu1y unashangaa sanduku ? culture ya watu wa pwani na huyo mwanamke ni mtanga ukioa unapeleka begi ( kiasili ni sanduku ) na full vitu km nguo , mikoa , viatu , vipodozi kanga , perfumes na kila unachokijua cha mwanamke , kuonesha kuwa uko tayari kumuhudumia kwa hayo .
Kaundime kitwana Amina pole kumpenda juma lokole wakati yy ayupo moyoni mwaka pole mwanamke mwenzangu yani amina sawa nakusubili meli uwanja wa ndege wakati sio mahara pake pa usafili🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Juma mm nkupnda san unaongea kweli juma jaman 💚💚💚
Allah bolanikae nisiolewe lakini sio kujidhalilisha huku Allah atukinge wajawake yarabbiy
😀😀😀😀Sema yule dada kajizalilisha sana sio kwa Juma lazima achabwe mhm pole yake
Yule malat kakosa soko
Yule Dada zimepungua na tamaa zakimaisha
Pole Amina ushaanza kuchambwa😀😀😀😀
Mwanae kulitafuta!
@@elizabwakila2548 ndio mwenye kulipata
Haaaaaa Haha haaaaaa nimechekaa polee amina ushaanza kuchamba
@@shamzone388 tena kulipata alfajir mapema
Ati Amina anatafuta kivuli ya kujificha lol!
Hayo msjibu ya madharau kweli kweli kama ningali kua n mm nashikwa na goosebumbs
Zahiri huyu mtangazajii nimempendaa anauwezoo wakuojii na umbea unamfaa😂😂😀😀😀😀😀😀
😆😆😆😆😆😆
Juma umekomesha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣maajabu ya dunia ila mdada kajua kujidhalilisha looooh
Jaman 🤔 Amina njoo uone
Kweli kabisa mwijaku mropokaji
Pole weee Amina Juma zenyewe sijui mke au mume na ndokakutema ivo
Watching from Kenya huyu Juma ako na ombea sana waaaah
Haaaaaa Asante juma kwa Majib ila Amina kakukubali jmn🤣🤣
Kamkataa msambaa mwenzangu 😂😂😂😂
😂😂😂😂kamzngua Dada etu
@@dhuu12 kabisa yaani 😂
😂😂😂jmn Juma fanya Nusra utapat swawabu😃
Amina mwenzang umeniabish etii unatafut kivuli cha kujifishia hebu acha haya mamb Juma lokole mwenyew hamnaz
Jumaaaaaaaaaaaa
Tunasubiri ndoa juma wee maliza vichambo kwa Amina ukimaliza ndoa inakuhusu 😂😂
😂
Mtangazaji hongera
Mwijaku yupo vzr
Duuuuuh mtihani kweli
Pia mimi namupenda sana juma
Mbona akampende babu yake...huyu dada anajidhalilisha jmn unh
Sanaaaa kajitia Aibu
😂😂😂😂wanatafuta kivuli duuh juma umenishnda tabia
Amina labda arithi huo umbeya kwa juma lokole maana Hana chakurithiwa
Juma amepatikana 😃😃
Uyu juma mwenywewe shoga alfu yule mwanmke msehez juma mwenywewe simzma
😂😂😂 Amkomeeeee
Mwana akome mwanamke unamtoto mdogo kiranga ukipeleke kwa Juma 😂😂😂
Jamani majina ya juma yanahuruma kiukweli wana mapenzi ya kweliii ila wanawivu hatari msimuone ivo maneno mengi wana love hao
Juma macho mzuri😝😝😝😝😝😘😘😘😘namtaka 😝😝😝😝😝😝😝😝 tufanye umbea😜😜😜😜
Jumaa kashapew xumuu mpk kbdil maamuz mungu anawaon mlomxhaur lokolee aachn n huyo amina 😂😂😂
Duh Amina pole
Huyu mtangazaj yupo vzuri cyo Yule mwanamke
Waache kujirahisi nao.
Ruby moto mzuri
😂😂😂😂😂 tobaaaa
Asante juma ni kweli anatafuta kivuli uyo
Juma muoe mwanamke wallah mchango wangu mahari na sanduku .
saduku la nn
Sanduku 🤔🤔
@@user-ij5ig4uu1y unashangaa sanduku ? culture ya watu wa pwani na huyo mwanamke ni mtanga ukioa unapeleka begi ( kiasili ni sanduku ) na full vitu km nguo , mikoa , viatu , vipodozi kanga , perfumes na kila unachokijua cha mwanamke , kuonesha kuwa uko tayari kumuhudumia kwa hayo .
Juma umesema kweli 100% Mwijaku ni mropokaji mtafuta rizki.
😀😀😀😀😀😀
Kajambe hukob😀😀😀😀
Ilo jini lingemchagua mond yy anahuruma na wadada🤗🤗
🤣🤣🤣
amina😂😂😂😂😂
Hahaha
Amina kiboko
Juma mwanamke anataka amjue km shoga kweli yule sio bure maana kwao ugomvi na mama yake mzazi huko anamzalilisha
Juma kumbe unapenda kuhoji wenzako ww hupendi kuhojiwa hahahahah umepatikana vibaya
Amina habari umeipata jipe shuuhuli acha kujiabisha
😂😂😂juma kidogo anatakaaa kuwa mlokole maan 😂😂😂😂
Khajambe uko 😂😂😆😆😆
😁😁😁😁😁nimecheka kama mazuri et anikomee
Kaundime kitwana Amina pole kumpenda juma lokole wakati yy ayupo moyoni mwaka pole mwanamke mwenzangu yani amina sawa nakusubili meli uwanja wa ndege wakati sio mahara pake pa usafili🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atareee
Hatar, ya mwaka
Amkomeee😀😀
😆😆😆😆😆😆😆Juma Una dada anakupenda😜😜😜😜😜😜lazime uende Kwa mgagarudi alikupa dawa yakuvta mwanamke😜😜😜😜😜😜😜😜
Juma weweee
Jmn Dada wajidhalilisha ivyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkali kwelii
Jamani jamani Juma dag kamzaa nani huyu🤣🤣
Duh we juma wewee
Ana mtt pia ananyonyesha huyo mwanamke, hatari
Kweli kabisa ananyonyesha na Mimi nilimuona akamtafute bwanake alomzalisha
Aliyeona juma anaiga kuongea kama Dr.kumbuka gonga like
Duuh we kiboko
😂😂😂😂 juma jamani umejua kunivunja mbavu zangu jamani
😂😂😂😂Juma akili hana
ما إن شاء الله الدنيا حسنة
🙉🙉🙉🙉
Mbona kajambee hahahaha uwiiiiiiii juma umeniuwa kwakweli
🤣🤣🤣🤣 Ulisikia uchuro wa dunia ndo huo....
Wa Tanzania jamani
Usikat tamaa juma n wak
Iyoo ndofaida yakutafuta jina aiibuu tuuupuuu
Hatar na nusu
Allah Akbar خلاص يا بوي الله نامي وراك كثير حسبي الله ونعم والكيل إن شاء الله
Juma apatikana
Msenge flesh uyoo tena komeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰🥰
🤣🤣😂😂😂😂kaaaa jmn
Dada yng wanaume wapo achana juma pedua jini lako litafute mtu mwenye sitira. Mmh pole
😂😂Juma jamani weweee ni 🔥🔥
Nimecheka mimi
Ndoa ndoa namuona da dida kwa mbaliii mke wa mheshimiwa nakupenda kweli kwa kitulia uko da kimyaa kama si wewe
Kama hamtuowi twaja wenyewe 🤣🤣🤣🤣
Jumraa umeowa marohani au umeorewa
Juma we ndio adui fitini hasidi nafsi 🤣🤣🤣
😁😁
😀😀😀
Eeeeeh juma uyo.unachocha uku na haku.hapa kidogo pele kidogo.ukimwi unamuandama umejaa kila Conner ukwimwi daa 😂🤣🙈
Jaman😂😂😂😂
Aki watanzania jamani😅😅😅
😅😅😅
Watangazaji mnamoyo
Naona aibu yarab dada wawatu
Juma wee unaongea km shoga heeee lkn umetisha mazeeeee
Msiba huu eti wakigombana ndio kula yangu yaraby tuokoe waja wako
juma jamani unacheka sana
Kwani juma uoni wakenya hata mimi nakutaka niko dubai
Mimi namtaka😝😝😝😝😝😝juma anivishe pete tufanye udaku 😜😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 ombea 2030
Kajambe uko😂😂😂😂😂
Apo kwa hindia umeniua
🤣🤣🤣🤣Huyo ndiyo juma bhana
Aibuuu
Account ya dstv? Watumwa
Vimeumana loe kumbe show kuzaliwa waganga
Matajiri atuongei Sana🤣🤣
uwiii aibu kukataliwa kubaya.