MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"
Вставка
- Опубліковано 28 чер 2024
- MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"
PAMBANO la 'Dar Boxing Derby' limechezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jiijini Dar es Salaam. - Спорт
Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.
Champezz one time two timez all the times
Yap yap siku zote nakukataa maneno yako ya ovyo ila leo umeongea kimichezo zaidi naona umekomaa sasa.
Ukimkataa wewe anapata hasaragan?😅😅😅😅
Ulimkataa jeh yeye anakujua Kwanza?pili anakukubali??tafta hela Mzee Baba uache kumkataa mtu ambae hakujui
Kumbe umebadilika make nimependa kauli zako kwa mabondia wenzako kwa leo
champion 💪💪💪
Hongera sana
Big up mwakinyo
SAFI SANA CHAMPEZ
Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.
jamaakili nyingi sana ongera sana
Mogadishu haaaaaaaa
UYO MTANGAZAJI MI NAONA ANAWEZA AKAWA SHOGA MASWALI YAKE YA KIKUMA SANA
We mbna ulisingizia viat ulipo pigwa panya wew
Umesikiliza alichozungumza?
😂😂😂
Achaga ushangingi wewe
Yan katika siku mwanang umeongea points leo broo umeonesh ukubwa wako na hekima yak kaka
Sasa ww kiatu c kilikubana ujeruman hukuwa na 2pair? Broo
Umekomaa eeeh endelea kuleta mdomo
Mbona yy mwakinyo hakubadilisha kile ulaya😂,ila ameongea ukweli alafu points
😂😂😂😂
wew ni mkubwa pia sis ni mashabik zako zamani ulikua unaongea point ila cku unazingua japo mi bado nakusapot
Saiz umeanza kuwa na akili mbwa wew
wetwaha acha upuuuzi nitakupiga uka dondokeee kilosa
Ww xikia vzr hio Crip usilopoke mwakinyo wap alipo mcrashi MTU na kumsema hajafanya vzr 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yeye alienda na viatu pea ngapii ulaya alivyosema kiatu kinabana
Mtoto wa Fatma Kungwi siku zote huongea pumba...
eti"Apigwe aanguke"
Acha roho mbaya dogo
Mwakinyo ww mduanzi kwer ww mbona ulisingizia viatu vimekubana ulikuwa hujui kubeba viatu pea mbili
Kumbe via2 pea mbili mbona uk ukubadili
😂😂😂
Yeye viatu vingine alieka wapi
Kwenye matako yako
@@ogenylaurent7961jibu zuri
Ww mbona ulisema kiatu kinakubana na hukubadilisha kama Sheria ni lazm bondia awe na peir mbili mbili?
Sheria inasema kama refa akiridhia ubadilishe kiatu basi utabadilisha.
Mtoto Mchele mchele