MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 чер 2024
  • MWAKINYO Alipuka - "NILITAKA OSCAR RICHARD APIGWE ALALE CHINI, NAMPA POLE MFAUME kwa AJALI"
    PAMBANO la 'Dar Boxing Derby' limechezwa Juni 29, 2024 katika viwanja vya Posta jiijini Dar es Salaam.
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 38

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 Місяць тому +2

    Leo Mwakinyo umeongea kimichezo na kiukomavu zaidi Maashallah .Endelea hivyo, acha maneno na majibu magumu. Wakati wa ubinadam, ujamaa na uzalendo kuwa hivyo. Utafika mbali sana ndugu. Be blessed.

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Місяць тому +6

    Champezz one time two timez all the times

  • @tonnyelias9454
    @tonnyelias9454 Місяць тому +9

    Yap yap siku zote nakukataa maneno yako ya ovyo ila leo umeongea kimichezo zaidi naona umekomaa sasa.

    • @simeonmazigo5918
      @simeonmazigo5918 Місяць тому

      Ukimkataa wewe anapata hasaragan?😅😅😅😅

    • @criminalminds7723
      @criminalminds7723 Місяць тому +1

      Ulimkataa jeh yeye anakujua Kwanza?pili anakukubali??tafta hela Mzee Baba uache kumkataa mtu ambae hakujui

  • @deodaud3478
    @deodaud3478 Місяць тому +4

    Kumbe umebadilika make nimependa kauli zako kwa mabondia wenzako kwa leo

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma8356 Місяць тому +1

    champion 💪💪💪

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Місяць тому +1

    Hongera sana

  • @geofreymwamakula7178
    @geofreymwamakula7178 Місяць тому +2

    Big up mwakinyo

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 Місяць тому +1

    SAFI SANA CHAMPEZ

  • @user-iq4rv8dq5r
    @user-iq4rv8dq5r Місяць тому

    Mwakinyo nishamkosoaga sana juu ya kauli zake akihojiwa Leo Nampongeza sana juu ya mahojiano yake ameongea kikubwa kikomavu zaidi akiendelea hivi atavutia wengi na kujiheshimisha zaidi hata waliokuwa wanampinga watamkubali big up ngumi sio uadui ni mchezo tena hatari kuna kila sababu mabondia kupendana na kuheshimiana.

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c Місяць тому +1

    jamaakili nyingi sana ongera sana

  • @Matatasaid
    @Matatasaid Місяць тому +1

    Mogadishu haaaaaaaa

  • @fadhilially7357
    @fadhilially7357 Місяць тому +1

    UYO MTANGAZAJI MI NAONA ANAWEZA AKAWA SHOGA MASWALI YAKE YA KIKUMA SANA

  • @user-cu8jt9yn8r
    @user-cu8jt9yn8r Місяць тому +2

    We mbna ulisingizia viat ulipo pigwa panya wew

    • @Ram_1893
      @Ram_1893 Місяць тому

      Umesikiliza alichozungumza?
      😂😂😂

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 Місяць тому

      Achaga ushangingi wewe

  • @user-ij9qb3wx1w
    @user-ij9qb3wx1w Місяць тому

    Yan katika siku mwanang umeongea points leo broo umeonesh ukubwa wako na hekima yak kaka

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u Місяць тому

    Sasa ww kiatu c kilikubana ujeruman hukuwa na 2pair? Broo

  • @farajibuteta6258
    @farajibuteta6258 Місяць тому

    Umekomaa eeeh endelea kuleta mdomo

  • @user-st9yq7bl5c
    @user-st9yq7bl5c Місяць тому +1

    Mbona yy mwakinyo hakubadilisha kile ulaya😂,ila ameongea ukweli alafu points

    • @ce-08
      @ce-08 Місяць тому

      😂😂😂😂

  • @user-ij7ti1xd8k
    @user-ij7ti1xd8k Місяць тому

    wew ni mkubwa pia sis ni mashabik zako zamani ulikua unaongea point ila cku unazingua japo mi bado nakusapot

  • @kastorymalila1109
    @kastorymalila1109 Місяць тому

    Saiz umeanza kuwa na akili mbwa wew

    • @AWADHIHEMED-y1c
      @AWADHIHEMED-y1c 29 днів тому +1

      wetwaha acha upuuuzi nitakupiga uka dondokeee kilosa

  • @StevenDaniel-dc6cy
    @StevenDaniel-dc6cy Місяць тому

    Ww xikia vzr hio Crip usilopoke mwakinyo wap alipo mcrashi MTU na kumsema hajafanya vzr 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @barakamwasala228
    @barakamwasala228 Місяць тому

    Yeye alienda na viatu pea ngapii ulaya alivyosema kiatu kinabana

  • @masoudhamad1592
    @masoudhamad1592 Місяць тому

    Mtoto wa Fatma Kungwi siku zote huongea pumba...
    eti"Apigwe aanguke"
    Acha roho mbaya dogo

  • @user-ze8hp1ls6t
    @user-ze8hp1ls6t Місяць тому

    Mwakinyo ww mduanzi kwer ww mbona ulisingizia viatu vimekubana ulikuwa hujui kubeba viatu pea mbili

  • @khalifasaidi4181
    @khalifasaidi4181 Місяць тому

    Kumbe via2 pea mbili mbona uk ukubadili

    • @ce-08
      @ce-08 Місяць тому

      😂😂😂

  • @mohammedsaid8859
    @mohammedsaid8859 Місяць тому

    Yeye viatu vingine alieka wapi

  • @bilalabas9636
    @bilalabas9636 Місяць тому

    Ww mbona ulisema kiatu kinakubana na hukubadilisha kama Sheria ni lazm bondia awe na peir mbili mbili?

    • @user-jn7ft6zp7u
      @user-jn7ft6zp7u Місяць тому

      Sheria inasema kama refa akiridhia ubadilishe kiatu basi utabadilisha.

    • @user-ze8hp1ls6t
      @user-ze8hp1ls6t Місяць тому

      Mtoto Mchele mchele