MWAKINYO AFICHUA MPANGO WA KUUAWA/ "NILIWEKEWA SUMU"/ AMTAJA BABU TALE/ "HANA HELA YULE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Mwakinyo #MfaumeMfaume #Twahakiduku

КОМЕНТАРІ • 123

  • @billysavage9746
    @billysavage9746 Рік тому +3

    March respect 🫡 brother nakubali sana una confidence na majibu yako it means ubaatishi unayo yajibu one ☝️ love ❤️ Tanga Boy 👦

  • @tomlukonge293
    @tomlukonge293 Рік тому +5

    Yes nimeichukua iyo ‘’*uwezi pigwa mawe kama auna kitu*’’

  • @HajiMasmenti
    @HajiMasmenti 3 місяці тому +1

    Mwakinyo umeongea kwa hekima sana ni kweli vita haiitaji mtu muoga.pambana mungu ndo kilakitu.

  • @dominicrobert266
    @dominicrobert266 Рік тому +4

    Mimi ni mkosoaji sana wa champez ktk mambo mengine,lkn exclusive ya Leo kanifurahisha sana.

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania Рік тому +9

    Nadhani ifike atua wasanii wapate training ya interview. Bro Mwakinyo unajua kiingereza angalia Antony Joshua anavyotoa interview. Stay hungry, stay humble and keep focusing. Usiwe una mashauzi kama umefika still upo maskini sana pambania kuleta utofauti kama uyo Diamond kwenye ngumi. Naamini ulikua una nafasi kubwa sana kuleta mageuzi kwenye mchezo wa ngumi but naona umeona umefika. Misifa mingi sana. Ayo ni yangu

    • @bakarithegeoinformatician7406
      @bakarithegeoinformatician7406 Рік тому

      Huyu ni Mwankinyo na sio antony

    • @bainolatino3412
      @bainolatino3412 Рік тому

      Kweli anaona kama amefika hivi jamaa

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 Рік тому +1

      Brother Jitihada Za Mtu Huwezi Kuelewa . Mwacheni Ajivune Amesota Mpaka Hapo Alipo Ni Mafanikio Makubwa Kwake So Tupunguze Makasiriko Mwacheni. Ajivunie Alichokihangaikia

  • @salminisaleh9249
    @salminisaleh9249 Рік тому +1

    Ndugu Yangu Salute Sana .Andelea Kupambania Ndoto Yako. Tupo Nyuma Yako Dua Nyingi Kaka Tanga Boy
    Tanga Kwanzaa

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Рік тому

    Shida yako mdogo wangu unapenda kujibu kila unacho sikia punguza dharau kijana acha tukujibie ss ww fanya kazi yako usijifanye unajua kukasirika Sana unasemwa vibaya mungu utakuwa ww

  • @farajifundi1160
    @farajifundi1160 Рік тому +3

    Pole sana mwakinyo mwenyez Mungu atakulinda

  • @chegemazuku2623
    @chegemazuku2623 Рік тому +1

    Brother Hassani Mwakinyo nimekuelewa sana juu ya History ulioitoa,,maana ata uku mtaani kwenye harakati zetu za maisha hayo mambo tunayapitia sana Tena sana!

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Рік тому +3

    Mwakinyo anajifunza kutoka kwa May Weather. Mambo ya mtandao ni kitu May Weather anakipenda. Kina hela ukikifanya vizuri.

  • @maalimseifk-gumuadui123
    @maalimseifk-gumuadui123 Рік тому +2

    Tukiachana na madhaifu ya kibinadamu,Lakini Hassan anajitambua nn anafanya,yupo makini sana na anachokifanya......Mimi namuombea Mungu amfikishe mbali sana kupitia carrier yake......Na yote afanyayo .....!

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Рік тому +5

    Nafikiri gari aliyotangaza bab Tale ilikuwa ni Land cruiser VX sio crown km Ile iliyotolewa zawadi ktk pambano la akina Dullah

  • @championchumalaizerlazier3537
    @championchumalaizerlazier3537 Рік тому +1

    Nichangamoto ya kimaisha brother Ila mungu awe wetu zote one ❤️

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Рік тому +3

    Pole sana Kaká n changamoto

  • @iddydaruwesh8650
    @iddydaruwesh8650 Рік тому +2

    MWENEHU ALLAH AKULINDE SWAHIBA WANGU. KUNA KITU UMEFAURU HAPA DUNIANI NA KEWHO AKHERA BARAKA ZA BIMKUBWA UMEPATA. KUMBE NDIVYO WALITAKA HAWATAKUPATA KWA IDHINI YAKE ALLAH

  • @sadunabdallah7303
    @sadunabdallah7303 Рік тому +7

    Mshamba sana uyo babu tale wote wivu2

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Рік тому +1

      Kuwa mbunge basi anajishauwa. KINGEREZA chenye we chakuungaunga

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Рік тому +2

    Mwakinyo mm nakukubali sana ujue ila umekwama wapy bro mbona unapotea haraka bro Fanya kwel urud ulingoni%

  • @aliomari5961
    @aliomari5961 Рік тому

    mwakinyo ulikuwa mkali kitambo ulianza mbwembwe,,sa hii umaarufu unakuacha,,mabondia hata ambao hawakua na jina kama mandonga wamemtanguliza Allah mbele,,juhudi pamoja na azma saa hizi wanakula bata,,,wewe endekeza uswahili na imani za kiganga utaambulia patupu,,chanuka akili akili zako zakujifanya mzungu you will gain nothing,ktka kila jambo failure is the begining of success if you fail try again. wacha utoto its your time to make tanga,,,shine' wacha uswahili,,we are really proud of you,,,but your pride will cost you one day ,,one love bro#+254

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe Рік тому +1

    Mashaallah

  • @jeremiahluki7896
    @jeremiahluki7896 Рік тому +14

    Ndiyo Mambo ya Africa huku ukiwa na kipaji watu wanakuua wakikukosa wanaua kipaji chako pole sana Mwakinyo

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Рік тому +1

      Kweli kabisa

    • @athumanmakunja941
      @athumanmakunja941 Рік тому +3

      Wameshauwawa wangapi apa kwetu Tanzania😂 uyu jamaa ni mpuuzi tu kwa hela ipi alionayo mbaka awindwe. Kuna mda ukiwa mpuuzi unajiona kila mtu mbaya tu

    • @nativeGold.10
      @nativeGold.10 Рік тому

      Ofcourse yan

    • @highthemetv7857
      @highthemetv7857 Рік тому

      ​@@athumanmakunja941 wewe mwenyewe unamjua mwakinyo yeye hakujui ...angekua mtu mdogo usingemjua

    • @shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
      @shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe Рік тому

      @@athumanmakunja941 we mbona hufamiki apo ndo ujue anakitu kakuzidi ko kuandamwa ni kawaida acha upuuzi kaka janjaruka usiwe kama msukule🏃🏃🏃

  • @shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe

    Mwakinyo uko fresh kwenye kujibu maswali

  • @jizzomonster
    @jizzomonster Рік тому +1

    Umeongea point sana mwakinyo

  • @islamkarata9655
    @islamkarata9655 Рік тому

    dulax nyoosha (kidole gumba juu ✊✌️

  • @hilalmohd8941
    @hilalmohd8941 Рік тому

    big up 🎉 Tz champion

  • @rahimhemed1219
    @rahimhemed1219 Рік тому +1

    Bro cc tunakubarik anytime
    Wao watapata ILA awatapata zaid yko MUNGU amesha signal

  • @kurumwagodfrey7052
    @kurumwagodfrey7052 Рік тому +1

    Mwakinyo juu sana

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Рік тому +1

    Mimi nakuelew mwakinyo, viatu vikiwa vipya vinateleza haswa ukiwa unafanya turning. Na ukiwa warusha jab au right coz Zina involve movement za kiunoo nahivyo kulazimisha movement za miguu nakuweza kupelekea ankle

  • @islamkarata9655
    @islamkarata9655 Рік тому

    hawatuweziii nakubali champez✊

  • @richardarord8344
    @richardarord8344 Рік тому +2

    Bhana bhanaaa mwakinyo haya bhana wewe ongea sisi tunakusikiliza tu tunaisibilia hiyo Adabu sisi aya ngoja tusubilie.

  • @kingbabzubekingbabzube5992
    @kingbabzubekingbabzube5992 Рік тому +1

    One Love home boy

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому +1

    Jamaaa anajielewa sana

  • @hancykajanjathelimitmusic427

    Ujumbe mzuri asan bro

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Рік тому +4

    Mungu mwema yani acha wakuchukie ila mungu ndio ana maamuzi yake

  • @JumaHabibu-ki7hu
    @JumaHabibu-ki7hu Рік тому +1

    Mwakinyo umenikumbusha mbali sana maandazi ya sukari nishanunua sana Tanga

  • @sakinaomary7207
    @sakinaomary7207 Рік тому

    hiyo ni dar,

  • @real_pachamilionea
    @real_pachamilionea Рік тому

    one love champion MWAKINYO

  • @antidiusegbert5562
    @antidiusegbert5562 Рік тому +5

    Shida ya huyu jamaa is thinking beyond reality

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 Рік тому +2

    Ila mwakinyo ana maadui wengi sana

    • @abdulburaheze9582
      @abdulburaheze9582 Рік тому

      kitu kizuri ndugu yangu huwa akikosi maaduwi mwenyewe nayapitia hayo

  • @masoudhamad1592
    @masoudhamad1592 10 місяців тому

    Mimi nakuelewa sana sema tatizo lako ni unaongea sana na kiwadharau wengine ukirekebisha hili utatoboa

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Рік тому +1

    Si vizuri kuambatanisha na jina la mtu

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Рік тому +3

    ila mwakinyo na sifa unazipenda sana kujiona upo juu sana kuna vijana wangapi wa tz wenye vipaji tofauti na wapo wanaendelea na mambo yao wewe uuliwe ili iweje? na umemchukia sana babu tale

    • @salminisaleh9249
      @salminisaleh9249 Рік тому

      Vipaji Wanavyo Sawa Lakini Jitihada Zao Hafifu. Yeye Kajitahidi Kasota Kapambana Katumia Muda Mwingi Nguvu Nyingi. Mungu Akamuona Naye so Muacheni Ajivunie Alichokihangaikia

  • @lloveyoutanzania5315
    @lloveyoutanzania5315 Рік тому +1

    Mwakinyo wangu anapigana ngumi pamoja mtandao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @HusseinRj
    @HusseinRj Рік тому +1

    Jamaa Yuko poa sana

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Рік тому

      Kuna wengine wanamuona mshamba ila ndio wivu ulivyo

  • @Marjeby
    @Marjeby Рік тому +4

    Huyu mtanga kitu kikubwa kabisa kinacho msumbua ni ukosefu wa elimu haku muelewa mama yake kipindi ana mwambia soma kwanza halafu ndio uendeleze kipaji chako na kibaya zaidi kujifanya kila kitu anacho ongea kama anatumia akili nyingi acha utoto wewe akili utazitoa wapi wakati cheti ulichonacho nyumbani ni cheti cha kuzaliwa tu

    • @RobbyDejan1234
      @RobbyDejan1234 Рік тому +1

      Akili sio cheti bro vyeti hata machizi milembe wanavyo.😂😂😂

    • @mgenihanen7837
      @mgenihanen7837 Рік тому +1

      Wewe una cheti uko wapi sasa!acha makasiriko tafuta pesa!

    • @chidybwax8080
      @chidybwax8080 Рік тому +1

      Elim yann ss namaisha yass hayaitaj hata elim wanachuo kibao tunapiga nao debe mitumba ilala

    • @kingbabzubekingbabzube5992
      @kingbabzubekingbabzube5992 Рік тому +1

      Sawa wataka asome somo gn na kz yake ni mvulumuano wa mangumi naskuiz ukisoma sana huo nimtego unaweza letewa offa ya ushoga ukaichukulia poa kwahiyo kikumbwa home boy wetu amtambue Allah

    • @tonynganyange1481
      @tonynganyange1481 Рік тому

      Team makasiliko

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Рік тому +1

    Mwakinyo si tupo upande wako liwe jua iwe mvua 🤝

  • @fadytashfeen8090
    @fadytashfeen8090 Рік тому +2

    Champez one time

  • @Chemba67
    @Chemba67 Рік тому +2

    Huyu mcheza Taaarabu ana shida sana.........

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Рік тому

    Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi

  • @abdallahsaid1968
    @abdallahsaid1968 Рік тому

    Kina chakujifunzaapo kupitia maneno ya mwakinyo

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 Рік тому +1

    Mwamba anajikuta Sana huyu...😃😃😃

  • @mgangasamandua464
    @mgangasamandua464 Рік тому

    Xaf broo upo xahihi binadam wabaya can aisee

  • @hanafisaidi5516
    @hanafisaidi5516 Рік тому

    Namuelewa sana sema ulinichaniaga mkeka wangu wa milio. 14,000,000 sema bado damu yangu komaa kwenye gemu hata sisi changamoto hizo twaziona sana mtaani komaa wewe waipepe lusha bendela yetu vyema sana

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Рік тому

    Ushauri Wangu Usipende Mazoezi Ya Jimu Sana Kapande Milima Na Piga Miti Mawe Kukuza Uzito Wa Ngumi Jiwe Nasio Kupiga Masipochi Ayana Faida Na Mashine Za Mbio Pia Azina Faida Kwa Pumzi Unakimbia Apo Apo2 Ukanyagi Hata Jiwe Simama Kama Zamani

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Рік тому

    Hata shetani hapendi Mlevi mcheza kamali anapenda anapenda msikitini na kanisani😂😂😂😂😂

  • @platinummarcus1341
    @platinummarcus1341 Рік тому +1

    Nimependa ukataji wake wa maneno, ni kama Mwana FA. Alafu naona anaongea poa sioni shida hapo ni nini? Ila kakosea aliposema kuwa wengekuwa watu wa DSM

  • @abdulirashidi8439
    @abdulirashidi8439 Рік тому +1

    Alikul maandazi ya sukarii😂

  • @saluyaadamz
    @saluyaadamz Рік тому

    Mi namuaminisana mwakinyo

  • @ramadhanmtoo245
    @ramadhanmtoo245 Рік тому

    yani mwakinyo mm ni shabki yako kindaki ndaki yani ila ninalo jambo laniuma sana natamani sku moja nionane na ww niongee na ww jambo moja tuu yani wee acha tuu

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Рік тому

    Hii video niliiona wiki nyingi zilizo pita, au ni muendelezo!?

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 Рік тому

    Ukiwanacho watakuloga ukiwa Huna hivohvo

  • @abdallahabdulaziz3683
    @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

    Siku akipigwa nitafurahi Sana maana sio bondia Tena Bali kashakuwa mtangazaji na mwongeaji Sasa , siku hizi namkubali Sana Twaha kiduku ndio true boxer tz huyu mbabaishaji na mbahatishaji anaogopa kukosea tangu alipopatia Mara ya kwanza anaogopa kuuharibu Tena kwa hofu ya kukosea.

    • @islamkarata9655
      @islamkarata9655 Рік тому

      m#enge Sana w~w~😄

    • @abdallahabdulaziz3683
      @abdallahabdulaziz3683 Рік тому

      @@islamkarata9655 si ndio ukweli huo bro mwakinyo hataki kupigana Tena sababu anaogopa kupigwa sio mpiganaji atafute kazi nyingine ya kufanya hiyo haiwezi.

  • @mirroyjunior8348
    @mirroyjunior8348 Рік тому

    📸📸📸📸📸📸

  • @PUTINN365
    @PUTINN365 Рік тому

    Wanadam😢😢

  • @uwesurwambo3666
    @uwesurwambo3666 Рік тому

    Sema nn mwakinyo jfunze kingreza mdogowangu

  • @barazamwaja3868
    @barazamwaja3868 Рік тому

    umekua maneno mengi ngumi kidogo

  • @hamisibaharia-bl9og
    @hamisibaharia-bl9og Рік тому

    Ngja ukutane na twaha akuue ata ukikataa ulingni atakuua ata MTAan pumba ww

  • @maarufumustwapha7445
    @maarufumustwapha7445 Рік тому

    Hassan Hassan Hassan hassan

  • @lama6310
    @lama6310 Рік тому +1

    Wewe Fanya Vyotee Kuma Wewe lakin Sisi Tunamjua Twaha Hawez Kufanya Usenge Huo.Endelea Tu Kuchamba Ila Mambo Ya Sumu Msingizie Mwingne .

    • @Mshuzacharles
      @Mshuzacharles Рік тому

      tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 11 місяців тому

    Ila huyu jamaa ni mashauzi

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Рік тому

    Namkubali sana huyu mwamba, ndiye bondia bora Tanzania kw kizazi hiki

  • @sumamelody6197
    @sumamelody6197 Рік тому

    Kinacho ua kipaji cha huyu chalii ni mdomo wake mwenyewe

    • @Mshuzacharles
      @Mshuzacharles Рік тому

      tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mindicarrashid3131
    @mindicarrashid3131 Рік тому +2

    Kumbuka ulisema umetoka familia bora ukichimba uwanyani kwenu utatoa vipande vyasubaru. Sasa ilikuwaje ulale chini chumba kivuje

  • @mustaphahashim7532
    @mustaphahashim7532 Рік тому

    Bwegee tu huyuu hana jipyaa ni ujinga mtupu

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Рік тому +1

    Unaleta nguo wakt wakt watu wanataka ngumi boyaa kwel

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Рік тому

    Kiki za ajabu tanga wangapi mabondia wa maana na hakuna hio story

  • @jumbekipeme1441
    @jumbekipeme1441 Рік тому

    Mwakinyo wewe pambana tu dogo

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Рік тому +1

    Misifa kibaooo

  • @Chemba67
    @Chemba67 Рік тому

    Tuma video uliyofanya sparing na Terence Crawford? I doubt if you had such worthful chance with him. Cant say its impossible but your profile is too low for such opportunity.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому +1

    Sumu uwekewe ili iweje.. utasaidia polisi

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Рік тому

      Aisaidie polisi kwani kamtuhumu mtu Kwa jina lake? Muacheni aongee tu.

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Рік тому

      @@mashramadhani1989 atamtaja polisi.

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 Рік тому

      @@josephlorri431 haiko hivyo hapo unamaanisha polisi wamkamate mwakinyo Kwa kauli yake? Hawezekani na hata watoa shuhuda waliokuwa majambazi wauwaji wachawi wakitushuhudia humu UA-cam hawajawahi kukamatw.

    • @athumanmakunja941
      @athumanmakunja941 Рік тому +1

      Uyo ndo mtu wa pwani halisi bwana😂😂 kwa pesa zipi watu wamfanyie mawindo ivo jamaa anaumwinyi flani ivi ni wakumpotezea tu

    • @bigtime593
      @bigtime593 Рік тому

      Asaidie police ataje huyo mtu na huo mgahawa, huyu jamaa hakuna kitu kichwanj huwezi ongea hivo ni kesi ya ujibu hiyo dogo

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Рік тому

    Wewe bhana unaongea Sana...mswahil n mswahili tu

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Рік тому

    Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi