MWAKINYO AFICHUA MPANGO WA KUUAWA/ "NILIWEKEWA SUMU"/ AMTAJA BABU TALE/ "HANA HELA YULE"
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Mwakinyo #MfaumeMfaume #Twahakiduku
March respect 🫡 brother nakubali sana una confidence na majibu yako it means ubaatishi unayo yajibu one ☝️ love ❤️ Tanga Boy 👦
Yes nimeichukua iyo ‘’*uwezi pigwa mawe kama auna kitu*’’
Mwakinyo umeongea kwa hekima sana ni kweli vita haiitaji mtu muoga.pambana mungu ndo kilakitu.
Mimi ni mkosoaji sana wa champez ktk mambo mengine,lkn exclusive ya Leo kanifurahisha sana.
Nadhani ifike atua wasanii wapate training ya interview. Bro Mwakinyo unajua kiingereza angalia Antony Joshua anavyotoa interview. Stay hungry, stay humble and keep focusing. Usiwe una mashauzi kama umefika still upo maskini sana pambania kuleta utofauti kama uyo Diamond kwenye ngumi. Naamini ulikua una nafasi kubwa sana kuleta mageuzi kwenye mchezo wa ngumi but naona umeona umefika. Misifa mingi sana. Ayo ni yangu
Huyu ni Mwankinyo na sio antony
Kweli anaona kama amefika hivi jamaa
Brother Jitihada Za Mtu Huwezi Kuelewa . Mwacheni Ajivune Amesota Mpaka Hapo Alipo Ni Mafanikio Makubwa Kwake So Tupunguze Makasiriko Mwacheni. Ajivunie Alichokihangaikia
Ndugu Yangu Salute Sana .Andelea Kupambania Ndoto Yako. Tupo Nyuma Yako Dua Nyingi Kaka Tanga Boy
Tanga Kwanzaa
Shida yako mdogo wangu unapenda kujibu kila unacho sikia punguza dharau kijana acha tukujibie ss ww fanya kazi yako usijifanye unajua kukasirika Sana unasemwa vibaya mungu utakuwa ww
Pole sana mwakinyo mwenyez Mungu atakulinda
Brother Hassani Mwakinyo nimekuelewa sana juu ya History ulioitoa,,maana ata uku mtaani kwenye harakati zetu za maisha hayo mambo tunayapitia sana Tena sana!
Mwakinyo anajifunza kutoka kwa May Weather. Mambo ya mtandao ni kitu May Weather anakipenda. Kina hela ukikifanya vizuri.
Tukiachana na madhaifu ya kibinadamu,Lakini Hassan anajitambua nn anafanya,yupo makini sana na anachokifanya......Mimi namuombea Mungu amfikishe mbali sana kupitia carrier yake......Na yote afanyayo .....!
❤❤🎉🎉kweli yani
Nafikiri gari aliyotangaza bab Tale ilikuwa ni Land cruiser VX sio crown km Ile iliyotolewa zawadi ktk pambano la akina Dullah
Sahii
Wacha uwongo dulla ilikuwa crown
Nichangamoto ya kimaisha brother Ila mungu awe wetu zote one ❤️
Pole sana Kaká n changamoto
MWENEHU ALLAH AKULINDE SWAHIBA WANGU. KUNA KITU UMEFAURU HAPA DUNIANI NA KEWHO AKHERA BARAKA ZA BIMKUBWA UMEPATA. KUMBE NDIVYO WALITAKA HAWATAKUPATA KWA IDHINI YAKE ALLAH
Mshamba sana uyo babu tale wote wivu2
Kuwa mbunge basi anajishauwa. KINGEREZA chenye we chakuungaunga
Mwakinyo mm nakukubali sana ujue ila umekwama wapy bro mbona unapotea haraka bro Fanya kwel urud ulingoni%
mwakinyo ulikuwa mkali kitambo ulianza mbwembwe,,sa hii umaarufu unakuacha,,mabondia hata ambao hawakua na jina kama mandonga wamemtanguliza Allah mbele,,juhudi pamoja na azma saa hizi wanakula bata,,,wewe endekeza uswahili na imani za kiganga utaambulia patupu,,chanuka akili akili zako zakujifanya mzungu you will gain nothing,ktka kila jambo failure is the begining of success if you fail try again. wacha utoto its your time to make tanga,,,shine' wacha uswahili,,we are really proud of you,,,but your pride will cost you one day ,,one love bro#+254
Mashaallah
Ndiyo Mambo ya Africa huku ukiwa na kipaji watu wanakuua wakikukosa wanaua kipaji chako pole sana Mwakinyo
Kweli kabisa
Wameshauwawa wangapi apa kwetu Tanzania😂 uyu jamaa ni mpuuzi tu kwa hela ipi alionayo mbaka awindwe. Kuna mda ukiwa mpuuzi unajiona kila mtu mbaya tu
Ofcourse yan
@@athumanmakunja941 wewe mwenyewe unamjua mwakinyo yeye hakujui ...angekua mtu mdogo usingemjua
@@athumanmakunja941 we mbona hufamiki apo ndo ujue anakitu kakuzidi ko kuandamwa ni kawaida acha upuuzi kaka janjaruka usiwe kama msukule🏃🏃🏃
Mwakinyo uko fresh kwenye kujibu maswali
Umeongea point sana mwakinyo
dulax nyoosha (kidole gumba juu ✊✌️
big up 🎉 Tz champion
Bro cc tunakubarik anytime
Wao watapata ILA awatapata zaid yko MUNGU amesha signal
Mwakinyo juu sana
Mimi nakuelew mwakinyo, viatu vikiwa vipya vinateleza haswa ukiwa unafanya turning. Na ukiwa warusha jab au right coz Zina involve movement za kiunoo nahivyo kulazimisha movement za miguu nakuweza kupelekea ankle
hawatuweziii nakubali champez✊
Bhana bhanaaa mwakinyo haya bhana wewe ongea sisi tunakusikiliza tu tunaisibilia hiyo Adabu sisi aya ngoja tusubilie.
One Love home boy
Jamaaa anajielewa sana
Ujumbe mzuri asan bro
Mungu mwema yani acha wakuchukie ila mungu ndio ana maamuzi yake
Mwakinyo umenikumbusha mbali sana maandazi ya sukari nishanunua sana Tanga
hiyo ni dar,
one love champion MWAKINYO
Shida ya huyu jamaa is thinking beyond reality
😂😂😂😂😂
Ila mwakinyo ana maadui wengi sana
kitu kizuri ndugu yangu huwa akikosi maaduwi mwenyewe nayapitia hayo
Mimi nakuelewa sana sema tatizo lako ni unaongea sana na kiwadharau wengine ukirekebisha hili utatoboa
Si vizuri kuambatanisha na jina la mtu
ila mwakinyo na sifa unazipenda sana kujiona upo juu sana kuna vijana wangapi wa tz wenye vipaji tofauti na wapo wanaendelea na mambo yao wewe uuliwe ili iweje? na umemchukia sana babu tale
Vipaji Wanavyo Sawa Lakini Jitihada Zao Hafifu. Yeye Kajitahidi Kasota Kapambana Katumia Muda Mwingi Nguvu Nyingi. Mungu Akamuona Naye so Muacheni Ajivunie Alichokihangaikia
Mwakinyo wangu anapigana ngumi pamoja mtandao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamaa Yuko poa sana
Kuna wengine wanamuona mshamba ila ndio wivu ulivyo
Huyu mtanga kitu kikubwa kabisa kinacho msumbua ni ukosefu wa elimu haku muelewa mama yake kipindi ana mwambia soma kwanza halafu ndio uendeleze kipaji chako na kibaya zaidi kujifanya kila kitu anacho ongea kama anatumia akili nyingi acha utoto wewe akili utazitoa wapi wakati cheti ulichonacho nyumbani ni cheti cha kuzaliwa tu
Akili sio cheti bro vyeti hata machizi milembe wanavyo.😂😂😂
Wewe una cheti uko wapi sasa!acha makasiriko tafuta pesa!
Elim yann ss namaisha yass hayaitaj hata elim wanachuo kibao tunapiga nao debe mitumba ilala
Sawa wataka asome somo gn na kz yake ni mvulumuano wa mangumi naskuiz ukisoma sana huo nimtego unaweza letewa offa ya ushoga ukaichukulia poa kwahiyo kikumbwa home boy wetu amtambue Allah
Team makasiliko
Mwakinyo si tupo upande wako liwe jua iwe mvua 🤝
Champez one time
Huyu mcheza Taaarabu ana shida sana.........
Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi
Kina chakujifunzaapo kupitia maneno ya mwakinyo
Mwamba anajikuta Sana huyu...😃😃😃
Xaf broo upo xahihi binadam wabaya can aisee
Namuelewa sana sema ulinichaniaga mkeka wangu wa milio. 14,000,000 sema bado damu yangu komaa kwenye gemu hata sisi changamoto hizo twaziona sana mtaani komaa wewe waipepe lusha bendela yetu vyema sana
Ushauri Wangu Usipende Mazoezi Ya Jimu Sana Kapande Milima Na Piga Miti Mawe Kukuza Uzito Wa Ngumi Jiwe Nasio Kupiga Masipochi Ayana Faida Na Mashine Za Mbio Pia Azina Faida Kwa Pumzi Unakimbia Apo Apo2 Ukanyagi Hata Jiwe Simama Kama Zamani
Hata shetani hapendi Mlevi mcheza kamali anapenda anapenda msikitini na kanisani😂😂😂😂😂
Nimependa ukataji wake wa maneno, ni kama Mwana FA. Alafu naona anaongea poa sioni shida hapo ni nini? Ila kakosea aliposema kuwa wengekuwa watu wa DSM
.
Alikul maandazi ya sukarii😂
Mi namuaminisana mwakinyo
yani mwakinyo mm ni shabki yako kindaki ndaki yani ila ninalo jambo laniuma sana natamani sku moja nionane na ww niongee na ww jambo moja tuu yani wee acha tuu
Hii video niliiona wiki nyingi zilizo pita, au ni muendelezo!?
Ukiwanacho watakuloga ukiwa Huna hivohvo
Siku akipigwa nitafurahi Sana maana sio bondia Tena Bali kashakuwa mtangazaji na mwongeaji Sasa , siku hizi namkubali Sana Twaha kiduku ndio true boxer tz huyu mbabaishaji na mbahatishaji anaogopa kukosea tangu alipopatia Mara ya kwanza anaogopa kuuharibu Tena kwa hofu ya kukosea.
m#enge Sana w~w~😄
@@islamkarata9655 si ndio ukweli huo bro mwakinyo hataki kupigana Tena sababu anaogopa kupigwa sio mpiganaji atafute kazi nyingine ya kufanya hiyo haiwezi.
📸📸📸📸📸📸
Wanadam😢😢
Sema nn mwakinyo jfunze kingreza mdogowangu
umekua maneno mengi ngumi kidogo
Ngja ukutane na twaha akuue ata ukikataa ulingni atakuua ata MTAan pumba ww
Hassan Hassan Hassan hassan
Wewe Fanya Vyotee Kuma Wewe lakin Sisi Tunamjua Twaha Hawez Kufanya Usenge Huo.Endelea Tu Kuchamba Ila Mambo Ya Sumu Msingizie Mwingne .
tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila huyu jamaa ni mashauzi
Namkubali sana huyu mwamba, ndiye bondia bora Tanzania kw kizazi hiki
Kinacho ua kipaji cha huyu chalii ni mdomo wake mwenyewe
tatizo timu yenu imezoea bakuri ndo maana mpaka wachezaji wamerisi.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbuka ulisema umetoka familia bora ukichimba uwanyani kwenu utatoa vipande vyasubaru. Sasa ilikuwaje ulale chini chumba kivuje
Baada ya baba ake kufa maisha yalibadilika
Ww nimshamba tena limbukeni na utafika kuwa maarufu daima
@@abbysule2390 nimekuelewa kaka. Upo sahihi
Ahsante my brother
@@abbysule2390 🙋
Bwegee tu huyuu hana jipyaa ni ujinga mtupu
Unaleta nguo wakt wakt watu wanataka ngumi boyaa kwel
Kiki za ajabu tanga wangapi mabondia wa maana na hakuna hio story
Mwakinyo wewe pambana tu dogo
Misifa kibaooo
Tuma video uliyofanya sparing na Terence Crawford? I doubt if you had such worthful chance with him. Cant say its impossible but your profile is too low for such opportunity.
It may be that so,
Sumu uwekewe ili iweje.. utasaidia polisi
Aisaidie polisi kwani kamtuhumu mtu Kwa jina lake? Muacheni aongee tu.
@@mashramadhani1989 atamtaja polisi.
@@josephlorri431 haiko hivyo hapo unamaanisha polisi wamkamate mwakinyo Kwa kauli yake? Hawezekani na hata watoa shuhuda waliokuwa majambazi wauwaji wachawi wakitushuhudia humu UA-cam hawajawahi kukamatw.
Uyo ndo mtu wa pwani halisi bwana😂😂 kwa pesa zipi watu wamfanyie mawindo ivo jamaa anaumwinyi flani ivi ni wakumpotezea tu
Asaidie police ataje huyo mtu na huo mgahawa, huyu jamaa hakuna kitu kichwanj huwezi ongea hivo ni kesi ya ujibu hiyo dogo
Wewe bhana unaongea Sana...mswahil n mswahili tu
Yeah, nikama vile timu kufanya mazoezi kwenye kiwanja ambacho kitafanyika mechi