WIFI ZANGU VJB
Вставка
- Опубліковано 25 жов 2024
- maisha ni safari ndefu sana.naamini hivyo. safari yangu ya muziki ilianzia ktk band hii ya vijana jazz band.wana saga rhumba.naishukuru sana band hii kwa kunilea vizuri.asante sana sana kiongozi wa band hii kipindi hicho. RASHID PEMBE.kwani yeye ndiye aliye tumia nguvu nyingi sana juu yangu.na ktk kudhilihisha hilo ktk kibao hiki ambacho tulikirejea tena kwa mara ya pili.mimi NASSOR DIMOSO.nimeshiriki ktk upigaji wa kinanda kwa asilia zote.
2025 gather here ni kwa neema tu
2020 tuko wangapi? Tujuane tunaoskiza hii 2020
9:40 namkumbu mama angu nikiwa mdogo ananiogesha huku anaimba hiki kipande I love momy
Umenikumbusha mbali sana
Wazamani wakuje jmn mawifi
Nakumbuka mbali cn kipindi hicho nipo iwalanje nalima kaloti
Nipo shule darasa la tatu kule kisiwani Pemba ,,,
Wachaaa weee zamani kulikuwa kutamu
Wewe acha mkuu Leta zingine sio za kanyaga zinatuchanganya
2019 tukowangapi tujuanee hatwaaaaaaaleee
Bado tupo wengi
Wimbo unanikumbusha mbali sana kipindi cha maziwa na asali ukiingia kwenye ndoa wamekuchuja hasa mpaka kukubalika leo hii asubuhi mnakutana mwendo kasi jioni ndoa
kida wazirii ktk umahiri unaotisha Sana asante mungu kwa kunijaria kukuona live ukiwajibikaa
Huyu cyo kida waziri ni NURU MHINA baby white
Mjo, Rashid, pembe, mjo, adara, mngona zeri,
Midomo ya bata na hilo guitar la solo noma noma sana heshima yako shomari ally
Naangalia hii nyimbo huu ni mwaka 2023
Wangapi bado tunaangalia 2018 🙋🙋❤❤
Way back kibaha ...kota (tanita) nikitoka shule hii nyimbo lazima ipigwe kipindi cha mchana mwema RTD .....KIDA WAZIRI
Wangapi bado 2naangalia 2020
Nipo hapa mdau najikumbusha
Izi ndo nyimbo zazichujii
Naelewa mazoeea….yana taabu…. Dimoso umenikumbusha mbali sana kipindi niko shule sina mke nausikia wimbo huu mpaka leo yaliyoimbwa humu nikayaona mwenyewe…..Wimbo mkubwa sana huu
Mambo ya zaman badowazihitaj
Kweli
Wangapi bado tunaangalia huu wimbo 2023
2024😛
mbali sana sizani kama itarudi ya zamani yamekwisha eeeeenda niko kigogo ccm tunakura magimbi ya mama koba
Aloo nani wew ,Mimi niposouth lkn Kigogo kama yangu
Kama umeuona dimoso like here
KIBAO KILIENDA SHULE KWA ASLIMIA100/
Halooooo weeenuna mpaka upasuke mdomo Mimi nipo nakakaako iloooo wifi kijini.hongera kiida waziri kwa mziki
Ukweli wadau song hili linaigusa jamii mojakwamoja! Asante sana.
Daah wimbo huu nakumbuka kitambo sana hizi ndizo nyimbo zenye kueleweka
Kweli zina ujumbe wa mafunzo
Unakumbuka wapi??
Nikisilizaga wimbo huu huwa najisikia Raha Sana
Wimbo unanikumbusha mwaka 1995 nikiwa sengelema butonga nikiwa kwenye kulima maarufu kibarua
mm natamani Julia kuikosa miziki kama hii kwa sasa
bonge la wimbo
Old is gold umenikumbusha mwaka huo nipo Bwiru boys sec,wapi juma muhina ,Jabes mayunga tupa tupa,
Duuu unanikumbusha Morogoro jamuhuri Siku Rais Mandela naMkeo winnWanaingia nakupigiwa huo wimbo nikimuona laivi Kida wazili acha tu zamani rahaa bwana
Heshemiya baba ,abudu maman ,sikiliza mkubwa , basi navyote Vina endeleya SAFI.
mambo ya wahenga hayo saafi sana siyo sawa na miziki ya sasa isjyokuwa na kichwa wala miguu
Zilipendwa ni noma sana jamani
Zilipendwa ndio miziki bora, ila bas tu
Haaaa.hakuna miguu wala kichwa
Nadhani huu ndio wimbo wa mwisho Hemed Maneti kushiriki. Sauti yake inaanza mwanzo pale.
Kida waziri,,,,hatari sana
Sijui dunia hii iliyokosa upendo yenye chuki kisirani na kila baya km huu wimbo unawahusu asante vijana jazz ni moja kati ya band kumi bora za moyo wangu mie hapo ninao pia dar international chini ya jabar la music wapo pia sikinde na mahasimu wao msondo namleta kwenu zahir aly zoro naileta sauti ya maana kabisa kutoka kwa mtu wa maana sana Ramadhani mtoro Ongala daaah maisha mafupi
Waloimba ndio hawa kwenye video au hawa wamekopi tu maneti ni yupi hapo jamani msaada
Hapo hamna copy tu
Nawakumbuka mama zangu wote mungu awalaze pema
Safi Sana zilipendwa
Aiseee nimelia sna nimemkumbuka kaka yangu ambae Kwa sasa ni marehem 😭😭😭
Kida waziri wa nyumbani kabisa safi sana!🎉🎉🎉❤❤❤❤
Safi sana.
Kweli kabisa yakua mapenzi yana dawa sio mchezo, Dimosso mwenyewe ndani ya nyumba
hoza
Kila nikitazama na kusikia nakumbuka marehemu mama ang... Mungu mpumzishe kwa aman
Huu wimbo ukikaa pekeako then ukisikiliza unaweza kutokwa machozi aiseeeee dah...unanikumbusha mbali sana kipindi hicho Tanzania imetulia. Holiday unaijua, weekend unaijua, working days unazijua. Ukienda kujijini Raha ukienda mjini Raha dah...Mungu turudishie Tanzania yetu
Shomari omary kwenye solo
Nikweli anaitwa shomari Ally ktk solo Gitaa
Jamani Kida Wazir alikuwa anatufurahisha sana kwenye bendi hii ya Vijana, bado anaendelea na muziki?
Vijana jazi tu sio nyingine
Ya kale ni dhahabu, hakika muziki huu unatamani mtu uzaliwe upya lkn ndo haiwezekani
nzuri sana hizi ndio nyimbo zenye maadili bhana
Kweli sio lamba sukari za zuchu
Nakumbuka mbalisana
Safii sana vijana jz
akika nyimbo hizi zina mafunzo mengi mazuri siyo kama za sikuizi, zawahuni
Saf sana
Ama. Kweli vijana jazz kiboko
Kweli kabisa
Tanzania tuna utajiri mkubwa sana gone are the days kwakwel
Sumu imemwagwa na bongo fleva. hawajui kupiga chombo hata kimoja. ni makelele tu kuruka ruka na nywele utafikiri wametoka kwenye Mars.
Hiligoma siomchezo
Nipo hapa 2023 jamani mawifi uwiiiii wapunguze jamani
hahahaaaaaaaaa
Hapo ndipo neno " kuachwa kwenye mataa ,lilikoanzia!,Kida waziri.
Kumbe
Hivi Fredy Benjamin yu wapi jaman
This song takes me back 1993 when I was still home (Zanzibar). Our house girl, Tatu S. A. Mng'ombe used to sing that song every day. Where are you Tatu? I know you're from Gendagenda, Tanga. I didn't see you since then. I miss you!😢😢😢
KKK4k
Kk?(kk.3a(na?4ak?LA(kakk
K4a
(K
4a
(K
Ak?k
Ak?k.a(
k3ak?k
Am sure you made her pregnant 😂😂😂
Poor you 😢😢
@@johnmasungansolezi576😂😂😂😂
inanikumbusha mbali sana hii nyimbo
Naelewa mazoea yana tabu lakini nitajitahid kusahau r.i.p. kida waziri bado tuko pamoja 2019 nyimbo nzuri ujumbe mzuri nilikuwa mdgo sana enzi hizo
Kida waziri yuko hai bado
@@balozichalamila4034 yap.
Kida yupo hai mzee nasikia yuko Arusha ila wapenzi wa mziki tulimuomba siku moja ajitokeze kutupa hbr za zamani
Kida alifariki?
Mara ya mwisho nilimsikia ktk mahojiano ya TBC FM...akielezea changamoto alizopitia za ugonjwa.....
Duh mawifi acheni
Enzi za wahenga ajuae maana redio ya mkulima 77
Keeling Cape
Amina Loop
kuwasema naogopa nitakuja gombanisha asante dada pili
Sio pili. Ni Kida Waziri
Cyo pili wala kida huyu alikuwa anaitwa Nuruh Muhina ameshafariki
Huu ndo muziki mpaka leo unsikia raha kuangalia 2018
Kweli kabisa
Daah zamani raha sana!!
James Mawila! Mtoto wa Kiwalani!
KWELI old is gold, very ataiming
Hiki kibao bado kitamu sana
Mawifi. Wenyekiereere
very amaizing song. old is gold
Vyema sana wajomba,ujumbe umefika.great song
Kumbushia
Fantastic good job Vijana jazz,
Old is gold always
True
you sibongile where you come from
Vedio hii tulikuwa tunaangalia mwaka jana na bibi ang Nimemkumbuka bibi yangu kipenz magreti upumzike kwa amani bibi angu
Hakika
OLD IS GOLID
Shule ya hekima
2024 naangalia
wakati muziki ulikua muziki, cku iz hamna kitu!!
Immah Fred
.vijana
Hivi wa original wapo hapo kwa mnaowajua?
2020 tujuane tuliopita hapa 😂
Pole sana ndo walivo mawifi asilimia kubwa. #Peacefull.+ old is gold. 🎄 🎅 👏👏👏
PABS T
Très bien comme percussions ,images, présentation ,waimbaji ,wacheza namke kitoko cheftaine ,Njoo bien ivo..
Tunaoangalia huu wimbo 2020 tujuane
Utajiri wa Tanzania namkumbuka mama yangu pale majengo Mbeya
Muziki ulipokuwa unaitwa muziki.
WiFi zangu duu! nakumbuka mbali sana miaka ya 80 nikiwa huko Kilomeni wilaya ya Mwanga kwenye radio yetu ya mkulima. kweli yakale ni dhahabu!
amoni justini du kitambo
Ni kweli some time ma wifi wana mambo
Kida waziri achaa.
Dudu proof bendi moja mwaka 1987 katika kipindi cha radio Tanzania Dar es salaam kipindi ni kombora asubuhi Saa 11:30 alfajiri
2020 still watching this
Wif zangu kamiri
nicesong
nyimbo tambo japo mimi kijana wa leo
When music was music dah
2021
Nice song