WIFI ZANGU VJB

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024
  • maisha ni safari ndefu sana.naamini hivyo. safari yangu ya muziki ilianzia ktk band hii ya vijana jazz band.wana saga rhumba.naishukuru sana band hii kwa kunilea vizuri.asante sana sana kiongozi wa band hii kipindi hicho. RASHID PEMBE.kwani yeye ndiye aliye tumia nguvu nyingi sana juu yangu.na ktk kudhilihisha hilo ktk kibao hiki ambacho tulikirejea tena kwa mara ya pili.mimi NASSOR DIMOSO.nimeshiriki ktk upigaji wa kinanda kwa asilia zote.

КОМЕНТАРІ • 170

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 5 днів тому +1

    2025 gather here ni kwa neema tu

  • @yvonneirakiza3990
    @yvonneirakiza3990 4 роки тому +6

    2020 tuko wangapi? Tujuane tunaoskiza hii 2020

  • @chudabad6539
    @chudabad6539 4 роки тому +8

    9:40 namkumbu mama angu nikiwa mdogo ananiogesha huku anaimba hiki kipande I love momy

  • @sufianihoza3098
    @sufianihoza3098 3 роки тому +3

    Umenikumbusha mbali sana

  • @joycethomas93
    @joycethomas93 4 роки тому +3

    Wazamani wakuje jmn mawifi

  • @claudwasslem1119
    @claudwasslem1119 5 років тому +5

    Nakumbuka mbali cn kipindi hicho nipo iwalanje nalima kaloti

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 4 роки тому +3

    Nipo shule darasa la tatu kule kisiwani Pemba ,,,

  • @abdalahasssni4759
    @abdalahasssni4759 5 років тому +3

    Wachaaa weee zamani kulikuwa kutamu

  • @davidmwambona7685
    @davidmwambona7685 3 роки тому +1

    Wewe acha mkuu Leta zingine sio za kanyaga zinatuchanganya

  • @focusbusili2984
    @focusbusili2984 5 років тому +23

    2019 tukowangapi tujuanee hatwaaaaaaaleee

  • @rosemwaijande8289
    @rosemwaijande8289 6 років тому +7

    Wimbo unanikumbusha mbali sana kipindi cha maziwa na asali ukiingia kwenye ndoa wamekuchuja hasa mpaka kukubalika leo hii asubuhi mnakutana mwendo kasi jioni ndoa

  • @sangomamoricee6533
    @sangomamoricee6533 5 років тому +8

    kida wazirii ktk umahiri unaotisha Sana asante mungu kwa kunijaria kukuona live ukiwajibikaa

    • @tiffahcammy31
      @tiffahcammy31 Місяць тому

      Huyu cyo kida waziri ni NURU MHINA baby white

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 2 роки тому +1

    Mjo, Rashid, pembe, mjo, adara, mngona zeri,

  • @josephmichael2225
    @josephmichael2225 5 років тому +4

    Midomo ya bata na hilo guitar la solo noma noma sana heshima yako shomari ally

  • @jacksonjohn5686
    @jacksonjohn5686 Рік тому +1

    Naangalia hii nyimbo huu ni mwaka 2023

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 6 років тому +26

    Wangapi bado tunaangalia 2018 🙋🙋❤❤

  • @mustafamatata3795
    @mustafamatata3795 9 місяців тому

    Way back kibaha ...kota (tanita) nikitoka shule hii nyimbo lazima ipigwe kipindi cha mchana mwema RTD .....KIDA WAZIRI

  • @alhajititu5772
    @alhajititu5772 4 роки тому +15

    Wangapi bado 2naangalia 2020

  • @ElishaMahelela
    @ElishaMahelela 10 днів тому

    Nipo hapa mdau najikumbusha

  • @davidmwambona7685
    @davidmwambona7685 3 роки тому +1

    Izi ndo nyimbo zazichujii

  • @ngonyani1
    @ngonyani1 5 років тому +3

    Naelewa mazoeea….yana taabu…. Dimoso umenikumbusha mbali sana kipindi niko shule sina mke nausikia wimbo huu mpaka leo yaliyoimbwa humu nikayaona mwenyewe…..Wimbo mkubwa sana huu

  • @victoriageoffrey5926
    @victoriageoffrey5926 Рік тому +4

    Wangapi bado tunaangalia huu wimbo 2023

  • @ifakaraenvironmentcdoorg2559
    @ifakaraenvironmentcdoorg2559 5 років тому +2

    mbali sana sizani kama itarudi ya zamani yamekwisha eeeeenda niko kigogo ccm tunakura magimbi ya mama koba

    • @tindokamuti8142
      @tindokamuti8142 3 роки тому

      Aloo nani wew ,Mimi niposouth lkn Kigogo kama yangu

  • @patsonnzogoro790
    @patsonnzogoro790 4 роки тому +2

    Kama umeuona dimoso like here

  • @hamadhamad9404
    @hamadhamad9404 4 роки тому +2

    KIBAO KILIENDA SHULE KWA ASLIMIA100/

  • @aishamkomwa6125
    @aishamkomwa6125 4 роки тому +1

    Halooooo weeenuna mpaka upasuke mdomo Mimi nipo nakakaako iloooo wifi kijini.hongera kiida waziri kwa mziki

  • @fransicochunji327
    @fransicochunji327 6 років тому +7

    Ukweli wadau song hili linaigusa jamii mojakwamoja! Asante sana.

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 років тому +10

    Daah wimbo huu nakumbuka kitambo sana hizi ndizo nyimbo zenye kueleweka

  • @faustajohn8812
    @faustajohn8812 3 роки тому +1

    Nikisilizaga wimbo huu huwa najisikia Raha Sana

  • @VENASRICHARD-q6y
    @VENASRICHARD-q6y 20 днів тому

    Wimbo unanikumbusha mwaka 1995 nikiwa sengelema butonga nikiwa kwenye kulima maarufu kibarua

  • @allysuleiman9217
    @allysuleiman9217 6 років тому +5

    mm natamani Julia kuikosa miziki kama hii kwa sasa

  • @zacharianjanga
    @zacharianjanga 9 місяців тому +1

    bonge la wimbo

  • @mabeleleheven1467
    @mabeleleheven1467 9 місяців тому

    Old is gold umenikumbusha mwaka huo nipo Bwiru boys sec,wapi juma muhina ,Jabes mayunga tupa tupa,

  • @abdallhamjegele5582
    @abdallhamjegele5582 Рік тому

    Duuu unanikumbusha Morogoro jamuhuri Siku Rais Mandela naMkeo winnWanaingia nakupigiwa huo wimbo nikimuona laivi Kida wazili acha tu zamani rahaa bwana

  • @wamupepe120
    @wamupepe120 4 роки тому +1

    Heshemiya baba ,abudu maman ,sikiliza mkubwa , basi navyote Vina endeleya SAFI.

  • @glorymtenga6182
    @glorymtenga6182 7 років тому +15

    mambo ya wahenga hayo saafi sana siyo sawa na miziki ya sasa isjyokuwa na kichwa wala miguu

    • @vonmos4890
      @vonmos4890 6 років тому

      Zilipendwa ni noma sana jamani

    • @vonmos4890
      @vonmos4890 6 років тому +1

      Zilipendwa ndio miziki bora, ila bas tu

    • @rukiasalum7628
      @rukiasalum7628 2 роки тому

      Haaaa.hakuna miguu wala kichwa

  • @tumainimalulu7708
    @tumainimalulu7708 Рік тому

    Nadhani huu ndio wimbo wa mwisho Hemed Maneti kushiriki. Sauti yake inaanza mwanzo pale.

  • @Msangasenior-lq2uo
    @Msangasenior-lq2uo Рік тому

    Kida waziri,,,,hatari sana

  • @SangomaSengwaji
    @SangomaSengwaji 6 місяців тому

    Sijui dunia hii iliyokosa upendo yenye chuki kisirani na kila baya km huu wimbo unawahusu asante vijana jazz ni moja kati ya band kumi bora za moyo wangu mie hapo ninao pia dar international chini ya jabar la music wapo pia sikinde na mahasimu wao msondo namleta kwenu zahir aly zoro naileta sauti ya maana kabisa kutoka kwa mtu wa maana sana Ramadhani mtoro Ongala daaah maisha mafupi

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 3 роки тому +2

    Waloimba ndio hawa kwenye video au hawa wamekopi tu maneti ni yupi hapo jamani msaada

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 6 років тому +3

    Nawakumbuka mama zangu wote mungu awalaze pema

  • @FrankWilsondulle-em9fu
    @FrankWilsondulle-em9fu Рік тому

    Safi Sana zilipendwa

  • @kakarasmuuzages7490
    @kakarasmuuzages7490 Рік тому

    Aiseee nimelia sna nimemkumbuka kaka yangu ambae Kwa sasa ni marehem 😭😭😭

  • @Semnyawenda
    @Semnyawenda 5 місяців тому

    Kida waziri wa nyumbani kabisa safi sana!🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 2 роки тому +2

    Safi sana.

  • @sibongilemasina8779
    @sibongilemasina8779 4 роки тому +1

    Kweli kabisa yakua mapenzi yana dawa sio mchezo, Dimosso mwenyewe ndani ya nyumba

  • @hashimmgunya8648
    @hashimmgunya8648 3 роки тому +2

    hoza

  • @omaryally5904
    @omaryally5904 4 роки тому +1

    Kila nikitazama na kusikia nakumbuka marehemu mama ang... Mungu mpumzishe kwa aman

  • @allymtawa-dy4km
    @allymtawa-dy4km Рік тому

    Huu wimbo ukikaa pekeako then ukisikiliza unaweza kutokwa machozi aiseeeee dah...unanikumbusha mbali sana kipindi hicho Tanzania imetulia. Holiday unaijua, weekend unaijua, working days unazijua. Ukienda kujijini Raha ukienda mjini Raha dah...Mungu turudishie Tanzania yetu

  • @EzekielMely
    @EzekielMely 4 місяці тому

    Shomari omary kwenye solo

    • @dmtv5152
      @dmtv5152  3 місяці тому

      Nikweli anaitwa shomari Ally ktk solo Gitaa

  • @jaredowino7992
    @jaredowino7992 Рік тому

    Jamani Kida Wazir alikuwa anatufurahisha sana kwenye bendi hii ya Vijana, bado anaendelea na muziki?

  • @HabibuThabiti
    @HabibuThabiti 7 місяців тому

    Vijana jazi tu sio nyingine

  • @donnymwenda896
    @donnymwenda896 8 років тому +4

    Ya kale ni dhahabu, hakika muziki huu unatamani mtu uzaliwe upya lkn ndo haiwezekani

  • @zedysaidhanas1568
    @zedysaidhanas1568 7 років тому +6

    nzuri sana hizi ndio nyimbo zenye maadili bhana

  • @dennisgeorge9362
    @dennisgeorge9362 3 роки тому +1

    Nakumbuka mbalisana

  • @khamissalum431
    @khamissalum431 4 роки тому +1

    Safii sana vijana jz

  • @issaally4554
    @issaally4554 6 років тому +11

    akika nyimbo hizi zina mafunzo mengi mazuri siyo kama za sikuizi, zawahuni

  • @Elizabeth-mw4mo
    @Elizabeth-mw4mo 6 років тому +5

    Tanzania tuna utajiri mkubwa sana gone are the days kwakwel

    • @Shammy-rn3tn
      @Shammy-rn3tn 4 роки тому

      Sumu imemwagwa na bongo fleva. hawajui kupiga chombo hata kimoja. ni makelele tu kuruka ruka na nywele utafikiri wametoka kwenye Mars.

  • @MuhidiniJuma-ld9dk
    @MuhidiniJuma-ld9dk 4 місяці тому

    Hiligoma siomchezo

  • @salmamacha9434
    @salmamacha9434 Рік тому +1

    Nipo hapa 2023 jamani mawifi uwiiiii wapunguze jamani

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale3003 Рік тому

    Hapo ndipo neno " kuachwa kwenye mataa ,lilikoanzia!,Kida waziri.

  • @edwinkachenje7677
    @edwinkachenje7677 6 місяців тому

    Hivi Fredy Benjamin yu wapi jaman

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 3 роки тому +7

    This song takes me back 1993 when I was still home (Zanzibar). Our house girl, Tatu S. A. Mng'ombe used to sing that song every day. Where are you Tatu? I know you're from Gendagenda, Tanga. I didn't see you since then. I miss you!😢😢😢

  • @ambrocendomba2167
    @ambrocendomba2167 3 роки тому +1

    inanikumbusha mbali sana hii nyimbo

  • @medausmkono722
    @medausmkono722 5 років тому +3

    Naelewa mazoea yana tabu lakini nitajitahid kusahau r.i.p. kida waziri bado tuko pamoja 2019 nyimbo nzuri ujumbe mzuri nilikuwa mdgo sana enzi hizo

    • @balozichalamila4034
      @balozichalamila4034 5 років тому +2

      Kida waziri yuko hai bado

    • @omaryshabani9372
      @omaryshabani9372 3 роки тому

      @@balozichalamila4034 yap.

    • @abdallhamjegele5582
      @abdallhamjegele5582 Рік тому

      Kida yupo hai mzee nasikia yuko Arusha ila wapenzi wa mziki tulimuomba siku moja ajitokeze kutupa hbr za zamani

    • @mustafamatata3795
      @mustafamatata3795 9 місяців тому

      Kida alifariki?

    • @mustafamatata3795
      @mustafamatata3795 9 місяців тому

      Mara ya mwisho nilimsikia ktk mahojiano ya TBC FM...akielezea changamoto alizopitia za ugonjwa.....

  • @salmamacha9434
    @salmamacha9434 Рік тому

    Duh mawifi acheni

  • @FrancisgalusMbonde
    @FrancisgalusMbonde 8 місяців тому

    Enzi za wahenga ajuae maana redio ya mkulima 77

  • @WilliamJones-n1z
    @WilliamJones-n1z 29 днів тому

    Keeling Cape

  • @DarlenePeral-t9b
    @DarlenePeral-t9b 22 дні тому

    Amina Loop

  • @focusbusili2984
    @focusbusili2984 6 років тому +4

    kuwasema naogopa nitakuja gombanisha asante dada pili

    • @mtaninjegere6060
      @mtaninjegere6060 4 роки тому

      Sio pili. Ni Kida Waziri

    • @tiffahcammy31
      @tiffahcammy31 Рік тому

      Cyo pili wala kida huyu alikuwa anaitwa Nuruh Muhina ameshafariki

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 6 років тому +6

    Huu ndo muziki mpaka leo unsikia raha kuangalia 2018

  • @hizzersamwel2838
    @hizzersamwel2838 7 років тому +4

    Daah zamani raha sana!!

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 4 роки тому +1

    James Mawila! Mtoto wa Kiwalani!

  • @simonliberio5563
    @simonliberio5563 8 років тому +7

    KWELI old is gold, very ataiming

  • @gemamwakyusa6100
    @gemamwakyusa6100 Рік тому

    Hiki kibao bado kitamu sana

  • @doricamussa5138
    @doricamussa5138 7 місяців тому

    Mawifi. Wenyekiereere

  • @scholambalila9691
    @scholambalila9691 7 років тому +8

    very amaizing song. old is gold

  • @fransicochunji327
    @fransicochunji327 6 років тому +2

    Vyema sana wajomba,ujumbe umefika.great song

  • @JoshuaMoyo-y2r
    @JoshuaMoyo-y2r 3 місяці тому

    Kumbushia

  • @sibongilemasina8779
    @sibongilemasina8779 4 роки тому +4

    Fantastic good job Vijana jazz,
    Old is gold always

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 6 років тому +3

    Vedio hii tulikuwa tunaangalia mwaka jana na bibi ang Nimemkumbuka bibi yangu kipenz magreti upumzike kwa amani bibi angu

  • @josephatmakuka4860
    @josephatmakuka4860 2 роки тому +1

    Hakika

  • @hamadhamad9404
    @hamadhamad9404 4 роки тому +3

    OLD IS GOLID

  • @PotentineTheonesti
    @PotentineTheonesti 7 місяців тому

    Shule ya hekima

  • @edwinkachenje7677
    @edwinkachenje7677 6 місяців тому

    2024 naangalia

  • @immahfred2127
    @immahfred2127 7 років тому +11

    wakati muziki ulikua muziki, cku iz hamna kitu!!

  • @ayshaysh3326
    @ayshaysh3326 4 роки тому +1

    Hivi wa original wapo hapo kwa mnaowajua?

  • @fabianalexdesigns
    @fabianalexdesigns 4 роки тому +1

    2020 tujuane tuliopita hapa 😂

  • @peresisilikale3789
    @peresisilikale3789 6 років тому +4

    Pole sana ndo walivo mawifi asilimia kubwa. #Peacefull.+ old is gold. 🎄 🎅 👏👏👏

  • @wamupepe120
    @wamupepe120 4 роки тому +1

    Très bien comme percussions ,images, présentation ,waimbaji ,wacheza namke kitoko cheftaine ,Njoo bien ivo..

  • @neemangadi7038
    @neemangadi7038 4 роки тому +2

    Tunaoangalia huu wimbo 2020 tujuane

  • @alfredmunnah721
    @alfredmunnah721 3 роки тому +1

    Muziki ulipokuwa unaitwa muziki.

  • @amonijustini119
    @amonijustini119 6 років тому +2

    WiFi zangu duu! nakumbuka mbali sana miaka ya 80 nikiwa huko Kilomeni wilaya ya Mwanga kwenye radio yetu ya mkulima. kweli yakale ni dhahabu!

  • @mlamanlike_abdul2534
    @mlamanlike_abdul2534 4 роки тому +2

    2020 still watching this

  • @davidsheguni7166
    @davidsheguni7166 11 місяців тому

    Wif zangu kamiri

  • @ramadhanmzilangwe8707
    @ramadhanmzilangwe8707 6 років тому +2

    nicesong

  • @josphatambokile1523
    @josphatambokile1523 8 років тому +5

    nyimbo tambo japo mimi kijana wa leo

  • @thomasathanas3957
    @thomasathanas3957 5 років тому +3

    When music was music dah

  • @ashamnaida5304
    @ashamnaida5304 3 роки тому +3

    2021

  • @sakinashemahonge7692
    @sakinashemahonge7692 6 років тому +3

    Nice song