Moja kati ya wasanii Bora Zaid kuwahi tokea kwenye nchi Yetu, Namkubari sana kwa kazi ya Kuelimisha JAMII, Kupitia Mziki wakee Bora wa Hip-hop. Napenda harakati zakee na kufichua Rushwa , na ukosoaji . Kila mtuu alijua nni kinaendelea ndani ya nchi yake wakati huo anatoa Ngoma zake n kuliwa na uhuru wa kusikilizwa kwa maoni ya watu wengine. Sikiiliza Ngoma kama hii NDO TANZANIA, IKULU NI MAHALI PATAKATIFU, ROMA 2030. HUYU NDIYE MSANII BORA KWENYE MAISHA YANGU NI MZALENDO WA KWELI NA NINATAMANI ANGEENDELEA KUWEPO TZ. DAAAAH NAUMIA SANAAA KWA ALIYO PITIA . MUNGU NI MWEMA SIK ZOTE. ATAENDELEA KUKUPIGANIA # ROMA MKATORIKI#. WEWE NI BORA SANAA.
Daaah,,, 😂😂Roma ako bize sana hadi suluali inashuka chini na hajui,, aki daaah kumbe michakato gharama mbaya sana.. sometimes unawezabaki uchi kwa kusaka hela..
Moja kati ya wasanii Bora Zaid kuwahi tokea kwenye nchi Yetu, Namkubari sana kwa kazi ya Kuelimisha JAMII, Kupitia Mziki wakee Bora wa Hip-hop. Napenda harakati zakee na kufichua Rushwa , na ukosoaji . Kila mtuu alijua nni kinaendelea ndani ya nchi yake wakati huo anatoa Ngoma zake n kuliwa na uhuru wa kusikilizwa kwa maoni ya watu wengine. Sikiiliza Ngoma kama hii NDO TANZANIA, IKULU NI MAHALI PATAKATIFU, ROMA 2030. HUYU NDIYE MSANII BORA KWENYE MAISHA YANGU NI MZALENDO WA KWELI NA NINATAMANI ANGEENDELEA KUWEPO TZ. DAAAAH NAUMIA SANAAA KWA ALIYO PITIA . MUNGU NI MWEMA SIK ZOTE. ATAENDELEA KUKUPIGANIA # ROMA MKATORIKI#. WEWE NI BORA SANAA.
Viva Roma Darassa nawakubali pia kutoka hapa jirani UG. Nyinyi sio size zao🙌😊🙌🎵
Vivaaa roma Rudi bongo wasikutishe nakukubali sana natunakupenda wa Tanzania nampangowa kuwa msaniimkubwa nifanyenini
Daaah,,, 😂😂Roma ako bize sana hadi suluali inashuka chini na hajui,, aki daaah kumbe michakato gharama mbaya sana.. sometimes unawezabaki uchi kwa kusaka hela..
Roma toa nyimbo mzee
Maish yap ili tuish nakifo kipo ili tufe maish nizawadi naroma nizawadi yawataanzania
Uyu Jamaa Siku Moja Nilikaa Na Kutulia Nilimsikiliza Sana Kwa Umakini Mpaka Nikasema Sijui Jamaa Katokea Sayali Gani Uyu Mana Anajua Anajua Zaidi
Wasanii Bora Roma huwezi muacha
Aluta continue
Romaromaroma nakupenda sana
Darassa we used to love.
wow the same vanda in Cambodia he is reaper
safi Sana mkato utambulisho WA kizazi darasa Kwenye map,,,, kiwalani Kwenye MAp ,,,, Tanga kitambo umeiweka kwa map,,,,,,
Nkubali mzee poa
Siku hiyo sipika zilikuwa zinakolomaa
Vivaaaa Tanga Boy
Vraiment courage
Roma wewe ni jeshi
CMG for life Darrasa mtu mbaya
Kali sana wakuu
We nawe toa ngoma tushachok siye
Viva roma
𝓡𝓸𝓶𝓪 𝓷𝓪𝓴𝓾𝓫𝓪𝓵𝓲 𝓴𝓪𝔃𝓲 𝔂𝓪𝓴𝓸 𝓴𝓪𝓴𝓪
Keep it hip hop baddest combination on the stage
Wow 🔥🔥🔥🔥🔥🔥#cairnsdirector
Roma 🔥, kutoka 254
Hatareee hii🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bado tunaikubari🇲🇿🇹🇿🇲🇿 for life
Kari sana
Hahaha kitambo iko sio
VIVAAAAA ROMA
Rudi tu kaka
Chiiiiiii
KONDEBOY JESHI NDIE MSANII MKUBWA IN TANZANIA KWA SASA KWASABABU YEYE NDIE ANAITANGAZA NCHI YETU KIMATAIFA KUPITIA MZIKI MZURI ANAOUFANYA 💥💥
Acha bange
Dunia iko kiganjani saiv wewe umdanganyi mtu unajidanganya mwenyewe😂
Ushanunuliwa fala ww big up Roma & Darasa