TUNAJIONA WASTAARABU NA WASOMI MPAKA TUNASINGIZIA ZAMA MABALAA YALIVYOZIDI. USTADHI , NYUNDO.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 35

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 2 роки тому +14

    Allha akupe nuru kwenye kaburi lako
    Mimi nilikufuatilia na mawaidha yako yalinijenga mno na siku nilipoona taarifa ya kifo chako sikuweza kula na kupata mfadhaiko mkubwa nikikumbuka mawaidha yako ya kila ijumaa...
    Mungu akuzidishie kila la heri kaburini mwako

  • @ZaradiHemedi
    @ZaradiHemedi Рік тому +3

    Allaaah akujalie kheri na baraka katika maisha yako ya kaburin shekh wangu allaah hum'maa amiiin

  • @khalidmyaule6187
    @khalidmyaule6187 10 місяців тому

    Mwenyezi Mungu akurehumu sheikh wangu.
    Si wote wanaosilikiliza wataelewa.
    Wayahudi wa kihistoria waliomkana hata Yesu na ujue hakuna kuingia kwa dini ya kiyahudu unless uwe myahudi.
    Sayansi ya video ilianza enzi za Mtume Mohammad PBUH.

  • @masoudhassanghege9530
    @masoudhassanghege9530 3 роки тому +14

    Allah akuepushe na adhabu kaburi inshalla

  • @aishafarah2456
    @aishafarah2456 Рік тому +2

    Allah akutilie nuru akuraham Sheikh wetu kipenzi

  • @sabiraadam8762
    @sabiraadam8762 2 роки тому +4

    Allah akulaze mahala pema. Mawaidha yako napenda sana kusikiliza na umewagombania sana kuwaokoa vijana. Allah akulaze mahala pema.

  • @swalihanafula2630
    @swalihanafula2630 3 роки тому +10

    Masha Allah mungu ampe jana firidausi ya rabi

  • @barakankoma55
    @barakankoma55 Рік тому +1

    Mungu amjalie pepo kubwa sheikh wetu

  • @mohamedswaleh6778
    @mohamedswaleh6778 Рік тому +2

    Allah akupe makaz mema

  • @rashidjuma1969
    @rashidjuma1969 2 роки тому +2

    Allahuma ghufirllahu warhamahuu filjanbah mungu mpe wepesi mjawako huyuuu

  • @saviourramso4339
    @saviourramso4339 Рік тому +1

    Allahumma hufil llahu walahamhu wasken hufiljanna

  • @ramadhanbaraka6474
    @ramadhanbaraka6474 2 роки тому +2

    Mngu akurehemu sheikh nyundo.

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 2 роки тому +2

    Allah akupe kauli thabiti shehe wetu

  • @Jaydenkulali
    @Jaydenkulali Рік тому

    habari! Mimi ni Yusuf, aka Joseph! Nimeipenda comedy yako. mazungumzo yenu ya kidini yanachekesha sana….inanifurahisha sana. ikiwa unachosema ni kweli au si kweli, sio wito wangu kuhukumu kwa sababu nina ukweli wangu. baada ya kusema hayo, nataka nikupe changamoto, katika mazungumzo yako ya awali, umewadhalilisha wasio Waislamu kwa kuwaita maswahara na wayahudi. Unauonya Ummah wa Kiislam usiwaige hao makafir (wasio waumini) kwa hiyo hoja yangu ni kwamba mitandao yote ya kijamii unayotumia kutengeneza pesa katika mazungumzo yako ya dini inamilikiwa na kuendeshwa na wayahudi na maswahara….hivyo kwanini unaacha kutumia majukwaa yote yanayomilikiwa na Wayahudi? unapenda utamaduni wao na mtindo wao wa maisha lakini hutaki kukiri hadharani, kwa nini?

  • @is-hakaalkindi9220
    @is-hakaalkindi9220 Рік тому +1

    اللهم اغفرله ورحمه🌹

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 3 роки тому +4

    إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 Рік тому

    Ukwelimtupu Shekh shukran

  • @ruu6592
    @ruu6592 2 роки тому +2

    Mashallah

  • @swalihanafula2630
    @swalihanafula2630 3 роки тому +5

    Mawaidha mazuri sana

  • @FatmaHasuman
    @FatmaHasuman 6 місяців тому

    Allah akupe kauli sabit

  • @mvugwamanajeem5109
    @mvugwamanajeem5109 2 роки тому +2

    Allah amrehem

  • @RahimuAmanzi
    @RahimuAmanzi 7 місяців тому

    mashaalah

  • @shamsaalrahbi5573
    @shamsaalrahbi5573 2 роки тому +3

    Dah 😢😢😢😢

  • @aliramadhan4750
    @aliramadhan4750 8 місяців тому

    Asalamualaikum?? Naomba Mwenye Link ya shehe nyundo akizungumzia wanawake Kuvaa Help me Kichwani

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому

    MWANAMKE ALOJIKWAPUA,😄