FUPI YA KUSISIMUA: SAFARI YA MVUVI; SIMULIZI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 337

  • @user-nn7vv2fd7z
    @user-nn7vv2fd7z Рік тому +13

    Whaaah!...Ama kwa kweli ni story ya huzuni sana ila nimejifunza ya kuwa umoja wa kushirikiana ni jambo muhimu sana na pamoja na uvumilivu...😢😢😢😮❤

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 Рік тому +11

    Lkn pamoja n hayo yote yame kutengenezea njia zuri n kuwa n maisha mema badaye n katika maisha haya lzm tupite njia zingine ndio tufie baraka zetu

  • @aboudybahmesh5424
    @aboudybahmesh5424 Рік тому +9

    Poleni sana napia musiamini watu kiolelaolela vijana musikue na tamaa musilishiriki sana tumbo vifunze shida usijifunze raha wala usipende raha zadunia tafuta haki yako hata km ni kwashida iko siku mungua atakuokoa napia jifunze kumuomba mungu na pia moyo wa kusubiri subira uvuta kheri

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Рік тому +21

    For sure nimeenjoy ,pakulianimelia 😭🇹🇿🇴🇲pakucheka nimecheka ila yote kwa yote nimejifunza Mengi sanaa hakika Dunia Duara.Asante sana simulizi mix

    • @sarafinahprince4265
      @sarafinahprince4265 Рік тому

      Hata mie hapa ila nimejipatia funzo kubwa kupitia hii simulizi .❤❤❤

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +13

    Asante sana anko jay , , huwa nafarijika sana hasa ninaposikiliza simulizi kutoka kwako , , kwenye haya maisha tunaitajika kuwa wavumilivu sana hususan kwa ndugu wetu wakaribu, , , Adui sio mtu kando bali ni watu wetu wa karibu

    • @nawarbaby7853
      @nawarbaby7853 Рік тому

      Story nzur saaaana inamafunzo, kila mafanikio lazima yawe na story ya misukosuko yuma, 😍😍👍🙏

  • @annejohn8601
    @annejohn8601 Рік тому +11

    😂😂😂😂😂😂😂 huyu ndo voice actor hajawai kukosea mahari much love 🥰🥰🥰🥰

  • @Mickflevourtz
    @Mickflevourtz 18 днів тому +1

    Daaah Hii simulizi imenilaza san Macho inahuzunisha san Mwenyezimungu ni mwingi wa rehema mwenye kurehemu daaah❤❤❤

  • @ffed1876
    @ffed1876 Рік тому +6

    Kila penye uzito na wepesi unakuja Mola akupe ujasiri na imani pia ila simulizi yk ni bombaaaaa👌❤

  • @sammy-b6281
    @sammy-b6281 Рік тому +12

    Jay I will all ways take my time for you
    I’m Congolese from USA
    North calorina Charlotte Queen City

    • @SIMULIZIFUPI
      @SIMULIZIFUPI  Рік тому +1

      One love Samuel.. Much appriciating time you spend listening our stories..

    • @RashdMwawanu
      @RashdMwawanu 3 місяці тому

      Ffhg for gaDẞzxxbvvszxzbzxzvxcvzcxxxzZvzXcsczcCxczxxzxadXzdzgcdddsZfccdhszsaadzvvbbbbcbbbxdvxzvvzgfzfsßxffdßZhvsx FS cxzAD1WWWQSDSSR​@@SIMULIZIFUPI

  • @patiencembekelu240
    @patiencembekelu240 8 місяців тому +2

    Asante sana Anko J kwa hii simulizi nzuri yenye mafunzo tele, at the same time napenda kumpongeza kijan Adam kwa ujasiri wake,angekua muoga hawangetoboa. So God bls u so much n keep on keeping on🤗

  • @mariamjumamussa9292
    @mariamjumamussa9292 Рік тому +8

    Asante sana kaka matatizo haya kimbiwi tupambane tukimuamini mungu usichoke kutupa elimu

  • @shaphaina9941
    @shaphaina9941 Рік тому +11

    Nikweli na mm nimejifunza kitu sanna.
    Napenda sana simulizi km hizi za kujifunza .

  • @Producer_Kabi
    @Producer_Kabi Рік тому +5

    Kweli kwenye maisha unatakiwa uwe na subira ndio kitu nilichojifunza asante sana Anko j umenipa somo Mjomba sitokurupuka tena🙏🙏

  • @fatmass6125
    @fatmass6125 Рік тому +38

    😭😭😭Tupambane na matatizo yetu na sio kuyakimbia nimejifunza🔥♥️

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Рік тому +2

      Maisha ni magumu sana Njee lakini tumejifunza sote kwenye simulizi fupi hili. Basi ni bora kuliko kubakiya nyumbani na kuanza kujifunza WIZI, maunga na UJAMBAZI.. Tujifunze...na tusiwe na TAMAA..

    • @fatmass6125
      @fatmass6125 Рік тому

      @@awatifalghanim1106 nikweli

    • @samsungoman5626
      @samsungoman5626 Рік тому

      Kabisa

  • @mariamrashid6880
    @mariamrashid6880 Рік тому +4

    Mtihan mzito sana shukran sana msimuliaji Anko Jay na Simulizi Mix yote kwa ujumla waandishi pia hongereni sana kwa kutuelimisha kujifunza na kuenjoy
    Kweli baada ya dhiki ni faraja AlhamduliLLah

  • @bashirimaketa3559
    @bashirimaketa3559 Рік тому +4

    😄😄 anko jay nakukubal mnoo, unajua san, simulizi bhna ukisimulia wew Anko jay Huwa naenjoy mnoo

  • @priscillahsirya6544
    @priscillahsirya6544 Рік тому +4

    Asante mr anko jay
    Kwasimulizi nzuri na yenye mafunzo chem chem

  • @elickardojjfm6271
    @elickardojjfm6271 Рік тому +6

    Good story my brother, ''k''

  • @happygissy7693
    @happygissy7693 Рік тому +4

    Mmmmmh!Anko jay hunafarija nikiskia simuliz kutoka kwako🥰🥰🥰🥰🥰

  • @Glorie711
    @Glorie711 Рік тому +9

    Asante kwa simulizi nzur 🙏🙏nimajifunza kitu tushuku kwa kipato tunachokipata maana mungu ndie mwenye kutupa riziki tuwacheni tamaa.

  • @lucyannalimonama4076
    @lucyannalimonama4076 Рік тому +5

    Wish 🤞 ndugu zetu wange jua life enje ya Tanzania. Nishida too better back home motherland. Yote hii ni shida tupu.
    Thank you uncle Jay 🙏🏽

  • @mwanaally4972
    @mwanaally4972 Рік тому +2

    Daaah umetisha xaan anko simuliz nzurii mnoooo daah mung azid kukibariki kipaji chake🙏🙏🥰🥰🔥🔥✌️✌️

  • @ShahrazadSiyah
    @ShahrazadSiyah 2 місяці тому

    "I really liked your work, you are very creative." Keep up the good work!

  • @swifatsukimtuliaswifatsuki3730

    Duh pole sana Adam na hongera Sana,🔥😍😍

  • @carolynejackson4877
    @carolynejackson4877 Рік тому +4

    This story is very educative. I like it. 🇰🇪

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Рік тому +5

    Wow anko j thanks alot hii ni simulizi ambayo inaweza kusaidia kweli vijana wa kizazi cha leo maana kwa mapambano ya Adam kweli sio ya kizazi cha leo imenipa fursa mpya na nguvu zaidi ya kupigilia msumari wanangu ili kujikakamua na elimu na pia maisha ya leo Na kesho pia sio kuwa waoga ktk kila jambo I salute you Anko na Smix media kwa jumla

    • @neemakarisa1496
      @neemakarisa1496 Рік тому

      Wa kwanza Mimi hapa, 🤣

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 Рік тому

      Pambana mommy maisha sio mepesi ila mtangulize muumba kwani yote yanawezekana dear

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 Рік тому +4

    Asante kwa simulizi nzuri Anko J imeniiiza na kunichekesha

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Рік тому +8

    Simulizi nzuri yenye mafuzo kweli matatizo hayakimbiwi

  • @user-ns7bw5ps9f
    @user-ns7bw5ps9f 10 місяців тому +4

    Kiukweri vijana wengi au watu wengi tunatamani maisha ya mbele hakuna mtu asiye penda maisha ya majuuu 😂ila sasa tunaenda kwa njia gani 😢daaha hata mimi natamani niishi ughaibuni maisha ya tz 🇹🇿 ya kiwaki sana 😅

  • @mwanamisiabdalla5551
    @mwanamisiabdalla5551 Рік тому +3

    Kwa kweli asant anko jay nimejifunza Mungu akubari amn🤲

  • @ghm1711
    @ghm1711 Рік тому +3

    Nimejirunza mengi kwakweli asante saana Anko jey one ♥ 👌

  • @user-yk6dg4kl3s
    @user-yk6dg4kl3s 7 місяців тому +14

    Yan unaweza ukamuona .anatembea kumbe moyon kabeba mengi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @calebmaduhu4901
      @calebmaduhu4901 Місяць тому +1

      Pamoja na kuwa Hadithi nzuri sana! Ila Kipaji chako kinachangia kuifanya Hadithi hii kuwa ya pekee sana! Ni uzoefu fulani ambao unawapata Watu katika safari ya Maisha. I wish kila msomaji apate somo la kujifunza maishani.
      Mungu akubariki sana!

    • @waterlooinvestmentresource3618
      @waterlooinvestmentresource3618 Місяць тому

      2:48:58

  • @AnnaMukhwana-pf4qr
    @AnnaMukhwana-pf4qr 10 місяців тому +2

    Simulizi safi sana yenye elimu kwa wote ..asanteni sana

  • @user-ro4dc5ob1t
    @user-ro4dc5ob1t Рік тому +3

    Anko jei simulizi ni mzuri sana harafu icho kipaji chako cha usimuliaj yaani sijui ata nikisifie vp

  • @hawamohammed4978
    @hawamohammed4978 Рік тому +4

    Mm nik ion simulizi hakun felix mwend d sierew lkn wot wk vizul Lkn mm bil kusikia saut yk kichw chang hakiko swa

  • @kevenkeven7381
    @kevenkeven7381 Рік тому +3

    Yani iyi simulizi nimejifunza kabisa 🙏🥰🥰 from 🇧🇮🏥

  • @rahemarah
    @rahemarah 9 місяців тому +2

    Waaa story nzuri yenye mafunzo walai nimekumbuka mpenzi wangu nilie mpoteza katika mazingira kama haya aki it's too pain😥😥

    • @Princess20011
      @Princess20011 5 місяців тому

      Pouleee kipenz. 😢😢😢

  • @ashamenza2212
    @ashamenza2212 Рік тому +6

    Hongera saaana AANKO JAY

    • @SIMULIZIFUPI
      @SIMULIZIFUPI  Рік тому +1

      Asante sana ASHA.. Burudani iendelee

  • @blackeaglemjeda8113
    @blackeaglemjeda8113 Рік тому +5

    Tumepigwa Na Hiyi Hystoria 😅
    Pia Ume Jipakulia sana Kaka Muuda story😁
    Bila Kusau Nimependa kipaji chako kina tengeneza Umbongo vizuri❤❤

  • @FredManboy
    @FredManboy 16 днів тому

    Inafundisha pia inauzun sana bc mungu atupe mwisho mwema

  • @user-sx5tz5cz4c
    @user-sx5tz5cz4c Рік тому +2

    This story its so amazing but other side it's sad again all in all !we have learned something

  • @user-ho3gv7xj2e
    @user-ho3gv7xj2e Рік тому +2

    Hii simulizi ni nzuri sana na yenye kufundisha

  • @oman9880
    @oman9880 Рік тому +5

    Asante Sana kwa simulizi nzuri 🙏

  • @khadijamwatayari5465
    @khadijamwatayari5465 Рік тому +4

    Tam sana. hii.asante. anko j

  • @user-qp3el9cq6l
    @user-qp3el9cq6l 11 місяців тому +1

    Dah! Hv kweli unaweza kupita bila comment kwa story hii hapa! kwa kweli story zako ziko vizur sana dah! imeniumiza lkn imenifunza thanks

  • @flomenawanjiru2946
    @flomenawanjiru2946 Рік тому +4

    Amakweli ndunia nichugu unapo ifanya chugu lakini ndunia mwalimu mungu akikutaka utapitia yote lakini siku baada ya siku utaagukia mikononi mwa mungu

  • @furahaneema920
    @furahaneema920 Рік тому +6

    Asante sana kwa simulizi nzuri yakusisimua
    Ngoja niseme kitu uyu mkaka alitamani aje kwa joe Biden 🇺🇸🇺🇸 alishikwa natamaa kidogo afe kisa marekani hata na mimi Niko marekani naona dunia nimoja tuu duniani kwote nishida

    • @manuelykimaro9995
      @manuelykimaro9995 Рік тому

      Huduma za kijamii kama matibabu ni nzuri kuliko bongo marekani ni marekan mm mwenyewe natamani nije hata canada huku kazi hakunaaa watu wamesoma

    • @stevensosipita
      @stevensosipita 10 місяців тому

      Tena wengine hata mbuzi wanashindwa kununuwa taabu tupu.

  • @paulinavessmo35cd4
    @paulinavessmo35cd4 Рік тому +1

    Asante sana Anko j barikiwa umenikumbusha kuto kata tamaa kwenye maisha nitazidi kupambana na si kukimbia 👌💪💪

  • @nooraahmed6948
    @nooraahmed6948 11 місяців тому +3

    Asante sana storry inamafunzo

  • @sososonia1956
    @sososonia1956 Рік тому +7

    Anko ni mmoja tu ambay ni Ankojay a.k.a Anko pesa 😘

  • @jeremayaClassicPhoto
    @jeremayaClassicPhoto Рік тому +4

    Kweli matatizo hayakimbiii lkn kukimbia pia kumemsaidia pia ingawa amepitia changamoto nying sn🙏🙏😭😭🤣🤣 nice story 🙏 asntee uncle j

  • @lucykarii6860
    @lucykarii6860 Рік тому +8

    Story of encouragement and confidence very interesting. ❤❤

  • @khadijangoro9932
    @khadijangoro9932 Рік тому +3

    Pole sn ADAM ilipangwa iwe hivyo ili ufikie lengo la kuishi maisha mazuri

  • @kweturaha439
    @kweturaha439 Місяць тому

    broh u are very genuis bro nimesikitika nikalia nikafurahi pia ,unajuwa kutengeneza story

  • @ZainabSaif-sr9jj
    @ZainabSaif-sr9jj 10 місяців тому +2

    Hakika inafunzo kubwa lkn nilichojifunza mungu akupi mtihan pasipo na sababu hiyo ndio ilikuwa njia yk ya kutoka kimaisha asante anko j

  • @jofreymwakyula3095
    @jofreymwakyula3095 Місяць тому

    ❤❤❤❤hata mimi pia napenda Maisha mazuri sana kiukweli sijapa bado niwatakie sinjema❤❤❤

  • @shaimamabrouk9937
    @shaimamabrouk9937 Рік тому +9

    Nimejikuta nalia tuu tunayo yapitia katika safari zamaisha Mungu mwenyewe ndio anajua usiombe yakukute mpaka ufanikiwe sio kazi rahisi

    • @user-yl4zp5qd7t
      @user-yl4zp5qd7t 11 місяців тому

      We acha tuu

    • @SuhailahMuntadhwar-eu4wq
      @SuhailahMuntadhwar-eu4wq 9 місяців тому

      Shukran anko j simulizi hii imebeba ujumbe mzito sana na kupitia simulizi hii nimejifunza mengi sana kukata tamaa ni mwiko subira ni ngumu lkn inamatunda mengi sana

  • @enocksimba5091
    @enocksimba5091 Рік тому +4

    Kwa kweli simulizi zako Zinafundisha

  • @malikyashekale8199
    @malikyashekale8199 Рік тому +3

    Shukran sana Anko kwa simulizi nzuri yenye mafunzo na kusisimua

  • @jnsjonas6844
    @jnsjonas6844 Рік тому +5

    Daaaah anko j hiii simulizi nimeitafuta xana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Рік тому +10

    Inasikitisha ...Yote Nchi zenu Maisha ya TABU..🙈🙉🙊😢😢😢

  • @tzman1174
    @tzman1174 Рік тому +3

    Nimejifunza ki2

  • @carolinekasha9396
    @carolinekasha9396 Рік тому +7

    Pole Adam kwel umepitia mengi 😪😪but mungu hajawai kukuacha🙏🙏🙏🙏

  • @michealjoseph796
    @michealjoseph796 Рік тому +4

    Matatizo hayakimbiwi ktk maisha maana yapogo tu sk zote tujifunze kulizika na kitu tunachokipata Kwa mda huo tuvumilie

  • @Adonai810
    @Adonai810 Рік тому +13

    MOST PEOPLE MESS UP SOMETHING GOOD, BY LOOKING FOR SOMETHING BETTER JUST TO END UP WITH SOMETHING WORSE. ALWAYS BE GRATEFUL FOR WHATEVER GOD HAS BLESSED YOU WITH BECAUSE, GRASS IS NEVER GREENER ON THE OTHER SIDE..🔥🔥🔥👍👍 BRAVO ANKO JAY

  • @missclementsemizigimisscle7458

    Mke anaeish na anko j ana raha una sauti tamu ya nyege🥰🥰🥰🥰😊😊

  • @phillyvibeofficial7151
    @phillyvibeofficial7151 Рік тому +6

    Kwangu nimejifunza kukaaanyumbani niuzembe nikutoka tu nakwenda kupambana maswaibu ndio seemu ya mafanikio maaana ata Adam asingepitia ayo asinge kutana na mafanikio tutoke tukapambane akuna mafanikio yanayokuja kilaisi

  • @groveyagroya1280
    @groveyagroya1280 Рік тому +3

    Wqkwanza mimi jamn siogop kujaribu yani hata nisikie sehem ni yahatar mm naenda nasema liwalo na liwe haa

  • @monajafar4473
    @monajafar4473 Рік тому +4

    Baada ya dhiki faraja adamu amepata dhiki lkn mungu hatupi mja wake

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we Рік тому +18

    Hiii simuliz kwel imenichoma kwel 😥😥😥😥😥😥ilifanana na ANKO wang jomon kwel maisha yana fanana😥😥

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Рік тому +8

    Kweli ukikaa kwenye Nchi za watu hata ukae miaka 1000 basi wewe utakuwa ni mgeni tuu...😥😥😥

  • @user-cs9mf9rv9t
    @user-cs9mf9rv9t 10 місяців тому +7

    Lífe😢😢😢

  • @user-uh6og9fj7b
    @user-uh6og9fj7b 9 місяців тому +3

    Eeee kweli ni yakusisimua Daah

  • @shynarpaul6179
    @shynarpaul6179 Рік тому +3

    So sad lkn nimejifunza san simuliz nzuri san saf sana ancle J

  • @Simbaa342
    @Simbaa342 Рік тому +2

    Good man and strong man

  • @user-rc4it4kb4c
    @user-rc4it4kb4c День тому

    Daaaa kweli mungu mkubwa tumuhaminia na tumtegemehee kwa kila jambo

  • @user-yl4zp5qd7t
    @user-yl4zp5qd7t 11 місяців тому +3

    Aaaa mwanzo nimeumia nimelia lkn mwisho nimefarijika

  • @khadija.kkhadija.k7885
    @khadija.kkhadija.k7885 Рік тому +7

    Pole kwa safari ya matatizo

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 Рік тому +4

    Asee hongela sn kk unaitaji pongezi
    Hii hadisi inafundisha sana pia inasikitisha sn

  • @hassanhawa9954
    @hassanhawa9954 5 місяців тому

    Nime jifunza sana kuteseka siyo kukufa.you are a hero Adam.expriiance is the best teacher ❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @fatimeabuu1308
    @fatimeabuu1308 Рік тому +8

    Sijaachwa nyuma kamwe...

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Рік тому +3

    Ahsante ANKO JAY

  • @MariaMoses-uw7wr
    @MariaMoses-uw7wr 9 місяців тому +1

    Mungu yup na ww .nijalibu lako umelipita

  • @isabelaoisso5431
    @isabelaoisso5431 Рік тому +3

    Thanks sana because I learn some things here

  • @salamabwanamoya8746
    @salamabwanamoya8746 Рік тому +4

    Mafudisho makali sana hiyi kweli

  • @Winniequinepretty-wm7rr
    @Winniequinepretty-wm7rr Рік тому +3

    Amazing story

  • @Teacher_01
    @Teacher_01 Рік тому +2

    Asante Sanaa.. ❤️❤️❤️

  • @piusxinlv5958
    @piusxinlv5958 Рік тому +5

    Sehemu iliyo niuma zaidi ni walipo poteana mara ya mwisho baada ya boti kuzama aiseee daaah 😥 nikaisi kama ni mimi ivi nusu nilie 😅

  • @lucisolomon8537
    @lucisolomon8537 Рік тому +3

    Delila was not selfish she wanted Adam to ho home ( to get what he wanted). True love includes not denying others their happiness

  • @user-bo4pi8jw6r
    @user-bo4pi8jw6r Рік тому +3

    Hm Misha haya shida sanaaa

  • @MariaMoses-uw7wr
    @MariaMoses-uw7wr 9 місяців тому +1

    Everything is possible Adam

  • @Eastern-jz7oi
    @Eastern-jz7oi Рік тому +2

    Ama kweli mchumi juani
    hulia kivulini.❤❤❤

  • @ChristianChristianRehema
    @ChristianChristianRehema 29 днів тому

    Inasisimua sanaaaa.Achamunguaitwa.mungu😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zenasalum3107
    @zenasalum3107 Рік тому +7

    Katik zote nilowahikuckiliz hii ni kiboko haina mwenzake

  • @MUENDOMULWA
    @MUENDOMULWA Місяць тому

    Very i interesting ❤❤❤

  • @halimahaji3856
    @halimahaji3856 Рік тому +5

    iko poa sana anko j

  • @DeboraMwasweba-ij4qf
    @DeboraMwasweba-ij4qf Рік тому +3

    Yani hiii smulizi Jamani Adamu kapitia mengi mpaka kuna muda nacheka kama mazuri mwee daaa

  • @MariaMoses-uw7wr
    @MariaMoses-uw7wr 9 місяців тому +1

    Pole sana mungu yupo ety

  • @HuaweiY-wx7we
    @HuaweiY-wx7we Рік тому +6

    Very nice ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Рік тому +3

    Wakati mwengine nichangamoto yakukufikisha pale ulipo pangiwa