Poleni sana napia musiamini watu kiolelaolela vijana musikue na tamaa musilishiriki sana tumbo vifunze shida usijifunze raha wala usipende raha zadunia tafuta haki yako hata km ni kwashida iko siku mungua atakuokoa napia jifunze kumuomba mungu na pia moyo wa kusubiri subira uvuta kheri
Asante sana anko jay , , huwa nafarijika sana hasa ninaposikiliza simulizi kutoka kwako , , kwenye haya maisha tunaitajika kuwa wavumilivu sana hususan kwa ndugu wetu wakaribu, , , Adui sio mtu kando bali ni watu wetu wa karibu
Asante sana Anko J kwa hii simulizi nzuri yenye mafunzo tele, at the same time napenda kumpongeza kijan Adam kwa ujasiri wake,angekua muoga hawangetoboa. So God bls u so much n keep on keeping on🤗
Maisha ni magumu sana Njee lakini tumejifunza sote kwenye simulizi fupi hili. Basi ni bora kuliko kubakiya nyumbani na kuanza kujifunza WIZI, maunga na UJAMBAZI.. Tujifunze...na tusiwe na TAMAA..
Mtihan mzito sana shukran sana msimuliaji Anko Jay na Simulizi Mix yote kwa ujumla waandishi pia hongereni sana kwa kutuelimisha kujifunza na kuenjoy Kweli baada ya dhiki ni faraja AlhamduliLLah
Wow anko j thanks alot hii ni simulizi ambayo inaweza kusaidia kweli vijana wa kizazi cha leo maana kwa mapambano ya Adam kweli sio ya kizazi cha leo imenipa fursa mpya na nguvu zaidi ya kupigilia msumari wanangu ili kujikakamua na elimu na pia maisha ya leo Na kesho pia sio kuwa waoga ktk kila jambo I salute you Anko na Smix media kwa jumla
Kiukweri vijana wengi au watu wengi tunatamani maisha ya mbele hakuna mtu asiye penda maisha ya majuuu 😂ila sasa tunaenda kwa njia gani 😢daaha hata mimi natamani niishi ughaibuni maisha ya tz 🇹🇿 ya kiwaki sana 😅
Pamoja na kuwa Hadithi nzuri sana! Ila Kipaji chako kinachangia kuifanya Hadithi hii kuwa ya pekee sana! Ni uzoefu fulani ambao unawapata Watu katika safari ya Maisha. I wish kila msomaji apate somo la kujifunza maishani. Mungu akubariki sana!
Asante sana kwa simulizi nzuri yakusisimua Ngoja niseme kitu uyu mkaka alitamani aje kwa joe Biden 🇺🇸🇺🇸 alishikwa natamaa kidogo afe kisa marekani hata na mimi Niko marekani naona dunia nimoja tuu duniani kwote nishida
Shukran anko j simulizi hii imebeba ujumbe mzito sana na kupitia simulizi hii nimejifunza mengi sana kukata tamaa ni mwiko subira ni ngumu lkn inamatunda mengi sana
MOST PEOPLE MESS UP SOMETHING GOOD, BY LOOKING FOR SOMETHING BETTER JUST TO END UP WITH SOMETHING WORSE. ALWAYS BE GRATEFUL FOR WHATEVER GOD HAS BLESSED YOU WITH BECAUSE, GRASS IS NEVER GREENER ON THE OTHER SIDE..🔥🔥🔥👍👍 BRAVO ANKO JAY
Kwangu nimejifunza kukaaanyumbani niuzembe nikutoka tu nakwenda kupambana maswaibu ndio seemu ya mafanikio maaana ata Adam asingepitia ayo asinge kutana na mafanikio tutoke tukapambane akuna mafanikio yanayokuja kilaisi
Whaaah!...Ama kwa kweli ni story ya huzuni sana ila nimejifunza ya kuwa umoja wa kushirikiana ni jambo muhimu sana na pamoja na uvumilivu...😢😢😢😮❤
Lkn pamoja n hayo yote yame kutengenezea njia zuri n kuwa n maisha mema badaye n katika maisha haya lzm tupite njia zingine ndio tufie baraka zetu
Poleni sana napia musiamini watu kiolelaolela vijana musikue na tamaa musilishiriki sana tumbo vifunze shida usijifunze raha wala usipende raha zadunia tafuta haki yako hata km ni kwashida iko siku mungua atakuokoa napia jifunze kumuomba mungu na pia moyo wa kusubiri subira uvuta kheri
For sure nimeenjoy ,pakulianimelia 😭🇹🇿🇴🇲pakucheka nimecheka ila yote kwa yote nimejifunza Mengi sanaa hakika Dunia Duara.Asante sana simulizi mix
Hata mie hapa ila nimejipatia funzo kubwa kupitia hii simulizi .❤❤❤
Asante sana anko jay , , huwa nafarijika sana hasa ninaposikiliza simulizi kutoka kwako , , kwenye haya maisha tunaitajika kuwa wavumilivu sana hususan kwa ndugu wetu wakaribu, , , Adui sio mtu kando bali ni watu wetu wa karibu
Story nzur saaaana inamafunzo, kila mafanikio lazima yawe na story ya misukosuko yuma, 😍😍👍🙏
😂😂😂😂😂😂😂 huyu ndo voice actor hajawai kukosea mahari much love 🥰🥰🥰🥰
Daaah Hii simulizi imenilaza san Macho inahuzunisha san Mwenyezimungu ni mwingi wa rehema mwenye kurehemu daaah❤❤❤
Kila penye uzito na wepesi unakuja Mola akupe ujasiri na imani pia ila simulizi yk ni bombaaaaa👌❤
Jay I will all ways take my time for you
I’m Congolese from USA
North calorina Charlotte Queen City
One love Samuel.. Much appriciating time you spend listening our stories..
Ffhg for gaDẞzxxbvvszxzbzxzvxcvzcxxxzZvzXcsczcCxczxxzxadXzdzgcdddsZfccdhszsaadzvvbbbbcbbbxdvxzvvzgfzfsßxffdßZhvsx FS cxzAD1WWWQSDSSR@@SIMULIZIFUPI
Asante sana Anko J kwa hii simulizi nzuri yenye mafunzo tele, at the same time napenda kumpongeza kijan Adam kwa ujasiri wake,angekua muoga hawangetoboa. So God bls u so much n keep on keeping on🤗
Asante sana kaka matatizo haya kimbiwi tupambane tukimuamini mungu usichoke kutupa elimu
Nikweli na mm nimejifunza kitu sanna.
Napenda sana simulizi km hizi za kujifunza .
Kweli kwenye maisha unatakiwa uwe na subira ndio kitu nilichojifunza asante sana Anko j umenipa somo Mjomba sitokurupuka tena🙏🙏
😭😭😭Tupambane na matatizo yetu na sio kuyakimbia nimejifunza🔥♥️
Maisha ni magumu sana Njee lakini tumejifunza sote kwenye simulizi fupi hili. Basi ni bora kuliko kubakiya nyumbani na kuanza kujifunza WIZI, maunga na UJAMBAZI.. Tujifunze...na tusiwe na TAMAA..
@@awatifalghanim1106 nikweli
Kabisa
Mtihan mzito sana shukran sana msimuliaji Anko Jay na Simulizi Mix yote kwa ujumla waandishi pia hongereni sana kwa kutuelimisha kujifunza na kuenjoy
Kweli baada ya dhiki ni faraja AlhamduliLLah
😄😄 anko jay nakukubal mnoo, unajua san, simulizi bhna ukisimulia wew Anko jay Huwa naenjoy mnoo
Asante mr anko jay
Kwasimulizi nzuri na yenye mafunzo chem chem
Good story my brother, ''k''
Mmmmmh!Anko jay hunafarija nikiskia simuliz kutoka kwako🥰🥰🥰🥰🥰
Asante kwa simulizi nzur 🙏🙏nimajifunza kitu tushuku kwa kipato tunachokipata maana mungu ndie mwenye kutupa riziki tuwacheni tamaa.
Amen
Asante kwa simlizi yenye mafundisho
Pole sana kaka mwenyezi mung akutie nguvu
Wish 🤞 ndugu zetu wange jua life enje ya Tanzania. Nishida too better back home motherland. Yote hii ni shida tupu.
Thank you uncle Jay 🙏🏽
Simuliiz, mzur
Jjji
Daaah umetisha xaan anko simuliz nzurii mnoooo daah mung azid kukibariki kipaji chake🙏🙏🥰🥰🔥🔥✌️✌️
"I really liked your work, you are very creative." Keep up the good work!
Duh pole sana Adam na hongera Sana,🔥😍😍
This story is very educative. I like it. 🇰🇪
Wow anko j thanks alot hii ni simulizi ambayo inaweza kusaidia kweli vijana wa kizazi cha leo maana kwa mapambano ya Adam kweli sio ya kizazi cha leo imenipa fursa mpya na nguvu zaidi ya kupigilia msumari wanangu ili kujikakamua na elimu na pia maisha ya leo Na kesho pia sio kuwa waoga ktk kila jambo I salute you Anko na Smix media kwa jumla
Wa kwanza Mimi hapa, 🤣
Pambana mommy maisha sio mepesi ila mtangulize muumba kwani yote yanawezekana dear
Asante kwa simulizi nzuri Anko J imeniiiza na kunichekesha
Simulizi nzuri yenye mafuzo kweli matatizo hayakimbiwi
Kiukweri vijana wengi au watu wengi tunatamani maisha ya mbele hakuna mtu asiye penda maisha ya majuuu 😂ila sasa tunaenda kwa njia gani 😢daaha hata mimi natamani niishi ughaibuni maisha ya tz 🇹🇿 ya kiwaki sana 😅
Kwa kweli asant anko jay nimejifunza Mungu akubari amn🤲
Nimejirunza mengi kwakweli asante saana Anko jey one ♥ 👌
Yan unaweza ukamuona .anatembea kumbe moyon kabeba mengi 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pamoja na kuwa Hadithi nzuri sana! Ila Kipaji chako kinachangia kuifanya Hadithi hii kuwa ya pekee sana! Ni uzoefu fulani ambao unawapata Watu katika safari ya Maisha. I wish kila msomaji apate somo la kujifunza maishani.
Mungu akubariki sana!
2:48:58
Simulizi safi sana yenye elimu kwa wote ..asanteni sana
Anko jei simulizi ni mzuri sana harafu icho kipaji chako cha usimuliaj yaani sijui ata nikisifie vp
Mm nik ion simulizi hakun felix mwend d sierew lkn wot wk vizul Lkn mm bil kusikia saut yk kichw chang hakiko swa
Yani iyi simulizi nimejifunza kabisa 🙏🥰🥰 from 🇧🇮🏥
Waaa story nzuri yenye mafunzo walai nimekumbuka mpenzi wangu nilie mpoteza katika mazingira kama haya aki it's too pain😥😥
Pouleee kipenz. 😢😢😢
Hongera saaana AANKO JAY
Asante sana ASHA.. Burudani iendelee
Tumepigwa Na Hiyi Hystoria 😅
Pia Ume Jipakulia sana Kaka Muuda story😁
Bila Kusau Nimependa kipaji chako kina tengeneza Umbongo vizuri❤❤
Inafundisha pia inauzun sana bc mungu atupe mwisho mwema
This story its so amazing but other side it's sad again all in all !we have learned something
Hii simulizi ni nzuri sana na yenye kufundisha
Asante Sana kwa simulizi nzuri 🙏
Tam sana. hii.asante. anko j
Dah! Hv kweli unaweza kupita bila comment kwa story hii hapa! kwa kweli story zako ziko vizur sana dah! imeniumiza lkn imenifunza thanks
Amakweli ndunia nichugu unapo ifanya chugu lakini ndunia mwalimu mungu akikutaka utapitia yote lakini siku baada ya siku utaagukia mikononi mwa mungu
Asante sana kwa simulizi nzuri yakusisimua
Ngoja niseme kitu uyu mkaka alitamani aje kwa joe Biden 🇺🇸🇺🇸 alishikwa natamaa kidogo afe kisa marekani hata na mimi Niko marekani naona dunia nimoja tuu duniani kwote nishida
Huduma za kijamii kama matibabu ni nzuri kuliko bongo marekani ni marekan mm mwenyewe natamani nije hata canada huku kazi hakunaaa watu wamesoma
Tena wengine hata mbuzi wanashindwa kununuwa taabu tupu.
Asante sana Anko j barikiwa umenikumbusha kuto kata tamaa kwenye maisha nitazidi kupambana na si kukimbia 👌💪💪
Ongera sana broo
Asante sana storry inamafunzo
Anko ni mmoja tu ambay ni Ankojay a.k.a Anko pesa 😘
Kweli matatizo hayakimbiii lkn kukimbia pia kumemsaidia pia ingawa amepitia changamoto nying sn🙏🙏😭😭🤣🤣 nice story 🙏 asntee uncle j
Story of encouragement and confidence very interesting. ❤❤
Jmn ❤❤❤❤❤
Pole sn ADAM ilipangwa iwe hivyo ili ufikie lengo la kuishi maisha mazuri
broh u are very genuis bro nimesikitika nikalia nikafurahi pia ,unajuwa kutengeneza story
Hakika inafunzo kubwa lkn nilichojifunza mungu akupi mtihan pasipo na sababu hiyo ndio ilikuwa njia yk ya kutoka kimaisha asante anko j
❤❤❤❤hata mimi pia napenda Maisha mazuri sana kiukweli sijapa bado niwatakie sinjema❤❤❤
Nimejikuta nalia tuu tunayo yapitia katika safari zamaisha Mungu mwenyewe ndio anajua usiombe yakukute mpaka ufanikiwe sio kazi rahisi
We acha tuu
Shukran anko j simulizi hii imebeba ujumbe mzito sana na kupitia simulizi hii nimejifunza mengi sana kukata tamaa ni mwiko subira ni ngumu lkn inamatunda mengi sana
Kwa kweli simulizi zako Zinafundisha
Shukran sana Anko kwa simulizi nzuri yenye mafunzo na kusisimua
Daaaah anko j hiii simulizi nimeitafuta xana
Hii hapa kaka... Enjoy
Nxuriiii nimejifunza
Inasikitisha ...Yote Nchi zenu Maisha ya TABU..🙈🙉🙊😢😢😢
Nimejifunza ki2
Pole Adam kwel umepitia mengi 😪😪but mungu hajawai kukuacha🙏🙏🙏🙏
Matatizo hayakimbiwi ktk maisha maana yapogo tu sk zote tujifunze kulizika na kitu tunachokipata Kwa mda huo tuvumilie
MOST PEOPLE MESS UP SOMETHING GOOD, BY LOOKING FOR SOMETHING BETTER JUST TO END UP WITH SOMETHING WORSE. ALWAYS BE GRATEFUL FOR WHATEVER GOD HAS BLESSED YOU WITH BECAUSE, GRASS IS NEVER GREENER ON THE OTHER SIDE..🔥🔥🔥👍👍 BRAVO ANKO JAY
Good story
Mke anaeish na anko j ana raha una sauti tamu ya nyege🥰🥰🥰🥰😊😊
Astaghafir llah
Kuwa mke wake ndio utajua haujui
@@ZamZam-mk4xu😅😅 kwakweli
😂😂😂😂😂 weee sikurahisiii😅
@@ZamZam-mk4xu aje tu🤣🤣🤣
Kwangu nimejifunza kukaaanyumbani niuzembe nikutoka tu nakwenda kupambana maswaibu ndio seemu ya mafanikio maaana ata Adam asingepitia ayo asinge kutana na mafanikio tutoke tukapambane akuna mafanikio yanayokuja kilaisi
Wqkwanza mimi jamn siogop kujaribu yani hata nisikie sehem ni yahatar mm naenda nasema liwalo na liwe haa
Baada ya dhiki faraja adamu amepata dhiki lkn mungu hatupi mja wake
Hiii simuliz kwel imenichoma kwel 😥😥😥😥😥😥ilifanana na ANKO wang jomon kwel maisha yana fanana😥😥
Pole jamani 😥😥😥
Point
Iyo jomon Sasa 😂😂😂pole ila maisha lazima yaendelee
Good story
@@onekisstv8412 yaani hiyo jomon😂😂😂😂
Kweli ukikaa kwenye Nchi za watu hata ukae miaka 1000 basi wewe utakuwa ni mgeni tuu...😥😥😥
Lífe😢😢😢
Eeee kweli ni yakusisimua Daah
So sad lkn nimejifunza san simuliz nzuri san saf sana ancle J
Good man and strong man
Daaaa kweli mungu mkubwa tumuhaminia na tumtegemehee kwa kila jambo
Aaaa mwanzo nimeumia nimelia lkn mwisho nimefarijika
Pole kwa safari ya matatizo
Asee hongela sn kk unaitaji pongezi
Hii hadisi inafundisha sana pia inasikitisha sn
Nime jifunza sana kuteseka siyo kukufa.you are a hero Adam.expriiance is the best teacher ❤❤❤❤❤❤❤😂
Sijaachwa nyuma kamwe...
Ahsante ANKO JAY
Mungu yup na ww .nijalibu lako umelipita
Thanks sana because I learn some things here
Mafudisho makali sana hiyi kweli
Amazing story
Asante Sanaa.. ❤️❤️❤️
Sehemu iliyo niuma zaidi ni walipo poteana mara ya mwisho baada ya boti kuzama aiseee daaah 😥 nikaisi kama ni mimi ivi nusu nilie 😅
Hata mm nimeumia sana
Delila was not selfish she wanted Adam to ho home ( to get what he wanted). True love includes not denying others their happiness
Hm Misha haya shida sanaaa
Everything is possible Adam
Ama kweli mchumi juani
hulia kivulini.❤❤❤
Inasisimua sanaaaa.Achamunguaitwa.mungu😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Katik zote nilowahikuckiliz hii ni kiboko haina mwenzake
Ni kweli kabisaaa kiboko kweli
Very i interesting ❤❤❤
iko poa sana anko j
Yani hiii smulizi Jamani Adamu kapitia mengi mpaka kuna muda nacheka kama mazuri mwee daaa
Pole sana mungu yupo ety
Very nice ❤️❤️❤️❤️❤️
Wakati mwengine nichangamoto yakukufikisha pale ulipo pangiwa