MAUAJI YA WATOTO MBAGALA, POLISI KUTOA DONGE NONO LA MILIONI MBILI, "WANADANGANYWA NA VITU VIDOGO"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 43

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 2 місяці тому +8

    Hamna haja hata ya kutoa hiyo m2 mm nikimkamata nawaletea nyama kwenye mfuko tu

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 місяці тому +15

    Huu ni msiba mzito kwa Taifa la Tz. Kwakweli wananchi kwasasa inabidi tuchukue sheria mkononi tukimkamata mhalifu ni kuua tu. Lawama baadae. Kuua tu

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي 2 місяці тому +2

      Nikweli usemacho umeniwahi haifanyi chochote muhusika akikamatwa na ushahidi utasikia tuanendelea na uchunguzi police wamejawa na tamaa ya rushwa dawa kuwauwa

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 2 місяці тому +3

      @@رقيهالخصيبي Watoto wanauliwa, wanabakwa lkn utasikia tunafanya uchunguzi police kwakweli wanatuangusha kikubwa wauaji, wabakaji, wezi, ni kuwaua tu na wananchi tumechoka

    • @SaudaMahmoud-yf4zb
      @SaudaMahmoud-yf4zb Місяць тому

      Kweli keshi la polisi linakatisha tamaa

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي Місяць тому

      @@AlHamra-k4u wauwaji wote wanaopatikana na hatia wote wangeuliwa mauaji yangeisha

    • @رقيهالخصيبي
      @رقيهالخصيبي Місяць тому

      @@SaudaMahmoud-yf4zb tamaa ya pesa ndicho kinachowafanya waachie watuhumiwa

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 місяці тому +4

    Poleni sana wazazi nihatali sana nawaomba mkiwashika muwaue kabisa

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 місяці тому +5

    dah mna mwingne mahakama zetu za hovyo sana watu kama hawa wakatili ila utashangaa wakishikwa wanapata zamana

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 2 місяці тому +5

    Poleni wana mbagala kibonde maji watoto wanaisha😢😢😢

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 2 місяці тому +4

    Kila ikifika nyakati za uchaguzi matukio haya hutokea

  • @AmenaJeogh
    @AmenaJeogh Місяць тому +1

    Jamani ili swala ni mitihan mkubwa Sana kwasababu mtoto utakuta yupo apo jiran tu linatokea shetani uko linakuja kumtia magumi ili amuuwe mm mwanangu walitaka kuniulia nashukuru mungu aka tokea msabaria mwema akamuokota mwanangu lile lishetan likakimbia adi vikindu mashetan wamejaa Hee mungu warahan awa wauwaji wawatoto🤲🤲🤲

  • @fadhilishaha8000
    @fadhilishaha8000 2 місяці тому +6

    Makafala ya uchaguzi hayo yameanza

  • @MukazayireFina-li8ft
    @MukazayireFina-li8ft 2 місяці тому +1

    Pamoja na wazazi kua makini lkn hebu niwaulize nyie polisi . kweli hawa watu wamewashinda kuakomesha? maana haya ninyi mnaishi kwa jamii hii hii!inachoamini uwezo wenu ni mkubwa.hamjaamua au bado mna jambo lenu.

  • @MasterPetro-oj1fd
    @MasterPetro-oj1fd 2 місяці тому +1

    Sasa mbona wamejaa wanaccm. Kesi hizo zinawahusu ccmtu?

  • @tunudimandogreek9683
    @tunudimandogreek9683 2 місяці тому +2

    Watoto wapelekwe na wafuutwe kurudi nyumbani kuanzia shule chekechea mpaka darsa la pili na walimu washirikishwe ktk upelekaji wa watoto na mzazi au aliye hakikishwa kumfuata

    • @AmenaJeogh
      @AmenaJeogh Місяць тому

      Hee ndugu adi watoto wadarasa LA saba vikindu wamechukuriwa

  • @fridagustaphmwenda6658
    @fridagustaphmwenda6658 Місяць тому

    Hawa wakkienda mahakamani kesi inaisha nyie hamjui

  • @TajiwidiRajabu
    @TajiwidiRajabu Місяць тому

    hafwatiliwe wakichukua hao watoto wanawapeleka wapi ili huo mtandao ukomeshwe

  • @mikidadymohammedy7603
    @mikidadymohammedy7603 2 місяці тому

    Uchaguzi ukikaribia tu madhara yake ndio haya sasa

  • @SaudaMahmoud-yf4zb
    @SaudaMahmoud-yf4zb Місяць тому

    Rushwa imechukua nafasi kubwa hamna liwalo

  • @TajiwidiRajabu
    @TajiwidiRajabu Місяць тому

    wamama pia wawe makini nawatoto unamkuta mama anachati na simu anamuacha mtoto nyuma

  • @MbatiaZakaria-ti5kt
    @MbatiaZakaria-ti5kt 2 місяці тому

    Kazi kweli bongo

  • @MukazayireFina-li8ft
    @MukazayireFina-li8ft 2 місяці тому

    Niwaombe serikali yetu, msimamishe mauaji ya viumbe ambao hawana hatia uwezo mnao.kwakweli raia wenzangu tuombe Mungu aokoe kizazi chetu
    Na nchi yetu.mama yetu uchungu unaujua toa tamko rasmi tukuonyeshe .kama ulivyo toa tamko kwa panya road

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 Місяць тому

      Una uhakika ni wao ndiyo wanahusika? Hata wengine siku hizi wana tamaa sana

    • @fridagustaphmwenda6658
      @fridagustaphmwenda6658 Місяць тому

      Mtu akibaka akilawiti akiua adhabu yake anyongwe au afie jela kabisa asionekane tena

  • @MarryKigina
    @MarryKigina 2 місяці тому

    Hao watakuwa wanatumwa kuichafua serikali hakuna cha kafara wala nini?

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 місяці тому

    Lakini mbona km fashion,miuwaji ingekuwa inachomwa moto hadharani,hii Tabia ingekoma.

  • @MarryKigina
    @MarryKigina 2 місяці тому

    Arobaini yao itafika tu na maji wataita mma wakikamatwa na wao watolewe viungo

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 місяці тому +1

    Kumbe nanyi mnatoa dau kama kubeti mi naona hio ndogo ukifananishwa na uhai wa watoto wetu mimi ningeweka milioni 10 iri juhudi zifanyike

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 2 місяці тому

    Wananchi mkimpata muharifu dawa yake auliwe hakuna kumoeleka police Serikal ndio tatizo wauwaji wangeuliwa kwa wakati mauaji yangeisha lakini baada muda utasikia watuhumiwa wako nje kwa dhama kuchelewa kuwauwa familia zao zinaroga lakini siku 2 au 3 uwa muone kama wataendelea kuuwa mbwa hao. inauma serikal uweniiiiii mnatuchosha

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 2 місяці тому

      Panya road tu ndy wanauliwa tena pasikuwa na uhakika wanawafata majumbani lkn wahalifu km hawa wakikamatwa na kidhibiti bado utasikia wapo nje mfano waliomuua mtoto alibino hd leo wanatembezwa tu hukumu hakuna aliyechoma picha ya Rais kahukumiwa ndani ya wiki moja

  • @nicksonnewton1540
    @nicksonnewton1540 2 місяці тому

    naombeni kuliza ivi mbagala ni wilaya

  • @EmanuelMbandi
    @EmanuelMbandi 2 місяці тому

    Matatizo nyie selikali mnayataka.nanukuu shida ni kwamba nyie Malaya mnawakamata badala yake hayo mambo ya kijinga ndo hayo.tumieni hakili

  • @MikaelJoseph-od4nj
    @MikaelJoseph-od4nj 2 місяці тому +1

    Boda boda wanini wakati watoto wanafwatwa shuleni .SHULE ZOTE ZINGEFUNGWA ILI WATOTO WABAKI SALAMA