Subscriber 116k Akitaka gari tumchangie Tukitaka gari atuombee Tanzania akiri ni nywere Yeremia 17 (Biblia Takatifu) ¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯ ⁵ Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana. ⁶ Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. ⁷ Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake.
Huoni watu wakifunguliwa apo, kwani gari ni lazima umchangie kutoa ni hiyari ya mtu kwani uliona wapi akimshitaki mtu asiye toa, chajabu ata iyo mistari ya bibilia unayo cot shetani anaijua mpoke Yesu uwe huru
Amina
Naomba unifungue na mimi katika vifungo vya kichawi walichoniloga
Thank u Lord
Yesu kiristo
Yesu ni mwema amina
Amen Amen Amen
Yesu wakuhani musa naomba unikumbuke na mm kwenye familia yangu
Mungu akulinde maombi yake
Naomba unifungue na mm maisha yangu nateseka sana
Baba nimm nifungulie maisha yangu
Yesu kristo nashukuru kwa kunifunulia haya nakuja kubwa kuna watu waniloga watatu wanataka kumuuwa nife wafe wao
❤❤❤❤Amen
Nifunguliwe katika jina la yesu
Yesu namimi nikumbuke miminauzaowatumbolangu tumesumbuliwasana nawachawi
Amina 1:42
Amina mungu hakika kwa mungu yote yanawezekana
Amen amen amen
Yesu kristo mwana wa Mungu naomba nifunge kizazi changu kuanzia sasa hivi amina😢
Yesu kristo naomba unifungue na mimi maisha yangu
amina baba mungu akuweke kwaajili yetu nifunguliwe mimi na familia yangu
Amen nikombolewe na mm
Amen familia yangu ifunguliwe kiuchumi Kwa jina la yesu
ameni familiya yangu ifunguliwe nanguvu zawa kichawi
Nimefunguliwa kwajinalayesu christo wangomeni
Amen n'a mimi nikombolewe kwa kila mutandao wa giza unao nitatiza
Mungu nisaidie mm pamoja na familia yangu amen
Nakombolewa na damu ya Yesu
Amina baba naomba nisaidienamimk
Yesu na Mimi nahitaji uponyaji kutoka kwako
Jamanii mungu ainuliweee
Mtandao wa joka Kila mahara kwenye family yangu vunjika ,katika ,kufaa Kwa damu ya YESU naomba MUNGU unisaidie
Baba naomb unifungue kweny kifungo cha kichawi
Kwenye Azam TV ntampata chanel gan
Amen 🙏
Amen
Yesu naomba nikomboe mm na family yangu
Niombee na mm maisha yangu nafanya kaz lkn pesa hazinissaidii kabisa nahitaji maombi
Mung mwema
Naomba uniombe Maisha yangu sio munziri
Mungu nisaidie na mm
Nimefunguliwa na kupokea miujiza kwa jina la yesu christo
Nifunguliwe kizazi changu in the name of Jesus
Nakombolewa na damu ya yesu
Kwa jina la yesu
Lipuka kwa Motöoo kwa Jina la Yesu Christus aliye hayi
Amen Amen Amen nikapoke uponyaji katika korodani zangu?
Nifunguliwe kwa jina la yesu
Jaman huyo nabiii anapatikna wapi???
Achia kwa Motorola kwa Damu ya Yesu.
Amina baba hata Mimi minachangoto Kama ya huyu dada nisaidie
Mungu anaweza
Namimi natamani aniombee namii
Amina naomba nami nifunguriwe tumbo langu rinanisumbua sana
Tunaomba namba yamuchungaji
Subscriber 116k
Akitaka gari tumchangie
Tukitaka gari atuombee
Tanzania akiri ni nywere
Yeremia 17 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁵ Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha Bwana.
⁶ Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu.
⁷ Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea Bwana, Ambaye Bwana ni tumaini lake.
Huoni watu wakifunguliwa apo, kwani gari ni lazima umchangie kutoa ni hiyari ya mtu kwani uliona wapi akimshitaki mtu asiye toa, chajabu ata iyo mistari ya bibilia unayo cot shetani anaijua mpoke Yesu uwe huru
😂😂😂😂😂hata sielewi nacheka Nini
Amina