NILIANZA KUFUNDISHA CHINI YA MTI HUU MIAKA YA SABINI MPAKA LEO SILIPWI, SHEKH RAMADHANI SUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 107

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 3 роки тому +3

    Inalilah wainailayh rajighon shekh wetu Allah akulaze pema pepon inshallah

    • @miriumloyy8968
      @miriumloyy8968 3 роки тому +1

      Sisi sote kwake tutarejea ,tumuombee tuu innallillah wainnaillayh rajioun,kondoa Leo nimajonzi tu

  • @mwanakombopongwe8244
    @mwanakombopongwe8244 4 роки тому +4

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHAALLAH

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 3 роки тому +5

    Innalillahi Wainnailaihi Raajiuun Sheikh Allah akujaalie kilalenyekheri huko uliko Allahumma Amiin🙏

  • @khadijahussain6092
    @khadijahussain6092 3 роки тому +4

    Allah akupe makaz mema sheikh wetu 😭

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 4 роки тому +6

    Allah awahifadh masheikh wetu. Allah awalipe khery.

  • @ummyzee6247
    @ummyzee6247 4 роки тому +4

    Allah atupe umoja ummati muhammad

  • @munaisa5850
    @munaisa5850 2 роки тому +1

    Inalilahi wainailehirjiun Mungu amuweke peponi

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 4 роки тому +3

    ibada iyooo kwa masufi

  • @kinesakn4723
    @kinesakn4723 3 роки тому +4

    Mambo yameshikiliwa na Allah sio badawiy

  • @YasinRamadhani-ek8df
    @YasinRamadhani-ek8df 2 місяці тому

    Mashaalah

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 роки тому

    Inalilahi waina ileihi rajiun Allah akurehemu sheikh wetu

  • @habibuhaji-j8t
    @habibuhaji-j8t Місяць тому

    ya subhana llah watu wanaabudia miti sasa ee

  • @sofinajuma9284
    @sofinajuma9284 3 роки тому

    mashallah mungu awaweke mzidi kutuongoza. hii tanga jamn

  • @maatumkadhi1760
    @maatumkadhi1760 4 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 4 роки тому +5

    Tatizo la sisi Watanzania tunakua na tabia ya kubishana bila kutaja vigezo vilivyofanya Tanzania ifikie "UCHUMI WA KATI" Mimi binafsi nimesomea mambo ya uchumi nijiuliza hawa watu kila kukicha Watanzania walio wengi wanawaita Wazungu "MABEBERU". Watu walioko kwenye Bank ya Dunia walio wengi ni Wazungu. Inakuwaje wanasema tumefikia "UCHUMI WA KATI" wakati Dola 1 ya Marekani ni shillingi za Tanzania 2310/=, Paundi 1 ya Uingereza ni shilingi za Tanzania 2290/=, Euro 1 ni shilingi za Tanzania 2740/=, Dinari 1 ya Kuwaiti ni shilingi za Tanzania 7600/=, Dila 1 ya Marekani ni sawa na Kenyan shillings 100/=, sasa niapeni vigezo vilivyotumika kuiweka Tanzania kwenye uchumi wa Kati wakati Watanzania walio wengi kipato chao ni chini ya dola 1 ya Marekani kwa siku. Wazungu ni watu wenye mbinu nyingi sana katika kuweka hadharani maendeleo ya nchi. Wanajua kabisa wakiambia Serekali ya Tanzania "UCHUMI WENU UMEKUWA" wasomi na wana Siasa watapinga tena kwa hoja. Majukwaa yote ya Siasa za Tanzania wapinzani wanapinga kwa nguvu zote na sababu kubwa ni kwamba hali za Watanzania ni mbaya sana. Miradi mikubwa ya kuzalisha kipato imekufa vikiwemo viwanda, Uwekezaji wa ndani na nje, Mashirika ya Umma yamekufa, Miradi ya vijiji imefilisika, Wafanya biashara wakubwa wamefilisika na wengine wamekimbia nchi. Magufuli amefanya kazi kubwa kwa upeo wa fikra zake lakini akasahau ajira za Watanzania na ndizo zinamtesa sasa hivi. Wapinzani wamevuna wanachama wengi sana kutoka ndani ya CCM, wale unaoona wanarudi CCM toka upinzani ni watu waoga wanaosikiliza hotuba za mheshimiwa Magufuli ambazo mara nyingi amekuwa akijisahau kuwa aliwahi kusema tena hadharani kuwa "MAENDELEO HAYANA CHAMA". Akarudi akajisahau kule Musoma akasema "MKICHAGUA MADIWANI NA WABUNGE WA UPINZANI SITAPELEKA MAENDELEO MAENEO HAYO". Kiongozi wa nchi ukisha kuwa na mtoto wa Tumboni na Mgongoni umeigawa nchi na ndio maana sasa hivi kuna watu wa Magufuli, Tundu Lissu, Zitto Kabwe, na wengineo. Angalia mikutano ya Wana Siasa ilivyoigawa nchi. Mheshimiwa Magufuli anaenda na Wana Muziki kwenye mikutano yake sasa huwezi jua watu wamefuata Sera zake au Muziki. Lissu akiwa kwenye Mikutano yake amejaza watu huwezi jua wanamfuata
    kwa Sera zake au kwa mshangao kuwa Binadamu atakuaje hai huku amepigwa risasi 16 wakati Tembo anapigwa risasi moja tu na kufa. Watanzania wanajiuliza nchi yenye utwala wa kisheria binadamu anapoteaje, Waandishi wa habari wanapoteaje, Raia wa kawaida wenye mapenzi na vyama vya upinzani wanapoteaje, Wafanya Biashara wenye mapenzi na upinzani wanafilisiwa. Madakitari wametishwa wasitoe ripoti za COVID19, Tanzania na Kenya nani wanajua kwenda Kanisani na Misikitini. Katika watu wenye mpaka mrefu sana ni Kenya na Tanzania. Kutoka Lake Victoria mpaka Indian Ocean. Wafanyakazi hawaongezewi mishahara, Wafanyakazi wametumbuliwa sana na kufukuzwa bila kulipwa stahiki zao. Rais wa nchi anaweka ndugu zake HAZINA ya umma ili akichukua fedha isijulikane. Rais wa nchi ni mbaguzi, Mkabila, Mnafiki, Mwongo, Jeuri, Katili, uliona wapi Rais anatoa amri watu Wachome vifaranga. Wasimamizi wa uchaguzi Mwaka huu watashuhudia makubwa Tanzania. Kama Tume haitatenda haki na kusimamia uchaguzi kwa umakini mkubwa sana Wataingiza Tanzania kwenye uvunjifu wa amani na hili litasababisha baadhi ya viongozi au Tume yenyewe kufikishwa Mhakama ya Kimataifa ICJ. "SAFARI HII CCM WAJIPIME"

    • @mohamedkikale7241
      @mohamedkikale7241 4 роки тому

      Yaaan pamoja nakusoma uchumi bado huwezi kufafanua maana haris ya uchumi, katika taifa kichwa kimejaa mitazamo yakisiasa tu! Kwa taarifa yako chapa kazi hiyo elimu uliyosoma update kuisaidia jamii yako, ni ushauri tu!

    • @faidhakadangu7876
      @faidhakadangu7876 4 роки тому

      acha siasa ndugu iitumie elimu yako kuisaidia jamii kila mtu atakwenda na amali zake.

    • @zuhurahussein5132
      @zuhurahussein5132 4 роки тому +1

      Mshamba kweli wew kwanza uku umefuata nin?? Alaf unakuja kutuletea siasa uku

    • @suleimanabdalla4594
      @suleimanabdalla4594 4 роки тому

      @@zuhurahussein5132 ushirikina huu upowazi mkiambiwa mnabisha

    • @suleimanabdalla4594
      @suleimanabdalla4594 4 роки тому

      @@faidhakadangu7876 kweli hujakua mchanungu Mana unatabaruku kwa mjiti Allah akuongoze

  • @aisharamadhani2156
    @aisharamadhani2156 4 роки тому +2

    Allaah awaongoze ktk njia ya sawa

  • @ibrahimdabo7163
    @ibrahimdabo7163 3 роки тому

    baraka zote zinatoka kwa mwenyezi mungu siyo mtii shehe umebuma duuuu

  • @AbdullahAbdullah-fz9xg
    @AbdullahAbdullah-fz9xg 4 роки тому +4

    Hapo ni wapi!??

  • @wardakaanynyi6948
    @wardakaanynyi6948 3 роки тому

    Mashaallah shekhe wetu

  • @biggestnasritv2601
    @biggestnasritv2601 4 роки тому +1

    BIGGEST BOSS NASRI

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 роки тому

    Innalilah wainna illah rajiuon Safari yake iwe ya Kheir chuma kimeondoka Polee kwa wanafunzi wotee wa sungu walipo

  • @jamillahramadhani147
    @jamillahramadhani147 4 роки тому +1

    maashaallah

  • @ankaldally2734
    @ankaldally2734 3 роки тому +1

    Shirk kubwa mzee anaongelea. Zindukeni ndg zangu elimu ni nuru na ujinga ni kiza. Mzee aache ushirikina

  • @hassancharo1496
    @hassancharo1496 4 роки тому

    MASHA ALLAH HIZI NDIYO DALILI ZA MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE MWENYEZI MUNGU ANAPO MPENDA MJA WAKE HUWAMBIYA MALAIKA MM NA MPENDA MJAWANGU FULAN KWAIVYO NA NYINYI MPENDENI NA MALAIKA NAO HUZUNGUKA KWA WANA DAMU NAO WAMPENDE MTU YULE

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 4 роки тому +2

    SubhnaAllah

    • @hajimahingika6921
      @hajimahingika6921 4 роки тому

      Umejiwekea kwa ajili ya maisha ya kesho Akhera Sheikh.

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 роки тому +2

    Mashallah

  • @mbarakamsangawina8123
    @mbarakamsangawina8123 4 роки тому +1

    subha llah

  • @abuunutsamuonlinetv2703
    @abuunutsamuonlinetv2703 3 роки тому +1

    Kwahiyo mnaomba dua kwa baraka za mti sio za alie umba mti huu ni mtihani sana

    • @ngushy8798
      @ngushy8798 2 роки тому

      Huy mzee shehe mpungaaa

  • @abuuaisha3582
    @abuuaisha3582 Рік тому

    اجعل لنا ذات أنواط كما لهم ذات أنواط.....الله المستعان

  • @maalimndago4663
    @maalimndago4663 3 роки тому

    Sheikh sungu ni rajulun hai na mait mola akueke pema

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Рік тому

    Matatizo ya Aqiida n shida kubwa sana

  • @hassmanmchura4284
    @hassmanmchura4284 3 роки тому

    Kwa we uliyejaaliwa kuwa ktk dn hi yahaq sema ALHANDULILAH mana n raha tele haswa ukiwaunaijuwa dini vzur.

  • @selemanwaziri7653
    @selemanwaziri7653 3 роки тому

    Inshaalah

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 роки тому

    Maashallah maashallah maashallah

  • @hilalalhabsi2047
    @hilalalhabsi2047 2 роки тому +1

    Sauti za bomba za wanawake zimeingiliana umenifanya akili yangu iudhike sijaelewa kitu

  • @khairotv2802
    @khairotv2802 3 роки тому

    KUMBE ALIKUWA anawaaga kabisa huyu MZEE Allah amrehemuu SHEIKH sungu

  • @kinotasontravel3883
    @kinotasontravel3883 3 роки тому

    Allah Akbar

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 3 роки тому

    Maskin innalillah wainna ilayhi rajioun daah imeniumaa sana aisee😭😭😭😭😭

  • @mresamresamresa5622
    @mresamresamresa5622 3 роки тому

    Inalillah wainnalillahi rajighuna

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 роки тому

      Allah amraham na amueke pema penye wema, Amiin

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 4 роки тому +1

    we mzee umri uwo bado unafanya shirki

  • @fatualetoya5066
    @fatualetoya5066 3 роки тому +1

    🇹🇿💖🧡

  • @signtv9848
    @signtv9848 4 роки тому

    Kwa Baraka za mti huu
    Subhana Lah

    • @ukwasiukakasi4363
      @ukwasiukakasi4363 4 роки тому +3

      Maalim hakuna shirki hapo maana ameelezea kwa undani maendeleo ya elimu yaliyopatikana toka mwanzo alipoanza kufundisha chini ya mti huu miaka ya sabini Allah ameijaalia elmu chini ya kivuli cha mti huu ikiwa ni shirki kusema baraka za mti huu vipi tukisema kwa baraka za mtume muhammad s.a.w au kwa baraka za waja wema waliotangulia?

    • @nyatya199
      @nyatya199 4 роки тому

      Haifai kusema kwa baraka ya fulani hata kama ni nabii balii hili halina dalili nalasawa nikusema kwa barka za matendo mema uliyoyafanya hili linadalili

    • @ukwasiukakasi4363
      @ukwasiukakasi4363 4 роки тому

      @@nyatya199 nipe elmu zaid wazazi wanatoa baraka kwa watoto wao imekaaje hii

    • @msafiriduwiya7765
      @msafiriduwiya7765 4 роки тому

      @@ukwasiukakasi4363 baraka sio za wazazi wazazi Yao dua inayokubaliwa haraka baraka hutoa MOLA WA VIUMBE

  • @abubakariabubakarimafitq783
    @abubakariabubakarimafitq783 4 роки тому

    Hasan libasri allah amurehem anasema. ibilisi anapenda sana bidaa kama hizi kuliko maaswi. Kuliko pombe,wizi,zinaa,

    • @hassancharo1496
      @hassancharo1496 3 роки тому

      Abubakar punguza kejeli dhidi ya waisilam we nzako hawa wana swali wana funga ramadhani wana hijji na wanaisoma korani ujione wewe msafi

  • @abuumaryam1628
    @abuumaryam1628 3 роки тому +1

    Watu wa bidaaa wana shida sana

  • @mwanaimachayoa8217
    @mwanaimachayoa8217 2 роки тому

    Maneno ya shirki vipi utabaruku kwenye mti

  • @mwachidzopoposalimpopo8890
    @mwachidzopoposalimpopo8890 3 роки тому

    Inshallah mungu yuko n heri zk

  • @malakiyazidu0080
    @malakiyazidu0080 3 роки тому

    mashaallah

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 роки тому

    Hatarisana kutabaruku kupitia mti

  • @sharifgojo878
    @sharifgojo878 4 роки тому +1

    haaaaa yani unatabaruk kwa mti hiyo shirki iliyo wazi kabisa na shekh samir upo dah!!!!!!?

    • @bongojoonlinetv977
      @bongojoonlinetv977 4 роки тому

      Kwan nn maana ya kutabaruku?

    • @nyatya199
      @nyatya199 4 роки тому

      Mtihan saana

    • @solemba595
      @solemba595 3 роки тому

      Nafikiri aliteleza kidogo, Mti hauwezi kuwa na baraka, Mwenyewezi Mungu ndio anatoabaraka

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 4 роки тому

    aliekuumba hakutoshi fungua aya 18 suratu yunus utapata jibu lako

  • @hawaheri5833
    @hawaheri5833 3 роки тому

    Laiti ingekuwa maiti inarudi ingerudi wa kilio changu lakun hakikusaidia

  • @muhidinali8180
    @muhidinali8180 3 роки тому

    Eti tunatabarukunamtihuu hatarikubwasana

  • @abubakariabubakarimafitq783
    @abubakariabubakarimafitq783 4 роки тому +1

    Tatizo masange kunaushirikina sana tena mkubwa nahiyo nishirki allah atuongoze

  • @mohamedchorah8514
    @mohamedchorah8514 4 роки тому

    .

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 3 роки тому

    Usiombe kwabaraka zamti huo niushirikina

    • @minakhamiskhamisi6193
      @minakhamiskhamisi6193 3 роки тому

      Yn ndgu yg weeeewe ach nikupe pole Maan hujui ukiongeacho kwa acha mzeee wetu safri yake iwe salm

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 2 роки тому

      @@minakhamiskhamisi6193 hakuna usalama hapo kwenye ushirikina ni khatari sana, eti badawy ananufaisha, subhaanallah. Allah ametakasika na hayo mnayomshirikisha nayo

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 4 роки тому

    unataka baraka kwa mti

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 3 роки тому

      Kasome.

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 3 роки тому

      Sio Kunufaika Tu. Unaweza Hata Kudhurika. Ukumbuke Nabii Adam Alahi Salamu. Alitolewa Peponi Kwa Kula Tunda

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 2 роки тому

      @@ramangadu6451 ndio aliuomba barka?

  • @abuusuleym3676
    @abuusuleym3676 4 роки тому

    kwnza huyo badawiy ni nan ww

  • @abdallahhalphani7439
    @abdallahhalphani7439 3 роки тому

    Anasema alikua hana chochote.. lakini kwa Baraka za mti huu mambo yanakwenda vizur.... ndugu zangu hii si ni shirki ya waz kabisaa

    • @adenmikoba7506
      @adenmikoba7506 3 роки тому

      shirk ipi

    • @Quranonlycenter
      @Quranonlycenter 3 роки тому

      @@ahmadabdulrahman7675 baba eeeh wapinga tuu wakutukuzwa ni Allah na ndie mwenye kufanya KILA jambo ..sio kuwaeka masharifu juu ni binadamu kama sisi na wako na mapungufu kama sisi.Tufuate aliotuamrisha Mungu na Mtume wake..

    • @Quranonlycenter
      @Quranonlycenter 3 роки тому

      Hebu tuelimishe na sisi kuna khalifa gani akafanya zefe na kusoma maulid????mambo mengine ni kutumia akili zetu sio kusukumwa kama gunia... Inshaallah Mungu atuongoze njia ilionyooka..Ameeeen.

  • @asafsulayman9375
    @asafsulayman9375 3 роки тому

    Itaku Lwah We mzushi Mushrik, tubu kabla ya kuanga Dunia, Rudi katika Kitabu na Sunna

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 4 роки тому

    Huyu shekh mbona simuelewii.mti mti mambogani hy.

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 роки тому

      ukitumia akili yako uwez kumuelewa lkn ukitumia hekma na busara unaweza kumwelewa

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 2 роки тому

      @@bennymochiwa4800 Allah akikupa hekima jua amekupa kheir nyingi, moja wapo ni kuwa na ikhlaas kwenye matendo, sasa ushirikina na bidaa ni kheir na hikma hizo?

  • @ismailhassan5662
    @ismailhassan5662 4 роки тому

    Aisee sijui hawa niwaisilam wa ainagan bidaah imewajaa.

    • @nyatya199
      @nyatya199 4 роки тому +1

      Hawatoacha watu sunna ispokuwa wataifuata bidaa

    • @saidhassanahmed4
      @saidhassanahmed4 4 роки тому

      nenda ukasome kwanza afu ndio useme bidaa watu awakurupuki kila kitu wanafanya na sababu

    • @ismailhassan5662
      @ismailhassan5662 4 роки тому

      @@saidhassanahmed4 njoo markaz pongwe tanga ujionee uislam wa sawasawa usiekua nauzushi tunafanya yale ya kitabu nasuna sio kumfata shee kamanyie shew akisema leo tupige madufu mnaenda akisema twenden makaburin mnaenda sijui zafa mara muridu mh haya ndo bidaa hayakuepo wakat wa mtume s.a.w.

    • @abubakariabubakarimafitq783
      @abubakariabubakarimafitq783 4 роки тому

      Allah allah awaongoze hawa watu wabidaa.

    • @nyatya199
      @nyatya199 4 роки тому

      @@saidhassanahmed4 hakuna ushahidi wa hili kama unawo tuma namba yako nikupigie unipatie ushahidi huo, haya mambo niyakisufisufi tu hamna lolote zaidi yakufuata matashi ya nafsi

  • @mwanakombopongwe8244
    @mwanakombopongwe8244 4 роки тому +2

    MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAKALLAH KHEIR INSHAALLAH

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 4 роки тому

    Masha allah

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 4 роки тому +2

    SubhnaAllah

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 роки тому

    Maashaallah