KIREDIO: ''NILIWAHI KUFANYA CHALLENGE WAPENZI WAKAACHANA / EX NI TAKATAKA /NILIKUWA NALALA CHINI ''.
Вставка
- Опубліковано 7 сер 2023
- Mchekeshaji na mtengenezaji wa vichekesho kupitia mitandao ya kijamii anaefahamika kama Kiredio amefunguka juu ya mengi aliowahi kukutana nayo kwenye kazi yake
Aidha amesema kuwa aliwahi kufanya Challenge ikasababisha wapenzi wakarudiana - Спорт
Me nafurahi kwa sababu wapenzi wengi wanadanganyana Sana sanaaaaaaa Bora waachane kuliko kuendelea kudanganywa tu
Point🤙
Kweli kabisa upendo wakinafki
Mapenzi Ulaya Bongo Biashara kila Mpenzi Ana Mpenzi Wake.! 😂😂
Unawasiliana vip na x wako labda mkutane njian salam sawa ila sio mawasiliano ya simu
Hahahaha haka kajamaa kajanja kajanja sanaa😂
Kiredio proud of u💯 utafika mbali 🤌🏾🤌🏾🤌🏾 keep going
Nimekupenda sana...Mangi keep it up....
Kiredio ...ashaanza presha.....angekukataa sijui ingekuwaje?
Kweli bro kaskazini hatokagi fara
Kipenz cha wanachuo, big up San kak
Kiredio ni kijana wa hovyo yaani anasema kuwa na mpenzi imempunguzia kuwa na wanawake wengi it means anao ila sio wengi😂😂😂
Kiredio we atar
Kiredio namie nataka nikupe no za shem wako nijue kama mie nk peke yang
bongo mapenzi biashara tu kila mtu yupo kibiashara
Kiredio huku rombo je
😂😂😂
Kiredio umeongea mm pia siwez kurudian na X
Me siwezi rudiana na x ata siku moja
Itategemeana