Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao. "If one day the Europeans praise me, know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
Sisi wenyewe waafrika tunabaguana tunaitana wahamiaji haramu ndani ya afrika!! Na wazungu Wana furahia sisi kubaguana ili kwao iwe rahisi kuingia afrika kwa kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka wao kwa maslahi yao. Ni lini afrika tutapendana na kuwa kitu kimoja? Labda afrika tupate viongozi Kama akina ibrahimu Traore wa bukina faso, asimi goita wenye uchungu na afrika.
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
Toka lini mzungu akawa na mapenzi na langi nyeusi wao wapo kwajili ya mali zetu sio mtu mweusi pia shobo zetu muda mwingine zinatuponza Ndio maana mimi sjaenda kwenye uo mkutano
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
Kama Zanzibar tu wana amini waarabu ni ndugu zao 😏 sisi wabongo😢 et ni wanyamwezi wakuja ww unashangaa bieden😂😂 hakuna jipya hapo mbona trump alishawahi kusema nikipata uraisi ✊ nitahakikisha wa Africa wote waishio marekani wanaludi kwenye nchi zao za asiri🧐 na bado kwenye uchaguzi lily wayne akampigia kampeni😭 waafrika sisi huwa hatupendani tunabaguana wabinafsi 🎉 sasa nani atatupenda😭😭😭😭
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
Safi. napenda sana watubague kabisa hadi mkome kujipendekeza kwa wazungu mnashindwa kusimamia taifa lenu la africa, pumbavu kabisa anger piga na mabao kabisa
na hao ndo wanaotufanya Africa tugombane sisi kwa sisi inaonekana wazi kabisa kupitia vitu vingi Mwenyezi Mungu katupa vingi ambavyo wao hawana thats why hawatupendi watu weusi na depite of all things bado hatuonesh kuwachukia Thawabu yetu ipo
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
@@josephkiwale374 Quran 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo: 1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi. 2. Wasome kwenye disciplines tofauti 3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti 4. Watengeneze wanasiasa wengi 5. Waongeze idadi yao nk
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye Kwa mtazamo huu Mimi naamini Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
Hakuna aliebora kwa Allah s w ispokua anaemuabudu yeye tu kama unaamini like
Sis wenye tushindwa kujitambua nakujiani kama tuna uwezo wakijiongoza wenywe tunaona kama bila ya wao sisi hatuwezi nizaifu mkubwa wakifikra na kiimani husband viongozi walioko madarakani
Huyo Allah ana ubora gani?
Utakuja kujua inshaallaah 😢
@@vincentcharles4385Chunga maneno yako...
Subiri ufe.utajuaujui.lnshaAllah@@vincentcharles4385
Hakuna Siku Mzungu Atapenda Mtu Mweusi,Hata Akikupenda Huwa Na Kachuki Fulani,Ogopa Mzungu 😭😭😭😡
Nikweli kabisa wazungu hawawezi kutupenda kamwe inatia uchungu huyo binti
Nikweli haujakosea
Never happen
Siyo wote
Kwaiyo jaymondi anabaguliwa kumbe😂
Kama unaamini sote ni wa Mungu mmoja gonga like
Sisi na wazungu ni tofauti kabisa sisi ndio Wana wa Muumba wa kweli SEMA tumepoteza asili kupitia dini
hayo mambo ya mungu ndyo yanayo tuludisha nyuma tumeinginiziwa imani za hovyo na wageni kuacha ualisia wetu wa kiafrica na kujikuta kupokea imani za watu ambazo zinatufanya mpaka leo tumekuwa wajinga na kuwa kichaka cha maladhi
@@cryptoboy_5jidanganye siku ukifa utajua vzr
@@francejuya1248hakuna mzungu wala china sie sote ni wa Mwenyezi Mungu lkn wazungu wanajiona wao wajuzi
@@cryptoboy_5 sasa hapa dini imeingiaje? Watu waliozoea kwenda kwa waganga utawajua tu!😅
Hainishtui kiasi cha kunifanya niwaze sana kuhusiana na hii ishu coz I know I’m the best in front of my creator and I believe that there’s a reason behind why I were created black, so I’m very proud to be the way I am and I’ll never ever regret to, Code ni moja tu akikubagua mbague.
Yaani nilikua nasikiaga ubaguzi leo nimeuona live
Aki nimeumia roho 😢😢😢
Mimi siwenzi kushangaa kwa ngonzi nyeupe kuhusu ubanguzi Kama sisi kwa sisi tunabaguana wafrica kwa nn isewe kwa nzungu Africa tuungane
@@BunzarMarco inashangaza aisi waafrika tunabaguana wenyewe kwa wenyewe tunaitana wahamiaji haramu ndani ya afrika.
Hawa wazungu hawawezi kutupenda sisi watu weusi, ni sisi tuu ndio tunajipendekeza kwao.
"If one day the Europeans praise me,
know that I have betrayed you" very great quotations By Samora Machel.
tutafanyaje sasa wakati ndio wametufanya tuwategemee kwa kila kitu😢😢
@@santinoplacid7571 wao ndio wanaotutegemea waafrica kwa kila kitu, madini na rasilimali nyengine nyingi, ni muda kwa viongozi wetu kubadili muelekeo kwa manufaa yetu nasio manufaa ya mabeberu
Uyoo..so Raisi ni mubaguzi wa Rangi.....🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ hafai kuwa mtawala
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,una historia yake.
Sasa eti ata Biden mwenye upungufu wa kumbukumbu analeta ubaguzi duuh. Mbona rais mwenyewe mgonjwa jmn
Ifike wakat cc watu weusi tujitambue km tunabaguliwa tusilazimishe kujichanganya nao Ni bora zaid tuish maisha yetu mana haitokuja tokezea ubaguzi WA watu weusi kuondoka duniani kwasababu hata watoto wao huwasomesha namna ya kutubagua
Acha kwenda kwenye makanisa na misikiti yaho kwaza
@@frocoissango8973Makanisa yao yako wapi?
Kinachotakiwa ni kujikomboa kifikra Kwanza...Ukipenda kusaidiwa ujiandae na kibaguliwa
Sisi watu weusi Mungu alivyo tuumba ndio tunao jali utu wa watu wote dada your still strong don't be so sad
Kabisa tuna roho ya upendo❤
Hakuna chakushagaa hapo wazungu wote hawatupendi sisi weusi
Wazungu hawawapendi hata waarabu sio muafrika tu
🎉🎉🎉🎉
@@RitbayRitbay🎉🎉🎉🎉kabisaaa
Tunashabikia sana wazungu tena ao ao ndio wanasema Human Rights ila ubaguzi kwaio umezidi
Kutoka Gikombaa Nairobi leo sijakusikia kaka ulivyotokea nimefurahi sana big up family ya sns
VIPI GEN-Z
KESHO WATAKIWASH🔥?
@@allahisone6386 hapana Kesho ni sikuku ya sabasaba
Gikomba nyie weziiiii sana 😂😂😂😂
@@Officialjidaa-sn9cs ndo akili yako imekutuma ivyo
@@Brunotarimo10 si kweli Kwan uongo
Yaah ,its not their home, Africa is, Africa is the paradise, Black is beauty always.
The black queen never give up, I know you feel so sad because of this but stand firm be strong coz there's a day the truth will reveal it. I know you have a lot of love with your president but the president Biden make rejected to you. But I promise you all African and worldwide appreciate you and we love you forever.
Sisi wenyewe waafrika tunabaguana tunaitana wahamiaji haramu ndani ya afrika!! Na wazungu Wana furahia sisi kubaguana ili kwao iwe rahisi kuingia afrika kwa kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka wao kwa maslahi yao. Ni lini afrika tutapendana na kuwa kitu kimoja? Labda afrika tupate viongozi Kama akina ibrahimu Traore wa bukina faso, asimi goita wenye uchungu na afrika.
Daah, kweli bhana hawa watu hawatupend. Imenihuzunisha
Jmn mrembo mzuri mwamfrica yaani anapendeza kazidi hawa weupe kama vile wana ugonjwa wa ukoma. Dada mweusi mzuriii sana, angalia tu macho yake tu jmn mtoto huyu dahhh!! Wazungu jmn Mbinguni hawataingia!! Sisi sote ni wa Mungu mmoja. Amen.
Hii inaumiza sana tujifunze kupitia hili na inshallah mwenyezi Mungu analiona hili
Dah!nimejisikia vibaya sana
Haya Ruto umeona kaz hiy adi unapendwa ujue wana shida zao..Na huy mbibi wa kizungu kama ndio alimuanzishia kiran yan alianz kumbagua kitambo...mie ushaur kama upo huko we tafuta pesa urud mambo yao waachie ila nk vyema kaongeza kura kwa trump hasa kwa watu weusi walioumizwa na hilo...trump naye keshapata hoja ya kumkaanga na kufanyia kampeni
So proud of you my African queen
Kweli kabisa ,amebagua huyu mdada mweusi ,amekosea sana
mbaguz huyu jamaaa. ameisha
kabisa
Hakuna watu wabaguzi kma hawa ngozi nyeupe sijui wanajiona kina nani hapa dunian aiseee hata mimi nishakosa kaz dubai sababu tu ni rangi n mweusi🙌🏾🙌🏾
😢😢😢😢😢
Nipo Dubai mwaka 7 sijaona Hilo
Tembea kweny matamasha sio upo dubai unalal kwenye kochi siku nzima
@@AmusedCatfish-hd8wo hayajakukuta tulia
@@abdulrazackabbas2634 mwambie huyo haya mamb yapo ukisikia mwenzio unaona n uzishi likikukuta sasa
Aisee sns mpo vizur sana
Daah😢😢😢😢😢
Kwa kweli imeniuma hadi machozi
Ubaguzi Marekani haujaanza leo,, una historia yake
Ndo ache shobo za wazungu yy ashajiona kima anakwenda vipi kwa nguruwe mweupe ndo akome
Kweli huwa wanajishauwa sana
Tutadhalilishwa sana tu na kubaguliwa kwasababu viongoz wetu wa Africa hawajielewi wanahis bila wazungu Hakuna maisha
Ukiangalia vizur hapo huyo dada amenza kunyapaliwa na hicho kibibi Cha kizungu kisha mkubwa wao akamalizia na huyu dada ya nn kujibebesha mbango wa mtu mpuuz kama huyu
Hata Trum mbaguz na hata huku kwetu pia kuna ubaguz wabongo hujifanya wako juu na wapemba na wao usiseme waunguja tuko kimya tunawatizama tu
dah 😢
Dah inauma sana
Dah kuna aibu nyingine zinaumiza tena asa kwa mtu unaemuamini.
Yani i feel her pain mim peke nimeumia utadhan ni mim kampa mfadhaiko mbele za watu…. Ila na wao wakome
Toka lini mzungu akawa na mapenzi na langi nyeusi wao wapo kwajili ya mali zetu sio mtu mweusi pia shobo zetu muda mwingine zinatuponza Ndio maana mimi sjaenda kwenye uo mkutano
Shida sio dada tatizo ni mfumo wetu wa akili katika uso wa Dunia hata ningekuwa mm ingetokea hivo tu asiwaze kwetu ss ni shujaa wetu dada mwenyewe mrembo mzuri tu jaman❤
Kama Zanzibar tu wana amini waarabu ni ndugu zao 😏 sisi wabongo😢 et ni wanyamwezi wakuja ww unashangaa bieden😂😂 hakuna jipya hapo mbona trump alishawahi kusema nikipata uraisi ✊ nitahakikisha wa Africa wote waishio marekani wanaludi kwenye nchi zao za asiri🧐 na bado kwenye uchaguzi lily wayne akampigia kampeni😭 waafrika sisi huwa hatupendani tunabaguana wabinafsi 🎉 sasa nani atatupenda😭😭😭😭
Daah so sad.. nimelia sana
Mungu anawaumbua 2
Daah 😢
Is not a first time from him
nimeumia sana kwa kweli huyu jamaa anaroho mbaya sana sana
Hapo nuksi kaanza hicho kibibi kichawi , kushoto mwa huyu msichana, innalillah wainna illaihu raajiun" msiba mkubwa kwa joe
Imenikwsza kwakweli 😢✌️
Very Sad 😢, Namkumbuka Jk Nyerere alisema… wazungu ni….ma….bwa! Kwa kweli
Ni ssi tu huwa tunajipendekeza kwa hawa watu weupe,sio wazungu tu hata wahindi,waarabu wachina,wote wanajiona wao bora zaidi na wenye bahati zaidi yetu.SISI TUKUBALI TU KIBAYA ZAIDI HAWA WATU MUNGU AMEWABARIKI MALI HAPO KIBIRI NDO KINAZIDI ZAIDI TUFANYE IBADA SANA ILI FUNGU LETU TULIKUTE KWA MUNGU WETU ILA HAPA DUNIANI HAWA WATU WANATAMANI WANGETUONDOA WATU WOTE WEUSI WABAKI WAO TU.
😢😢😢😢Be strong my girl✊✊and be courage. We will win as the black😍
Safi. napenda sana watubague kabisa hadi mkome kujipendekeza kwa wazungu mnashindwa kusimamia taifa lenu la africa, pumbavu kabisa anger piga na mabao kabisa
na hao ndo wanaotufanya Africa tugombane sisi kwa sisi inaonekana wazi kabisa kupitia vitu vingi Mwenyezi Mungu katupa vingi ambavyo wao hawana thats why hawatupendi watu weusi na depite of all things bado hatuonesh kuwachukia Thawabu yetu ipo
Too bad for us as Africans and our race of people in USA
Inauma sana😢
INAUMA
😭😭😭
Daa 😭😭😭
Inauma ila mm nikizani mtu akiwa na umri uyo sasa anajuwa kama akuna tofauti wa mtu na ungine kumbe ukubwa njinga 😢😢
Inaumiza sana😢
Daaah 😢😢😢
Nlijionea kanisani kuna mtoto aliyekuwa anabatizwa msimamizi alikuwa mweusi akaambiwa sogea kasubirie nje alipotolewa nje na mwenye mtoto akatoka nae na baadhi ya wengine wakatoka nusu ya kanisa walisusia ile ibada wakapanda magari yao wakaondoka hii kitu ipo kila sehem kwa wazungu wabaguzi sana😢
Daaaaaaaa
Nimeumia
Kababu kasenge haka!
Ucjali kana kufa tu kesho kakaktane na adhabu za mungu kibri chote kitaisha😢😢😢
Da kawaida kwa wazungu ila wija Africa tuna washibokea sana
Kujipendekeza Kwao sana
Ilibidi sisi tuwachukie wazungu na tuwabague ila kuna mahali wametuwahi ila katika kuumbwa sisi tumebarikiwa sana trust
Atajua hajui
Dhu so sad the girl smiled at him and he purposely ignored her😢 so sad
Ni muda sasa watu weusi warudi AFRIKA ✍️✍️✍️✍️
Kufanya nini? huku huku tutabanana nao tu. Mpaka kieleweke
@@zuricakes6817 🤣🤣🤣
@@zuricakes6817 😁 ila wewe
@@zuricakes6817😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wabaki ukouko wakija uku watatuharibia nchi zetu na mambo yao ya ajabu #Gun violence
Baguzi halitoboi this time
Hata huyo trump mbaguzi waamerika their in trouble 😂
Yani Mimi miaka yote nilikuwa shabiki wa malekani niliipendasana sikujua kwamba malekani inafadhili ushoga ,inachonganisha watu wacongo, wapalestina wanauwawa,naislaeli kwasababu yamalekani, somalia nivita ,Burundi,Rwanda , kote nishida nayote haya nimalekani Yani tangu nijue hayo natamani malekani isambalatike Leo mana kumbe ndio inayo leta ubaguzi na uchafu wote mungu tusaidie sisi watu weusi tuwe juuzaidi ya Hawa wazungu
aisee kaka wewe ni mbunifu Sana kwenye Sanaa umeiwasilisha vizur Sana
I think the black American people should think twice of how to support the politician. It is so sad.
Aiseee mshenz sana huyu
Wazungu wabaguzi mnooo 😢😢😢😢😢😢😢
Vizee vimezeeka vinaenda kufa ndomana havijali watu sey no to rashizim lachesism
Anayempenda Allah tu ndio kafaulu, Allah hambagui mtu ila kwa madhabi yake usipotubu
Huyo Dada amebaguliwa
Inaumiza kweli naskia najiskiya kama ni mimi
Baiden raisi mpumbavu kweli 😭😭😭😭😭😭 kwakini uyo asi mfokehe pale kwanini nina bango lako linandikwa jina lako alafu unafanya ubaguzi inge trend zaidi sn 😢😢😢😢😢
Du!nimemuonea huruma huyu dada Jamani 😮😮 bora nilizaliwa Africa kwenye asili yetu.
Nyoooo. Kutwa kuzungumzia uchaguz wa Marekan.. Wa Tanzania aaah
Ndomana uwislam umenyosha tutasimama kwenye swala hija aijalishi we mzungu au mweusi .na mbora katika cc anaefanya mazuri kwa Allah
Uislam ndo haki
Hata ukristo haukuruhusu ubaguzi,ubaguzi nitabia ya watu weupe wote dhidi ya mtu mweusi,warabu na wahindi ni wabaguz xana pia,hakuna Cha uislam Wala ukristo
@@josephkiwale374 hao mashoga wazungu wamezid ubaguz mashetani hayo
@@josephkiwale374Nipe andiko basi kutoka kwenye Biblia inayothibitisha hivyo, na mimi nakupa kutoka katika Quran 49:13
@@josephkiwale374
Quran 49:13. Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari
I feel even to cry 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Na yy kafat nn apo
🤣🤣🤣hapo sasa,hata nami najiuliza hivo...
😂😂😂 kapata alichokifuata
Watu weusi bwana munaniudhi Kila kitu kwenu ni ubaguzi
ubajuzi unakera na unahuzunisha
Hawa weusi wanatakiwa wafanye yafuatayo:
1. Wasimpigie kura huyu magazine na badala yake wampigie wa Republican ingawaje wao ni wabaya zaidi.
2. Wasome kwenye disciplines tofauti
3. Watafute pesa kwenye maeneo tofauti
4. Watengeneze wanasiasa wengi
5. Waongeze idadi yao nk
Yaan ingekua ni Mimi,huyo mbibi kwanza ningemtia ngumi ya uso ..
Pole sana dada yangu mweusi wewe ni wathamami kubwa badili tu eneo apo sio
Alafu Ruto na weusi wake woote eti Biden kampa kiti chake akiikaliye
Kwa mtazamo huu Mimi naamini
Bila shaka kile kiti hakikuwa chenyewe na kama kitakuwa ni chenyewe baada ya Ruto kukiikaliya kilitupwa
Yaani hawa watu weupe bado sana wanatuona Sisi sio watu lkin chaajabu kabisa hawa viongozi wetu wa afrika ni kama mbwa wakitupiwa tu mifupa ni kutingisha mikia big up sana magufuli,Gaddafi,Mandela na wengine pumzikeni kwa Aman nyie ndio viongozi mlikuwa mnajielewa
Inauma zaid sn😢! Ila nimeangalia kwaupande wa pili jinsi raisi wa nchi kubwa kama marekani anavyoweza kukumbatiana na kupiga picha na wakereketwa wa chama chake kirahisi namna hii, sijui ingekuwa raisi wetu kama ingewezekana mbele ya walinzi wake
4:16 Hafai kua Rais tena Hana Maana kwa kizazi Cha sasa. Nimemfuta Kuanzia sasa. Aibu imrudie Biden mara 100
Daaah
Hivi inanikumbusha civil Rights movement 1960 huko marekani. Wamarekani weusi waliteseka kwa miaka mingi Sana. Walibaguliwa kwa Mambo mengi. Wakachoka wakaamua kulianzisha. Wakaazisha civil Rights movement wakinakili baadhi ya vifungu kutoka kwa katiba yao ya marekani. Nawakumbuka mashujaa wao Kama Martin Luther King, Fred shuttlesworth, Rosa Packs,, wanasheria Kama Autherin Lucy,Thurgood Marshall na Arthur Shores.
Dah inaumiza sana😢
Mimi hata nkiambwa jckie kama upo nyumban lakn cjsahau mimi n Nan 😂😂😂😂
😢duuh had analiaa😢
Mababu zetu walizingua sana kuwauza ndugu zetu uko ulaya ona weusi wanavyobaguliwa pole sana weusi wenzetu mlioko uko ma ulaya marekani Asia kikubwa dua MUNGU yu pamoja nanyie
I can't even watch twice
Am feeling sad
😮
Turudi African tujenge African yetu, lah sivyo tutaendelea kubaguliwa kwasababu hatuna umoja.
Daah inauma sana wahuni