WEMA SEPETU MCHAWI SHABIUSI❤️ PART 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • BONGO MOVIE New Film SHABIUSI Part One Full HD video OG...Washiriki KOKO BYANKO WEMA SEPETU BUMPU KIMAZI,JAQLINE WOLPER,MAMA KANUMBA Na wakali wengine wengi wamo ktk Film Hiii Ya SHABIUS pata uhondo Kwa Maumivu ya mapenzi,Ubaguzi Na Siri Za WACHAWI na MAJINI Na ROHOI Za Watenda Mabaya kufichuliwa na ECHUPEE MTU WA MUNGU Katika FILAM Hii Ya SHABIUSI ENJOY👍👍👍🔥🔥🔥 from Tanzania vijana wa magufulu For More Cont: +255718458457 +255652724436 or +255657862080 ,Email Sunzukoko@gmail.com INSTAGRAM KOKO_BYANKO,FACEBOOK KOKO BYANKO PII

КОМЕНТАРІ • 1,2 тис.

  • @peterjulius3177
    @peterjulius3177 4 роки тому +25

    Jamani kumbe na mama kanumba anakipaji cha uigizaji kama mwane kanumba hongeara sana mama kanumba gonga like

  • @safinamdee3825
    @safinamdee3825 5 років тому +51

    Kiukweli wema na wolper mpo vizuri sana kwa mwendo huu 2tafika mbàl kàma uñakubaliana na mm like japo

  • @vanessaaisha705
    @vanessaaisha705 5 років тому +5

    Sauti tu ndo mumeharibu ndunguzanguni ila mumecheza Poa kbs 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @mariambille4172
    @mariambille4172 4 роки тому +30

    Kama upo hapa for Madam Sepetu, gonga like....... From 255+

  • @lemaoman1760
    @lemaoman1760 Рік тому +5

    Sijui nimechekewa wap daa hui muvi kali sana mashallah ♥ 💖 😍 ❤

  • @celinesamson5708
    @celinesamson5708 5 років тому +3

    nimempenda uyo mama anaemfokea mwanae kala ela ya chuo yani kaect vzr kabisa kavaa huusika vzr

  • @subirashomary6006
    @subirashomary6006 5 років тому +2

    Iko Powa Sana hongereni San wasanii wetu Umeanza vizuri imeisha vizuri pia tumejifunza mengi kupitia hii maana wengine wanajidai wachamungu wachungaji na mashekhe wakubwa kwenye nyumba za Ibadan Kumbe wao ndo wanaingoza kumkufuru Mungu,, leteni nyingine nzuri Kama hii naamin soko la bongo litapendwa zaid kuliko za nje

    • @Kokomediagroup
      @Kokomediagroup  5 років тому +1

      ahsante sana kwa maoni yako mazuri yanayo niongezea ujuzi zaidi wa kuandika stori zitakazo kuchimbua matatizo yanayo zunguka ktk jamii zetu

  • @naturalme254
    @naturalme254 5 років тому +21

    Mama sakina woyeee👏👏😁 anafaa ashirikishwe kwa kila bongo movie

  • @doreenchris198
    @doreenchris198 5 років тому +5

    Km unaona sio vzr kuwadharau maskin na km unaona usiku ni mida ya wanga gonga like LA nguvu hap

  • @dayanalema2351
    @dayanalema2351 5 років тому +15

    Koko byanko umetisha nimemuona best actress sepetu ninaemkubali❤❤

  • @fredittoofficial7805
    @fredittoofficial7805 5 років тому +3

    safi sana koko kwa rudisha bongo muvi tena endeleeni kukaza

  • @jescarugely3643
    @jescarugely3643 5 років тому +5

    Kweli wachawi wanakazi aiseee.. Yan uyo anafurahia kuwanga zis iz so fantastic

  • @princessemelda6858
    @princessemelda6858 5 років тому +10

    Kama umeikubali hii muvi gonga like tujuane jooooh

  • @ceciliagunda4150
    @ceciliagunda4150 5 років тому +12

    Dah movie nzur sana...endeleen kutoa kaz nzur zenye uhalisia zaid

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 5 років тому +1

    Mgonjwa anaumwa alaf unasimamisha gari ujinga ulioje....apa ndo mnafeli kabisaaa.....movie kali cjawah kuangalia bongo movie muda kaz nzuri vitu vidogovidogo sana umenishawisha tena kuanza kuangalia bongo muvi

  • @binzuadaudi7772
    @binzuadaudi7772 5 років тому +36

    Movie nzuri tokea kanumba afariki hii ndo ya kwanza kuangalia Mungu awaongoze mzidi kutupa mafundisho mema yatakayotujenga kitabia

  • @halimasssomar8793
    @halimasssomar8793 5 років тому +37

    Siangalii movie mpk nisome comments..nikisikia nzuri .... Ngoma ina tambaaA,,,,,bravo all the actors.my god....awafikishe mbali

  • @yusraabdalla4848
    @yusraabdalla4848 5 років тому +21

    Cjawah kuipita movie ya wema bila kuangalia....who's one else ?😘😘😘😘😘

  • @shuuabdallah6921
    @shuuabdallah6921 Рік тому +2

    Ohh mashallah kumbe wolper kajistiri zamani ❤

  • @kocharama3293
    @kocharama3293 3 роки тому +13

    Walper umetisha Sana
    gonga like Kama muvi umeipenda

  • @odettebishana572
    @odettebishana572 5 років тому +13

    Daah movie tamu bongo movie imefufuka ongereni sana wapendwa

  • @marrymarry7574
    @marrymarry7574 5 років тому +3

    Nzuri kweli lakini kwanini gabo akucheza umujamani mi nimekumiss❤️❤️❤️❤️ sana kwenye movie kama izi

    • @Kokomediagroup
      @Kokomediagroup  5 років тому

      huu ni mwanzo tuu usijali wote utawaina kwenye kazi zinazo zinazo kuja

    • @marrymarry7574
      @marrymarry7574 5 років тому

      Koko Byanko Official Asante kaka yangu nitashukuru sana

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 3 роки тому +1

    Koko amekubali kwa nguvu oyeeee pole sana koko

  • @hemedimejumaa7369
    @hemedimejumaa7369 5 років тому +49

    Kwenye sinema za kiswahili wabongo hoye eeeeeeeh .😍😍

  • @zammaulidi7507
    @zammaulidi7507 5 років тому +3

    Sauti wanafunga kusudi watu wasizum wakaiba lakini bonge la mchezo sijaona movie kama hii bongo kisha mashallah nimelia Sana inaumiza kweli mchawi so binadam kabisaa na wapo katika maisha yetu kila siku mungu awauwe

  • @mayahisack1753
    @mayahisack1753 4 роки тому +2

    Gud job Wema ake ni bonge la movie kwan ni maisha yetu hasa na wengi yametukuta haya ktk familia zetu hawa viumbe hawakosekan ni kucmama tu kwa Mungu wallahi

  • @marymvungi7207
    @marymvungi7207 5 років тому +5

    Yaani koko unaweza Mungu akuinue zaidi tumepata kanumba mwingine jamani

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 5 років тому +34

    Jamani namkubali @koko👍🏼,
    @wolper❣,@wema❣na wengine muko poa movie 👍🏼👍🏼👍🏼

  • @eishermohamedi8058
    @eishermohamedi8058 5 років тому +391

    Worpa ukiwa na mimba unapendeza sana 😍😍 gonga like kama unakubaliana na mimi

  • @tolekabizneztv
    @tolekabizneztv 5 років тому +1

    Kazi.safiiiiiiiii

  • @bishamsamyombe7586
    @bishamsamyombe7586 5 років тому +6

    Kwakweli muv nzuri saan

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 5 років тому +54

    Wolpa umeniliza kwa kwel siwez kujizuia hii movie ni kali mno imetisha hongeren sana kumbe na sisi bongo tunaweza yaan imekua kama movie ya marehem Kanumba

  • @timelessbeauty5677
    @timelessbeauty5677 5 років тому +13

    Nalia nasijamaluza niko katikati....wooiii machozi itaniisha ..good actress WOLPER

  • @jofreymwalongo894
    @jofreymwalongo894 5 років тому +2

    Nzuri nakupenda WOLPER

  • @tofikiallymgenitofiki2254
    @tofikiallymgenitofiki2254 5 років тому +8

    Mama sakina nakukubali sanaaaa

  • @neemamabiki4496
    @neemamabiki4496 5 років тому +8

    daaah!hii movie Kali sana tangu afe kanumba hii ni movie ya kwanza ambayo ni Kali nawapenda sana

  • @mariamcrispo8296
    @mariamcrispo8296 5 років тому +24

    Hujawahi kosea wolper nimependa sana kazi hii

  • @jumabajurah6346
    @jumabajurah6346 5 років тому +16

    Nakupenda mama sakina mama koko mama kanumba wolper ..koko..mjomba yani dah picha qaliiii sana hii😜😜

  • @tyeuhsvsy1874
    @tyeuhsvsy1874 5 років тому +56

    Wema na Jack fikieni alipofikia marehemu kanumba kazi nzuri sana jitahidi muinue ile talent yenye imepotea kwa MDA mrefu naona mpaka mama kanumba hapo hongereni

  • @jumaabedy6713
    @jumaabedy6713 5 років тому +2

    ongera kaka mungu akufikishe mbali zaidi

  • @betrecmkwasa9891
    @betrecmkwasa9891 5 років тому +3

    Eeeh bwana wee hapo ss naona mnairudisha bongo mv big up sana Wote mmecheza vzri

  • @idiwachiba8320
    @idiwachiba8320 5 років тому

    Bazuri honore pamoja na waciba Idi kazos wameipenda hiyo movies hunamafuzo sana hata mzee bombe lutambwe hanajuwa hivyo hakiwa Africa tanzania mkoani kigoma Kimbini nyarugusu.

  • @miriamabinery5695
    @miriamabinery5695 5 років тому +3

    aaahahaha airports naina hata watu dege kubwa kasafiri peke yake na amepewa gari kuendesha ,leseni kapata wapi aaahahaha wabongo bana

  • @jossyjosphin2587
    @jossyjosphin2587 5 років тому +15

    Mkenya nimeikubali hii...imeweza

  • @partiedojoshua5215
    @partiedojoshua5215 5 років тому +3

    hahahahah😂😂😂navua nguo mm navuaaaaaaa😂😂😂ataki vuaaaaa🤣😃😃

  • @jojonostress486
    @jojonostress486 4 роки тому +4

    Nimekuwa wamwisho kbs😂😂kama munaludie kusoma cmmnt munipe like

  • @furahajohn660
    @furahajohn660 4 роки тому +1

    Kumbe mnaweza bado afu mnaleta poziii nice move......

  • @angelwilliam2948
    @angelwilliam2948 5 років тому +401

    Jomon saut au mm ndo inazingua kama na ww saut inakta kata weka like

    • @husnamubarack7644
      @husnamubarack7644 5 років тому +3

      Tuko weng

    • @allykihiyo8709
      @allykihiyo8709 5 років тому +4

      Ndio sauti inakata sana hapo ndoutagundua jasili haachi asili

    • @Bongovillagevlogs
      @Bongovillagevlogs 5 років тому +3

      Support me
      ua-cam.com/video/XX6acAMUjQI/v-deo.html

    • @saudaissa7397
      @saudaissa7397 5 років тому +3

      Ah saut inakata tuu hata mm

    • @antfaridaarsen2941
      @antfaridaarsen2941 5 років тому +4

      nikweli kabxa move zuri lakini haina sauti raha ya move sauti

  • @sadrazahor6851
    @sadrazahor6851 5 років тому +6

    nimeipenda na inamafunzo mazuri asante washiliki

  • @ibrahimgovenks4400
    @ibrahimgovenks4400 4 роки тому +2

    daah! movie zuri sana hongera jameni

  • @margaretsam6696
    @margaretsam6696 5 років тому +23

    Jacky amependeza na hiyo mimba kweli..+971 watching

  • @vailethmagoma4555
    @vailethmagoma4555 4 роки тому +4

    Nimeipenda sana wema na jack wamejua kunifurahisha gonga like kama umeipenda

  • @abinellymhawi5722
    @abinellymhawi5722 5 років тому +9

    Kazi nzuriii hongereni sanaaaa nawapenda bure

  • @kizondomoses1105
    @kizondomoses1105 3 роки тому +2

    Daaaaaah hii movie nzuri ilakuliponiboa niinakata sauti

  • @youngsupertz8571
    @youngsupertz8571 5 років тому +2

    Brooo umetishaaa

  • @edwinmwangi5924
    @edwinmwangi5924 5 років тому +7

    mama sakina umenongesha Sana hongera

  • @lucasmadose8494
    @lucasmadose8494 5 років тому +7

    mme jitahidi San Kama Jackline worp nampenda Sana una igiza vizuli sana

  • @stawapaul7908
    @stawapaul7908 5 років тому +36

    mama sakin jicho 😂😂😂daah mov nzr sana ila 😭😭😭😭😭😭melia sana 😢😢😢😢jamn wachaw wakoje eet ooh lord plz prtct us 🙏🙏🙏😖😖😖😖

    • @UlimboTV
      @UlimboTV 5 років тому +1

      bonge LA kazi brother

    • @nurfatabdul9460
      @nurfatabdul9460 4 роки тому

      Stawa Paul mama sakina ninoma 😂😂😂😂

  • @oliverhonorath3402
    @oliverhonorath3402 5 років тому +6

    Koko nakupenda bule 💛💛💛👍👍

  • @mohamedjimia3535
    @mohamedjimia3535 5 років тому +8

    wolper bonge las star huyu dem noma balaaa

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 5 років тому +9

    Yaan bongo movie me apo tu axa ndege imetoka ethiopia ad tz inamaana hyo ndege ilimbeba mtu mmoja tu au apa mmepoteza kwakwel😀😀😀😀😀

  • @raudhanaly1352
    @raudhanaly1352 5 років тому +2

    wolper umetisha umecheza uzuri

  • @irenebapfinda104
    @irenebapfinda104 5 років тому +2

    Daaah tumezungukwa namabaya mengi il kwa uwezo wa Mungu tunaishiii

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 5 років тому +619

    kama upendi wachawi nipe like basi tujuane.

    • @jordanfromyt2861
      @jordanfromyt2861 5 років тому +4

      Josephine Makungu wachawi nonsense useless ppl

    • @zainabhassan4511
      @zainabhassan4511 5 років тому +4

      Josephine Makungu
      mi nawachukia sanaaaa hata ningekua na uwezo ningewatokomezea mbali

    • @allylugome1762
      @allylugome1762 5 років тому +1

      Sipendi uchawi san

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому +2

      Ya Josephine wajina wa dada yangu siwapendi wachawi kwasababu wanaludisha nyuma maendeleo

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 5 років тому +2

      Mama sakina anavyosema hivyo amekuwa mama eti maisha yanichanganye na wewe unichanganye

  • @deborahjm8890
    @deborahjm8890 5 років тому +24

    Izo ndo movie ninazo tafuta kweli ohhh 🙏 Asante sana from Canada 🇨🇦🇹🇿🇨🇩🔥🙏🙏

  • @asmatabdallah1368
    @asmatabdallah1368 3 роки тому +1

    Na mm ndio nashangaa Kwan Ana kula kilo ngap 😂😂😂😂😂😂😂huyo koko 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @mwanaidd1926
    @mwanaidd1926 5 років тому +103

    Hii move nimeipenda kama nawe umeipenda gonga like twende p1

  • @user-sq4cd8or4m
    @user-sq4cd8or4m 5 років тому +57

    mama sakina kanogesha sana move much love😁😁😂😂😙😍😍

  • @neemaqueen8143
    @neemaqueen8143 5 років тому +4

    Nice movie from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩👈❤️🔐

  • @isabelaleonard1691
    @isabelaleonard1691 4 роки тому

    Woyoooo mchaga mwenzangu wolper Kama unamkubali wolper dondosha like halo chini

  • @mullamtupa9116
    @mullamtupa9116 5 років тому +1

    Haaa move zakibongo azikosi kasolo saut

  • @thabithmrisho6212
    @thabithmrisho6212 5 років тому +9

    Muvi nzr sana shida sauti jamani.

  • @kaniyahiouise1474
    @kaniyahiouise1474 5 років тому +3

    *Movie nzuri Sana*

  • @beritydausoni4071
    @beritydausoni4071 3 роки тому +2

    Moves iko bomba leke kama umekubari

  • @selinamwende4653
    @selinamwende4653 5 років тому +2

    I lyk dis muv to de maximum

  • @hkfreeboy9533
    @hkfreeboy9533 5 років тому +6

    Nzuriiiii aiseeee I like it

  • @naimaali6452
    @naimaali6452 5 років тому +4

    Koko upo vizuri inajua Sana utafika mbali kwa nguvu za mungu Kaka kanumba tutamkumbuka daima

  • @kambachaku8390
    @kambachaku8390 5 років тому +5

    bonge moja La movie sio mchezo

  • @UlimboTV
    @UlimboTV 5 років тому +2

    konk Bonge LA Move

  • @sabinasanguli4037
    @sabinasanguli4037 5 років тому +7

    Mamake kanumba....nampenda mie bure tu

    • @zenajuma5632
      @zenajuma5632 3 роки тому

      Movie ni nzuri sana tatizo ni sauti inakatika katika

  • @tinajulius4396
    @tinajulius4396 5 років тому +6

    atimae leo nimeiyona 😘😘😘😘😍😘😍😘😍😘😍😘😍😘😘😍😍

  • @falesiboazi3067
    @falesiboazi3067 5 років тому +1

    Mchaw noma sana

  • @zamdahassan8989
    @zamdahassan8989 5 років тому +1

    Daah nimelia saana

  • @elizabethkanini54
    @elizabethkanini54 5 років тому +7

    Koko the star love u much fro Kenya

  • @agustrimoy4337
    @agustrimoy4337 5 років тому +9

    Nasomaga comment kwanza mwenzenu

  • @francineciza1888
    @francineciza1888 4 роки тому +2

    Jamani nafurahi kumuona mamakanumba kwenyemovie

  • @philipinanicolaus1910
    @philipinanicolaus1910 5 років тому +1

    Hongera wema nakupenda sn

  • @nataliaapolin6750
    @nataliaapolin6750 5 років тому +3

    Mov nzur sana tena ina mafunzo mazur kwa jamiii hongeren sana washiriki.

  • @angelherman5464
    @angelherman5464 5 років тому +28

    wolper jaman unapendezaa ukiwa na mimba mpenz your s swety

  • @sapna_bebe8704
    @sapna_bebe8704 4 роки тому +2

    Wow move Kali kinoma nimeipenda Koko mm binafs naomba utuletee kigogo kingine kikal zaid
    We Kama umeikubal hii move naomba u like na u comment

    • @Kokomediagroup
      @Kokomediagroup  4 роки тому +1

      Asante Sana nimekuoa umalikia moyoni mwangu🤩🤩🤩🤩🤩😘😘😘

    • @Kokomediagroup
      @Kokomediagroup  4 роки тому +1

      Naaamini ntafanya kitu cha tofauti aise msichoke kuni support 🙏🙏🙏🙏

    • @sapna_bebe8704
      @sapna_bebe8704 4 роки тому +1

      @@Kokomediagroup tunamsubil utuletee vitu vingine konk ili tuzid kubirudka na kaz zako salut kwako kipenz Chang mung azid kukusimamia inshallah

    • @Kokomediagroup
      @Kokomediagroup  4 роки тому

      @@sapna_bebe8704 ondoa shaka kitu kinachokuja ichi ni chamtoto

  • @epifaniasawaki3315
    @epifaniasawaki3315 5 років тому +1

    Movie nzuri jmni ....wolper mm nakupenda jamni ila koko unamsimamo jmni👏👏👏👏👏

  • @moonmonaj7735
    @moonmonaj7735 4 роки тому +36

    Kwenye sauti apo nmeboreka sana kama na wewe umeboreka gonga like apo

  • @teamchujio6590
    @teamchujio6590 5 років тому +5

    Mungu azidi kukubariki it is a nice movie, nice story, well done my dear

  • @tajaelmichael227
    @tajaelmichael227 4 роки тому +1

    Jamani Mungu atuongoze kuchagua mchumba linataka moyo ushauri mwingine unakutoa pazuri na kukuweka pabaya

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 3 роки тому +1

    Pole sana sakina yoooo masikini wa mungu kuambiwa hiyo habari kwa hiyo hali ya sakina it is very sad

  • @pelinangoda2164
    @pelinangoda2164 4 роки тому +3

    Bongo movie zetu........ 😍😍😍😍

  • @elastomaluko7186
    @elastomaluko7186 5 років тому +38

    Love wema Sepetu love jackirine Worlper love mama kanumba mmetuletea kitu kizuri xana

  • @ibrahimbirikunzira2130
    @ibrahimbirikunzira2130 5 років тому +1

    vipi tena sauti bwana

  • @jolamasagile3622
    @jolamasagile3622 3 роки тому +2

    Movie hii nimeipenda sanaaa

  • @mwanahamisimashaka9636
    @mwanahamisimashaka9636 5 років тому +9

    Kama na we umeguswa na hii move like bac