Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Yaani Mimi nimefurahi Sana kukuonandocta cheni kwenye harusinhiyo mbaka imeeenda lakini uzeeki hongera zako Mimi nakufaham tangu nipo darsa la 1 mwaka 1996 henzi zenu za kina bishaga bi as heiga hongera Kaka uzeeki allah akuhifadhi
Daaa hongera broo big up sanaaa kitambo tangu tuko watoto uko kwenye gem safi sanaaa nimefurah sanaaa broo kupata Indozment kama hizo ila we so mshamba ushaenda mjini kitambo sanaaaaa
Kwa Bahati nzuri kazi yako Dr.Cheni inajiuza, tunakufahamu kitambo sana kuwa uko vzr sn, na Mama kama mama alikufahamu na aliifahamu kazi yako ya MC kitambo sana before hata hajawa Makamu wa Rais na hata sasa Rais wetu, big up sn Dr.Cheni Kwa kazi nzuri, ulistahili kupata kazi hiyo.
Hongera sana Dr cheni ,Tatizo la ma,MC wengine Huwa wanajisahau na kuongea mambo ya kuwavunjia heshima wanafamilia na maharusi Kwa ujumla ,bila ya wao kujua ,,lakini huyu jamaa anaongea vizuri bila kumvunjia mtu heshima 🙏🙏🙏
Kusherehesha tu umeanza kutupatia ushauri ma Mc 😂, usituchanganye NB: Utani tu, umefanya kazi Kubwa Kaka! Japo kuna mda nilikua naona unatetemeka kidogo 😂😂 lakini You deserve Interviews
Shida yenu watanganyika mnauthamini sana mungano sio mbaya lakini jali chako kama sisi zanzibar mm hata niende ughaibuni nitajitambulisha kama mzanzibari sio mtanzania sasa wewe itenge tu tanganyika yako ufazaike na mungano huu wa dhuluma
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Nimeipenda hii interview hongereni sana
Umeongea kwa hisia na ukweli ,hongera sana
Hongera sana binti wa mheshimiwa raisi. Umetunza heshma ya familia ya mheshimiwa raisi. Mwenyezi Mungu akawe mlinzi wa ndoa yako na mumeo.Amina
Yaani Mimi nimefurahi Sana kukuonandocta cheni kwenye harusinhiyo mbaka imeeenda lakini uzeeki hongera zako Mimi nakufaham tangu nipo darsa la 1 mwaka 1996 henzi zenu za kina bishaga bi as heiga hongera Kaka uzeeki allah akuhifadhi
Hongera sana Mc Mahsein Awadh/Dr Cheni.
Hongera sana mimi ni mpenzi wa Docta Cheni kwa kipindi kikubwa zamani sana namfurahia sana
Daaa hongera broo big up sanaaa kitambo tangu tuko watoto uko kwenye gem safi sanaaa nimefurah sanaaa broo kupata Indozment kama hizo ila we so mshamba ushaenda mjini kitambo sanaaaaa
Honge sana mc cheni hakika Mungu ameku ketisha na wakuu
Hongera Kka kazi nzuriboooo
Kwa Bahati nzuri kazi yako Dr.Cheni inajiuza, tunakufahamu kitambo sana kuwa uko vzr sn, na Mama kama mama alikufahamu na aliifahamu kazi yako ya MC kitambo sana before hata hajawa Makamu wa Rais na hata sasa Rais wetu, big up sn Dr.Cheni Kwa kazi nzuri, ulistahili kupata kazi hiyo.
Huyu jamaaa ni legend wa kweli sio akina dudu baya na afande sele marasta walevi
Keep it up ✌
Umeweza mpaka umeweza tenaa
Mtangazaji hufai kivazi
Umesema kwelli sana maraisi wetu ni waungwana sana Balkis na Mfalme Yussuf
Mashallah..mashallah..muhsin awadh ni mtu namfatilia..anafanya kazi Kwa uwezo mkubwa na adabu..Allah akuongoze ktk kazi zako ziende mbele.
MASHALLAH,,ANDAA KITABU
CHAKO
Good interview brother Dr Cheni
Hongera sana Dr cheni ,Tatizo la ma,MC wengine Huwa wanajisahau na kuongea mambo ya kuwavunjia heshima wanafamilia na maharusi Kwa ujumla ,bila ya wao kujua ,,lakini huyu jamaa anaongea vizuri bila kumvunjia mtu heshima 🙏🙏🙏
Mmm
l
Mtangazaji kivazi chako kimekosa maadili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dini na uungwana heshima vimembeba
Mtangazaji umevaa kaptura mbele ya mwanaume mwenzako, dalili mbaya kwa kijana hiyo
Samahani ndugu mtangazaji hilo vazi lako linanifanya nishindwe kusikiliza 🙄🙄🙄 natamani ukarudi kuvaa nguo ingine 🙄
❤
safi lkn ww umekula hela utaongea mengi
❤❤❤
Du mtangazaji hichokipensi sicho
Kipaji hakipotei
Good job 🎉
Huyu mwamba ni hatari sana nakumbuka movie yake alicheza kama mchawi aisee ilikuwa bonge la muvi alikitwa mkuki afu akauchomoa 🎉🎉🎉
Mtangazaji toa kikaputula chako hapo
Sisi wote watoto wa Mama
Ukweli mtangazaji wa pink hana adabu
Tuleteen taarifa za makonda yupo wapi bhnaaaaaaaa
Hahahaha
Chen hazeeki
Kwahiyo
@@HanifaOman-oo4pl Na wewe jifunze u-MC upunguze kukasirikia mafanikio ya wengine
Kiufupi sherehe ya wanene ilikuwa haingii mwepesi apo ni mwendo wa wazitoo tuu
Musimlaumu mtangazaji mara ni bwabwa
Duu tumefunga ndowa tena haya tueleze mke nani na mume nani
Kusherehesha tu umeanza kutupatia ushauri ma Mc 😂, usituchanganye
NB: Utani tu, umefanya kazi Kubwa Kaka! Japo kuna mda nilikua naona unatetemeka kidogo 😂😂 lakini You deserve Interviews
km wivu flan hv naona khaa Dr Chen yuko vzr sina shakha nae kabisa
Na wewe mtangazaji,kwani huyo mtoto wa Mzee Ruksa ni rais wa nchi gani wakati sisi Tanganyika na Zanzibar tumefunga ndoa na rais wetu ni Samia😂
Shida yenu watanganyika mnauthamini sana mungano sio mbaya lakini jali chako kama sisi zanzibar mm hata niende ughaibuni nitajitambulisha kama mzanzibari sio mtanzania sasa wewe itenge tu tanganyika yako ufazaike na mungano huu wa dhuluma
Jina linawakera
Wewe ni msaliti, Zanzibar ni Africa siyo mali ya magaidi@@hajiameir8688
Akiliyako Iko matakoni
Cheni unatuzibia
Niko ufarasa unajuwa Sana tena san
Picha huwa inaongea, mpiga picha hii tafrija ni ya mama samia na mwanae?au.mbona
Etiratiba ya mama ni ngumu😂😂😂
Ww fundi
Mtangazaji suruali kipande rangi pink vipi kulikoni? Afu Dr. Cheni rais mstafu karume na wajina wapo walikuepo mbona hujawarecognize
Wa nn wale
watangazaji😂sikuhizi😂miyeyusho sana kavaa nini sasa😂😂
Yani ni upuuzi
Mchele
Wajinga wajinga tu yaan 😂😂😂
Wana suport hao 😂😂😂
Pink
Mtangazaji uvae suruali.Nasio vibukta mapaja nje studio! Alafu umejicreem mapaja soft huo sio utamaduni wetu
Mjinga sana huyu
Uko sahihi ndugu huyu mwehu hana adabu itakuwaje mtangazaji uvae vikaptula yaani anafaa kuzabwa makofi mwehu huyu
Ulikuwa unataka yawe na michirizi hayo mapaja
@@mfanisifoundation6904😂😂😂🇬🇧
Vitu vingine sili mbona unatoa vp kaka
Uelewa wake ni.mdogo hakuhitaji hata kufanya interview
Kwan hapo umeckua siri gani kwamba acngeiongea