MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Kwa hiyo Mkapa na Magufuli walikua wabaya ndo maana wamekufa?damu zao zina wasumbua ndo maana mnaropoka ovyo. Nchi hii ya watu fulani,sio ya watanzania wote
Watu kama kina Bashiru,pole pole na sample zingine kama izo wasichoke kuzungumza ukwel maana mnawakumbusha majukumu yao
Wew mzee una hof na mungu kwhy walio kufa ni wabaya au acha unafki wew
Acha kufulu za kishenzi,nyerere,mkapa na magu wamekufa in maana siyo wema?
makamba kesho kufa
Bashuru usirudi nyuma Hawa wametengeneza kizazi Chao kufaidika katika inchi hii
Bashiru don't giveup'japo peke yetu hatutaweza...lkn M/Mungu atatutetea...songa mbele huctishwe'
My Brother Bashiru hicho ndiyo chama chako ulichochagua vumilia hao ndiyo CCM usichoke kutoa darasa huyo Mzee Makamba hana hoja hana Capacity thinking anafikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 45
Wee Babu chunga kauli yako iyoo inamana Makufuli sio Mzur Unampangiya Mungu sio
Ni Jambo la mda tu ipo siku Mungu atatupatia Magufuli wa pili nchi itakuwa salama kumchafua Magufuli sawa na kuichafua Afrika nzima maana Afrika nzima ilimtaka Magufuli
mzee wa ovyoo huyu anatetea tu ufisadi
kazi ya kunguni na chawa ni kujificha kwenye koti na kuendelea kunyonya damu ..
Kabisaa
Nchii imejaa wanafikiiii
Ccm tumewajua watuwenu wazuri
Ila sisi wazalendo Magufuli ndo mzuri kwetu
Nchi hii inaongozwa na unafk mwanzo mwisho
Kikundi cha watu kinachokula pesa ya umma bila jasho, as simple as that
Mzee mnafiki sana weweee
Kizee Cha hovyooooo Hadi kichefuchefu.
Hahahaha
MNAJAMBAJAMBA TUU KUPAMBANA NA ALIYEKUFA, NYIE HAMTAKUFA.
U Doctor wa kuunga unga 🤣🤣🤣🤣
Tutaona hao wazuri kama wataishi milele! Ukitaka kuruka agana na nyonga na ukitaka kusema kitu fikiri kwanza jamii itafidika vipi na semi zako.
Kwahiyo mzee unataka kusema magufuri mmbaya ndio mana kafa? Innaalilah waina ilaih raijiun
Wasambaa bn
Hawa watu na genge lao ndo wanataka watutawale wao mpaka wajukuu zao ili kulinda mali zetu walizozipora mama kama anajielewa awapotezee tatizo mama anaogopa yasije mkuta kama mpendwa wetu magufuli ila Allah kamsikia makamba na atajibu very aoon
Kwa hakir yako mama is out of that gang none sense
Huyu mzee nae ni chefu sana
mbona anapiga kampeni na kujijengea mazingira
Pumbavu sana eti watu wazuri hawafi
Watu wazur hawafi?????? Dahhhhh siasa mbaya sana.
Hana tena akili uyo mchukulieni tu asha kuwa mtuzima
January makamba ndo naniii, mwamvuli wake ndo huu.
sawa
Huna jipya mzee we tulia 2
Hovyo sana
Wazuri hawafi? Waliokufa ote ni wabaya! Ndo maana milembe ikawekwa Dodoma naomba na Tanga waweke branch
Hii ndiyo nchi pekee yenye watu wanafiki na wabinafisi
Mzee pua yako matundu yake yameelekea Chini'Mungu huchunguza mioyo kifo chaja...
PANGENI VIZURI, ILA PIA MUNGU ANA MPANGO KASHAPANGA
Kabisa mdogo wangu MUNGU yupo Ana Ona
Mzee huyuu atafakari maneno yake. Waliofariki ni wabaya nyie ndo wazuri.
Mzee Makamba nakushauri ustaafu siasa au uandikiwe hotuba . Hii sio mara ya pili ulimi unateleza???
Mzeeee kwel nakama mtoto
Niliiamimi sana CCM na rais wangu samia lakini hawa watu samia wanakuchongea na wananchi hawa ni maadui wa taifa ilitakiwa wazee hawa ilitakiwa uwang'oe uweke uweke damu changa
Ni vema kuwa na maneno machache, kwenye maneno mengi kuna upotovu....
Tutaona mengi miikaijayo
Huyu mzee vipi tena
Mtu mzima ovyo
Mzee, makamba unazeeka vibaya kwakuwa hutakimbukwa kwa lolote bali kwa mabayatu ,mzee mwinyi anasema maisha ya binadamu ni hadithi
Ni abu kakweli anasema waziwazi kuwa ushindi n lazima
Watanzania wanamengi moyoni mwao lakini mungu ndiehakimu wahaki
NJAA MBAYA
Mmmmmh!!!!!!!!!!!.haya.
Ni wakati wake bashiru kukomaa ni pito la kumnowa bashiru hili litampambanuwa yeye ni nani hasa mchumia tumbo au!
Mzee nakuhelewa sana .
Inchiyetu imeshahamishiwa zanzimbar munavyoivurunda itamagu yukojuuyenu
Siunaona sasa mungu hamfichi mnafiki wanaanza kujipambanua wenyewe waliomuuwa makufuli ni wao wenyewe ndio maana wanasema watu wazuri hawafi sisi tunajuwa kizuri hakidumu wao wanageuza mada kwakuwa wanajuwa walichokifanya
Mmh
Mafisadi wote yaani mnajiona kama Nnchi ya Baba yenu 2025 umeagana na mungu utafika
Kabisa kiukweli
Du! Watu wazuri hawafi du!
Ohooo ok
Upuuzi mtupu
Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu
🎉HAyo yanayofa ywa na makamba Dio yaleyale yaliokua yanafanywa na mwinyi kwaajili ya watoto wao mwinyi alifanikiwa Sasa tumwangalie Mzee mkamba jeeatafanikiwa lazima uwe chawa Ili mwanao afanikiwe
Mamuughu kaibu kaya kwetu maa iwe, karibu sana
Huo ndo mwisho wa upeo wako
Kila nafsi itaionja mauti.
Watu wazuri hawafi hata siku Moja
PATACHIMBIKA NYI SUNIRINI TU, TIME WILL TELL.
Kwahy waliokufa walikuw waovu? Kwel na wapumbavu wanazeeka
Mzee wa watu angeanguka akavunjika sijui mngesema nini unamwambia apige mbio mtu wa miaka 80+
Mnafiki huyu mshirikina
Prepare for your kids to eat ….
Wewe hutakufa
Mhhhh
Yaani huu mkutano Ni wa vijembe tu huoni logic.
Ameongea kinyume mzee
Ww mzee acha ujinga mbona unatapatapa ww vp kaa utulie kama ni kutuibia umesha tuibia ww vp magu alikua mbaya et daah ccm inatilisha aibu
Duh Kweli Pumzi Ni Kiburi
Makufuri. Mzuri kwetu. Sisi wanyonge
Alivo mfupi sasa 😅😅
Mzee anapalilia sembe ya mtoto ndio mana anaongea utopolo tu, kazeeka mwili mpaka akili.
Mbona huyu mzee anaonge Kama nguruwe? Tutaona Kama wewe utaishi milele. Bashiru yeye ni mzarendo, mtanzania halisi mwenye uchungu na Nchi yake.
Wazaz wake walikuwa watu wabaya
Wewe mzee mnafiki uliopita kipimo nchi hii umaskini ujinga na maradhi kazi hakuna Maisha magumu
hotuba yako inaangamiza nchi wizi wa kuiba kula na kutangaza aliie shindwa wewe mzee ufahamu kuwa iko siku utaripa maumivu ya watanganyika
Tunasubiri vifo vyenu. Leo mzee mwinyi kafa na yeye ni mmbaya
Yote njaa na unafik kufikia had kukufuru et et wazur hawafi bado zam yako
MLIKUWA WAFUU WAKATI WA DR MAGUFULI, HAKIKA MH. SAMIA AMEWAFUFUA KTK UWANJA WA SIASA...MAISHA YANABADILIKA...JE MSIBA WA SIPIRIAN MSIBA UKOJE KWA SASA? MZEE KINANA NI KIONGOZI, NAPE, JANUARY, HUUWIII...MWANAHARAKATI HURU WA RAIS MAGUFULI,
Magufuli
Hahaha uyu mzeee anajkuta naniii😅
wazee wa namna hii hawafahi kabisa
WEWE ULOSEMA NCHI IMEHAMISHIWA ZANZIBAR USHALEWA AW NDOMNAANZA FOKOFOKO ZENU NASIYO WEWE TUU UNANAWENZIYO MABUMBUMBU ANOTOWA NIMUNGU NA MAMARYU SAMIYA SULUHU M MUNGU KISHAMPA NA KWAULINZI ALOMUWEKEYA M MUNGU NDOMNA ADHIRIKA NA KUJICHOMOZA MMOJAMMOJA YARABI TUNAKUOMBA NA HAKUNA MWENGINE WAKUOMBW ISIPOKUWA WEWE MWENYEZI MUNGU UMZIDISHIYE AFYA NJEMA RAIS WETU AFYA NJEMA YEYE NAFAMILIYA YAKE NAWATANZANIYA WOTE YARABI NAKUOMBA UWENDELEE KUWAFICHUWA WALEWOTE WA NJE YASEREKALI NAWALOKUWAMO KWENYE SEREKALI WEWE NDOUTOJUWA VAKUWAFANYA NAUMLINDE MZEE WETU COMRED YUSSUF MAKAMBA KWAKILA LILILOBAYA NAUMLINDE RAIS WETU WA ZNZ DOKTA HUSEN ALI HASSAN MWINYI KWAKILA BAYA NAWAFEDHEHI WOTE KAMA ULIVOWAFEDHEHI KWA MAMAYETU SAMIYA SULUHU WANOTAKA KUMHARIBIYA KATIKA MIPANGO YAKE YA KUYJENGA ZNZ
Sasa uyu mzee anaongea au anachamba
Mjinga wewe
Wapo kwasababu sio wazalendo ni mafisadi kama wewe
Ovyo sana
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.
Mimi nampeda sana mzee makamba , 💪💪💪💪😘😘😘😘😄🥳💉💉💉
Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu
Bumbuli ni kwenu lakini hujafanya chochote
Mama samia ww ni mcha mungu na ujue ipo siku utakuwa kaburini na utaulizwa kwa yale yote uliyo yatenda mama fanya maamuzi yak kwa hofu ya mungu wala hutazikwa na makamba wala kiongozi yoyote mama chonde chote kuwa na hofu ya mungu cheo ni zamana tu