MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • MZEE MAKAMBA AMCHANA DKT BASHIRU MBELE ya RAIS SAMIA, "WEWE MAGUFULI ALIKUITA JEMBE, TATIZO NINI?"
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 104

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Рік тому

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter5651 Рік тому +14

    Kwa hiyo Mkapa na Magufuli walikua wabaya ndo maana wamekufa?damu zao zina wasumbua ndo maana mnaropoka ovyo. Nchi hii ya watu fulani,sio ya watanzania wote

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Рік тому +12

    Watu kama kina Bashiru,pole pole na sample zingine kama izo wasichoke kuzungumza ukwel maana mnawakumbusha majukumu yao

  • @kadaskarim5081
    @kadaskarim5081 Рік тому +11

    Wew mzee una hof na mungu kwhy walio kufa ni wabaya au acha unafki wew

  • @frbm1729
    @frbm1729 Рік тому +8

    Acha kufulu za kishenzi,nyerere,mkapa na magu wamekufa in maana siyo wema?

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Рік тому +10

    Bashuru usirudi nyuma Hawa wametengeneza kizazi Chao kufaidika katika inchi hii

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Рік тому +3

    Bashiru don't giveup'japo peke yetu hatutaweza...lkn M/Mungu atatutetea...songa mbele huctishwe'

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Рік тому +3

    My Brother Bashiru hicho ndiyo chama chako ulichochagua vumilia hao ndiyo CCM usichoke kutoa darasa huyo Mzee Makamba hana hoja hana Capacity thinking anafikiri watanzania wa leo ni wale wa miaka 45

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 Рік тому +6

    Wee Babu chunga kauli yako iyoo inamana Makufuli sio Mzur Unampangiya Mungu sio

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Рік тому +4

    Ni Jambo la mda tu ipo siku Mungu atatupatia Magufuli wa pili nchi itakuwa salama kumchafua Magufuli sawa na kuichafua Afrika nzima maana Afrika nzima ilimtaka Magufuli

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Рік тому +11

    mzee wa ovyoo huyu anatetea tu ufisadi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Рік тому +6

    kazi ya kunguni na chawa ni kujificha kwenye koti na kuendelea kunyonya damu ..

  • @frbm1729
    @frbm1729 Рік тому +7

    Nchii imejaa wanafikiiii

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 Рік тому +3

    Ccm tumewajua watuwenu wazuri
    Ila sisi wazalendo Magufuli ndo mzuri kwetu

  • @midundotechtz6843
    @midundotechtz6843 Рік тому +5

    Nchi hii inaongozwa na unafk mwanzo mwisho

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb Рік тому +4

    Kikundi cha watu kinachokula pesa ya umma bila jasho, as simple as that

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 5 місяців тому +3

    Mzee mnafiki sana weweee

  • @frbm1729
    @frbm1729 Рік тому +5

    Kizee Cha hovyooooo Hadi kichefuchefu.

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Рік тому +8

    MNAJAMBAJAMBA TUU KUPAMBANA NA ALIYEKUFA, NYIE HAMTAKUFA.

  • @championboy7
    @championboy7 Рік тому +5

    U Doctor wa kuunga unga 🤣🤣🤣🤣

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Рік тому +4

    Tutaona hao wazuri kama wataishi milele! Ukitaka kuruka agana na nyonga na ukitaka kusema kitu fikiri kwanza jamii itafidika vipi na semi zako.

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Рік тому +4

    Kwahiyo mzee unataka kusema magufuri mmbaya ndio mana kafa? Innaalilah waina ilaih raijiun

  • @paulkizushi1868
    @paulkizushi1868 Рік тому +3

    Wasambaa bn

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 Рік тому +2

    Hawa watu na genge lao ndo wanataka watutawale wao mpaka wajukuu zao ili kulinda mali zetu walizozipora mama kama anajielewa awapotezee tatizo mama anaogopa yasije mkuta kama mpendwa wetu magufuli ila Allah kamsikia makamba na atajibu very aoon

    • @shinemakenzi8101
      @shinemakenzi8101 Рік тому

      Kwa hakir yako mama is out of that gang none sense

  • @rabsonchisumo6640
    @rabsonchisumo6640 Рік тому +3

    Huyu mzee nae ni chefu sana

  • @richwaleolundenga8519
    @richwaleolundenga8519 Рік тому +4

    mbona anapiga kampeni na kujijengea mazingira

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Рік тому +5

    Pumbavu sana eti watu wazuri hawafi

  • @chackym4416
    @chackym4416 Рік тому +2

    Watu wazur hawafi?????? Dahhhhh siasa mbaya sana.

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis8188 Рік тому +2

    Hana tena akili uyo mchukulieni tu asha kuwa mtuzima

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Рік тому +2

    January makamba ndo naniii, mwamvuli wake ndo huu.

  • @mundalikope581
    @mundalikope581 Рік тому +2

    sawa

  • @rebeccamagita9174
    @rebeccamagita9174 Рік тому +4

    Huna jipya mzee we tulia 2

  • @annesmatemu4264
    @annesmatemu4264 Рік тому +1

    Hovyo sana

  • @januaryjambo5064
    @januaryjambo5064 Рік тому +2

    Wazuri hawafi? Waliokufa ote ni wabaya! Ndo maana milembe ikawekwa Dodoma naomba na Tanga waweke branch

  • @jamessoke4454
    @jamessoke4454 Рік тому +1

    Hii ndiyo nchi pekee yenye watu wanafiki na wabinafisi

  • @lizybagamba2067
    @lizybagamba2067 Рік тому +2

    Mzee pua yako matundu yake yameelekea Chini'Mungu huchunguza mioyo kifo chaja...

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 Рік тому +2

    PANGENI VIZURI, ILA PIA MUNGU ANA MPANGO KASHAPANGA

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Рік тому +2

    Mzee huyuu atafakari maneno yake. Waliofariki ni wabaya nyie ndo wazuri.

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Рік тому +1

    Mzee Makamba nakushauri ustaafu siasa au uandikiwe hotuba . Hii sio mara ya pili ulimi unateleza???

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Рік тому +4

    Mzeeee kwel nakama mtoto

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Рік тому +1

    Niliiamimi sana CCM na rais wangu samia lakini hawa watu samia wanakuchongea na wananchi hawa ni maadui wa taifa ilitakiwa wazee hawa ilitakiwa uwang'oe uweke uweke damu changa

  • @joshuamatagane1318
    @joshuamatagane1318 Рік тому +6

    Ni vema kuwa na maneno machache, kwenye maneno mengi kuna upotovu....

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Рік тому +2

    Tutaona mengi miikaijayo

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Рік тому +3

    Huyu mzee vipi tena

  • @avelinamichaelndibayukao5656
    @avelinamichaelndibayukao5656 Рік тому +3

    Mtu mzima ovyo

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 6 місяців тому +1

    Mzee, makamba unazeeka vibaya kwakuwa hutakimbukwa kwa lolote bali kwa mabayatu ,mzee mwinyi anasema maisha ya binadamu ni hadithi

  • @championboy7
    @championboy7 Рік тому +2

    Ni abu kakweli anasema waziwazi kuwa ushindi n lazima

  • @hadijahaji9712
    @hadijahaji9712 Рік тому +1

    Watanzania wanamengi moyoni mwao lakini mungu ndiehakimu wahaki

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 10 місяців тому +1

    NJAA MBAYA

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Рік тому +1

    Mmmmmh!!!!!!!!!!!.haya.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 Рік тому +1

    Ni wakati wake bashiru kukomaa ni pito la kumnowa bashiru hili litampambanuwa yeye ni nani hasa mchumia tumbo au!

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 Рік тому +2

    Mzee nakuhelewa sana .

  • @bostonmatuid4708
    @bostonmatuid4708 Рік тому +3

    Inchiyetu imeshahamishiwa zanzimbar munavyoivurunda itamagu yukojuuyenu

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 5 місяців тому

    Siunaona sasa mungu hamfichi mnafiki wanaanza kujipambanua wenyewe waliomuuwa makufuli ni wao wenyewe ndio maana wanasema watu wazuri hawafi sisi tunajuwa kizuri hakidumu wao wanageuza mada kwakuwa wanajuwa walichokifanya

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Рік тому +1

    Mmh

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Рік тому +2

    Mafisadi wote yaani mnajiona kama Nnchi ya Baba yenu 2025 umeagana na mungu utafika

  • @mosesbarnaba7851
    @mosesbarnaba7851 Рік тому +2

    Du! Watu wazuri hawafi du!

  • @jacobmwakisole8910
    @jacobmwakisole8910 Рік тому +1

    Ohooo ok

  • @PeterNMzee
    @PeterNMzee Рік тому +4

    Upuuzi mtupu

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Рік тому +1

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 5 місяців тому

    🎉HAyo yanayofa ywa na makamba Dio yaleyale yaliokua yanafanywa na mwinyi kwaajili ya watoto wao mwinyi alifanikiwa Sasa tumwangalie Mzee mkamba jeeatafanikiwa lazima uwe chawa Ili mwanao afanikiwe

  • @aminakhalid300
    @aminakhalid300 Рік тому +1

    Mamuughu kaibu kaya kwetu maa iwe, karibu sana

  • @steventeophil7775
    @steventeophil7775 Рік тому +3

    Huo ndo mwisho wa upeo wako

  • @mahewasamwel9001
    @mahewasamwel9001 Рік тому +2

    Kila nafsi itaionja mauti.

  • @saimonwatanzaniatanzania1436
    @saimonwatanzaniatanzania1436 Рік тому +1

    Watu wazuri hawafi hata siku Moja

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Рік тому +1

    PATACHIMBIKA NYI SUNIRINI TU, TIME WILL TELL.

  • @championboy7
    @championboy7 Рік тому +2

    Kwahy waliokufa walikuw waovu? Kwel na wapumbavu wanazeeka

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Рік тому +1

    Mzee wa watu angeanguka akavunjika sijui mngesema nini unamwambia apige mbio mtu wa miaka 80+

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel Рік тому +2

    Mnafiki huyu mshirikina

  • @silverman6930
    @silverman6930 Рік тому +4

    Prepare for your kids to eat ….

  • @veronicasteven
    @veronicasteven Рік тому +1

    Wewe hutakufa

  • @thevoiceofdeliverance6061
    @thevoiceofdeliverance6061 Рік тому +1

    Mhhhh
    Yaani huu mkutano Ni wa vijembe tu huoni logic.

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 Рік тому +1

    Ameongea kinyume mzee

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Рік тому +1

    Ww mzee acha ujinga mbona unatapatapa ww vp kaa utulie kama ni kutuibia umesha tuibia ww vp magu alikua mbaya et daah ccm inatilisha aibu

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 4 місяці тому

    Duh Kweli Pumzi Ni Kiburi

  • @MuhammedSaleh-kf2nw
    @MuhammedSaleh-kf2nw 4 місяці тому

    Makufuri. Mzuri kwetu. Sisi wanyonge

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b 5 місяців тому

    Alivo mfupi sasa 😅😅

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 Рік тому +1

    Mzee anapalilia sembe ya mtoto ndio mana anaongea utopolo tu, kazeeka mwili mpaka akili.

    • @hilaliusjohn8386
      @hilaliusjohn8386 Рік тому

      Mbona huyu mzee anaonge Kama nguruwe? Tutaona Kama wewe utaishi milele. Bashiru yeye ni mzarendo, mtanzania halisi mwenye uchungu na Nchi yake.

  • @khamismohammed1650
    @khamismohammed1650 5 місяців тому

    Wazaz wake walikuwa watu wabaya

  • @RobinsonKilango
    @RobinsonKilango 3 місяці тому

    Wewe mzee mnafiki uliopita kipimo nchi hii umaskini ujinga na maradhi kazi hakuna Maisha magumu
    hotuba yako inaangamiza nchi wizi wa kuiba kula na kutangaza aliie shindwa wewe mzee ufahamu kuwa iko siku utaripa maumivu ya watanganyika

  • @ignasnyembo1256
    @ignasnyembo1256 5 місяців тому

    Tunasubiri vifo vyenu. Leo mzee mwinyi kafa na yeye ni mmbaya

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 місяців тому

    Yote njaa na unafik kufikia had kukufuru et et wazur hawafi bado zam yako

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 Рік тому

    MLIKUWA WAFUU WAKATI WA DR MAGUFULI, HAKIKA MH. SAMIA AMEWAFUFUA KTK UWANJA WA SIASA...MAISHA YANABADILIKA...JE MSIBA WA SIPIRIAN MSIBA UKOJE KWA SASA? MZEE KINANA NI KIONGOZI, NAPE, JANUARY, HUUWIII...MWANAHARAKATI HURU WA RAIS MAGUFULI,

  • @RehemaSefu
    @RehemaSefu 5 місяців тому

    Magufuli

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Рік тому +2

    Hahaha uyu mzeee anajkuta naniii😅

  • @florinjoseph2504
    @florinjoseph2504 Рік тому +1

    wazee wa namna hii hawafahi kabisa

    • @salehjojozi9286
      @salehjojozi9286 Рік тому

      WEWE ULOSEMA NCHI IMEHAMISHIWA ZANZIBAR USHALEWA AW NDOMNAANZA FOKOFOKO ZENU NASIYO WEWE TUU UNANAWENZIYO MABUMBUMBU ANOTOWA NIMUNGU NA MAMARYU SAMIYA SULUHU M MUNGU KISHAMPA NA KWAULINZI ALOMUWEKEYA M MUNGU NDOMNA ADHIRIKA NA KUJICHOMOZA MMOJAMMOJA YARABI TUNAKUOMBA NA HAKUNA MWENGINE WAKUOMBW ISIPOKUWA WEWE MWENYEZI MUNGU UMZIDISHIYE AFYA NJEMA RAIS WETU AFYA NJEMA YEYE NAFAMILIYA YAKE NAWATANZANIYA WOTE YARABI NAKUOMBA UWENDELEE KUWAFICHUWA WALEWOTE WA NJE YASEREKALI NAWALOKUWAMO KWENYE SEREKALI WEWE NDOUTOJUWA VAKUWAFANYA NAUMLINDE MZEE WETU COMRED YUSSUF MAKAMBA KWAKILA LILILOBAYA NAUMLINDE RAIS WETU WA ZNZ DOKTA HUSEN ALI HASSAN MWINYI KWAKILA BAYA NAWAFEDHEHI WOTE KAMA ULIVOWAFEDHEHI KWA MAMAYETU SAMIYA SULUHU WANOTAKA KUMHARIBIYA KATIKA MIPANGO YAKE YA KUYJENGA ZNZ

  • @user-rd2of7sw9b
    @user-rd2of7sw9b 5 місяців тому

    Sasa uyu mzee anaongea au anachamba

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 10 місяців тому +1

    Mjinga wewe

  • @lucasmugoma2870
    @lucasmugoma2870 Рік тому +2

    Wapo kwasababu sio wazalendo ni mafisadi kama wewe

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Рік тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️.

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 Рік тому

    Mimi nampeda sana mzee makamba , 💪💪💪💪😘😘😘😘😄🥳💉💉💉

  • @husseinmwakajinga8019
    @husseinmwakajinga8019 Рік тому +1

    Mtoe huyomzee makamba hana jipya zaidi kutetea ugaliwake tu

    • @anuaryamisi2031
      @anuaryamisi2031 Рік тому

      Bumbuli ni kwenu lakini hujafanya chochote

    • @anuaryamisi2031
      @anuaryamisi2031 Рік тому

      Mama samia ww ni mcha mungu na ujue ipo siku utakuwa kaburini na utaulizwa kwa yale yote uliyo yatenda mama fanya maamuzi yak kwa hofu ya mungu wala hutazikwa na makamba wala kiongozi yoyote mama chonde chote kuwa na hofu ya mungu cheo ni zamana tu