Kuambatana na watu sio ufahari,bali kusaport na kuwasaidia pia unaoshirikiana nao. Moyo wakipekee sana. Nimekuelewa dogo, Mungu akusaidie usaidie wengine wengi.
Jamaa wapekee sn kwn n wasanii wachache wanaowakubal wasanii wenzao na kukubali kujua nyimbo zk na kuziimba. Mungu akuongezee niggaz pamoja na WCB 4life chama la wan wana
Kamwambie harmo naomba cku moja aniite niwe kwa video ya nyimbo yake, coz hiyo ni ndoto yangu ila 2 fulfil it its very hard coz am aut of money. Na ningeomba harmo anisaidie coz nina amini anaweza nisaidia. Am from kenya plz harmo
Hapa ndipo nilivo amin c kila anaenda shuke anaenda kuelimika inawezekana wengine huenda kukua na wwngine kufuata kufaulu na waendele na elimu mwishoe apate kaz mbeleni sasa ww bro wangu nani kasema mm nataka avae vitambaa ni nani hii ni comment yangu na saggest chochote ninacho kiona sasa ww ukiona haiko sawa ww andika ya kwako. Hv ww huon kama ungeliandika ya kwako ungeonge comment na kuonekan Kama leo umecomment youtebe kuliko hii kaz ya kukosoa mwenzio au ww ndio ulikuwa desinger wake nn?
Wanaokubalina na mm kuwa Harmonize ni msanii mwenye busara sn gonga like nyingi HP.
Sanaaa yani
Kuambatana na watu sio ufahari,bali kusaport na kuwasaidia pia unaoshirikiana nao. Moyo wakipekee sana. Nimekuelewa dogo, Mungu akusaidie usaidie wengine wengi.
Jamaa wapekee sn kwn n wasanii wachache wanaowakubal wasanii wenzao na kukubali kujua nyimbo zk na kuziimba. Mungu akuongezee niggaz pamoja na WCB 4life chama la wan wana
Uyu jamaa anatembea na madini mwilin...!!!! Duuuhhh!!! Co poa
Napenda harmonize ana utu na heshima
Kabisa
Safi sanaaa Harmonize. Mungu akuzidishie hvyo hvyo.
Kondeee booooy nakupenda sana
Safi sana mdogo wangu busala zako na hekma zina fanya ss kaka zako tuzidi kkpenda
Unafanya vzr sana konde boy.
_Nimesoma Comment zote ziko blessed_
😂😂😂🙌🙌🙌
nice ....representer from southern zone......hngra homeboy
Sitaili Moja ya nywele duuuu Mzee baba
Hey yo man... We believe in you harmonize and you're going far your song atarudi is mwa! Believe in you.
NOMA GONGA LIKE HAPA
Shegua Official Nakubal mze baba Aha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!atare
HARMONIZE
HAMU WA MAPENZY MWISHO WA SIKU ANAITWAA
KUDE BOY
WCB4LYF BIG UP BARANABA CLASSIC🔥
💪 si umeona balaa
OG zote
unapenda kumuiga maneno ety "sio kwamba tunajua sana" hehehehehe mamaeeeeeeeeeee
😂😂😂😂😂😂😂😂😋😋
Ukovizuri Nakukubali
hatarii sanaaa wcb
Huyu jamaa yupo vzr sana
Hongera Kak ila nataka kujua wasfi presenter search hapa dar itafanyika Lin maana naamin ninakipaj sana
Horminize waga ana smart speech always
pwaaaaaaaaaa
Kamwambie harmo naomba cku moja aniite niwe kwa video ya nyimbo yake, coz hiyo ni ndoto yangu ila 2 fulfil it its very hard coz am aut of money. Na ningeomba harmo anisaidie coz nina amini anaweza nisaidia. Am from kenya plz harmo
Tishaa sana konde boy
yuko sawa uyu dogo
jamani wanaosema kude boy anaweza aungane namimi
👏👏👏👏
👏👏👏👏👏👏
Ka harmonize kame noga saiz
simbaaaaaaa mtoto
Manawa Aporinary Umeona eeeeee
Uyu jmaaa anavaa kishamba snaaa
@@salumbakhresa7538 uyu jmaa mi humsifiaga kaka ila mda mwengine kimavazi anaboa
nyie watu hamjui watu wanao vaa,mlitaka ang'areee ety
We unavaaje ??
😂 😂 😂 😂 huto tu viatu umetuona😂😂😂😂😂😂😂
Balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
💪
Konde boy madin hay
Nc boy
chinga boy
Penda sana hamo
wewe ni moma mwanangu
🔥🤔
wasafi wamepata kikoba
nakupenda bure harmo
heby biba
Hamonize unaniangusha kwenye mavaz kaka angu mmakonde mwwnzangu
Hapa ndipo nilivo amin c kila anaenda shuke anaenda kuelimika inawezekana wengine huenda kukua na wwngine kufuata kufaulu na waendele na elimu mwishoe apate kaz mbeleni sasa ww bro wangu nani kasema mm nataka avae vitambaa ni nani hii ni comment yangu na saggest chochote ninacho kiona sasa ww ukiona haiko sawa ww andika ya kwako. Hv ww huon kama ungeliandika ya kwako ungeonge comment na kuonekan Kama leo umecomment youtebe kuliko hii kaz ya kukosoa mwenzio au ww ndio ulikuwa desinger wake nn?
Pole utakuwa una maradhi matatu ambayo mwalmu alisema sasa inawezekana moja wapo lina kuhusu ww angalia sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Siko pekeangu asante sna kwa kutambua
wa sita ku commnt
tupia kodi mmakonde
konde boy
Amenisawisi
😀😀
mapenzi vp
una
paja
Hahahaa.amenisawisi hiyo hata mimi nimeinyaka
Hahahaa amenisawisi hiyo hata mimi nimeinyaka
Amemisawisi
Unakbusha mzee hapo kwenye zpu mbona pame Tuna au umedinda kimyakimya
#WCB yan kama wanaingiaga kwenye mazoezi ya maswali yani napenda wanavyojibu
Hahahaa #jibebe
Nice sana mkali wa wsb
KAMA UNAHITAJI KUUZA KUNUNUA KUPANGA AU KUPANGISHA NYUMBA VIWANJA MASHAMBA FREM NA OFISI CALL#0718295182 #0765505909
Instagram@dalalibango
KAMA UNA GARI UNAUZA AU UNAHITAJI GARI LOLOTE TANZANIA CALL #0718295182 WATSAP
#0765505909
Instagram@bango_magari
Konde boy
Kama unakubaliana na mimi hamo anavaa kishamba gonga like
Mgodi unatembea,au siyo madini? Macho nayooo.....
Nachoflahizaid kutoka kwa Harmonaize nibusarazake hatainjenakaziyake lait kamaangekua hana busara ningemchukiasana fanyakazi kijana Tukopamoja na wewe
Muangalie mwalimu aliyemuua mwanafuzi ingia kwa account yangu
mr.joshtz mbona hamna unafanya uwongo???