ALIPOCHINJIWA MTOTO ARUSHA ZAKUTWA RISITI ZA VIFO ZAIDI YA 50 ZIKIWA NA MAJINA YA WALIOKUFA ...
Вставка
- Опубліковано 12 жов 2024
- ALIPOCHINJWA MTOTO ARUSHA ZAKUTWA RISITI ZA KIFO ZAIDI YA 50 NDANI,ZAKIWA NA MAJINA YA WALIOKUFA ..
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hakika nimeogopa Sana jamani, Mwenyezi Mungu wafichue kabisa,we Mungu ee Mungu hawa washirikina wafe wenyewe
Yaani hawa washirikina wanatoa mpaka risit jamani?Mungu wa mbinguni usilale huu na uwe mwaka wa kuumbuliwa kwao.😢😢
Ni wapi tunaenda? Dunia imekua chungu sana, msiba huwezi uelewa usipokukuta.. Mungu awape faraja wafiwa, na atusaidie sote, hatuwezi bila yeye😢
Hakunagaa lililo na Mwanzo ambalo hakuna mwisho.hy 40 Yao .
Asante Mungu yamefichuliwa wazi leo
Duuuh mpaka nimeogopa ndugu zetu wanapotea tu hawaonekani kumbe wanakufa vibaya kwa kuchinjwa km mbuzi ewe Mwenyezi Mungu shuhulika nao wale wote wauwaji waumbue hadharani imefika mwisho wao sasa😢😢
@@christaoman8890 tena na jirani
Mm mdogo wangu mpaka leo hatujui yupo wapi
Innalilahi wainna ilaihi rajiun
Yaani mm naona waliopotea wameshateketea
@@allymsafi1716pole ndugu yangu
Jamani hadi wanachama kabisa na risiti wanatoleana kanakwamba wanatoa mpk kodi😢😢😢😢,heeeh Mungu Baba tulinde😢😢
Inalilah wainnailaih rajiun Allah tunusulu waja wako uku wapi tena tunapofikiya tunauliwa kwa tamaa zawatu
Ee mwenyez MUNGU fumbua wote wanaofany vitendo Kam hv inauma sanaaa
Risiti kaandika nani malipo kapokea nani na ina mihuri wapatie polisi wa upelelezi wafanye upelelezi nyie hamna utaalamu na jambo hili hayo majina lazima kuna chama sio rahisi kuwajua wahusika kirahisi kiasi hicho.Polisi kazi yenu nini??
Polisi wenyewe wanatakiws kufanyiwa uchunguzi, woi
Wananchi mmefanya la maana kubomoa nyumba na kubeba kila kitu. Hao inaonyesha washirikina wamepewa idadi ya kuua watoto kadhaa 😢😢. Subhallah
Hatari sana, nyakati za karibu na chaguzi matukio haya ya kikatili na kishirikina huzidi tunaomba ile intelijensia ya kuzuia maandamano iweke nguvu kuzuia na kukamata hawa wahalifu makatili wa nafsi😢
Afu niishauli selikali. Iunde tume ya upelelez wa wachawi. Kama wakikuua wanatoa risti. Plisi wetu wengine wawe wachawi ili waweze kukabiliana na wachawi. Kwenye ulimwengu wa giza.😂😂😂.
Serikali huwa inatupiwa lawama kubwa sna,lakini nyuma yake kuna maovu makubwa sna,watu wanapotea kimya kimya,bila kujua haya yote ni Mungu tu😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
😢😢😢😢😢😢naumia sana jaman 😢😢😢😢kwanin lakini mungu tuone bas tunazama 😢😢
Subhanna Allah 😭😭😭😭 Arusha jamaniii
Tumechoka jmn,kilakukicha nimatukio tu jmn.hkuna taarifa zsmatumaini jmn nivifo tu.Uzazi unauma jmn.Mungu tusaidie,police hwa ndio watu eakupiga rasasi kumwagiwa hyo matindikali maana hwa niwatu katili sana
Allah atunusuru sisi watu wa arusha
Wale waliuwa mtoto pia wao wauliwe hivyo hivyo
Jesus tanzania 🇹🇿 tumekuwaje jamn nchi inateketea watu wanakufa kama kuku 💔😭
Arusha kumzidi sana
Mwisho wao umefika Mungu amemtumia huyo mtoto aune huo mkono apige kelele ili kieleweke.
Kabisa 😭😭😭
💯
WafAnya makosa sana kushika hizo receipt na kusoma majina .wa me alert hao watu wabaya wAtoroke
Allahu akibarr sasa anawakatakata iliiweje anawapeleka wapi hao alowauwa. Jamani kunawatu wanarohombaya. Anaishi miaka yotehiyo anauwawatu tuu
Watu wanauliwa kuanzia 1991 eeeh Mungu😢😢
Kwa nini vyombo vyetu vya ulinzi , usalama na intelijesia ni dhaifu hata vimeshindwa kugundua uhalifu wa muda mrefu kama huu??
Pili
Mbona mnashika hizo risiti kwa vidole,na kupoteza ushahidi wa alama ?
Hizo receipts ni docs muhimu sana kuwa loose hivyo zinaweza kupotea
Nyie mbona mnatuchanganya,mpeni mwenye anaweza kutusomea tuelewe.sio kutafuna maneno tu apo.anaetakiwa kulipa ada kwa ajili ya vifo ni nani ?? Na hao mnaowasoma majinga na idadi ya vifo ni akina nani??tuwajue na wote waseme wametumwa na nani,mwisho wanyongwe wote.
Sio Wenye hasira Kali,,hata wewe na Mimi tuna hasira juu ya hao wauaji ,na wao wakamatwe wauwawe haraka.
Ndio maana Arusha Kuna matukio mengi ya Mauwaji.. Sio kwa lisiti hizo za kifo
E mwenyezi Mungu utusaidie
Jamani binadamu tumekua viumbe hatari kuliko ata wanyama. Ee mungu tuhurumiee.
Yaani sheria yetu ya tanzania inazngua. yaani huyo bibi awekwe sero na mateso kidogo kidogo mpaka anakfa nayeye afe kwa uchungu.
Za mwizi 40 leo wameaibika pakibwa😭😭😭
Subhanallah subhanallah subhanallah
Hatari sana
Hizo risti za mchango wa vifo sio michango ya vikundi jamani
Inawezekana
Nduguzangu niamnin mimi aya mbwa mawili yalomuua uyu mtoto watakuwa ni waumin wazuri saan misikitini au makanisani
Sasa hapo mtakuwa umeingilia upelelezi vitu hivyo ilibidi wapewe police ingelahisisha kazi kwa sasa hapo walengwa wanaweza kimbia
Subhahanallah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu kweli Kwann waruhusu wachawi wishi jmn
Eee Mungu nakuomba hiyo ni mishetwani,ichomwe moto hadharani.
Hivo no vikundi jamani hata vijijini tinavyo acheni ujinga kunamichango ya msiba
Risti za vikundi izo acheni upambe
Kesho kutwa utasilia mtuhumiwa kaachiwa kwa dhamana
Mauaji hayana dhamana
Ok poleni kwa matukio hayo,sasa mnapo wataja hao wausika kwa majina mtapoteza ushahidi sasa wazee wajazi,mlipaswa kuachia police wachukuwe hatua za kiupelezi wenyewe
Kwaiy akina mchang mkoo wao wamechukuana wenye kwa wenyew Subhban Allah
Sasa ninyi mnazishika shika risiti zitafanyiwaje uchunguzi?
Kwani kushikwa kuna ubaya gaji? Kwqn na risiti uliwah kusikia zinafanyiwa postmortem?😂😂😂
Sasanimeelewa kwà nini MUNGU alikataa Wanawake wasiongoze!!
Sasa hapo Raisi mwanamke anahusika vipi .
Acheni ujinga wa kubagua jinsia
Kwani hili linahusianaje na kiongozi wa kike? Na mwaka 1991 ni mwanamkw alikuwa anaongoza?
Acha ujinga mwaka tisini na Moja Raisi alikuwa mwanamke?
😂jiulize polisi wapo wapi muda wote na mshahara wanalipwa wa nini sasa..
Balaa la Arusha,tena, Allah nsataraa, MARIAMU, lailahailah, rabbi huyo mchawi,lohoo,n kua TU
Yesu Rudi mapema mazengo company Ltd sengerema mwanza sda
Yaani Huyo mwenye matukio hayo niMwanadamu kama sisi kweli
Subhanallah
Inna lillah wainna ilaihi rajiun
Aisee hawa binadamu hatari sana kuliko hata wanyam
Harafu muuaji na hao wanaodaiwa Vifo wote waislamu jamani😢
Wapo wakiristo wawili hapo
Una maanisha nini?
He sasa mambo ya dini yanaingiaje watu wengine bwana ai
Hayo majina hakuna mkristo duuuu
Sikiliza majina ya mwanzo ,wakristi wengi hutumia majina ya kiarabu mfano ayubu,Musa,Yusufu,,abusalimu, alafu usiwe mbaguzi kosa ni la mtu sio dini yake
Wadhambi hawana dini jamani
Hizo risit mbona kama za michango ya misiba
Polis polis hebu washugulikien hawa wauwaji mbona wanataka kueapanda kivhwani mbona naona mnaweza naomba mkiwakamata msiwapeleke hata mahakani wale shaba live a watu waashuhudia
Yani uyo bibi atamjibu allah kwakweli yani watu wanapotea kumbe yeye daaah
Aseee hata wale watekaji hawaoni ndani.
Mmmh Iko kikundi Cha wachawi hàwa wanatoa kafara
Unaambiwa damu y mto ayiweze enda bure malipo n hapa hapa
Mkiwataja mtavuruga ushahidi.
Jaman naomben NIDA watusaidie hayo majina watuambie hao marehem wanapelekwa wapi wakishauwa 😢
Nani aliokuwa anazitoa hizo risiti
wanavyouaa wanapeleka wapi mungu baba 😢😢😢😢
Hawa waganga wafutwe tu iwe kosa la jinai kukutwa mgaga
Hii kama sinema.
Inalilah wainalilah rajuuni
Tunaomba akamatwe yeye ndio mkuu wakitengo naona
💯
watanzania huamini uchawi mno
Hivi Arusha nayo ni Tanzania kweli
Tukisema ushirikina haupo serikali inakataa na tukiwataja washirikina mnawakatalia mnasema uchochezi
Kwanini serekali asiwe inawakamaa Hawa wanganga sababu Ni waganga
Nahuyo aliye muuwa huyo mtoto ni mama samia lema yuko wapi atujibu sasa
Ao ni wakunyongwa tu
Kwa utawara upi
Kumbe mwanamke huyo muuaji duuu nayeye auliwe akatwe kipandekipande nasi kwasiku.moja kilasiku kiungo kimoja
Alieuwa nae auwawe tuu
Daaaah
Jamani ! Nimeshindwa cha ku koment,
Kwa polic hii amna kitu hapoo
Kubabaake sio poa
Nimeogopa
Daaa
Ila me naisi huyu anaesema kaokota lisiti anaweza kua anajua kitu
Arusha uuhhhhhhhhh😭😭😭🤔
Kila jambo linamwisho wake
Heeee.dunia hii sasa atapata nn wtu wote hao mh mtihani
Watuhumiwa wamekamatwa au mbona hamsemi kama watuhumiwa wamekamatwa
Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭😭
Huko mpaka muisheee
MUNGU tusaidie
hizo lisiti zilikuwa zinatolewa nani dah😂😂😂
Hivi kwanini wananchi hawakumuua huyo mama??
Uwiiiiiiiii.
😭😭😭😭😭Mungu ingilia kati hili usinyamaze tutakua hatuaminiani tena majirani ,kweli nimeogopa sana siamini hiki ninachokisikia😭😭😭😭😭
Alfu hiyo nyumba sasa ilivyo mbovu
Wapareeeeee uwiiiiiiiiii
Hatareee dah
Mara paap unasikia Jina lako huko kwamba una deni😂😂
Yani acha tu Mungu tusaidie
Ukstaajabu ya Musa......
Duuuuh, ada ya vifo?
sasa mbona sh 300 ni ndogo sana1
yaani 300 unaua watu,mmmmh, Mungu atusaidie
N zaman kwahyo 300 ilikua kubwa
@@eestermos9933 Dah!ila huo ni ushirikina kabisa,Mtu anadaiwa mpaka maiti 12,wook,Mungu atusaidie,Uchawi ni kitu kibaya sana
Mmmh vinatisha mtu mnaishi nae mnasalimiana mtaani kumbe ni muuaji dunia imeisha
Sijuwi tukaishi wapi, uwiiiiiiiiiiii 😢😢😢
Na wanajuwa kutunza kumbukumbu aise 1991,mpaka Leo risiti zipo aise😢😢😢😢
Uongozi wa samia watakufa wengi
Hiyo 97 Samia alikuwepo? Mnaoenda sifa!😢😢
Mnapenda sifa!
Mkome samia we
Unaakili ww utakufa ww na chukizako. Hizolisiti nixamwakahu wewe jiangalie
Acha Ujinga! Mwaka 91 Alikuwepo kwenye Uongozi...We chizi Nini?.