Eti "ukimuona kijana unatamani umpige kibao" Kumbe gereza limekufunza, basi fanya shughuli za kilimo achana na upambe na ubabe wa kipumbavu. Pamoja na kuachiwa na mahakamav dhamira yako iendelee kukuhukumu katika kweli!
@@fatymnyama2839 pole sana na matusi hayakusaidii kujenga hoja. Ukweli videos za cctv camera ziliwachukua wakufanya uhalifu ndani ya duka la mfanyabiashara, ndio maana nasema kuchomoka kwao ni kwa mapungufu ya sheria na sio kwamba hawakufanya kosa
Watangazaji wa tz jaman ni majanga iv kumuuliza mtu kwanza ilikuwaje akakamatwa n kwanin alikua na case mnapata hasara gan?? Mnadhan wote tulikua tunafatilia iyo kes mahakaman mnazingua sana nimesikia maparachichi njombe nimesikia vijana wadogo wapo jela ila sijasikia ni nin kilichomfanya akakamatwa.
Kwahiyo yule mshikaji aliyepigwa milioni 90 habari yake ndiyo imeisha hivyo? . Yani mjasiriamali anadunduliza hela zake mpaka zinafika m 90 halafu zinachukuliwa na muhuni fulani halafu hakuna kesi?.. Mambo yanatia hasira sana..
Ulikuwa Chawa wa Sabaya,huo ukulima ulipokamatwa kule Oasis Apartment Dar ndio ulikuwa unalima kule enh!!!najua mlifanya mambo ya ovyo sana na huyo Sabaya wako wala hamkuonewa kushtakuwa,sasa fanya tena ujinga mtaani,naamini umejifunza
@@christeternallifetv5959 hawa madogo kiongozi walikuwa wapambe wa kuma sabaya na huyu hana cha ukulima huyu alikimbilia dar na alikamatiwa huko dar aptimeti ya oassi hotel,hawa ni majambazi waache waje mtaani waone kitacho wakuta.
Pole sana kamanda, dunia ndo ilivyo, hongera kwa kutoka salama na wenzio watatoka
Pole sana Tena sana Kaka tuko paamoja sana kwa hakika
Bright intelligent innocent guy.
SAFI SANAA.USHAURI MZURI.
Dah
Unatakiwa kupumzika kwanza kwa sasa embu acha kuhojiwa kwa sasa
Pole ndugu
Hawa madogo walizungua sana hapa Arusha.
Walikuwa wanafanyaje?
Wambie uchawa sio mzuri
Eti "ukimuona kijana unatamani umpige kibao" Kumbe gereza limekufunza, basi fanya shughuli za kilimo achana na upambe na ubabe wa kipumbavu. Pamoja na kuachiwa na mahakamav dhamira yako iendelee kukuhukumu katika kweli!
Ningeshauri wapewe muda kwanza midia ziwape muda wa utulivu
Sio kweli kwamba hamkufanya makosa bali, kasoro za kiutaratibu na mapungufu ya kisheria yamewaweka huru. Muombeni Mungu awaokoe na visasi vya jamii.
Marco, Nakubaliana na wewe!
Acha usenge unauhakika gani walifanya uharifu mapumbu ya mama yako mzazi
@@fatymnyama2839 pole sana na matusi hayakusaidii kujenga hoja. Ukweli videos za cctv camera ziliwachukua wakufanya uhalifu ndani ya duka la mfanyabiashara, ndio maana nasema kuchomoka kwao ni kwa mapungufu ya sheria na sio kwamba hawakufanya kosa
Uko sahihiii kabisaaaa
Watangazaji wa tz jaman ni majanga iv kumuuliza mtu kwanza ilikuwaje akakamatwa n kwanin alikua na case mnapata hasara gan?? Mnadhan wote tulikua tunafatilia iyo kes mahakaman mnazingua sana nimesikia maparachichi njombe nimesikia vijana wadogo wapo jela ila sijasikia ni nin kilichomfanya akakamatwa.
" kwani kosa si amesema mwenyewe uhujumi uchumi"au inakuwaje
@@highzacknnko9685 hata mimi namshangaza
@@highzacknnko9685 Uhujumu uchumi wa kuchonga au vp!!!
@@mamboshepea8888 kama ule sabaya aliowatengenezea wapinzani wa ccm
Fidia vp bro
Umechiwa na wanadamu je kwa MUNGU
Mshkaji umeongea point sana, una akili kubwa sana MUNGU azidi kukuongoza
Vitamin u
Kwahiyo yule mshikaji aliyepigwa milioni 90 habari yake ndiyo imeisha hivyo? . Yani mjasiriamali anadunduliza hela zake mpaka zinafika m 90 halafu zinachukuliwa na muhuni fulani halafu hakuna kesi?.. Mambo yanatia hasira sana..
Rudi tena ushirikiane na wahuni kama Sabaya.
Amna mtu wa Arusha ambae ana muombea mema sabaya,Afungwe tu shezi ata miaka 40 katutesa sana apa Arusha.
Alikufanya Nini?
" kwani sabaya kaifanya nini arusha? Wakati alikuwa mkuu wa wilaya ya hai
Ndoumechelewa maombi yako sabaya ataachiwa
Mmmh
@@happinnesspius9854 Kwanza Mungu asikilizi Maombi ya mchawi maana kazi ya mchawi ni kuwaombea watu majanga...amechelewa sana!!!
Acheni usenge kuachiwa na mahakama sio kuwa hawajafanya makosa, leo haya majambazi mnayataka kufanya ni macelebrate...issue kitaa kitawakubali!?
Mbn unaonesha wewe n jeuri sura na unavoongea
Hapana.
Kijana anajielewa sio mjeuri.
Sasa Nani atalipia huu.muda ambao umepoteza bure huko mahabusu.?.
Sabaha ndio atamlipa
Hapo kwenye kulala saa 9 ningekufa tayar
🤣🤣🤣🤣
Sabato nimecheka hadi nimetoa machozi
Mnawapa airtime vibaka hao wezi kabisa alafu loliondo habari kama hamzioni yaaani 🚮🚮🚮🚮
Mbona haumjauliza maswali ya msingi ,yeye na sabaya walikutana vipi ? Mazingira gani yalifanya akatuhumiwa ?
@@sebastianmboya6702 hongera kaka umeona kitu Cha maingi wew ni bonge la muaandishi
Pole ww mwenyew kibaka
Kama hujuwi, kesi imeanza upyaaaaaa !!! Sabaya kisha pelekwa Mahakamani Arusha Serikali imekata rufaa, wewe jibaraguze tu muda simrefu utakamatwa muunganishwe tena.
Mkipataga nafas na nyie mnajifany km miung mt kummae sabaya
.
Ulikuwa Chawa wa Sabaya,huo ukulima ulipokamatwa kule Oasis Apartment Dar ndio ulikuwa unalima kule enh!!!najua mlifanya mambo ya ovyo sana na huyo Sabaya wako wala hamkuonewa kushtakuwa,sasa fanya tena ujinga mtaani,naamini umejifunza
Una ushahidi wa hizo shutuma?
Huyu alikuwa ni chawa mwenye njaa, na kufata mikumbo.. Hayo mambo ya kilimo cha parachichi ni zuga…
Kesi za simu una zimaani kwa kuwa nyinyi mukizulumu watu mamilioni fack
Uyo dogo hata dumu hapa duniani.
@@christeternallifetv5959 hawa madogo kiongozi walikuwa wapambe wa kuma sabaya na huyu hana cha ukulima huyu alikimbilia dar na alikamatiwa huko dar aptimeti ya oassi hotel,hawa ni majambazi waache waje mtaani waone kitacho wakuta.
We ni MUNGU NI MUNGU PEKEE ANAEEE JUA NANI ATAISHI MDA GANI