EXCLUSIVE: KIJANA ALIYEKUWA GEREZANI NA SABAYA ASIMULIA TUSIYOYAJUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 58

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 роки тому +10

    Pole sana kamanda, dunia ndo ilivyo, hongera kwa kutoka salama na wenzio watatoka

  • @saidhassan7779
    @saidhassan7779 2 роки тому +8

    Pole sana Tena sana Kaka tuko paamoja sana kwa hakika

  • @mwana4599
    @mwana4599 2 роки тому +3

    Bright intelligent innocent guy.

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 роки тому +2

    SAFI SANAA.USHAURI MZURI.

  • @vanderjoe2551
    @vanderjoe2551 2 роки тому +1

    Dah

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 роки тому +4

    Unatakiwa kupumzika kwanza kwa sasa embu acha kuhojiwa kwa sasa

  • @geofreyruta1723
    @geofreyruta1723 2 роки тому +2

    Pole ndugu

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 роки тому +5

    Hawa madogo walizungua sana hapa Arusha.

  • @leonardbrown181
    @leonardbrown181 2 роки тому +2

    Wambie uchawa sio mzuri

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Рік тому

    Eti "ukimuona kijana unatamani umpige kibao" Kumbe gereza limekufunza, basi fanya shughuli za kilimo achana na upambe na ubabe wa kipumbavu. Pamoja na kuachiwa na mahakamav dhamira yako iendelee kukuhukumu katika kweli!

  • @simongalahenga6858
    @simongalahenga6858 2 роки тому +5

    Ningeshauri wapewe muda kwanza midia ziwape muda wa utulivu

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 2 роки тому +1

    Sio kweli kwamba hamkufanya makosa bali, kasoro za kiutaratibu na mapungufu ya kisheria yamewaweka huru. Muombeni Mungu awaokoe na visasi vya jamii.

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 2 роки тому +1

      Marco, Nakubaliana na wewe!

    • @fatymnyama2839
      @fatymnyama2839 Рік тому +1

      Acha usenge unauhakika gani walifanya uharifu mapumbu ya mama yako mzazi

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 Рік тому

      @@fatymnyama2839 pole sana na matusi hayakusaidii kujenga hoja. Ukweli videos za cctv camera ziliwachukua wakufanya uhalifu ndani ya duka la mfanyabiashara, ndio maana nasema kuchomoka kwao ni kwa mapungufu ya sheria na sio kwamba hawakufanya kosa

    • @fatumakhamisi1002
      @fatumakhamisi1002 Рік тому

      Uko sahihiii kabisaaaa

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 2 роки тому +6

    Watangazaji wa tz jaman ni majanga iv kumuuliza mtu kwanza ilikuwaje akakamatwa n kwanin alikua na case mnapata hasara gan?? Mnadhan wote tulikua tunafatilia iyo kes mahakaman mnazingua sana nimesikia maparachichi njombe nimesikia vijana wadogo wapo jela ila sijasikia ni nin kilichomfanya akakamatwa.

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 роки тому +1

      " kwani kosa si amesema mwenyewe uhujumi uchumi"au inakuwaje

    • @johnmichaellukindo21
      @johnmichaellukindo21 2 роки тому

      @@highzacknnko9685 hata mimi namshangaza

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 роки тому

      @@highzacknnko9685 Uhujumu uchumi wa kuchonga au vp!!!

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Рік тому

      @@mamboshepea8888 kama ule sabaya aliowatengenezea wapinzani wa ccm

  • @nesto3587
    @nesto3587 2 роки тому +2

    Fidia vp bro

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 5 місяців тому

    Umechiwa na wanadamu je kwa MUNGU

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 2 роки тому +5

    Mshkaji umeongea point sana, una akili kubwa sana MUNGU azidi kukuongoza

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 2 роки тому +1

    Kwahiyo yule mshikaji aliyepigwa milioni 90 habari yake ndiyo imeisha hivyo? . Yani mjasiriamali anadunduliza hela zake mpaka zinafika m 90 halafu zinachukuliwa na muhuni fulani halafu hakuna kesi?.. Mambo yanatia hasira sana..

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Рік тому +1

    Rudi tena ushirikiane na wahuni kama Sabaya.

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 роки тому +4

    Amna mtu wa Arusha ambae ana muombea mema sabaya,Afungwe tu shezi ata miaka 40 katutesa sana apa Arusha.

    • @wannaproducts
      @wannaproducts 2 роки тому +1

      Alikufanya Nini?

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 2 роки тому

      " kwani sabaya kaifanya nini arusha? Wakati alikuwa mkuu wa wilaya ya hai

    • @happinnesspius9854
      @happinnesspius9854 2 роки тому +2

      Ndoumechelewa maombi yako sabaya ataachiwa

    • @gracesamwel1338
      @gracesamwel1338 2 роки тому

      Mmmh

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 роки тому

      @@happinnesspius9854 Kwanza Mungu asikilizi Maombi ya mchawi maana kazi ya mchawi ni kuwaombea watu majanga...amechelewa sana!!!

  • @msemakweli9626
    @msemakweli9626 2 роки тому +3

    Acheni usenge kuachiwa na mahakama sio kuwa hawajafanya makosa, leo haya majambazi mnayataka kufanya ni macelebrate...issue kitaa kitawakubali!?

  • @kilianamapunda3170
    @kilianamapunda3170 2 роки тому +4

    Mbn unaonesha wewe n jeuri sura na unavoongea

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 2 роки тому +2

    Sasa Nani atalipia huu.muda ambao umepoteza bure huko mahabusu.?.

  • @sabatoelia312
    @sabatoelia312 2 роки тому +1

    Hapo kwenye kulala saa 9 ningekufa tayar

  • @heraldnkya2098
    @heraldnkya2098 2 роки тому +6

    Mnawapa airtime vibaka hao wezi kabisa alafu loliondo habari kama hamzioni yaaani 🚮🚮🚮🚮

    • @sebastianmboya6702
      @sebastianmboya6702 2 роки тому +2

      Mbona haumjauliza maswali ya msingi ,yeye na sabaya walikutana vipi ? Mazingira gani yalifanya akatuhumiwa ?

    • @omaryahya337
      @omaryahya337 2 роки тому

      @@sebastianmboya6702 hongera kaka umeona kitu Cha maingi wew ni bonge la muaandishi

    • @johnsiju1059
      @johnsiju1059 2 роки тому +2

      Pole ww mwenyew kibaka

  • @zaidyabdalah3691
    @zaidyabdalah3691 Рік тому

    Kama hujuwi, kesi imeanza upyaaaaaa !!! Sabaya kisha pelekwa Mahakamani Arusha Serikali imekata rufaa, wewe jibaraguze tu muda simrefu utakamatwa muunganishwe tena.

  • @maximemasinga9504
    @maximemasinga9504 Рік тому

    Mkipataga nafas na nyie mnajifany km miung mt kummae sabaya

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 роки тому +1

    .

  • @felixhaule7071
    @felixhaule7071 2 роки тому +3

    Ulikuwa Chawa wa Sabaya,huo ukulima ulipokamatwa kule Oasis Apartment Dar ndio ulikuwa unalima kule enh!!!najua mlifanya mambo ya ovyo sana na huyo Sabaya wako wala hamkuonewa kushtakuwa,sasa fanya tena ujinga mtaani,naamini umejifunza

    • @christeternallifetv5959
      @christeternallifetv5959 2 роки тому +2

      Una ushahidi wa hizo shutuma?

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 2 роки тому +1

      Huyu alikuwa ni chawa mwenye njaa, na kufata mikumbo.. Hayo mambo ya kilimo cha parachichi ni zuga…

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 роки тому +1

    Kesi za simu una zimaani kwa kuwa nyinyi mukizulumu watu mamilioni fack

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 2 роки тому +1

    Uyo dogo hata dumu hapa duniani.

    • @diolindanativo7268
      @diolindanativo7268 2 роки тому +2

      @@christeternallifetv5959 hawa madogo kiongozi walikuwa wapambe wa kuma sabaya na huyu hana cha ukulima huyu alikimbilia dar na alikamatiwa huko dar aptimeti ya oassi hotel,hawa ni majambazi waache waje mtaani waone kitacho wakuta.

    • @claudbusumilo3979
      @claudbusumilo3979 2 роки тому +1

      We ni MUNGU NI MUNGU PEKEE ANAEEE JUA NANI ATAISHI MDA GANI