MWENYEKITI ATUHUMIWA KULA PESA ya VIKOBA - MAKONDA AAGIZA ASAKWE AKAMATWE ATUPWE NDANI HARAKA...
Вставка
- Опубліковано 26 тра 2024
- MWENYEKITI ATUHUMIWA KULA PESA ya VIKOBA - MAKONDA AAGIZA ASAKWE AKAMATWE ATUPWE NDANI HARAKA...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Wanaomkubali makonda gonga like twende wote💪
🔥🔥🔥🔥
Vipi hapa mashirika ya haki za wanawake . I love makonda
Wanajua kutetea vigogo wenzao Ila hawawez kutetea masikini
Makonda Ubarikiwe sana Mdogo wangu
Hapo sawa kaka makonda kula vichwa vya wahuni wote weka ndani
Team Makonda Ukombozi, kazi ni moja kutetea wanyonge, hongereni sana, vilio kila kona,
Mungu azidi kuwatangulia
Haya maisha tunayoishi ni kwaajili ya wala rushwa mbwa hawa.
Huyo mama anavyo mpiga jicho hyo mama aliye thulumiwa baada ya hapo sijui itakuwaje 😔
Kumbe umemuona nilijua peke angu
Watumishi wa serikali wahovyo sana kwanza ukiwakuta ofisin wanaringa kukuhudumia wakat mshahara wanaolipwa unatokana na kodi ya mwananchi
Kabisaaaa wanakeraaaaaa
Haki nasinzia hadi nadondosha simu,,,,,ila Mheshmiwa Paul makonda Mungu akulinde Kila la Kher
...
Mueshimiwa makonda mmoja
Chadema waje miatano awampati
Kwa uongozi wake na ekimazake
Alha akujalie afya Yako mueshimiwa makonda
Makonda 🔥
UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 MAKONDA MPAKA UCHUMI WETU UTAPANDA NA WANANCHI WATAISHI MAISHA BORA KUPITA ATA ULAYA NAKUOMBEA MUNGU MAKUFULI JUNIOR ❤❤❤
Urais wa tanzania sio pipi kila mtu apewe, na kuna vigezo
Atauliwa maana mifumo inatungwa uraya na mabeberu
Halafu chatanda anaongea pumba hembu ona huyo mama miaka 10 hajapewa pesa yake ,tuachie makonda wetu sisi wanyonge,We kula maisha
Muacheni MH makonda aifanye kazi yake inayo itajika afanye kama MH raisi JOHN POMBE MAGUFURI
Asantee Mungu.
Makonda anapigya kazi sana jamaaa
God reedem my country aisee kila kona dhuluma
Makonda safi sana
Kuna yeyote alieona kipande cha dakika 2:17 jinsi huyo mtumishi alivyomuangalia huyo mama wa kimasai
Nimemuona anadharau sana
Nimemuona nilijua peke angu
Hee Mungu yukowapi makonda wetu wa Congo drc?
barikiwa sana mtumishi mungu akukumbuke na uzao wako
Ni kweri makonda Fanya kazi kaka
Daaah Inauma sana
you right
✅🙏🙏
😂😂😂 Kwajinsi navomfaham Makonda hapo Kazi Masaa 24 watakoma watendaji Wavivu yani ningekua namimi nimtendaji mapema naachia ngazi naenda Kulima Malinyi 😂😂😂😂
HALAFU UTAKUTA HUYO MTUMISHI NI MLOKOLE ,LAKINI HANA HATA HURUMA.
Daah kuna wakati ukiwa kiongozi unatamani kucheka kesi za watu weer😂😂😂😂 ila rohoo inakukataza.
Hahaaaaa
alaf wanakuja watu wanasema tumia lugha nzuri.. natamani makonda apewe kichwa cha yule jamaa wa kenya😂
Hivi hii njia tutamaliza kero ???Watendaji huku chini mbona kazi hazifanyiki ???Tumefeli wapi???Makonda hataweza kufanya pekee yake
Mbona huko Arusha wanafaidi sana,matatizo Yana fanyiwa kazi
Hakika huu ndio utawala Bora tunaouhitaji
Huku mkoa wa simiyu pia uje utetee wananchi Makonda
Huyu mama atumbuliwe,.
Kichwa Sana jamaa huyu anajua kaziyake
Na nyie mkome kujiunga kwa kikundi vya mashetani,yaani mbwa anakusanya hela linarusha wanyonge,afilicwe hill mbwa jixi.
Vumilia baba kiswahili Chetu ndo hivyo tuokoe baba
Fikoba
Ngasi
Huyo ndomakonda bwana
Haki za wanawake mko wpi.mnatetea vigogo vp masikini mbna hamtetee.
Mingu kamludidha magufuli
😂😂😂 haki ya nani unaweza ukajiuliza hawa hawapo dunia hii maana wanayoyafanyia hawana huruma na binaadamu wenzao duuh
Watumishi wa UMMA khaaa...
Baba wewe nikiboko Yao ata wewe ni rais wa wanyonge 😂😂
Piga kazi makinda
Hawakawii kusema wana nyanyaswa kijinsia😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙈
Wakuu wa mikoa wengine hawaoni hata kujaribu kufuata nyayo za huyu kamanda wamelala yooh
Hasa Manyara hovyoooo
@@user-kz7ys5qw2h ni hakuna kitu kabisaa vitambi tu
Hakuna tena kufanya kazi ni mikutano tu ya hadharani. Hii sidhani ndio njia sahihi kutawala. Kangaroo court will never work in TZ.
Wewe tumia akili hiyo pia ni kazi anafanya hapo,kazi sio officini pls.
Unaonesha kichwa 0
Unajua kazi ni office to?
Hata hapo ni office
Maana Kuna picha ya President na ni official
We naye matako tu