Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Nakumbuka Jebra kambole nakumbuka mimi nilikuambia mungu akubariki tulivyokuwa wote pale mahakamani. nilikupa uzalendo wa kutosha.
Ppppp⁰⁰ppppp
Kaka kambole safi sana mlifanya kazi nzuri sana na Mungu alikuwa upande wa wananchi.
SAFI SANA BROTHER JEBRA KAMBOLE...WAKILI MSOMI..KWA UJUMLA MAWAKILI HAMJATUAIBISHA...HAKIKA MMETUHESHIMISHA
Hongereni sana sanaaa❤❤
Hiyo ni shule kwa Jebra( tosha ..ni discussion ambayo yahitajika Dada Maria uipe nafasi isikilizwe hapo baadae!!!
@kambole🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙏
Huyo Bwana ana nyumba mbiguni
Hongera sana kwa kazi nzuri
HAIKUWA RAHISÌ...MMETISHA SANA MAWAKILI ❤
Hongera sana kaka kambole🙏🏻
Hongereni Sana,
Jebra wakili msomi Taifa letu na wapenda haki wote tunawapenda sana,MUNGU awalinde
Hongereni
Kazi Safi Jebra. Hasa la Judge kuwazuia wasiojulikana kuingia kwenye eneo la kuhesabu matokeo. Ameepusha goli la mkono kwakweli. Hongera.
Huyo jaji Mungu Baba Aendelee kulinda ila Aendelee kutenda kwa haki
Jebra Kambore umeeleza vizuri. Utaalamu huo kwa nini usifanyike kwenye chaguzi za kisiwa?
Hii ndio taswira ya chaguzi za ulimwengu huu! Kura za upande wa Kristo ni Dhamiri ya Mtu-
ASANTE SANA WAKILI MSOMI JEBRA
Naomba no ya mwabukusi
Nami pia naomba yake. Kuna mambo mengi mabaya tunakosa kwa kupeleka
Daaa kweli mliwabana😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉❤
Hiyo kuwa mlijipanga siku ya kupiga kura kwenda kujipanga mstari kusubiri upigaji kura ukamilike, kisha kubeba maboksi yote ya kura zilzopigwa na kukimbia nayo na kwenda kuyachoma moto ili kuuharibu imeniacha hoi na kucheka sana aisee🤣🤣🤣
Kutoka mbinga ruvuma sasa kama kula za wasomi tu.imekua mbinde je? Kwa nnchi nzima mnafikili itakuaje!? Ni hatari sana
Kweli kwa kura za nchi nzima inabidi kufikiri sana.
Mambo marahisi kama ni hivyo,ila ulinzi ndio mafanikio yenu
kama wanasheria wanateseka hiyo kulinda kura kwa hali za hivyo ni shida
Iyo mbinu itumike had kwenye uchaguz wa rais alooo nimependa ushilikiano wenu
Chaguzi zote owe hivyo hivyo.
Nakumbuka Jebra kambole nakumbuka mimi nilikuambia mungu akubariki tulivyokuwa wote pale mahakamani. nilikupa uzalendo wa kutosha.
Ppppp⁰⁰ppppp
Kaka kambole safi sana mlifanya kazi nzuri sana na Mungu alikuwa upande wa wananchi.
SAFI SANA BROTHER JEBRA KAMBOLE...WAKILI MSOMI..KWA UJUMLA MAWAKILI HAMJATUAIBISHA...HAKIKA MMETUHESHIMISHA
Hongereni sana sanaaa❤❤
Hiyo ni shule kwa Jebra( tosha ..ni discussion ambayo yahitajika Dada Maria uipe nafasi isikilizwe hapo baadae!!!
@kambole🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙏
Huyo Bwana ana nyumba mbiguni
Hongera sana kwa kazi nzuri
HAIKUWA RAHISÌ...MMETISHA SANA MAWAKILI ❤
Hongera sana kaka kambole🙏🏻
Hongereni Sana,
Jebra wakili msomi Taifa letu na wapenda haki wote tunawapenda sana,MUNGU awalinde
Hongereni
Kazi Safi Jebra. Hasa la Judge kuwazuia wasiojulikana kuingia kwenye eneo la kuhesabu matokeo. Ameepusha goli la mkono kwakweli. Hongera.
Huyo jaji Mungu Baba Aendelee kulinda ila Aendelee kutenda kwa haki
Jebra Kambore umeeleza vizuri. Utaalamu huo kwa nini usifanyike kwenye chaguzi za kisiwa?
Hii ndio taswira ya chaguzi za ulimwengu huu! Kura za upande wa Kristo ni Dhamiri ya Mtu-
ASANTE SANA WAKILI MSOMI JEBRA
Naomba no ya mwabukusi
Nami pia naomba yake. Kuna mambo mengi mabaya tunakosa kwa kupeleka
Daaa kweli mliwabana😂😂😂😂😂
🎉🎉🎉❤
Hiyo kuwa mlijipanga siku ya kupiga kura kwenda kujipanga mstari kusubiri upigaji kura ukamilike, kisha kubeba maboksi yote ya kura zilzopigwa na kukimbia nayo na kwenda kuyachoma moto ili kuuharibu imeniacha hoi na kucheka sana aisee🤣🤣🤣
Kutoka mbinga ruvuma sasa kama kula za wasomi tu.imekua mbinde je? Kwa nnchi nzima mnafikili itakuaje!? Ni hatari sana
Kweli kwa kura za nchi nzima inabidi kufikiri sana.
Mambo marahisi kama ni hivyo,ila ulinzi ndio mafanikio yenu
kama wanasheria wanateseka hiyo kulinda kura kwa hali za hivyo ni shida
Iyo mbinu itumike had kwenye uchaguz wa rais alooo nimependa ushilikiano wenu
Nakumbuka Jebra kambole nakumbuka mimi nilikuambia mungu akubariki tulivyokuwa wote pale mahakamani. nilikupa uzalendo wa kutosha.
Chaguzi zote owe hivyo hivyo.