Boaz Danken- Nina Njaa nina Kiu
Вставка
- Опубліковано 13 жов 2024
- Karibu tuungane pamoja kumwambia Bwana tuna njaa na wewe.
nina amini baada ya kusikilisa na kuutazama wimbo huu hamu Roho wa MUNGU atkuongeza shauku ya kumtaka BWANA sana sana
Yohana 7:37 (kila mwenye kiu aje............)
#BoazDanken #NgommaTZ
©2020 Administered by Ngomma VAS Limited.
How many agrees with me tha Boaz is a true worshipper of our LORD Almighty,so powerful,BWANA nafsi yangu yakuonea shauku🙏🙏🇰🇪
He is a man of the spirit
Very true
Kabisa
Roho wa Mungu pekee ambae amenidirect nimebarikiwa nimebarikiwa🤲🤲🤲🤲🤲
Niwachukulie wengine Kama ww mungu unavyo wachukulia Asante ubarikiwe mtumishi
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu hii ndiyo maana ya kuabudu katika roho na kweli 🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Huwa wanibariki sana na nyimbo kakaangu mungu azidi kukutunza😢
Mungu azid kukupa ujuz zaid uendelee kutuabudisha hakika ww n mungu Tena mungu usiyeshindwa
Daaaaaaaaaahhhh,, sichoki kuusikiliza huu wimbo. Nina njaaaaa mnooooo
Kuna kitu ndani yako kinachokuelezea wewe ni nani mbele za Mungu halafu kinapoleta mresho huja na nguvu za Mungu zinazomgusa kila aliye tayari kuupokea utambulisho huo.
Ni ombi langu kwa Mungu udumu hapo maana wengi sana wameondo bila kujua. Mungu akubariki sana
Hakika Mungu ambariki sana
Nina njaa na kiu ya kukuona bwana oooh Hallelujah 🙌🙌
Nakubali
Nyimbo
Zako
Unanipariki sana sana ndugu
Kikundi hiki ni cha nguvu Sana. Mungu azidi kuwainua viwango hadi viwango.
Mungu akuinue zaidi na zaidi
Aisee Mungu ni mwema nyimbo inautukufu wa MUNGU UBARIKIWE
Wimbo mzuri sana huu jamani
Safi sana utumishi mwema.
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿TANZANIA TUMEBARIKIWA..
Upako na neema zaidi juu yako mtumishi wa Mungu,the song is full of God's life not just words.
Amen ni ujumbe wa majira haya kwetu mwili wa Kristo Yesu
The song is verry powerful my brother
Nimebarikiwa sana
Asante Bwana,,,nakutamani Bwana
Real worshipper Brother Boaz Mungu akutunze
Mungu azidi kukupaka mafuta mtumishi, hunibariki sana na nyimbo zako! 😍
Balikiwa mtumishi WA mungu
Very powerful,YESU ATUFANYE KUWA NA KIU ZAIDI YA KUMTAFUTA NA KUMJUA,YAHWEEEEE
Wou! Najikuta wa tofauti jamaniiiiii! Nina njaa na kiu sana Yesu nishibishe
This is my song for this season.. #ninanjaa #ninakiu
😩nina kiu😩🤭God bless you
Ameen
I'm blessed with this song
Nina njaa na uwepo wako...nautamani ukamilifu wako Bwana 😭😭😭😭
Kama Ayala...let my heart rest in you God...
Nabarkiwa Sana na huu wimbo mungu na atujaze na roho wake ili tuwe na kiu ya kumtafuta mungu wakati wote🙏
Napenda nehema Boaz Danken Bwana amekupa, mafuta mapya kila mda.
I am blessed. Wimbo huu umenikumbusha mbali sana. Go higher!
👆🙌🙏
Nyimbo hii kila ninapo sikiliza nabarikiwa sana, Mungu azidi kukutumia mkuu
Be blessed MoG
Maombi yangu kwa Bwana Mungu! Tuonane paradiso siku moja ninapenda kwani unafanya nisogee zaidi mbele Ya Kristo kupitia kila sauti yako ya kusifu na kuabudu.
Mungu akutie nguvu katika uimbaji wako
Open my eyes further Jesus
Mubarikiwwee❤️❤️❤️❤️👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🌹🌹🌹❤️❤️
Tunakuhitaji Sana Yesu Tuguse Bwana 🤲🤲
Natamani ukamilifu wako Bwana... Thanks bro Boaz.. Ubarikiwe
Ninakiu Bwana niongoze
Nautamani ukamilifu wako ,,kama Ayala ayatamivo maji ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo Bwana
Nimeusikia uwepo wa Rohoni kwa nyimbo hii Nimenena na kwa lugha Oo Halleluya halleluya HALLELUYA
Ninanjaa nawe BWANA YESU , Barikiwa sanaa mtu wa Mungu
Barikiwa sana my brother nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu
Hallelujah huu haya mafuta na neema iliyokwenye huu wimbo atukuzwe Mungu baba wa Mbingu na nchi kukupa Neema yakutumikia kusudi ubarikiwe sana kaka
Mungu akubarik mtumishi hakika nmebarikiwa
Ahsante kwa Bwana kwa ajili ya wimbo mzuri kutoka kwa mteule wa Bwana.
Ameeen, kaka mtumishi ubarikiwe san
Nautamani ukamilifu wako we mungu Nina njaa na uwepo wako.sikia ee mungu
Mtumishi wa Mungu Boaz, Mungu aendelee kukupaka mafuta na kukufanya apendavyo kweli namtukuza Mungu kwa ajili yako 🙏🙏
Ahsante
🙏🏻🙏🏻🙏🏻 blessed
Congrats Boaz and your team! Nice song once again....
Ninanjaa na uwepo wako MUNGU wangu,, be blessed a man of God
Unijazee Roho Mtakatifu Bwana🙏🙏🙏
Nakutamani Yesu wangu,I need you more in our days.
Barikiwa Sana
Boaz, God bless you every day.
I like ours songs. You are the best for me. Be blessed Pastor.
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.......
God is Real
Asanteeee saana ndg. Be blessd
So Poweful. God bless you Boaz
keep up in God kaka🎤🎀
Nina njaa....ndio, nina njaa
You are a true servant of God
I want to be hungry for your Presence... oh God!
simply wonderful worship song.
So powerful song God bless you brother and lift you higher
Amen
Hallelujah Hallelujah!
Bro Boaz, God lift you up..🙏
Yes
❤❤❤❤
God bless you asante sana
Wimbo huu umekuwa wa kawaida sana
Naomba unipe wa kwako mzur mpendwa
Naomba wako mzr
Powerful powerful powerful... I am blessed
Powerful
The king of swahili worship songs, God bless you.
Nice
So powerful
Powerful!!!!!
When I listen to your songs I really go down on my knees
So blessing and encouraging.
Woow,
Felling blessed
Be blessed brother
Beloved, I don't know you in person but God knows you. God ministered to me in a revelation when I was on your profile to see things around you,I saw blessings but spiritual attacks holding onto them,in prayers,i saw a woman in the realm of the spirit monitoring and plotting delay in your life, with an evil mirror, and with a motive to destroy. But as I speak to you now her time is up, Render hand of favour with Anything you can afford or give to these motherless foundation (Godstime MOTHERLESS FOUNDATION) in kebbi state nigeria before 2DAYS with faith, as I Rise my hands towards heaven and pray for you they shall serve as point of contact wherever you are, you will receive double portion of grace to excel and total restoration of breakthrough in your life and in the life of your family. Ask for their acct details and help them call the MD in charge of the orphanage to get their details on (WhatsApp or call them now on +2349155255546) tell him I sent an you. For it is not by might nor by in power but of the spirit saith the lord (zechariah 4:6). You shall testify to the Glory of God in your life. God bless you.......
Amen🙏
🙏
Powerful, Beautiful, Amazing! Be blessed Boaz and team
Natamani mguso wa mungu
ua-cam.com/video/G6NZC_0EDGg/v-deo.html
Unijazee Roho Mtakatifu Bwana🙏🙏🙏