PAUL MWANGOSI: NAKUAMINI YESU NAKUAMINI
Вставка
- Опубліковано 9 лют 2025
- MOYO WA IBADA.
Hizi ni siku za Mwisho lakini Imani yako umweka wapi
Maana Biblia inasema mwenye haki ataishi kwa Imani
Usiku ule Musa anamsikia Mungu akitoa maelekezo juu ya kupaka Damu katika milango, yamkini kuna baadhi ya Wamisri walisikia, Ila hawakuwa na Imani
IMBA WIMBO HUU PAMOJA NAMI KWA IMANI
NAKUAMINI YESU NAKUAMINI
NAKUAMINI YESU NAKUAMINI
Nakuamini YESU wangu, nakuamini mtetezi wangu.
Very touching song,l'm really blessed
Kama unaamini kuna Watu Mungu anawatumia kubariki na kuinua Imani za wenginegonga like hapa..❤❤🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪
Nakuamini Yesu wangu bado nitaendelea kukuamini YESU WNGU
Umefanya vema sana kaka. Mungu azidi sana ndani yako
My brother naomba nifundishe kumtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake kama vile daudi alivyosema nitamtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake....
Suwezi hata kuandika zaidi ya kulia
Sijui kwanini nishindwe muamini alonitendea ni mengi sana kama ameweza kunilea tangu wazazi wangu waondoke duniani nimekuwa nikilelewa na watu mbalimbali hata hapa nilipo ni neema yake tu.
Miaka 22 bila wazazi na sasa niko Europe naishi maisha niliyoyataka why not?😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
I trust you Jesus, I love you Jezu, I worship you Jesu ❤
Huu wimbo sichoki kuusikiliza yaani nikilala nauimba usiku kucha nikiamka naamka nao na ninashinda nao, hakiika Mungu anajambo nami
Huu wimbo nimeusubiri mno nilikuwa nausikiliza online radio ya Mungu kwanza kila ukipigwa naacha kufanya ninachofanya na hata ukipigwa nikiwa usingizini naamka. Wimbo huu una upako wa aina yake. Barikiwa mtumishi na huduma yako inabadilisha...Mungu aendelee kukutumia kutuvuta karibu Naye.
This new song "Nakuamini", God gave me the exact same song last year October 22 and I actually recorded a voice note.
When I heard you sing it I remembered it immediately. Glory to God for using you mightily!
I want a miracle of healing lord I want to testify your healer name najua utaniponya tu😢😢
Woooow!!!huuu wimbo ni mpya bila shaka!!!kwekweli nakuamini Yesuuuuu shujaa wa msalaba!umegusa moyo wangu!!! upandishwe Kwa viwango vya juu zaidi na zaidi mtumishi Paul Mwangosi!!!
My brother naomba nifundishe kumtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake kama vile daudi alivyosema nitamtumikia Mungu katika uzuri wa utakatifu wake....
Kaka Mwangosi nami pia namwamini Yesu pamoja na mlango wote wa nyumba ya baba yangu.
😭😭😭 nakuamini sana YESU nakuamini mnoooo kuliko vyote 😭😭😭🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Hata sasa katika haya mapito yanayoendelea bado nakuamini Yesu.😭😭😭😭
Nakuaminiiii, YESU nakuaminiiii.
Nakuamini Yesu bado Nakuamini wewe
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
NAMI naamin Yesu atatenda Kwa Yale ninayopitia leo kazini kupata haki yangu.
My all time worshiper. One day by God's grace we will meet and plan something. Yesu nakuamini.
Amen Amen Huu ni wimbo wa moyo wangu Asante YESU kwa ajili ya Mwangosi nimejibiwa Maombi ,,, NAKUAMINI YESU Was waiting for this miracle may your soul be blessed abandantly...
Amina Bwana YESU. Nakuamini na nitaendelea kukuamini bila kujali ni nini kinatokea kwenye maisha yangu. maana ahadi zako ni kweli na kama uliahidi hutaniacha utakuwa pamoja siku zote hata ukamilifu Bwana YESU nakuamini. AMINA, UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU NA MUNGU AENDELEE KUKUTUMIA KWAAJILI YA UTUKUFU WA JINA LAKE MILELE NA MILELE. 🙏
Utukufu kwa Mungu.
I do trust Jesus.
Mungu akubariki mwangosi kwa huu wimbo mzuri
Bujumbura Burundi nakuamini mungu wangu
Nakuamini Yesu, nisamehe kutoamini kwangu
Nakuamini Yesu though nmepoteza watoto utanipa wengi zaidi , this is my cry to you. My name is mom of Nations kwa baraka zile ulizompa Sara
Nakuamini YESU hujanikatia tamaa, najua upendo wako kwangu n mkubwa sana, I need a joyful life from you
Nakuamini Sana yesu wangu ni nini kinitenge na upendo wako dhiki njaa au uchi nakuamini mnooooooo yesu Mungu akubariki Sana Paul mwangosi
Ameni ameni aaminiwe aliyeko ju ju ju ju zaidi huu ni wimbo wenye nguvu rohoni hakika mungu azidi kuwajalia nguvu zaid na zaid za kutoa nyimbo nyingi kuweza kulitangaza jina la mkuu alie umba mbingu na nchi hakika hallelujah hallelujah mungu awabaliki Sana nyote mulioshiliki nyimbo hii maana tumepokea kitu ndani yake 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌👈
Nakuamini Bwana katika haya nikuombayo ipo siku utanijibu Yesu nakuamini😭😭😭😭😭😭
Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Nakuamini Yesu
Nakuamini wee YESU
Nakuamini Bwana Yesu naamini kuwa utakuwa pamoja nami siku zote huchoki kunihurumia na kunitendea na kunitegemeza. Jina lako Bwana Yesu na lihimidiwe. Asante Yesu kwa kila kitu kwa furaha na kwa huzuni, kwa kupata na kwa kukosa, kwa kushinda na kwa kushindwa. Daima wewe utabakia kuitwa Mungu. Asante sana Bwana yesu
Sioni cha kunitega na wema wako Yesu nakuamini kwako niko salama
Nakuamini Yesu hujawahi kunia Cha hata nilipojikwaa uliniinua Tena.Asante kwa rehema zako.
nakuamini Bwana🙏🙏🙌
To me this is the song of the year Lord Jesus I know and believe you are alive sitted at the right hand side of God the Father. I trust in you
Kuna uzima wa milele katika kumwamini Yesu Kristo. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu kwa wimbo wa ibada, ni wimbo unaogusa sana.
AMINA ni YESU tu peke yake Haufananishwi
Powerful song.full of holy spirit.hata Mimi Yesu nakuamini.yote yaliyo mbele yangu.nakuamini 100 percent bila wewe Mimi siwezi.
Haufananishwi BWANA, wewe pekee ninakuamini YESU❤❤
Hakika katika hali zote.Yeye Yesu Kristo anadumu wakuaminiwa,milele na hata milele.
Amina Sifa na Utukufu kwa Mungu pekee
Nakuamin Mungu wimbo umenivusha kwayale nayo kumbana nayo najuwa Mungu nakuamin m balikiwe watumishi Mungu awainuwe zaid
Mtumishi ulikuwa umetutelekeza vijana wako tunaohitaji kumwabudu Mungu katika viwango vya juu,barikiwa sana
Nakuamini Yesu Nakuamini,
Amina sana mtumishi tupone
Nakuamini nakuamini Yesu nakuamini ,majira na nyakati zote nitakuamini
Bado NAKUAMINI BWANAAAA😭😭😭 YESU NAKUAAAMINI NA KUKUPENDA SANAAA😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Nakuamini kwa Hili🙌🙌🙌hata kama naona nikungumu nakuamini mungu wangu.time like this I will testify how faithful your timing is🧎♀️🙏.
Nakuamini Bwana Wangu Yesu Kristo 🙌🙌
AM BLESSED MUCH🙏... na Bro Msuya YESU akuinue zaidi.. niliona clip nkataman ata nipate ii nymb since last year was pray for... THANKS MUNGU awakumbuke daima
I will always believe and trust in You Jesus no matter the situation 🙏
Yesu nakuamini wewe katika Mapito ninayoyapitia nakuamini utanivusha,hakika ntaendelea kukuamin Leo,kesho,hata mile..Amina.😭😭🙏
Amina nakuamini yesu hata kama hujanijibu wewe unajibu nakuamini yesu
Namuamini yesu maana Kama siyo yeye Mimi nisinge comment
Power full groly to the lord God almighty the king majesty
Hakika,hakika...nakuamini Sina mashaka na wewe.......
Nasema, Yesu Nakuamini Amina; Baraka na utukufu na shukrani na uweza na nguvu zina Mungu wetu hata milele na milele. Amina.
In seasons and out of seasons,,,ana stahili kuaminiwa milele
Baba mwaminifu ......YESU nakuamini!
I PUT MY FAITH IN YOU LORD GOD!
Nakuamini Yesu ni mengi umenisaidia, nisamehe kutokuamini kwangu
Amen good songs mungu akuinue kwa viwango sana
Yesu nakuamini 💯
Nakuamini Nakuamini sana Yesu wangu❤❤
Nakuamini yesu 🙏
tunaomba utuwekee na wimbo wa ebeneza huwa naupenda sana
Ameen ubarkiwe mtumish
Nakuamini Yesu Kwa Mtumishi wako Mwangosi Mungu wewe ndiyo Kila kitu kwetu
Asante kaka mwangosi kwa kunifundisha kitu. Hapa nimeelewa nilikuwa sijui chochote
YESU NAKUAMINI...BARIKIWA SANA MTUMISHI WA MUNGU
Naomba uni feat kwenye video ya huu wimbo Mr Paul Mwangosi hata Mimi ni Gospel sivumi lakini nimo
😭nakuamini Yesu🙌
Nakuamini Yesu nakuamini
Very Powerful 🔥🔥 still am believing in Him
🙏🙏
Amen n amen
We miss u mwangosi jmn kwenye semina,duh
Mungu akulinde 🎉
Nakuamini
JINA LA YESU LIIINULIWE SANA
Nakuwekea amana maisha yangu yesuuu🙌
Utukufu Kwa YESU barikiwa sana baba🙌
Nmefurahia kuona hapa mtumishi 🙌🏽
Powerful song, Glory to our Lord
Amen Amen Hakika katika yote tunakuamini Mungu
Asante Yesu nakuamini Baba... ubarikiwe sana mtumishi...
Naamini kwa hilo kabisa
Nakuamin Yesu wng 🙏🙏🙏
I really love this man of God, I keep praying for you Sir. Hope one time will meet
He's a very humble creature one day I met him live, prepare for a conference Dodoma thuandamane I
NAKUAMINI YESU ♥️♥️♥️
Amina 😢😢😢
Powerful song🙌
Yesu nakuamini hata kama hujatenda bado nitaendelea kukuamini
I wil always trust u Daddy coz in Isaiah 55:11 says no word comes out of your mouth wil come back to u null and void I trust u Jehova Adonai
Balikiwa sana
BWANA nakuamini🧎🏾😭
To God be the glory ❤
Wow amen amen amen amen 🙏
Nakuamini Yesu thanks Paul Mwangosi
be uplifted my brother in service and calling.....glory be unto Him who liveth above
Woow wimbo wenye upako. Hakika Yesu nakumini
Amen. YESU NAKUAMINI. HALLELUJAH