Mzee huyu alikuwa hapendi watu waongee na kukosoa serikali yake alitaka watu wakae kimya hata kama kuna mambo yanaenda hovyo kwenye serikali bado watu walilazimishwa wasijadili. mtu aliyejitaidi kukosoa alichukuliwa hatua kali na kuonekana kama siyo mzarendo ni msaliti wa nchi. kila siku kwenye vituo vya television, radio,magazeti na media zote alisikika yeye tu
TANGU LINI MSUKULE UKAONGEA! MSUKULE UNAONGEAGA NENO MOJA TU..... "WAPIGWE TU HAO" au mtapigwa tu! Watu wanapotezwa, wanakufa, wanapigwa risasi hadharani na wasiojurikana, maiti kwenye viriba, wizi wa Trilioni 1.5, maisha magumu, watu kufukuzwa kazi kiholela na mengine mengi ya kusikitisha, halafu unataka watu wakae kimya. Nyambafu zako!
Ni vema kutambua ukimya ni hulka na pia kuongea ni hulka. Pindi mwenye hulka ya kunyamaza akaongea kuna mawili. Mosi, akapata kusikilizwa sana kwasababu si kawaida yake na pili, akaonekana anaropokwa. Vivyo hivyo kwa mtu mwenye hulka ya kusema, anaweza onekana ni kawaida yake na anapoamua kunyamaza atapata 'attention' kwamba nini kimemsibu bwana huyu. Hivyo basi, kama kuna wako wa kimya basi tuwatambue na wanaosema maana wote wanamichango muhimu, ila kutatokea ihtilafu kama woote watalazimishwa kuwa wakimya(mkimya+msemaji) au kinyume chake. Natukubali kuwa ni suala la Asili kuwa na pande mbili tofauti zenye mvutano na hii ndio maana alisi ya Muungano 'Unity' na msamiati kuvumiliana ndipo ukazaliwa. Na yeyote mwenye kulitambua hilo, basi anajitengenezea njia ya kukua kifikra, hisia na kwa utu wake kwa ujumla (maendeleo yanazaliwa ). Kinyume na hapo, ni mfarakano na kutokuvumiliana na mwisho wa siku hakuna atakaeshinda bali ni muanguko kwa wote. Hivyo basi ushauri wangu kwako mtukufu Raisi, tambua mchango wa wanaosema na kufikiri tofauti na wewe.
Acheni kulaumu na kushutumu walaumuni baba zenu na mama zenu ambao awkuwawekea mpango mzuri Wa maisha. Acheni kumtukana kiogozi wetu. Mnalaana nyinyi nyote mnaomtukana kiongozi wanchi na laana hii itawatesa nyinyi na familia zenu na vizazi vyenu kama mmetumwa kutoka kuzimu imekula kwenu Sisi wetu tunampenda Bali nyinyi mnaombeza na kumkashifu mnalaana ya MUNGU inawala.
Asante mheshimiwa Raisi JP Magufuli. Mola yu nawe.
Mzee Pinda you're too special hahahaha Magu kajifunze tu kiinglish maana ni tatizo kubwa kwako
Mzee huyu alikuwa hapendi watu waongee na kukosoa serikali yake alitaka watu wakae kimya hata kama kuna mambo yanaenda hovyo kwenye serikali bado watu walilazimishwa wasijadili. mtu aliyejitaidi kukosoa alichukuliwa hatua kali na kuonekana kama siyo mzarendo ni msaliti wa nchi. kila siku kwenye vituo vya television, radio,magazeti na media zote alisikika yeye tu
apige kelele gani xaxa yeye anamaisha mazuri cc walalahoi ndo tunaeteseka
aaah mzee tuache ,sasa watu wote wakae bubu hata kama kuna jambo linakera!!! mficha uchi hazai"
Mohamed. Hassani useme nn sasa ma..vii kweli wewe
+Said Asimba shut up Idiot wewe
Dah TZ tulibet vibaya sana
Kweli kabisa
Akuprleke kwa mganga ili akazuie damu za watu zisikufwate maana hutalala nini kimemshinda alikokua mamamee
haya ndio unayo yapenda watu wakae kimya hata kama kuna mabaya wakae kimya tu
nazungumza sincerely
Hapo kwa kuonekana kijana Mzee baba pinda mh
Duuuuuuh sababu hakemei ujinga unaoendelea,wa kustaafu yupi na amwachie nani kiti
kwahiyo kama yeye hasemi nawengine wasiseme kwani wenani lazima wa2 tuseme utake usitake
Atakupa nani kozi mtu mpenda kusifiwa.
Frank Mushi hapo ipo kazi kwahyo wastaafu wasiongee kitu
TANGU LINI MSUKULE UKAONGEA! MSUKULE UNAONGEAGA NENO MOJA TU.....
"WAPIGWE TU HAO" au mtapigwa tu!
Watu wanapotezwa, wanakufa, wanapigwa risasi hadharani na wasiojurikana, maiti kwenye viriba, wizi wa Trilioni 1.5, maisha magumu, watu kufukuzwa kazi kiholela na mengine mengi ya kusikitisha, halafu unataka watu wakae kimya.
Nyambafu zako!
Unacheekesh kweli kwahiyo hupendi tuongeeee
Eti haongei chochote, mbona tunajua ndvyo mnavyotaka
Mungu akuongezee afya Rais wetu
Bora nimkumbuke Pinda lakini siyo wewe!.
uyu mzee atuwezi kumkumbuka kwawema mana alisema wapigwe tu kisa kudai akiyao
Nyie ni wauaji
Ni vema kutambua ukimya ni hulka na pia kuongea ni hulka. Pindi mwenye hulka ya kunyamaza akaongea kuna mawili. Mosi, akapata kusikilizwa sana kwasababu si kawaida yake na pili, akaonekana anaropokwa. Vivyo hivyo kwa mtu mwenye hulka ya kusema, anaweza onekana ni kawaida yake na anapoamua kunyamaza atapata 'attention' kwamba nini kimemsibu bwana huyu.
Hivyo basi, kama kuna wako wa kimya basi tuwatambue na wanaosema maana wote wanamichango muhimu, ila kutatokea ihtilafu kama woote watalazimishwa kuwa wakimya(mkimya+msemaji) au kinyume chake. Natukubali kuwa ni suala la Asili kuwa na pande mbili tofauti zenye mvutano na hii ndio maana alisi ya Muungano 'Unity' na msamiati kuvumiliana ndipo ukazaliwa.
Na yeyote mwenye kulitambua hilo, basi anajitengenezea njia ya kukua kifikra, hisia na kwa utu wake kwa ujumla (maendeleo yanazaliwa ). Kinyume na hapo, ni mfarakano na kutokuvumiliana na mwisho wa siku hakuna atakaeshinda bali ni muanguko kwa wote.
Hivyo basi ushauri wangu kwako mtukufu Raisi, tambua mchango wa wanaosema na kufikiri tofauti na wewe.
Hasa mizengo pinda mtu ? Hata akiongea atasilikizwa nani
Sa kuful nalo linaongeaga? Hata likchokonolewa, linatulia tu
Magu🙏
ha ha haaa patamu hapo
Hana cha kusema
Safi mh magufuli
Acheni kulaumu na kushutumu walaumuni baba zenu na mama zenu ambao awkuwawekea mpango mzuri Wa maisha. Acheni kumtukana kiogozi wetu. Mnalaana nyinyi nyote mnaomtukana kiongozi wanchi na laana hii itawatesa nyinyi na familia zenu na vizazi vyenu kama mmetumwa kutoka kuzimu imekula kwenu
Sisi wetu tunampenda Bali nyinyi mnaombeza na kumkashifu mnalaana ya MUNGU inawala.
Hekima Elia kabisa maneno kuntu kila siku wanalalamikia serikali wapambane na hali zao
Ukifanya fujo....umeambiwa usifanye hivi weae ukakaidi....utapigwa tu
Unataka aseme hili humfirisi kama sumaye
NI KWELI MKUU, SASA UNAMUENZI VIPI HUKU KATAVI TUNASOTA, BARABARA ZA MITAA ZINATIA HURUMA, ZA MIKOWA USISEME .
Tumkumbuke kwa lipi hana akili bora tena ww licha hatukutaki
Wauwaji wahalifu wanapongezana
utaani1 ma..vii wewe
nenda huko
ujaachaga utoto tu
Hanifa Rukman 😀😀😀😀...Dah umenichekesha sana
Mzeee wa piga tuuuuuuu
Mohamed hassan safari hii mficha uchi atazaa tu
hats Mimi kama pinda au punda
piga tu
Mzee neng'enekaa weeee lakini kesho kutwa lazima ujue kama watanzania sio wajinga au waoga kama unavyofikiria na wana uchungu na nchi yao
Abs Saleh andamana uone moto si umeshavimbiwa makande
Estar Adam inawezekana nimevimbiwa makande na nyie mnao taka kuzua haki ya kikatiba mumevimbiwa hela za wananchi
Abs Saleh Ha ha haaaa, hakuna maandamano bro
Mayala James hahaha bro rais mwenyewe anajua kama kuna maandamano.
Mayala James nimeamini maneno yako
Hongera mh. Pinda