God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu
Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi
Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000
Ebr 13:7 (SUV) Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.
Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.
Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂
@@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"
God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu
Thank you pastor, umetupa challenge nasisis tupambane, tusiishie kwenye vitu vya buku buku , because we are the sons of God
Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi
Tell themmmm
Ni wale ambao hawajui brand za vitu..tunao hua tuna jua hapo ni ukweli mtupu,watu washazoea vitu vya k,koo huwezi muaminisha vitu vzr
Acha upuuzi huo wewe
Niko naiwaza hyo jins ya million 3 ni ya ainagan hyo
Mh itakua aichaniki wala haichafuki
Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000
Acha uongo wewe
@@jumaamohamed2815 wivu utakuuwa wewe😂😂😂😂
He deserve more than that,tafuteni ufalme wa Mbinguni na mengine mtazidishiwa
Kwa wale wanaocheck zaidi mavazi wanasahau kuna jambo la muhimu zaidi from 4:19 apo kuhusu kurithi mali za Mungu
Kwanza nilikuwa sijui kama unaulimbukeni wa kiwango icho ndio maani dini zingine zinaamini wachungaji wa kristo ni wezi
Ayo ni matatizo yao Acha na wao wakaibe kama rahisi😂😂😂
Ebr 13:7 (SUV)
Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.
Anavaa nguo brand lazima ziwe na gharama
Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.
umeongea vzr mno, tena sana, ukishakuwa mtumishi wa MUngu kuketi vibarazani pa wenye mizaha siyo poa, SEMA BADO NA KIJANA PIA UJANA MAJI YA MOTO.
Wisdom
Mungu yupo jamani
❤
Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata
Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂
Uwongo hamna t shrt ya dola 500 kwenye hiyi dunia tumetembe kwenye maduka makubwa
Aaaaaah Dunia ni uwongo tuuu.
Umaskini wako ndio unakuponza kudhani watu ni waongo . Tafuta ela wewe tena na Mungu
Tafta helaaa
@@veeJesus ela zipo watu waache kumsema pastor
Msiongelee na kuamini moja kwa 1 wew yasikie pita kule et kisa mchungaji bas unaweka imani yote kwake oya hamjui nyinyi et
@@leopoldmashaka Tumemwona Mungu kupitia Yeye kwa nini tusimwanini
😮
Repoter fanya research mpaka grenader unaita mercedes
Walton wengi hatujui kiingeleza
Siuongee kiswahili unaboa past
Mmh mwili ni hekalu la MUNGU sijui ni nguo......
Mbona pasta anapenda kuongea kiingeleza sana hadi kero yani
😂
aliekwambia usisome ni nani?
Huyu pastor kanisa lake liko wap
Morogoro sehemu panaitwa kasanga kokoto morogoro
Lakn pia Dar makumbusho
Hata mimi nilinunua hiyo bei
😂😂😂 mpaka ma pastor ni waongo?
Ww nimuongo mbwa tena dah! Sema nmecheka sana
Tafuta hela ww pastor sio muongo
@user-dr6sd6bb2f muongo huyo pastor fake
@@jumaamohamed2815fake ni wewe kijana tafuta helaaa
Kuwa mwangalifu usije bidi kumtafuta uombe sory he is something else
@@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"
😂
Hiyo ni mishahara ya watu
Chunga kauli usije ukahukumiwa kwa kinywa chako
Hvyo vyote ni uongo hlf hamna t shrt au surual ya milion 3 labda iwe suit
Tafuta hela mzee
😂
Umeniwahi
Zipo tishrt hadi za milion 6. Ela zipo kijana tafuta na jifunze zaidi kwa this man of God ufunguke ata ayo macho
@@eunicekissanga2060 m n moja kat ya watu mwenye experience na hvy vtu nitajie kampuni ya hayo mavaz na material yake cz zote nazjua
Kijana hujaokoka.
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣