Utajiri wa Pastor Tonny Kapola, gari lake zaidi ya Milioni 300, ataja Outfit yake kwenye

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 65

  • @DeboraSamhenda
    @DeboraSamhenda 7 місяців тому +7

    God is real now watu wanadhani wanaostahili kumiliki vitu vikubwa ni Watu wa wasiomwamini Mungu mambo yamebadilika aise, Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu wenye wivu waendelee kuwa nwa wivu wao na umefika wakati Wana wa Mungu lazima tuwe wa juu

  • @jeraldjensen6504
    @jeraldjensen6504 7 місяців тому +5

    Thank you pastor, umetupa challenge nasisis tupambane, tusiishie kwenye vitu vya buku buku , because we are the sons of God

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 7 місяців тому +22

    Yani Tanzania ndio mana kuna watu wanakufa maskini alafu kuna mimtu inawivu sija pata kuona yani inawivu hadi na pastor yani mtu yeye kazoea kutumia vitu vya buku buku akiona mwingine anatumia vitu vya dhamani kubwa eti inaumia kwa sisi wafanya biashara tuna jua hakuna kitu chauongo alicho ongea pastor Tonny hapo vyote ni ukweli kabisa.shida watu wakiambiwa ukweli hawataki wanataka uwongo tuu eee basi

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 місяців тому

      Tell themmmm

    • @rosejohn3362
      @rosejohn3362 7 місяців тому

      Ni wale ambao hawajui brand za vitu..tunao hua tuna jua hapo ni ukweli mtupu,watu washazoea vitu vya k,koo huwezi muaminisha vitu vzr

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 7 місяців тому

      Acha upuuzi huo wewe

    • @gerry_macopper3808
      @gerry_macopper3808 7 місяців тому +1

      Niko naiwaza hyo jins ya million 3 ni ya ainagan hyo

    • @leopoldmashaka
      @leopoldmashaka 6 місяців тому

      Mh itakua aichaniki wala haichafuki

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 7 місяців тому +11

    Inawezekana watu hawajui kuwa maisha ya mwanadamu yako kwenye matabaka nguo hiyohiyo unayoweza kuinunua kaliakoo kwa elfu hamsin ukienda mlimani city unaweza ukainunua 500,000

  • @evelinelema4563
    @evelinelema4563 6 місяців тому +2

    He deserve more than that,tafuteni ufalme wa Mbinguni na mengine mtazidishiwa

  • @Saitabau99
    @Saitabau99 7 місяців тому +4

    Kwa wale wanaocheck zaidi mavazi wanasahau kuna jambo la muhimu zaidi from 4:19 apo kuhusu kurithi mali za Mungu

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 6 місяців тому +3

    Kwanza nilikuwa sijui kama unaulimbukeni wa kiwango icho ndio maani dini zingine zinaamini wachungaji wa kristo ni wezi

    • @jenalasimbeye9591
      @jenalasimbeye9591 6 місяців тому

      Ayo ni matatizo yao Acha na wao wakaibe kama rahisi😂😂😂

  • @sarahmwasyoge1830
    @sarahmwasyoge1830 6 місяців тому

    Ebr 13:7 (SUV)
    Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.

  • @damianlyimo1011
    @damianlyimo1011 7 місяців тому +4

    Anavaa nguo brand lazima ziwe na gharama

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 7 місяців тому +3

    Si vibaya kutaja price lkn kwa nafasi yake kama mchungaji haimpasi kutengeneza ukakasi au maswali yasiyo na ulazima wowote.....Binafsi nashauri next time aseme No comment on price people will search Google themselves.

    • @Manyohu.tv1
      @Manyohu.tv1 7 місяців тому

      umeongea vzr mno, tena sana, ukishakuwa mtumishi wa MUngu kuketi vibarazani pa wenye mizaha siyo poa, SEMA BADO NA KIJANA PIA UJANA MAJI YA MOTO.

    • @musamalaba6401
      @musamalaba6401 6 місяців тому

      Wisdom

  • @arrfamush3285
    @arrfamush3285 7 місяців тому +2

    Mungu yupo jamani

  • @MbumiTimoth
    @MbumiTimoth 3 місяці тому

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 7 місяців тому +4

    Unajua watu hawajui Kuna jeans ya kariakoo bei ndogo na kubwa na Kuna jeans 👖 ya brand na Kila brand Ina bei yake it depends ni wap unaipata
    Jaman kama wewe hujawai kuona t-shirt 👕 au jeans za bei za garama kubwa basi ujatembea dunian 😂😂😂😂

  • @meflorlionel7497
    @meflorlionel7497 4 місяці тому

    Uwongo hamna t shrt ya dola 500 kwenye hiyi dunia tumetembe kwenye maduka makubwa

  • @deesouth5887
    @deesouth5887 7 місяців тому +2

    Aaaaaah Dunia ni uwongo tuuu.

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 7 місяців тому +2

      Umaskini wako ndio unakuponza kudhani watu ni waongo . Tafuta ela wewe tena na Mungu

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 місяців тому +1

      Tafta helaaa

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 7 місяців тому

      @@veeJesus ela zipo watu waache kumsema pastor

    • @leopoldmashaka
      @leopoldmashaka 6 місяців тому

      Msiongelee na kuamini moja kwa 1 wew yasikie pita kule et kisa mchungaji bas unaweka imani yote kwake oya hamjui nyinyi et

    • @veeJesus
      @veeJesus 6 місяців тому +2

      @@leopoldmashaka Tumemwona Mungu kupitia Yeye kwa nini tusimwanini

  • @edo64463
    @edo64463 5 місяців тому

    😮

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 7 місяців тому +1

    Repoter fanya research mpaka grenader unaita mercedes

  • @DidasPeter-uv3mi
    @DidasPeter-uv3mi 6 місяців тому

    Walton wengi hatujui kiingeleza

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 6 місяців тому

    Siuongee kiswahili unaboa past

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 6 місяців тому

    Mmh mwili ni hekalu la MUNGU sijui ni nguo......

  • @DidasPeter-uv3mi
    @DidasPeter-uv3mi 6 місяців тому

    Mbona pasta anapenda kuongea kiingeleza sana hadi kero yani

  • @aristidessaristarck3494
    @aristidessaristarck3494 7 місяців тому +2

    Huyu pastor kanisa lake liko wap

    • @elishacharlesjr3611
      @elishacharlesjr3611 7 місяців тому +1

      Morogoro sehemu panaitwa kasanga kokoto morogoro

    • @veeJesus
      @veeJesus 7 місяців тому +2

      Lakn pia Dar makumbusho

  • @yalhafoundationafrica9961
    @yalhafoundationafrica9961 7 місяців тому

    Hata mimi nilinunua hiyo bei

  • @LambeDon_
    @LambeDon_ 7 місяців тому +1

    😂😂😂 mpaka ma pastor ni waongo?

  • @kari_ahmad06
    @kari_ahmad06 7 місяців тому +3

    Ww nimuongo mbwa tena dah! Sema nmecheka sana

    • @WilfredWilfred-v5q
      @WilfredWilfred-v5q 7 місяців тому

      Tafuta hela ww pastor sio muongo

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 7 місяців тому

      ​@user-dr6sd6bb2f muongo huyo pastor fake

    • @hildamasonda6528
      @hildamasonda6528 6 місяців тому

      ​@@jumaamohamed2815fake ni wewe kijana tafuta helaaa

    • @neemamgowole5227
      @neemamgowole5227 6 місяців тому

      Kuwa mwangalifu usije bidi kumtafuta uombe sory he is something else

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 6 місяців тому

      @@neemamgowole5227 Hamna kitu Hao madalali tu kama madalali wengine, Sema ukishawaamini sana unakuwa dizain kama yako unahisi Wana Power sana kumbe si tunawaonaga kama Comedian tu"

  • @PortNovember-wk2cw
    @PortNovember-wk2cw 5 місяців тому

    😂

  • @SamwelKiyanga
    @SamwelKiyanga 7 місяців тому

    Hiyo ni mishahara ya watu

  • @barakamashimbe9457
    @barakamashimbe9457 7 місяців тому +1

    Hvyo vyote ni uongo hlf hamna t shrt au surual ya milion 3 labda iwe suit

    • @kimongapro
      @kimongapro 7 місяців тому +1

      Tafuta hela mzee

    • @tokomezavidondasugu4122
      @tokomezavidondasugu4122 7 місяців тому

      😂

    • @damianlyimo1011
      @damianlyimo1011 7 місяців тому

      Umeniwahi

    • @eunicekissanga2060
      @eunicekissanga2060 7 місяців тому +3

      Zipo tishrt hadi za milion 6. Ela zipo kijana tafuta na jifunze zaidi kwa this man of God ufunguke ata ayo macho

    • @barakamashimbe9457
      @barakamashimbe9457 7 місяців тому

      @@eunicekissanga2060 m n moja kat ya watu mwenye experience na hvy vtu nitajie kampuni ya hayo mavaz na material yake cz zote nazjua

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy 7 місяців тому

    Kijana hujaokoka.

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 7 місяців тому

    🤣🤣🤣

  • @bustabruce480
    @bustabruce480 7 місяців тому

    🤣🤣🤣