EXCLUSIVE: SAKATA LA LAWI NA SIMBA | COASTAL UNION WAJIBU | YUPO KAMBINI TANGA.? | TITO AFUNGUKA....
Вставка
- Опубліковано 7 лип 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv - Спорт
Mimi Simba naipenda lakini kwa hili la Lawi Simba wajue yule ni mchezaji wa Coastal Union na tatizo la Simba wanaua vipaji vya wachezaji k.m. mchezaji Ame wamemchukuwa kwa vishindo matokeo yuko wapi hebu wasiminyane na Costal. Hawa Coastal wanajitambua ukiwaingia kichwa kichwa utaumia ni timu yenye viongozi wanaojua sheria.
Simba ni timu kubwa hatu bembelezi mchezaji
Simba team kubwa
Mmekuwa na tamaa mtakosa yote na Lawi atashuka kiwango hatasajiliwa Tena Simba
Kwani vijana wa ki Tanzania
Waliosajiliwa simba wakisha fan fanikiwa kuingia makundi na hata robo fainali watapanda chat
Hivyo Simba haitasajili Tena Lawi na wakati huo Coastal union wakati imefeli makundi na Coastal haitapanda tena.
simba tuachane nae tu
Km vip simba tuachane nae mbona tumemuacha inonga ,, chama walikua watu muhim mno, ije hicho kitoto . Wabaki nacho km vip