OHOO! BOMU JIPYA LINASUKWA HAPA | TAZAMA KOCHA FADLU AKIWA MAZOEZINI NA KIKOSI SIKU YA KWANZA
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App Store - apps.apple.com...
📱 Play Store - play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC UA-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Mungu awalinde na AWATETEE akawape maarifa na uelewa pindi kocha akiwafundisha🙏🏽🙇🤲
Safii saana Team yangu.. Next season tusipoe tusiboe
Kama kwl ww nimshabiki kindakindaki wa Simba naomba like zako apa
Likes zinakusaidia nini
Ya Allah tulindie wachezaji wetu kwa mabaya yote yatakayo pita mbele yao🤲
Aamiin Yaa Rabb ❤❤❤
Amen
Simba nguvu moja 💪💪
Aamiin
@@SalumHaji-dn3vl
Biidhiin LLAH
🔥🔥🔥🦁🦁🦁💪💪💪
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Nguvu Moja ngoja tuone msimu ukianza maana Simba yangu naipenda sana
Jamani naomben like kam ww ni mwan simba
Kila la khery mnyama Simba sports club ktk maandalizi Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
Nguvu Moja❤️🔥
Wana simba gonga like hapa❤
Kama unaimani na kocha gonga like hapo
Nakubali nakubali coch
Immani ipo
Nyoko nyoko gonga like hapa Fara wewe
@@timothnakiz-zb4rz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
My one and only club in this universe
Wanasimba tuombe Mwenyezi Mungu awajalie heri wachezaji waelewe maelekezo ya Coach mapema.Simba Imara..Nguvu Moja❤
Kwa alieona ukubwa wa Simba gonga like apo
Mungu awalinde ❤
Nimeamin wachezaji wengi wa nchi hi wanafeli kwasababu ya lugha sometimes
Karibu wote tu wanamuziki,bongo movi,comedian,lugha iawaangusha sana,wangekuwa mbali zaidi ya walipo sasa,elimu dunia sasa asilimia 90,hawana kitu,empty😢
Imani ipo ila usiriouly kwenye kuandaa utimamu wa mwili,mifumo ya uchezaji, ni muhimu sana kwa wachezaji wenyewe.. wasichukulie mazoea hasa kwa hawa wachezJi wetu wa kibongo Tz😊
Like walimuona Deborah mtu na nusu muda wote macho spirit hatar yupo makin nipe like za Deborah
Amin❤❤
Matola anachukua ufundi, kama namuona kuwa kocha bora sana africa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ moto utawaka kwa mkapa kila mbwa atabwaka
My team ❤
Mwenyezi MUNGU ampe ujasiri kbs fadlu wamuelewe wachezaji
Amiiiiiiiina 🙏
Iwe hivyo
Iyo chimba ijayo chacha combination master❤❤🦁
Naipenda simba
Alhamdulillah, tumshukuru mola wetu maana kila unaloanza naagizo yanasema Anza na yeye na mi nasema... Tumuachie yeye kila letu tunaloitaji kwake.
Tunaomba matola aache watu wafanye kaz 🙏🙏
Noma sana simba nguvu moja
mungu ibarik simba hii
Mungu Wetu Sote
Atafanya Njia pasipo na njia
Naimani na simba hiii
Mambo ni motoooo fireeeeee litakufa jitu msimu ujao watajua awajui
Simba nguvu moja💪💪💪
Simba nguvu moja
Kila.la kheri ktk maandalizi wapambanaj wetu. ALLAH awalinde
Mungu tangulia Tim yangu simba ndamundam❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yaan Abel ye yuk busy na kocha tu kufanya mazoezi Aaah😃😂
All the best guys
Mungu akawaonekanie wachezaji wetu waelewe
Nguvu moja ❤🎉🎉
kocha anamwambia karabaka acheze kama yamal😅😅sio kukimbia kimbia tu😅
Simba nguvu moja daima
Hakika msim huu mataji yote yetu wanasimba❤ nguvu moja
Saf sana nawatakiwa maandalizi mema chama langu simab sc
Hongera kocha wa simba kwa mazowezi mazuri
Very nice kocha kijana ana hali na morariii wachezaji vijana msimu huu watasemaaaaa
Tuwakopesheni imani hawa ili watulipe uadifu. Na mafanikio makubwa .....simba nguvu moja
Hakika Allah ajaalie tufanye vizur inshaalalah
Hichi ndo tulichokuwa tunahtaj wanasimba tushirikiane kukiendeleza ❤
Nimekubali sana
Kocha kija hadi raha simba nguv moja
Tuwambee na tuwe wamoja kama invyosema msemo wetu SIMBA NGUVU MOJA
Litakufa jitu nakwambiya🎉🎉🎉
Mungu hijalie simba yetu
Nguvu moja maandalizi mema wanajeshi wetu
Karabaka na kagoma kwenye kizungu hapo😂😂
Unyama ni mwingi sana 💪💪💪💪💪
Mimi binafsi sijapenda kuona simba wanasambaza video clip zao wakati wa maandalizi ya msimu maan hii inapelekea wapinzani kuweza kukusoma kiurahisi kwaiyo kimkakati inakuwaj sio vizuri na kiusalama inakuwa inafanya kuvuja Kwa mbinu za kiuchezaji mifumo pia wanawahi kuinasa ivyo basi niwaombe radhi simba waache mara Moja kiusalama kwaajili ya timu yetu msimu ujao. Wako katika kukijali na kuithamini club yang ya Simba Sports
❤
Ni sahihi Hili nishasema mara nyingi mpinzan anakufuatilia mbinu zako hivyo hili sio nzuri
Asante kwa maandalizi mazuri tunawasubili kwa hamalu
Simba yangu mungu tupe nguvu
All the best my team we will bounce
simbaa mnyama
Naipenda kutoka kumoyo
Sawa mkuu Fanya Yako Ili watani wajue umekuja kikazi ujaja kuzulula hapa bongo
Kwa anae amini simba niushindi tangu ianzishe weka like hapa
WAKIELEWA WANACHOFUNDISHWA AAAA U.BAYA UBWELA HATUMUACHI MTU NA UNDER 30 YETU.
Unyama❤❤
Simba nguvu kubwa
Chama letu lazima tulisapot. Nguvu MOJA
Nani shabiki halisia wa simba agonge like
❤❤❤❤❤❤
simba is my life❤❤❤❤❤
❤❤❤
Tunawaombea wachezaji wetu mungu awatie nguvu na uwerewa ili pungi ikianza muwe fiti
Aminaaa
Allahumma Aamiin.
Furaha yangu ni kumwona Kagoma tu ndani ya uzi mwekundu
Safiiii unyama mwingi safari hii na Albadiri tunaisoma Ole wao
❤️ BISMILLAH❤🇹🇿 🇦🇪
naomba kuuliza .. Ni kweli Kelvin Kijiri ni mnyama au tetesi tu
Mwenye Camera 📷 ni msenge Anatuonyesha video ukungu mwingi pumbavu simba TV nyoko
❤
Utopwinyo mtasubiri saaaanaaaaaaaa,manina
Nguvu moja
All the best ❤
Tunaomba interview na wachezajii wapya
Benchika alikuwa akimuachia msaidizi lakini si unamuona mtaalamu anaingia mwenyewe na hii ndio maana ya kuwa kiongozi wa team
Boll litembee❤
Watu wa media, jaribuni kuweka hata beat kwa mbali kwenye Clip zenu
Simba yanguu bado naimani nayo sana
Tunamuomba Allah awalinde wachezaji wetu
Dunia utafurahishwa na ssc
Heeeee!!! Hy mchakamchaka kuna wachezaji lelemama watamkimbia kocha!!! Doesn't Uzembe hapooo😂😂😂😂😂 jaman msinicheke hicho kingeleza changu cha mwaka99😅😅
Kila mwaka preseason tu kuchukua makombe aaaaha
Frenk galasa we kweli gala hiyo miaka 4 mfululizo walio chukua makombe ulikua Tumboni kwa Mama yako?
saf sana wamba
Wachezaji vijana kocha vijana
Kocha mtu wa kazi na iwe kheri
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tamka vizuri wewe Misri na si Misli Cairo na si Cailo unatia kichefu chefu
Nice
Kazi kazi