Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Nirudie Maskini Moyo Wangu - A Swahili Movie

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 31 жов 2022
  • This is a Swahiliwood Bongo Movie.
    Title: Nirudie Maskini Moyo Wangu
    Starring: Mariam Kassim Kijavala,Abdull Kibamba,Hans Popa
    MeOhFZwNbd

КОМЕНТАРІ • 178

  • @chockmaumba676
    @chockmaumba676 Рік тому +108

    Movie nzr sana. Naomba like jaman zifike 30 tu. Nawapenda watanzania wenzangu. Na jiran zangu wa kenya

  • @AliSalum-cn2uw
    @AliSalum-cn2uw 2 місяці тому +5

    Hivi vipo kweny maisha unae mpenda hakupendi Kam kweli manen ya mjomba gonga like

    • @AbdisalamHussein-ol2rk
      @AbdisalamHussein-ol2rk 25 днів тому

      Walahi hili maneno ya mjomba Ni mambo muhimu sana ambalo naipitia maishani mwangu

  • @hopsonGamadzi
    @hopsonGamadzi Рік тому +11

    mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥

  • @osiasnduwaáyo
    @osiasnduwaáyo День тому

    Asante sana kwa mafundisho mengi sana yaliomo katika igizo hilo.waschana wapate funzo la kuwa mpenda tuwili kamoja kamemponyoka na njia mbili zilimshinda fisi Pia wasikimbilie mali wanapohitaji kuchumbiana

    • @osiasnduwaáyo
      @osiasnduwaáyo День тому

      Wajaribu kupenda anayewapenda kwami mali zinaweza kuisha lakini upendo wa kweli huishi

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Рік тому +12

    waah ni wakwanz naomb comnt jamani hii movie ni very nice 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @officialbigvanny8296
    @officialbigvanny8296 Рік тому +8

    Nice movie, muendelezo natamani kuona Abdul kamuoa Sharifa..... Kwahyo Shadia akute rafiki yake ndio mke wa Abdul

  • @MMoriet
    @MMoriet Місяць тому +1

    Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke.
    (1) Huyu akienda kubali matokeo
    (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko

  • @godwinemanor4873
    @godwinemanor4873 Рік тому +9

    Really great movie. Before you find love, find money first. Thanks for sharing.

  • @athumaniomary6563
    @athumaniomary6563 Рік тому +3

    Penda sana move yako mumy by mkaza ochu like toooo mumy

  • @cornellkemboi5591
    @cornellkemboi5591 Рік тому +5

    Teachable movie waiting for part 2 walirudiana na Abdul au vipi

  • @neemawekab2306
    @neemawekab2306 Рік тому +4

    Sisi wanawake tuna tamaa ya pesa sana wanaume maskini wana teswa sana kweny mahusiano kisa tu hawana pesa 😢

  • @sukhairatyally6077
    @sukhairatyally6077 Рік тому +4

    Nzuli mashallah ❤️

  • @hawaamejumaa1958
    @hawaamejumaa1958 Рік тому +4

    Part 2 jamani nzuri hadi raha nataka kuona abdhuli alifanya nn na Shadia alimwambia nn rafiki yake Sharifa much love nkiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Saudi Arabia

  • @isayastephano9802
    @isayastephano9802 Рік тому +5

    Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!

    • @eashaeasha9776
      @eashaeasha9776 Рік тому

      Na chidi alimuuliza shadia kuhusu huyu Abdul je wameachana akamsibitishia hamtaki ndio maana mwezake akamuoa chidi kosa hana

  • @user-ld1du2dr3f
    @user-ld1du2dr3f 11 місяців тому +1

    Shadia msichana mwenye uragayi mukubwawe!!

  • @alfredmarua9178
    @alfredmarua9178 Рік тому +3

    Pls naomba part 2tafdali nampenda hii movie sana

  • @radhiamohaa3723
    @radhiamohaa3723 Рік тому +3

    Masha Allah nice movie

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Рік тому +5

    Waaaah 🤔yani majuto mjukuu hapa,katika mausiano mpk uambiwe uongo ndio utaona ndio ukweli,tamaa mbaya jmn

  • @JumaMoulid
    @JumaMoulid 4 дні тому

    Washamba hamjuwi movie y kisenge mwalia lia 2 mwambieni hemed chande awafundishe kuikti movie

  • @user-od2ek7cn6p
    @user-od2ek7cn6p Місяць тому

    Funzo nzuri sana mpaka ya nivutia❤

  • @user-up7uo8dw7o
    @user-up7uo8dw7o 3 місяці тому +1

    ❤❤❤❤love story

  • @hamisimaningi4758
    @hamisimaningi4758 Рік тому +2

    Tuko pamoja majirani zetu...Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mejumaabaraza3989
    @mejumaabaraza3989 Рік тому +13

    Mapenzi ya kweli yako moyoni na c pesa mfukoni wadada tujielewe jamani

  • @Shazia-bo9en
    @Shazia-bo9en 5 місяців тому

    Shadia ungekubali Abdul kwa sasa unalia pole sana

  • @newvip4508
    @newvip4508 Рік тому +3

    Nimeipenda

  • @johnsonjones764
    @johnsonjones764 Рік тому +7

    Very nice movie

    • @isufissa
      @isufissa Рік тому +1

      Daa move mzuli sana tunaomba part 2

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Рік тому +1

    Hongereni Sana filamu nzuri Sana ina mafunzo

  • @josephochieng6825
    @josephochieng6825 Рік тому +4

    Nzuri

  • @RajabuHongoa
    @RajabuHongoa 2 місяці тому

    Nimeipenda sana

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Рік тому +1

    Hamja imalizia vizuri filamu

  • @tausihamisi193
    @tausihamisi193 Рік тому +1

    Nashukur pia kuna kitu nimejifunza mko vizur

  • @samiragodfrey9135
    @samiragodfrey9135 Рік тому +2

    Jamn nzuri episode two jamn

  • @gwitembestudio8132
    @gwitembestudio8132 Рік тому +4

    LOVE VOICE NICE MOVIE

  • @andreakalolo1678
    @andreakalolo1678 Рік тому

    Jamani muendelezo wake upo kwel movie nzuri sana hii

  • @fatmaamissi7251
    @fatmaamissi7251 Рік тому +2

    Mansh Allah inamafuzo mazur

  • @user-yw3nh6xo3d
    @user-yw3nh6xo3d 6 місяців тому +1

    tutafute ela tusigombonie mapenz😅😅😅😅

  • @shamsaamor001
    @shamsaamor001 Рік тому +1

    Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!

  • @salomegedion6883
    @salomegedion6883 Рік тому +4

    Nice movie congrats 👏🎉 part 2

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Рік тому

    Subhananllah nimejifunza pole amduli ama kweli tamaa mbaya poleni wote

  • @muhamedkasimu407
    @muhamedkasimu407 Рік тому +3

    Mapenzi ya kweli yapo moyoni na sio mdomoni

  • @clementimanishimwe2644
    @clementimanishimwe2644 2 місяці тому

    Hii movie ni ya kwanza kabisaaaaaaa❤❤❤❤

  • @omanruwi5501
    @omanruwi5501 Рік тому +2

    Masha Allah

  • @Reymonditz
    @Reymonditz Рік тому

    Xafi san mungu awabarik san movie nzuri 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @hamisimaningi4758
    @hamisimaningi4758 Рік тому

    Movie iko chonjo sana.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani ndani ndani

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu6881 Рік тому

    Shukurani kwafilim nzuri tu kiukweli nimejifunza mengi

  • @user-cb1xx5bl5m
    @user-cb1xx5bl5m 3 місяці тому

    Shadia acha tamaaa

  • @juliuskhaule8093
    @juliuskhaule8093 Рік тому

    Movie iko sawa kabisa congratulations 👏👏

  • @faridamuniss6465
    @faridamuniss6465 Рік тому

    Nzur sana leten muendelezo tuwacfie vzr

  • @XtMash_7
    @XtMash_7 4 місяці тому

    Abdul banaa!!!mambo gani haya!(Wajizalilisha saaana bwana!!

  • @julienzigashanekanigu5846
    @julienzigashanekanigu5846 Рік тому +3

    Tuko pamoja nasisi wa kongomani kutoka Bukavu

  • @anithabahimana-hp8en
    @anithabahimana-hp8en Рік тому

    Pore sana shadia.tama.mbaya

  • @rachelneema3159
    @rachelneema3159 Місяць тому +1

    I need this kind of love😅😅

  • @NadyaAbduly-ly7en
    @NadyaAbduly-ly7en Рік тому +1

    Mashaallah

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Рік тому +10

    MUENDELEZO ❤️❤️💯

  • @divine7allah856
    @divine7allah856 Рік тому

    ujuzi (1) ni taarifa sahihi au ukweli uliokusanywa(9) ni kuleta kuwepo kiakili kupitia Uislamu na kimwili kupitia kwa mwanamke mweusi kutoka kwenye ujuzi (1) hadi kuzaliwa (9) ni kukamilisha misimbo (0) au fundisha kwa kuongeza maarifa (1) kwa msimbo(0) na kurudi kwenye msingi wako ambao ni maarifa (1) kwa sababu 1+9=10 na 1+0=1...

  • @constancioaleixo5238
    @constancioaleixo5238 Рік тому +1

    Estou ansioso em ver a segunda parte,weka part 2 tunataka sana kuona,cabo delgado Moçambique

  • @user-sc9vo8it4w
    @user-sc9vo8it4w 9 місяців тому

    Jameni ni nzuri sana 🎉

  • @user-ri5wq5dn9n
    @user-ri5wq5dn9n Рік тому

    Nimeipienda sana

  • @asliurahiin3862
    @asliurahiin3862 Рік тому +4

    Can we have English subtitles pleaaaaaaaseeeeeeee

  • @sifunadismas7372
    @sifunadismas7372 Рік тому +1

    Very nice...

  • @panganitanzaniatv9575
    @panganitanzaniatv9575 Рік тому

    Mam wa Ashmat Umetisha sanaaa...Mungu akufanyie wepes, Mpo juu san

    • @dismasstanislaus6523
      @dismasstanislaus6523 Рік тому

      Magret shaban usimuamini mtukwamaneno barimshuudie kwamatendoyake naombaprt2

  • @MRem-i6d
    @MRem-i6d 25 днів тому

    Mapenzi dah😢

  • @user-lr8lh3jx3z
    @user-lr8lh3jx3z 7 місяців тому

    Mashallah ❤❤❤❤

  • @PhilimoniMasanja-jy7sg
    @PhilimoniMasanja-jy7sg Рік тому

    Habari naitwa philimoni naomba nafasi ya kuigiza

  • @user-ri5kh5jz8d
    @user-ri5kh5jz8d 11 місяців тому

    Hapo iko sawa..

  • @rehemakhamis8112
    @rehemakhamis8112 Рік тому +2

    movie nzuri

  • @EmanuelKitokero
    @EmanuelKitokero 2 місяці тому

    Nimemaliza movie kwa kusoma coment

  • @erickking839
    @erickking839 Рік тому

    Mwendelezo 🙏🙏🙏🙏

  • @salimasalim405
    @salimasalim405 Рік тому

    Nzuri sana kazi nzuri be gup

  • @gerardelans8461
    @gerardelans8461 Рік тому +1

    Nice move

  • @hasnasunna6237
    @hasnasunna6237 Рік тому

    Wap maryam msambaa nakukumbuk xan pind tupo pngani mpnz mungu akupe mafanikio kila hatua unayopga

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Рік тому +1

    Nzury sana Asante sana

  • @bintialinajima5364
    @bintialinajima5364 Місяць тому

    Nice movie but part 2

  • @user-mb1vc2jq9d
    @user-mb1vc2jq9d 11 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @khamismohammed3763
    @khamismohammed3763 Рік тому

    Oya hii mzuri sana

  • @erizabethlichima6218
    @erizabethlichima6218 Рік тому +2

    Ndio maana sipendi kuolewa na mwanaume mwenye pesa maana mmmh 🙄 sio poa

  • @user-ir2bi9hv3l
    @user-ir2bi9hv3l 5 місяців тому

    Pole xana abdul

  • @muhirealena6986
    @muhirealena6986 Рік тому

    Imenisikitisha saaaana jamani.nime mkumbuka mpenzi wangu Chadia,aliniacha naakafuatana na mwingine,mwisho aka mupa mimba,badaa akamukimbiza daah...Iyi filamu inanitosha machozi.🇹🇿🇧🇮

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Рік тому

    Hii movie iko smart.

  • @levinaleonard7652
    @levinaleonard7652 Рік тому

    Kazi nzur vipenzi

  • @mashainePatrick
    @mashainePatrick 5 місяців тому

    kosa pesa ukunye sumu... Eee mapenzi ya sasa

  • @loningomolle
    @loningomolle Рік тому

    Naomba pat 2

  • @Shazia-bo9en
    @Shazia-bo9en 5 місяців тому +1

    Asanti kwa mafunzo hayo

  • @sudymohamedy9717
    @sudymohamedy9717 Рік тому

    Malipo ni hapa hapa duniani

  • @abdlmalik4522
    @abdlmalik4522 Рік тому +1

    Part two jaman da shadia I really miss to meet u in love am witching from dubai

  • @NellahJoseph
    @NellahJoseph 3 місяці тому

    Atr san wanawakee

  • @naziyrmahmoudnaziyrmahmoud9209

    nice

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 Рік тому

    Imeisha kindez sanaa mwishon km mlikuwa mnawah ndege mkaamua kui Punguza

  • @richardfilemoni8650
    @richardfilemoni8650 Рік тому

    Good muve

  • @rahmaamina5147
    @rahmaamina5147 Рік тому +2

    Woow muvii tamu yenye mafunzo

  • @japhetymabuya6487
    @japhetymabuya6487 Рік тому +1

    Mjomba upo sahihi sanq

  • @adilihassan8455
    @adilihassan8455 Рік тому

    Mapenz c pesa anzeni pamoja life bnaaa,mtaishimiana

  • @reynaaalrawahi4137
    @reynaaalrawahi4137 Рік тому

    Tamaa zina ponza Jamani 😢

  • @asmaahlucii4653
    @asmaahlucii4653 Рік тому

    Big up sana

  • @JopuRafaelimunga-hn7qc
    @JopuRafaelimunga-hn7qc 3 місяці тому

    Nifundisho upendo nikitebdawili

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs Рік тому

    😥 part 2 please 🙏

  • @anithabahimana-hp8en
    @anithabahimana-hp8en Рік тому

    Mashaa Allah 😂 honger

  • @user-zw5uc2ki8i
    @user-zw5uc2ki8i 8 місяців тому

    Hainaa part 2 Kwan mbon ahahahahaaha

  • @Mziwanda_Tv
    @Mziwanda_Tv 3 місяці тому

    Nzuri nimafunzo kwetu ila baazi yetu tunaiga jifunzen pes siçhochote

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 Рік тому +1

    M'ke au m'me yyte unayeanza nae mahusiano ukakutana nae vipembeni si wakumuamini na usijidanganye km ati anaijua dini. Hio ni tabia chafu na utambue hata akikuoa haiachi na ndoa utaiona chungu.