Binti Yangu - A Swahili Movie

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • A Swahili Bongo movie starring; Fadhili Msisiri, Bi Nono, Mariam Kassim
    Movie title - Binti Yangu
    Aforevo ID -
    #bongomovies #swahilimovies #mozambiquehere

КОМЕНТАРІ • 87

  • @MeswalehShaban-mg5kk
    @MeswalehShaban-mg5kk Рік тому +9

    Kweli tui la kwanz la pili maji...mashallah tabarak Allah ❤..funzo zuri sna ..Mungu awajalie nyote mlioshirik ktik hii filamu ❤..nawapend bure nyote..

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Рік тому +8

    Yaan binti unakataa kuolewa halaf nje unazini, binti unahiari ubebe mimba nje kulko kuolewa tunakosea sana sisi mabinti😢😢😢😢wanaume washenz kwel kwel mm ndo mana sina imani nao wallah

  • @mpagikhatib3684
    @mpagikhatib3684 Рік тому +14

    Masha Allah hizi ndio mishozo inayo takia kwenye Jamie nimeipenda Sana imenifundisha mengi

  • @andrew0502
    @andrew0502 Рік тому +10

    Huyu dada aliyeigiza kama Amina anajua sana na Kuna movie ingine ameenda kama Shadia duu nampenda sana ila namhurumia yeye wanaume anaowapenda wanakujaga kumuumiza tu mwishoni,,

  • @maddybongo
    @maddybongo Місяць тому

    Hii movie ya kiutu uzima big up

  • @sumayyahally3199
    @sumayyahally3199 Рік тому +4

    Nimejifunza nimependa fundisho zuri mashaallah 🎉

    • @EpimackChami
      @EpimackChami 10 місяців тому

      Broo Kama mtu akutak jikatae

  • @shabanmaulana8594
    @shabanmaulana8594 Рік тому +6

    Haya mambo ya tokea kweli kabisa, watoto wakike wanasubuliwa sana katika ujana ,unakata kheri unafata sharii, wapo wengi Duniani wengine umalizikia kufa kwa kutoa mimba.mitihani kweli.

    • @xxpolicexx6781
      @xxpolicexx6781 11 місяців тому +2

      Mungu atulindie watoto wetu Ameen

  • @user-fearless7kulth0um
    @user-fearless7kulth0um 11 місяців тому +2

    Stori nzuri mashallah😊lakini kuna makosa mengi yamejitokeza mfano, stori imejikita katika mwez Wa ramadhan na kisha muhisika mwingine miezi ya kujifungua imekaribia na kijana Rashid alimchumbia amina ndani ya mwezi❤huohuo..
    Kuweni makini msiigize kimazoea ili muonekane Ndio maana soko la sanaa linapolomoka yote kwa sababu yenu mnaojiona mnajua kuigiza mkijitizama kwenye vioo na kumbe hamna kitu😂

  • @salumuramadhani3460
    @salumuramadhani3460 3 місяці тому +1

    Shadia &Amina umezicheza mnooooh

  • @ZainabuSalim-vn5gp
    @ZainabuSalim-vn5gp Рік тому +3

    Mashallah may God bless you but dunia yafunza has

  • @maryd1538
    @maryd1538 Рік тому +2

    Mashallah movie nzur san nimeipend❤❤💥

  • @mwanamisikadongo8596
    @mwanamisikadongo8596 11 місяців тому

    Mafundisho mazuru sana asanteni Sana Kwa kazi njema ❤❤❤❤🎉🎉🎉🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪👏

  • @appsplay4324
    @appsplay4324 Рік тому +5

    Movie nzuri ❤❤❤from Kenya 😊

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Рік тому +3

    Baba Aminah MashaAllaah mtu an dini yake na laiti wazee wetu wangelifuwa hivi ingelikuwa ni khery

    • @xxpolicexx6781
      @xxpolicexx6781 11 місяців тому

      Wengine 2 wengine wana dining zao

  • @SakinaHassani-xm7ti
    @SakinaHassani-xm7ti 11 місяців тому +1

    Masha Allah inamafunzo mazur♥️♥️🙏

  • @mariamkassimu5040
    @mariamkassimu5040 Рік тому +3

    MashaAllah move zuri kwa wtoto waki lsilamu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-yx6zq9bp1s
    @user-yx6zq9bp1s 11 місяців тому +1

    Mashaallah movie nzr Ina mafunzo

  • @user-jj4id8vq2d
    @user-jj4id8vq2d 8 місяців тому

    Nimejifunza kitu asante saana baba Amina👏🏿

  • @user-hf6hl7ky5o
    @user-hf6hl7ky5o 8 місяців тому +1

    kwa kweli naipenda tena na mi penda sijui uyu ni mtoto wa wapi siyo mtoto wa uyu baba apana kwa sababu hana masikyo

  • @Dama-sd4qk
    @Dama-sd4qk 7 місяців тому

    MashaAIIa h hizin diomishozo inayotakwenye jami enimeipe nda sana imenifundishamengi

  • @MariaFilibert-wf3om
    @MariaFilibert-wf3om Рік тому +3

    Duuuuuuuh kweli imenifunza leo

  • @lydiahayieta5611
    @lydiahayieta5611 Рік тому +2

    Video nzuri ❤nimeipenda

  • @SeleMsami-ws5ch
    @SeleMsami-ws5ch 6 місяців тому

    Ana kazi nzuri sana dada 🎉tumpe mauwa yake❤❤💯🥀

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Рік тому +3

    Huuu sijui ni uislam wa aina gani jaman

  • @ZawiyaAdamu
    @ZawiyaAdamu 7 місяців тому

    Mashaallaah nakupenda sana we dada

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni2290 10 місяців тому +1

    Asie sikia la mkuu! Uvunjika guu

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Рік тому +4

    Mimi nataka kumujuwa huyo mzee mabuya

  • @JayJay-po3xt
    @JayJay-po3xt Рік тому +1

    Maasha Allah

  • @WardaYusuph-hz5yl
    @WardaYusuph-hz5yl Рік тому +2

    Duh yalio mkuta Aminatujiazali na wasicha na wengine tulio baki

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Рік тому +1

    Mm namfagilia sana mzee msisili

  • @DorkasVisent
    @DorkasVisent 4 місяці тому

    😂😂😂😂mwali anamambo ya kinini😂😂😂emu lundia apoooo

  • @user-yn7wk4re9z
    @user-yn7wk4re9z 5 місяців тому

    Wewe mwezangu amina choz huna jitahid ukilia tuoneshe machoz

  • @user-pn5tu6vs5o
    @user-pn5tu6vs5o 11 місяців тому +1

    Good movie

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z 11 місяців тому

    Histtoria nzuri na ina mafundisho mazuri

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y 11 місяців тому +3

    LOOK EVERYTHING IS GONE WRONG 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-hy9pp5rp9i
    @user-hy9pp5rp9i Рік тому +2

    Mama amina kafana na mama ana wa jua kali

  • @GriffinNgala
    @GriffinNgala Рік тому +2

    Woow it has a very good moral values

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Рік тому +3

    good movie

  • @user-gl9dm1ex4q
    @user-gl9dm1ex4q 10 місяців тому

    Nzuri Sana❤❤❤❤❤

  • @OmaryAthumani-ii3kc
    @OmaryAthumani-ii3kc 3 місяці тому

    Mungu awakuze na awalinde watunzi wahii filam

  • @sadakashushu5747
    @sadakashushu5747 10 місяців тому +1

    ❤❤❤❤

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Рік тому

    Duuuu ! Mtihani

  • @RajuwMirzakhan
    @RajuwMirzakhan 10 днів тому

  • @user-ls8xd2ji4m
    @user-ls8xd2ji4m 4 місяці тому

    Okay mini natoka mayanja milo

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 11 місяців тому +1

    ❤❤❤❤❤

  • @user-kl3cw9sl2z
    @user-kl3cw9sl2z 11 місяців тому

    Huyu mzee anajua kuekti kweli kweli apewe soda nitalipa

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 Рік тому

    Mashaalah❤💖

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n 11 місяців тому

    Ongela San baba

  • @aminatosha4631
    @aminatosha4631 Рік тому

    Mbona Amina baba

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Рік тому +1

    😂😂 kimemuramba amina

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d Рік тому

    Hapanikweli Ina Bamba sanatu,

  • @user-hx3gl7kd8d
    @user-hx3gl7kd8d Рік тому

    Baba Amina moto kuoteambali😂

  • @shaharhashim2529
    @shaharhashim2529 7 місяців тому

    Mov ya maadili ya kujifunza

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu6881 Рік тому

    Shukurani kwanasah nzuri tu kiukweli nimejifunza kitu

    • @alimohd3788
      @alimohd3788 Рік тому

      Umejifuza nn kwenye mchezo huu

  • @bintyusuf5
    @bintyusuf5 Рік тому

    Next

  • @hafsanizeyimana8178
    @hafsanizeyimana8178 11 місяців тому

    Huyu mama shida haoni kama mtoto anakosa kila saa msameh

  • @TumainiMoggah-ge5zt
    @TumainiMoggah-ge5zt 10 місяців тому

    Mhm ila yombo sio kwa vituko ivo😂😂😂😂

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 5 місяців тому

    Sio kwa jocho hilo

  • @alimohd3788
    @alimohd3788 Рік тому +1

    Mhh

  • @frankmasala8002
    @frankmasala8002 5 місяців тому

    Sitaki natak msisiri bwan

  • @user-ez6lv7di5n
    @user-ez6lv7di5n 11 місяців тому

    Shulman bab wengine waige hili

  • @ManirambonaElie-wf1eg
    @ManirambonaElie-wf1eg Рік тому +1

    Nataka kupata namba ya huyo aliyeigiza kama mtoto wa mabuya

  • @mishymadamspeaker1256
    @mishymadamspeaker1256 Рік тому +1

    Mambo ya kumlazimu binti kuolewa na mtu ambae hampendi yalipitwa na wakati

    • @aminamloka7545
      @aminamloka7545 3 місяці тому

      Sawa lkn Jambo la kukataa kuolewa Kisha ukazini Hilo ndo lnaenda na wakati!!??? Tujitahd kufanya maamuzi yetu kwa ajiri ya Allah tuache tuyapendayo kwaajiri ya Allah na na tufanye mambo kwa ajiri ya allah Ila makosa yapo kufanya Toba ndo muhm

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 2 місяці тому

    • @omanyaladismas3882
      @omanyaladismas3882 2 місяці тому

      I❤ the movie 😂

  • @nassiryahya
    @nassiryahya Рік тому +1

    Ivi watu wamekosa mafunzo kwenye gur,an hata huuu mchezo ndio wenye mafuzo kweli

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Рік тому

    Tui lakwanza lapili maji

  • @chingaa918
    @chingaa918 Рік тому

    ptp

  • @HalimaHalima-rw5os
    @HalimaHalima-rw5os Рік тому +2

    ❤❤❤❤

  • @user-jx8nl1pp9e
    @user-jx8nl1pp9e Рік тому +1