dah! leo ilikuwa namuenzi rais wangu mpendwa mstaafu jakaya mrisho kikwete kwa kuangalia hutuba zake nakupenda pumzika kwa aman baba ila tunakuumbuka saaaaaaaaana ukiacha nyerere unafata wewe sijaona kama wewe
jamani, hata wimbo wa taifa au state instrumental kama utangulizi na kumalizia hakuna! Give these speeches a state and presidential look and feel. Tafadhali
Asanteni kwa kutuwekea video hii kwa uharaka! Muendelee kufanya hivyo..
dah! leo ilikuwa namuenzi rais wangu mpendwa mstaafu jakaya mrisho kikwete kwa kuangalia hutuba zake nakupenda pumzika kwa aman baba ila tunakuumbuka saaaaaaaaana ukiacha nyerere unafata wewe sijaona kama wewe
jamani, hata wimbo wa taifa au state instrumental kama utangulizi na kumalizia hakuna! Give these speeches a state and presidential look and feel. Tafadhali
Nimekuelew
political science
Hivi yawezekana Jakaya ukarudi tena kwenye UARISI!?
nimekumiss 😚
Kikwete we acha tu.
Kikwete atuta msahau kwani watu wengi tumejenga kupitia utawala wake ikiwezekana mh aludi ata kwa miaka mitano tu