Nimewatch mdahalo mzimaa live on line kishki tv jamaa waisilamu tuko na mchezo ile kazi hawa jamaa wana fanya sio ndogo tuwachangieni hawa jamaaa kwa kufanya kazi ya Allah
@@salimumohamed4606 namba zake za mpesa amezitoa kwa mdahali hapa sijazikariri ila hawa jamaa mungu ndio awalipe zaidi ya hii ya duniani hawa jamaa venye wamemtukana mohd hawa yaani wana taka subra sana lakn na wapongeza kingagoli namkukabali
@@marianachriss2444 sasa sijui nani ndio hata ukumiwa basi maana kama ni yesu waisilamu wote tuna muamini kama nabii wa mungu aliyetumwa kutangaza dini yake ya usilamu wewe sasa na wenzio ndio kazi muko nayo
Haijawahi kutokea kwenye mdahalo Maandiko ya Bibilia yakashinda Qur'an. Kwani Qur'an ndio kitabu kitakatifu na kilichokamilika kuliko vyote.. Bibilia tayr imefanyiwa mabadiliko mara kadhaa...hvo kuna hitilafu ndani yake
Wew mazinge wakimwingiza kwenye koloani waislamu wanakimbia,,Coz Mtume aliowa wake 13 na wawili kati yao MTU na mdogo wake je ni Halali,,na Halali tuambiye wapi Allah uyo amwambia afanye lvo?? Pia akuna sehemu ambapo Muhammad lnasema alitailiwa ni govi,,pengne Hakuna sehemu katika koloani anaposema Allah,,Nimekuchagua ewe Muhammad kuwa Mtume,, pia Koloani ni kitabu ambacho Muhammad alipewa na wazee wa kiyaudi kilitumika kama kitabu cha Tiba,, Inasema lvi,,Aliekuwa adui wa Jibril, ndie aliekutelemshia Quraan kwa ldhin ya mwenyezi mungu.. Adui wa jibril kwa mujibu wa koloani ni mayaudi na ndio waliomletea quraan Muhammad kwa ldhin ya Allah,,yaan Huu ni upotofu,, Waislamu Hawana wa kumuabudu wa awamjui mungu. Wala awana kitabu, Ni Sanaa tu za mafalisayo waliompinga yesu.
Etii!! Maliamu mkewe Mungu na mtu anashabikia anaona amesema kweli duu!!! Ndivyo vitabu vinavyosema unanukuu Vita vya watu na xio vitabu vya Mungu awahurumie Mungu
Tena mi Mara nyingi upotoshwaji wa aina hii umekuwa ukitokea usiwe pande zote chagua sehemu sahihi huyu Yesu tunaemwamini alituambia anakwenda mbinguni kutuandalia makao wakati kafufuka ili alipo yeye nasi tuwepo Kama huamini basi usizingumze kitu ambacho huna Imani nacho
Wakati mwingine waislamu msiweke vichwa vya habari vya habari vya kujigamba ambavo ni tofauti na uhalisia uliopo ndani huo mdahalo nlikuwa naangalia online pamoja na baadhi ya waislamu hadi wenyewe wakakiri kwamba waislamu hizo mada zote mbili mlikuwa mmepwaya sana mwanzo mwisho sijawahi kuona mfahalo kama tangu kuanzia kwa marehemu ahmed deedat
MATHAYO MTAKATIFU 24 ; 4 -5 YESU Akajibu Akawaambia. Angalieni Mtu Asiwafanganye . 5 Kwa Sababu Wengi Watakuja Kwa jina Langu Wakisema. Mimi ni KRISTO; Nao Watadanganya Wengi, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 1 WAKORINTHO 15 18 Na Hapo Waonao Waliolala Katika KRISTO Wamepotea. 😂😂😂😃😃😃😅😅😅 19 kama katika Maisha haya Tu . Tumemtumaini KRISTO. Sisi Tu Masikini kuliko Watu Wote. 😂😂😂😂😃😃😃
Hajatokea mtu Wala Nabii kumzidi Yesu.hayo ni makelele tu,lakini moyoni mwenu mnajua Yesu na Ukristu hakuna Cha kufananisha " Piga makele,Yesu ni Mwana wa Mungu,na ni Mungu pia"
Wakristo wanaogopa kuwasaliti wenzie lakin hakika mazinge ana uwezo wa kuwaslimisha watanzania wote ata dunia nzima, uyo jamaa hakuna wa kumuweza kabisa
Nilidhani mazinge anajua ukristo kumbe wapi Sanaa tupu kwanza Yesu hakumwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani Ila Ni kwa Aya nyingine tofauti,sababu alimuia Yesu kwenda Yesu kwenda Yerusalemu,hatujui anapindua aya ili iweje
HUJAALIKWA MAZINGE .... MUNGU YUPO NASI SIKU ZOTE... KUTUSAIDIA MAISHA YAWE RAHISI. KAMA WEWE HUKUWA DAKTARI BASI USAIDII WAGONJWA. SASA MUNGU YESU MALAIKA WAPO HUMUHUMU
Mathayo 16:17_19 Yesu alimjibu kwamba "haya majibu alojibu Petro hajayajibu kwa mwili na damu Bali ni MUNGU kamfunulia" ndio majibu ya Yesu kwa Petro baada ya Petro kumjibu kuwa Yesu ni mwana wa MUNGU aliye hai na ukisoma unaona Yesu anamwambia Petro kuwa atampa ufunguo kwamba lolote atakalofunga duniani litafungwa mbinguni na litakalofunguliwa duniani na mbinguni pia litafunguliwa Lile mazinge alilojibu halikuwa jibu kaa swali lile Yesu alimwambia Petro ondoka shetan baada ya Petro kuonyesha kuwa atamlinda Yesu Sasa swali moja tuu Kama ameshindwa kupangilia na ametoa ushuhuda wa uongo kusema kuwa Yesu alimjibu hivyo Petro baada ya Petro kumjibu kuwa Yesu ni mwana wa MUNGU aliye hai huyu si shuhuda wa uongo???
Nenda shetani mkubwa aliitwa shetani hakuitwa full stop maneno ya binadamu ndio yanawadanganya na kuwapoteza hakunq mahali yesu mwenyewe anasem mm mungu kwanza kama mungu alipokufa msalabani nani aliendesha dunia yesu anasema mwemyewe babayangu ambaye ni baba yenu mungu wangu ambaye nimungu wenu. Sasa mwenyewe anasema mungu wake ndio mungu wetu halafu nyinyi mnamzulia uongo tukusikilizeni nyie au mwenyewe.
MAZINGE UNAHANGAIKA TUNASALI TUUUU.ILA TAABU AKIJA WAKANA. NA ATAWAKATA. MAZINGE MUNGU KATAMKA MARA NYINGI SANA ANA MTOTO. 1 TA TUUMBE MTU KWA MFANO WETU. YAWEZEKANA WEWE HUKO MBINGUNI MABABU UBISHI WAO KAMA WAKO WATAKUWA VILEVILEEE. 😂😂😂😂 LABDA KAMA MJONGOOO 😂😂😂😂 .WEWE TAMBA UTAVIKUTA HUKO.
Wewe mazinge acha kudanganya waislamu,na kuwaingiza jehanam manake umeruka Aya hio pahali wakiwa filipi kaisaria ukaleta Aya nyingine wakati Yesu akiwnda Yerusalemu,nauliza unachanganya Aya hizi ili waislamu uwaweke wapi na ni kwanini?
Professor kama Professor Allah akuweke
maashaallah mazinge shekhe wetu
I love this shekh for the sake of Allah Mungu akuhifadhi professor wetu uishi miaka mingi.
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
Amiin thumma Amiin
Amin
Sheikh mazing Mungu akukinge navijicho vyawatu wabaya pia akuzidishiye urmi
Ma shaa Allah..sheikh mazinge.. Mungu awape la kheri kwa kila kheri biidnillah
Hongera shekhe hao ni wabishiii tuuu haki wanaijua ila masilahi tuuu ya pesa ndio yanawasumbua tuuu njaaa mbaya jamani
Kwa maana YESU KRISTO ndio mwisho wa sheria Yeye aaminie amehesabiwa haki
MashaAllah.. Nawapenda wte. Usdh kinyogoli upo vizur nimekuskia kwa mara ya kwanza
Nimewatch mdahalo mzimaa live on line kishki tv jamaa waisilamu tuko na mchezo ile kazi hawa jamaa wana fanya sio ndogo tuwachangieni hawa jamaaa kwa kufanya kazi ya Allah
Naam wanena haki. Na nikazi ngumu kupambana na wasioamini ISLAM
InshaAllah kweli kabisa na woch kutoka kenya vipi Naweza toa mchango yangu Wallahi Allah Awalide na awape ushidi naelimu zaidi hapa raha to
@@salimumohamed4606 namba zake za mpesa amezitoa kwa mdahali hapa sijazikariri ila hawa jamaa mungu ndio awalipe zaidi ya hii ya duniani hawa jamaa venye wamemtukana mohd hawa yaani wana taka subra sana lakn na wapongeza kingagoli namkukabali
@@jei_Ibrahim YESU KRISTO ndio Nuru ya ulimwengu wote Yeyote asiyemkiri YESU KRISTO ameshahukumiwa
@@marianachriss2444 sasa sijui nani ndio hata ukumiwa basi maana kama ni yesu waisilamu wote tuna muamini kama nabii wa mungu aliyetumwa kutangaza dini yake ya usilamu wewe sasa na wenzio ndio kazi muko nayo
Mashaallah mungu awalinde masheik wetu inshallah na awajalie umri mref ili mzidi kuipigania Dini ytu ya haki.
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
Mazinge nuru KUU juu yako, amin. Allah Akbar. Niko raaha
Kwa kweli nakupenda uislamu mileleee kila la kher kwa waazali wetu😍😍😍
MalaZi ya kichwa ya mohamed yalipona lini?
@@justinekaijageamakweriduni8286 siku tatu yesu alipokufa dunia iliongozwa na nani
Naam Sheikh Mazinge wewe kweli Theology profesor Allah akubariki.
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
Kurlu
Shekhe ostadhi mazinge unanichekeshaga ww yan ww ndiyo kiboko cha makafiri unapamban nao kweli kweli ili waijuwe hakki na Allah awaongoze
mashaa Allah
Allah awabarik n kuwalipa kw nia yenu
ua-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/v-deo.html
Y eee
Naam Maalim mazinge Masha Allah. Nakuangalia live apa. September. 2021
ua-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/v-deo.html
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
tuko pamoja
@@ghulamyassintv4825 danganyikeni na mazinge
Waaah ,sheikh wetu umemmchachaga kwelkweli ,hahaha akurudii tenaaaa Wallah,Allah awaongoze mashekhe wetu hadi kuleeeeeee firdaus
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
inshaallah
Huyu shee si ndio aliomba ili Afande Sele afe iliishia wapi?
Waislamu acheni kumuona Mungu kama ni mtoto wenu.
@@manasengobei9968 kuna wakat yesu aliomba kwa mung hakujibiwa
@@manasengobei9968 MUNGU na Afande wapi na Wapi?
Mashaallah ALLAH BARIIK always my brothers
Haijawahi kutokea kwenye mdahalo Maandiko ya Bibilia yakashinda Qur'an. Kwani Qur'an ndio kitabu kitakatifu na kilichokamilika kuliko vyote.. Bibilia tayr imefanyiwa mabadiliko mara kadhaa...hvo kuna hitilafu ndani yake
quran iliandikwa na walevi Amina Abubakar,Umar,
Wew mazinge wakimwingiza kwenye koloani waislamu wanakimbia,,Coz Mtume aliowa wake 13 na wawili kati yao MTU na mdogo wake je ni Halali,,na Halali tuambiye wapi Allah uyo amwambia afanye lvo?? Pia akuna sehemu ambapo Muhammad lnasema alitailiwa ni govi,,pengne Hakuna sehemu katika koloani anaposema Allah,,Nimekuchagua ewe Muhammad kuwa Mtume,, pia Koloani ni kitabu ambacho Muhammad alipewa na wazee wa kiyaudi kilitumika kama kitabu cha Tiba,, Inasema lvi,,Aliekuwa adui wa Jibril, ndie aliekutelemshia Quraan kwa ldhin ya mwenyezi mungu.. Adui wa jibril kwa mujibu wa koloani ni mayaudi na ndio waliomletea quraan Muhammad kwa ldhin ya Allah,,yaan Huu ni upotofu,, Waislamu Hawana wa kumuabudu wa awamjui mungu. Wala awana kitabu, Ni Sanaa tu za mafalisayo waliompinga yesu.
Mazinge nimeneemeka sana nikawA umati Muhammad
Ujazwe kheri Inshaallah
Yes
Mashaaallahh Allah akuzidishie afya njema
maashaallah maashaallah 🥰♥penda sana wahadhiri wetu
U
Dokta sule
Etii!! Maliamu mkewe Mungu na mtu anashabikia anaona amesema kweli duu!!! Ndivyo vitabu vinavyosema unanukuu Vita vya watu na xio vitabu vya Mungu awahurumie Mungu
Mazinge uko juu
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
Mashallah
Tahira nikuulize swali ilijina lako ulipewa na wazazi wako😂
MashaAllah mashaAllah Allah hwajaalie umr mrefu.. Npenda midahalo nkupenda shekh maznge kwa ajil y Allah
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🙏💚💛Masha Allah bless you mazinge from 🇹🇿🇬🇳🇬🇲
Inshaalah mtawaandalia usiku
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
MAZINGE NA SAIMU JUUU
Mazinge mungu akupe mwisho mwema akupe maisha marefu
Mashaallah masheikh zetu nawapenda kwaajili yake Allah 🧡
Mungu akupe umri ustadhi mazinge...umewaeka kimyaaaa
Mashallah kwa kuakamata hao jamaa,ila usinyowe ndevu
Mashallhaaa shemazige
Huyu ni mwanafalsafa, Anajua maandiko na ana mantiki ya kiwango cha juu sana!!!
Mashallah sheikh mazinge
Hhhhhhhhhh Anaitwa al habib Mazinge mashaaAllah
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
Fundi wa kusomesha wasomjuwa Mungu na mtume
Kiboko yamakafiri Allaah akupeumri mrefu
Tena mi Mara nyingi upotoshwaji wa aina hii umekuwa ukitokea usiwe pande zote chagua sehemu sahihi huyu Yesu tunaemwamini alituambia anakwenda mbinguni kutuandalia makao wakati kafufuka ili alipo yeye nasi tuwepo Kama huamini basi usizingumze kitu ambacho huna Imani nacho
Mazinge namkubali sana
Mwenyezimungu amjalie maisha marefu na yenye kher nyingi shekhe wet mazinge amin..
MashaAllah Shekh. MAZINGE
Wakati mwingine waislamu msiweke vichwa vya habari vya habari vya kujigamba ambavo ni tofauti na uhalisia uliopo ndani huo mdahalo nlikuwa naangalia online pamoja na baadhi ya waislamu hadi wenyewe wakakiri kwamba waislamu hizo mada zote mbili mlikuwa mmepwaya sana mwanzo mwisho sijawahi kuona mfahalo kama tangu kuanzia kwa marehemu ahmed deedat
Mashaallah 👏👏
ua-cam.com/video/0XcdUs8xiFI/v-deo.html
pow
p
ppp
pppppppp pppp
ppp
Masha Allah
Masha Allaah shehe wetu Allah akupe maisha marefu Insha Allah 🤲🤲
Mashallah Allah kareem. ISLAM IS BEST WAY OF LIFE
Mungu akupe umri mrefu wenye kheri nawew ,akukinge na mahasidi pia.
wallahi Mungu tuongoze njia ilioyooonyooka njia ya wale ulowaneemesha sio wale ulowakasirikia wala ya wale walopotea
Amiiiiiiina Amiiiiiiina
yaaan uislamu raha😀😀
sana ringa kama umezaliwa mwislam 😁😁
raha sanaaaaa😀😀😀😀🥰🥰
Mashallah
Mbona hamjaweka yote muone kazi , maneno mengi mbele giza,Rudini kwa YESU KRISTO mpate okolewa
MATHAYO MTAKATIFU 24 ; 4 -5 YESU Akajibu Akawaambia. Angalieni Mtu Asiwafanganye . 5 Kwa Sababu Wengi Watakuja Kwa jina Langu Wakisema. Mimi ni KRISTO; Nao Watadanganya Wengi, 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 1 WAKORINTHO 15 18 Na Hapo Waonao Waliolala Katika KRISTO Wamepotea. 😂😂😂😃😃😃😅😅😅 19 kama katika Maisha haya Tu . Tumemtumaini KRISTO. Sisi Tu Masikini kuliko Watu Wote. 😂😂😂😂😃😃😃
@@shabbymakapaneshabby5000 soma Marko 16:16,hubirini injili kwa kila kiumbe ,yeye aaminie na kubatizwa ataokoka asiyeamini atahukumiwa,
Naona anachokizungumzia ni maigizo tu Ila ukweli utabaki kuwa palepale Yesu ni mwana wa Mungu
Acha ushabk
Mtaumw san
Ma sha Allah
MashaAllah
Allah awalipe kile mnachokifnya
Mazinge wewe ni noma mungu akulinde hakika ww unazungumzia dini ki uhakika
Allah akuhifadhi
Duuu kazi kweli kweli mazinge unadanganya watu
Mashaallhwh. shekhe. mungu. akuzidishie
Allaah akujaalie umri mref wenye baraka na akujaalie jannatul firdaus kwa kaz kubwa unayoifanya
Mashaallah mashaallah
ALLAH Akbar !!!
Manch'Allah ☝️♥️
Hajatokea mtu Wala Nabii kumzidi Yesu.hayo ni makelele tu,lakini moyoni mwenu mnajua Yesu na Ukristu hakuna Cha kufananisha
" Piga makele,Yesu ni Mwana wa Mungu,na ni Mungu pia"
Wakristo wanaogopa kuwasaliti wenzie lakin hakika mazinge ana uwezo wa kuwaslimisha watanzania wote ata dunia nzima, uyo jamaa hakuna wa kumuweza kabisa
Hem jaribu kusoma historia ya farao Kama pale misri walimuweza? Ila alikuja kuwezwa na mtoto mdogo tu kwake Musa
Amedanganya hizo Aya na abatizwe sababu hajui Biblia
Allah akuhifadhi shekhe wetu
Mashaallah ustazi uko vzt
Allah akupe mwisho mwema
Amin
Mashallah mazinge mungu akupe umri mrefuu
Nilidhani mazinge anajua ukristo kumbe wapi Sanaa tupu kwanza Yesu hakumwambia Petro Rudi nyuma yangu shetani Ila Ni kwa Aya nyingine tofauti,sababu alimuia Yesu kwenda Yesu kwenda Yerusalemu,hatujui anapindua aya ili iweje
Mazinge YESU Anakuhitaji
Hatari sana
Mashaallah 💓❤️
Hahahahahaaaa an kila nikiangalia hii clip huwa nacheka sana hao watumish walivyokuwa wakimuangalia mazinge pind anawafundisha dini ya haki
Mbona namuona Mazinge tu ndio anaongea inamaana upande wa pili hamna, ili takiwa tuone swali limeulizwaje ili tuone anachojibu ni sahihi au la?
Wanaweka kipande chao hawaweki upande wa pili msielewe mjadala
Kila swali walilouliza wakristo wanayajibu waislam Ila wakiuliza waislam? wakristo wanashindwa kujibu hatimaye wanakaa kimya wanajibu Tena waislam
Allahuakbar..🙏
Unatisha mazinge hapa hata Cristiano wala messi hawakufiki kwa ncha masha Allah mtemi DD
😂Kitaeleweka tu, elimu ni raha sana kwa wenye kuwa nayo. Burudani kamili na hasa Mazinge akiingiza vioja 😂
Hakuna muhadhiri wa Dakika wenye Dakika 12 tu,munaonyesha vipande kwa ushabiki wa dini.weka muhadhiri wote inapoteza radha watu wanataka kujifunza.
MASHA ALLAH.
Mazinge anapindisha sana alafu kawa mshereheshaji
Waislamu Wote wanakwenda jehenamu wasipotubu na kumuamini YESU KRISTO,YESU KRISTO ndio Nuru ya ulimwengu wote,
Toa andiko Waislamu watakwenda jehannamu wasipomuamini Yesu. Wakristo mmepotea, andiko hili mi natoa. 1 wacorinto 15:18,19)
@@khalfanikishki4687 soma ufunuo wa yohana 21-6-8,soma marko 16:16, soma warumi 8:1
@@marianachriss2444 Nipe andiko Wakristo mtaingia peponi.
@@marianachriss2444 Ufunuo 21:13)
@@khalfanikishki4687 soma warumi 8-1,soma yohana mtakatifu 14:6,
HUJAALIKWA MAZINGE .... MUNGU YUPO NASI SIKU ZOTE... KUTUSAIDIA MAISHA YAWE RAHISI. KAMA WEWE HUKUWA DAKTARI BASI USAIDII WAGONJWA. SASA MUNGU YESU MALAIKA WAPO HUMUHUMU
Mazinge kipenzi
Mm dini yanichanganya sijuwi niende wapi
CHAKA WA MUSSA HOI SANA KACHOKA HOI SANA😄😄😄😄
Dar joto. ...yeye anasikia barid mnooo
Mathayo 16:17_19 Yesu alimjibu kwamba "haya majibu alojibu Petro hajayajibu kwa mwili na damu Bali ni MUNGU kamfunulia" ndio majibu ya Yesu kwa Petro baada ya Petro kumjibu kuwa Yesu ni mwana wa MUNGU aliye hai na ukisoma unaona Yesu anamwambia Petro kuwa atampa ufunguo kwamba lolote atakalofunga duniani litafungwa mbinguni na litakalofunguliwa duniani na mbinguni pia litafunguliwa
Lile mazinge alilojibu halikuwa jibu kaa swali lile Yesu alimwambia Petro ondoka shetan baada ya Petro kuonyesha kuwa atamlinda Yesu Sasa swali moja tuu Kama ameshindwa kupangilia na ametoa ushuhuda wa uongo kusema kuwa Yesu alimjibu hivyo Petro baada ya Petro kumjibu kuwa Yesu ni mwana wa MUNGU aliye hai huyu si shuhuda wa uongo???
Hakika ukimfuatilia ni haelewi anachokipinga huyu shehe mazinge kwa mujibu wa maneno ya Yesu katika mathayo 16:17-19
Nenda shetani mkubwa aliitwa shetani hakuitwa full stop maneno ya binadamu ndio yanawadanganya na kuwapoteza hakunq mahali yesu mwenyewe anasem mm mungu kwanza kama mungu alipokufa msalabani nani aliendesha dunia yesu anasema mwemyewe babayangu ambaye ni baba yenu mungu wangu ambaye nimungu wenu. Sasa mwenyewe anasema mungu wake ndio mungu wetu halafu nyinyi mnamzulia uongo tukusikilizeni nyie au mwenyewe.
@@abdallahally842 kwani hiyo kuruhani yenu iliandikwa tembo au wanadamu? Mungu anatumia watu
@@oscarmushi3212 Qaio broh nawe unaamin kuwa Yesu ni Mungu au mwana wa Mungu 😂
Mtume Issa(Yesu) sio Mungu ni kiumbe
Mashallah.Ila Mazinge kiboko, dah aiseee.Hahahaaaa.
Kiboko yake mazinge Yupo Bagamoyo mringotini mchungaji Yahaya
Red rr
Porofesaa Mazingeeeee
M.a
Shida iliyopo mnapata dini ya kiislamu ili ionekane ndio dini nzuri.hicho kitu hakuna
Mazinge anapresha mpaka anatumia hata kitabu ambacho haieleweki
Awa wakenya awamwezi uyu jamaa kiboko ya mazinge Mchungaji Yahaya yuko Bagamoyo mlingotini ndo kiboko yake uyoo
Yaani babu hana hojaa/mzee
MAZINGE UNAHANGAIKA TUNASALI TUUUU.ILA TAABU AKIJA WAKANA. NA ATAWAKATA. MAZINGE MUNGU KATAMKA MARA NYINGI SANA ANA MTOTO. 1 TA TUUMBE MTU KWA MFANO WETU. YAWEZEKANA WEWE HUKO MBINGUNI MABABU UBISHI WAO KAMA WAKO WATAKUWA VILEVILEEE. 😂😂😂😂 LABDA KAMA MJONGOOO 😂😂😂😂 .WEWE TAMBA UTAVIKUTA HUKO.
🙏🙏🙏
😄😄😄Mazinge leo ulipata kiboko hata uso umejikunja hujui ujibu nn
Mm nimuislam ila ninawatt nataka kusoma nifanyeje
Asalam alaeykum, angalia waislam wenzio walio karibu yako, hasa nenda Msikitni utasoma hadi na wewe utakuwa Mwalimu ndugu yangu . Mola akupe wepesi na akujaze baraka
Allahu Akbar
Hizi online TV munaweka vipande kwa ushabiki wa dini wekeni yote.Inapoteza ladha.
Tulia wewe, ngoma sio yako hii
Wewe mazinge acha kudanganya waislamu,na kuwaingiza jehanam manake umeruka Aya hio pahali wakiwa filipi kaisaria ukaleta Aya nyingine wakati Yesu akiwnda Yerusalemu,nauliza unachanganya Aya hizi ili waislamu uwaweke wapi na ni kwanini?
Ustadhi kapaniki
Unajuwa sheke mazinge
Huyo ndacha asilimu tu hana hoja