Wakristo wapata dozi yao kwenye mdahalo wa Mbezi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 375

  • @Arishafa547
    @Arishafa547 Рік тому +9

    Ustadh mazinge mung aendelee kukupa umri zaidi jamn waislam wote tumuombee dua mazinge na maustadh wengne inshallah

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 3 роки тому +31

    Masha Allah Masha Allah! Salamu zangu kwanza kwa Shekhe mazinge! INSHA ALLAH ALLAH awape umri mweze kulingania DINI YA HAKI AMIN AMIN! SHEKHE RAMADHANI ALLAH ATAKULIPA DARAJA YA JUU AMIN AMIN AMIN!!

  • @dktabbaimran2002
    @dktabbaimran2002 3 роки тому +12

    Masha Allah natamani tu nikutane na sheik Mazinge siku moja nimsalimie tu nipige picha na yeye iwe kumbukumbu .Kazi mashekhe wetu wanazozifanya ni nzito mno ni Mungu ndio atawalipa

  • @saadaabdallah7473
    @saadaabdallah7473 3 роки тому +12

    Allah awahifadhi wahadhir wetu awape nguvu na afya

  • @habibaoman24
    @habibaoman24 3 роки тому +8

    Maashaallah mwenyezimungu mungu awaongoze mashehe wetu

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Рік тому +1

    MAASHALLAH SHEHE MAZINGE UZUR WAKE HANA HARAKA HAKUNA MCHUNGAJI ANAECHOMOA DAWA TU

  • @aishaibrahim1613
    @aishaibrahim1613 3 роки тому +9

    Masha ALLAH ALLAH awapa afya na awafanyie wepesi Kwa kila Jambo

  • @musamshihiri1444
    @musamshihiri1444 2 роки тому +1

    Mashalh shegh mazing mwenyez mungu akuzidishie her

  • @taufikihamisi6385
    @taufikihamisi6385 2 роки тому +45

    Wallahi ingekuwa inawezekama kupunguza umri na ukampatia mtu mwingine maisha yangu me ningemuachia mazinge

  • @ElsieMunezero
    @ElsieMunezero 5 місяців тому

    Y allah wape umri mrefu ma sheikh zetu yarabi

  • @amriyalibent5900
    @amriyalibent5900 3 роки тому +7

    Mashallah najivunia kuwa muislam wallah raha sana

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Рік тому

    Mashaallah 💓❤️❤️❤️ nawapa saaaan masheikh wetu Allah awape maisha marefu kulingania dini ya kiislam

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 роки тому +16

    Mashallah Alla masheikh wetu mungu awaongoze kweli mwaiteteya Dini 💓

  • @alfaaldo7276
    @alfaaldo7276 2 роки тому +2

    Roho mtakatifu,Nuru Yako ionekane katika wanadamu

  • @maryamabdizuhura1763
    @maryamabdizuhura1763 3 роки тому +2

    MashaAllah takhbir Allah Akbar.Mimi najua ISSA A.s ni miongoni mwa mitume aliumbwa kama alivyoumbwa Adam bila mama Wala baba ila Nabii Issa alikuwa na mama pekee

  • @ameenajumah7335
    @ameenajumah7335 3 роки тому +13

    Ndacha ni mnafik yy upotosha wakristo manake hawajui maandiko ...Huyo kenya twamjua ni muongo Astaghfirlah.

    • @zulfahamissi4725
      @zulfahamissi4725 3 роки тому

      😂😂😂😂

    • @sharifamadadi5065
      @sharifamadadi5065 2 роки тому

      Atapata Zambi bure kuwapotosha wenzie bola ukweli uwe wazi dini inayo julikana kwa mungu ni hii Moja tu aache kupotosha watu je ataweza kuwatetea watu ote siku ya kiyama 😭😭 innalillah wainna Lillah lajuhn 😭😭

  • @nariatinursah8181
    @nariatinursah8181 2 роки тому +2

    Asalam alaykum waramatulah wabarakatuh shukurani 🙏 ♥️

  • @salmasalma-pv2ue
    @salmasalma-pv2ue Рік тому +2

    Wallah wabillah ndacha unapango lako la moto siku ya kiyama. Allah akulani hapa dunian nabkesho siku ya mwisho. Waliomin ndio waislam . Pol san ndacha ww nikafir wa waziwazi

  • @khadijalumohak6285
    @khadijalumohak6285 3 роки тому +5

    Masha ALLAH ALLAH ALLAH

  • @AsiaDadi-i2j
    @AsiaDadi-i2j 11 місяців тому

    Allah akupe maixha marefu ili uwape mwongozo sahihi

  • @ibrahimjuma10
    @ibrahimjuma10 3 роки тому +3

    Ndacha kelele tu hana point

  • @mmangammanga-dw2qn
    @mmangammanga-dw2qn 11 днів тому

    Mashaallah ❤Uislamu raha

  • @AssdfAssd-g3y
    @AssdfAssd-g3y 4 місяці тому

    Ndacha kafa kifo Cha mende😂😂😂 Mohammed s.a.w ndio mtume wetu ❤❤❤❤❤

  • @IshamOmmy-p1x
    @IshamOmmy-p1x 11 місяців тому

    Nashkur San Kwa kuzaliwa katika uislam allah azid kuzikuza Iman zetu uislam ndio dini ya haki

  • @shomariamuri9917
    @shomariamuri9917 2 роки тому +3

    Ndacha anatisha kwa kweli. Tuache ushabiki.

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Hujakosea kwa uong wak anatishq kbs il anatisha nyinyi makafir wenzen

  • @muddypancho9104
    @muddypancho9104 3 роки тому +4

    MASHALLAH FAZAKIRU MAJADANI

  • @amiduahmada6068
    @amiduahmada6068 2 роки тому +2

    Mashekhe zetu allah atawalipa wema wenu.maana ukwel mnawapa hivyo hawatawalaum siku ya mwisho.waache wajitaftaie moto

  • @dicksonjulius6054
    @dicksonjulius6054 2 роки тому +2

    congratulation to christian.....proud to be christian

  • @magnussanga
    @magnussanga 3 роки тому +4

    Nimependa Darasa lenu.

  • @oniahbukuku546
    @oniahbukuku546 Рік тому

    Wakristo mshawaandama sana mbona Ndacha anapotoa dozi na ikaingia Bado mnaandika vice versa

  • @kinglast9507
    @kinglast9507 3 роки тому +4

    Allah awalipe jannat firdaus inshallah

  • @idalahow
    @idalahow 3 роки тому +4

    Christianity is about Worshipping creations instead of the creator - Allah

    • @restoringfaithinhumanity.5024
      @restoringfaithinhumanity.5024 3 роки тому

      If ISA is the word of Allah and Allah created everything by his word (be) then basically Jesus is the creator.

    • @awinojuju8522
      @awinojuju8522 2 роки тому +1

      Waht about you islam worshiping the Image beast In Mecca....😬

    • @idalahow
      @idalahow 2 роки тому +1

      @@awinojuju8522 it is explained in Surah Quraish...and Worship the LORD of this house...not Worship this house

  • @saidosaido5647
    @saidosaido5647 3 роки тому +5

    Huyo hana maana yani ndacha hafai kabisa atachafua amani mulokua nao watanzania kweli hata kenya Ana mdomo mchafu sana kuliko Choo nakuambieni mimi ni mkenya Hawezi dabete ya Amani kabisa yani kufundisha hajui,kiboko yake ni Muhammad na Kassim na Anwar na Yusuf wambuga Haruki kabisa mbele za hao anageuza maandiko sana muchunge hilo mnafiki

    • @aminadima5530
      @aminadima5530 3 роки тому +1

      Kama hawezi huku tanzania atawezaa tu atatulizwaa kama mpiraa uchizi wake hukoo

    • @mariamabdallah115
      @mariamabdallah115 3 роки тому

      Kabisa hata mm hupenda akipambana na Qassim Muhammad na Yusuf alafu ujinga wake matusi huwa simpendi hata mm

    • @RoseMunisi-fy1sq
      @RoseMunisi-fy1sq Рік тому

      Na msimmepende akimpenda mungu inatosha...hakuna sehemu alikotukana..kama husikiii akitoa Aya kwenye Quran . So kwenye kuruani ndo Kuna matusi labdaa mkiishiwa mada msipende kuongea fitnaa

  • @alyaqdhan5206
    @alyaqdhan5206 Рік тому

    Mwalimu Ramadhani wa Straight Path, tafadhali tena tafadhali fikisha ujumbe huu ( Waalimu wa Islam stop to accuse Yesu yakuwa kaiba punda) Yesu ni Nabii Issa ambae ni Nabii mtukufu aliye tajwa na mama yake kwenye Quruani, hii ni dhambi kubwa, mimi as a Muslim roho inaniuma sana nikiona waalimu wa kiislamu wanamsema vibaya Nabii Issa عليه السلام

  • @zulfahamissi4725
    @zulfahamissi4725 3 роки тому +3

    Mashaallah

  • @rayasalim6512
    @rayasalim6512 3 роки тому +2

    Na walio lala kwenye kiristo wamepotea na mapadri wenu wamekupotezeni poleni

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf1805 Рік тому

    Ndacha kiboko ya ni wahadhiri wa kiisilamu wa kenya.

  • @abdiabdullahimohd1917
    @abdiabdullahimohd1917 Рік тому

    Sheikh mazinge is a student of comparative religion but this pastor anachanganya vitu

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 роки тому

    Ndacha Umeshindwa kujibu swalli Umebakia na kigugumizi2

  • @idalahow
    @idalahow 3 роки тому +2

    Hapa Kenya wakristo tumewaweka kwenye debe. Nyinyi TZ mnawabembeleza.

    • @MAUREENMTV254
      @MAUREENMTV254 3 роки тому

      Wewe waja upuzi

    • @idalahow
      @idalahow 3 роки тому

      @@MAUREENMTV254 upuzi ni kubembelezana

  • @naimamohamed2216
    @naimamohamed2216 3 місяці тому

    Mazinge mfahamishe huyo kuwa neno mama ni neno la heshima ,mtu unapo muita mtu mama unamaanisha kumuheshimu , mtume alikusudia heshima Kwa wake zake ,,hata baba anaweza mwita mwanae wa kike mama yangu njoo

  • @ummikhamis7603
    @ummikhamis7603 Рік тому

    Hahaha wakriso jamn hamuach SI mukubali 2 hahahaha 🤣🤣🤣 jamn

  • @alfaaldo7276
    @alfaaldo7276 2 роки тому

    Eeeee Mungu rehemu kizazi hiki ......Bila neema Yako kitapotea katika dini kwa jina la Allah

  • @ipyanapaul8268
    @ipyanapaul8268 2 роки тому

    Mazinge umejibiwa swali lako utatakaje wewe itakuwa ni pepo upanga umeujua sema ndiyo mbona usemi kuwa

  • @muhashamkhalil7321
    @muhashamkhalil7321 3 роки тому +1

    Masheikh na wahubiri naomba muweke mada ya
    Qur'an na biblia in the light of science

    • @omarayoub6564
      @omarayoub6564 2 роки тому +1

      Angalia Zakir Naik vs William Campbell

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 3 роки тому +3

    Ukirisrto ni ukafiri tu wote motoni wakifa

    • @TruthMustBeTold_911.
      @TruthMustBeTold_911. 3 роки тому

      Ukafiri ni kuabudu jiwe ndani ya kibanda cheusi.

    • @victormushi6641
      @victormushi6641 3 роки тому

      WEW UMESHAKUFA UKAJUA AU UNAJIPA MOYO

    • @MAUREENMTV254
      @MAUREENMTV254 3 роки тому

      Wewe ndio uendi popote mshenzi

    • @مريم-ه2ز9ق
      @مريم-ه2ز9ق 3 роки тому +1

      @@MAUREENMTV254 mshezi niwewe kafiri kipofu mweyewe kazaliwa akiwa kipofu hanafugua macho mtu 1kumuona ni yesu naye kasema ni mtume wewe mpuzi tulia tuli kafiri

    • @arostoboy
      @arostoboy 2 роки тому

      Wewe hujui uongeacho makafiri, wanafiki Na waabudu sanamu waislamu. Makkah, madina mnaenda kuabudu jiwe Na makaburi, nani alisema eti haj mnapiga shetani Na mawe, hata akili the yakuzaliwa hamna, mliona wapi shetani hadi mnapura mawe. Sanamu la makkah eti mnaliabudu ndio mtasamehewa makosa Na kufutuliwa dhambi hiyo ni jehanamu.

  • @michaelswai4929
    @michaelswai4929 3 роки тому

    Tuache kubishana habari za muumba Wetu tenda mema ufike mbinguni basi Mwenyezi Mungu tusaidie

    • @luluamin1388
      @luluamin1388 2 роки тому

      Maneno yako ni kweli lakini Mungu kakataza kukufuru. Na kumuabudu yesu ni kufuru na Mungu kakataza

  • @AgirafeSaide-zu7vd
    @AgirafeSaide-zu7vd Рік тому

    MUNGU akujalie gheli mazinge

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 роки тому +1

    Mazinge wewe ndiye kiboko wa Huyo kafiri ndacha maluuni wamepata sindano yao

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 2 роки тому

    Lohhh kinyogoli amewaosha 😂😂😂

  • @feiz3180
    @feiz3180 3 роки тому

    Mwenyekiti usiwe na wasiwasi. Lugha inafahamika na inakubalika.

    • @josephnyanje163
      @josephnyanje163 2 роки тому

      Waislam2 ndo wna commet lkn w Cristo wao x wtu wkuongea sna lkn mwenye akili ndie anaeelewa apo so Mungu ndo anajua Nani mkweli na nni anaongopa

  • @ismailponda1269
    @ismailponda1269 2 роки тому

    Insha allah

  • @gladysjosephmacharia3250
    @gladysjosephmacharia3250 3 роки тому

    Kibogo ya mazinge iko na ndacha

  • @ratohabi6459
    @ratohabi6459 3 роки тому +1

    WAPENI WATU INJILI YA BWANA YESU KRISTO. UKIBISHANA NA KIZIWI UTAITWA KICHAA. HAO WABISHI WAKIISILAMU WAMEZOEA UBISHI NA HAWATAKI UKWELI. MSIMZALILISHI YESU KRISTO KWA UBISHI UBISHI USIOISHA TAFADHALI.
    YESU NDIE BWANA ASIELINGANISHWA!!

    • @ramadhanikikoti5316
      @ramadhanikikoti5316 3 роки тому

      ahahahahaha

    • @deedau3437
      @deedau3437 3 роки тому

      Dhini ya ukweli ni kislamu Allah Wakbarr

    • @hoziaissai3768
      @hoziaissai3768 3 роки тому

      Asante Sanaa mdaharo mzur

    • @hoziaissai3768
      @hoziaissai3768 3 роки тому

      mbona wengine wanapanik ebwana we

    • @hoziaissai3768
      @hoziaissai3768 3 роки тому

      ila wengine msipank jaman maana nyie pia mnafanya watu wanakuwa naiman wasiw na Iman chaf ambazo mungu hapend

  • @mwanzomwisho6968
    @mwanzomwisho6968 3 роки тому

    Ni nani ustadhi kweli anaweza kujadiliana na mwalimu wa kiislamu kwa sasa Arabian prophet?
    hakuna anayemshahimili dunia kote.

  • @muslims4christ
    @muslims4christ Рік тому

    This man despite having hundreds of following on UA-cam,he couldn't answer a single question I asked him,he ended up blocking me😅😅😅😅

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 роки тому +21

    Said kinyongoli Simba wa ndacha

  • @isack6099
    @isack6099 2 роки тому +16

    Masha Allah, Allahu Akbar, nilizaliwa Mkristo but for now imani yangu mimi ni muislamu nawapenda nyote kwa ajili ya ALLAH

  • @alkindyalkindy8767
    @alkindyalkindy8767 3 роки тому +10

    Nampenda sana al Habib mazinge na said kajogolo mola awape moyo huo huo wa kutowa watu ujingani maana wazungu wanapoteza umma

  • @eiddrissahshabani3675
    @eiddrissahshabani3675 2 роки тому +3

    Mashallah Allah azdi kuwap nguvu

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 Рік тому +4

    Mashallah ❤❤❤ sheikh wangu Mazinge Allah akupe umri mrefu wenye mafanikio

  • @munirashughuli7224
    @munirashughuli7224 3 роки тому +25

    Mazinge kiboko ya makafiri

    • @ghulamyassintv4825
      @ghulamyassintv4825 3 роки тому

      ua-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/v-deo.html
      Guzalink ☝️ ukhty ufaidike

    • @TruthMustBeTold_911.
      @TruthMustBeTold_911. 3 роки тому +1

      Makafiri ni wenye kuabudu jiwe ndani kibanda cheusi.

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 роки тому +3

      @@TruthMustBeTold_911. Wapi wanaabu kibanda na jiwe jeusi.

    • @TruthMustBeTold_911.
      @TruthMustBeTold_911. 3 роки тому +1

      @@mussammanga7791 wewe pekeyake ndie hujui,mtaa wenu wote wajua.

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 3 роки тому +3

      @@TruthMustBeTold_911. Nimekuuliza swali jibu swali.
      Mengine yataendelea baadae.

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +20

    Babu #Mazinge maswali yake niatari ujibu n'ngooo......mpaka kiama.
    Safi sana sheikh Ramadhani kuria Ben kaguo.

    • @louiskhan7372
      @louiskhan7372 3 роки тому

      Aty yesu arudishe punda 😂😂😂😂😂😂swali la kijinga ilo

    • @mohdbakar7161
      @mohdbakar7161 3 роки тому

      @@louiskhan7372 asirejeshe kwanini wakati kaazima

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 роки тому

      Mazinge huwa hajibu maswali Bali anakimbia maswali kwa kuingiza utani na mambo yalio nje ya mada mtu anakuliza kwanini mtume alioa mtt mdogo wa miaka6 yeye anakujibu kwani huyo binti ni mwanao Sasa hapo kajibu Nini Yani nikituko mnamsifu bure

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 роки тому

      Huwa anajibu upuzi Bora hata wale wenzake wanakuja na hoja huyu ndio hamna kitu

    • @mammam4701
      @mammam4701 2 роки тому

      Kwer uwez kujibu🤣🤣🤣

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 2 роки тому +3

    wallahi hata hamtazami mazinge anamuona kama anapoteza mda mazinge wallahi raha. allah akupe umri mrefu miaka mbele

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @geniusjinix6691
    @geniusjinix6691 Рік тому +1

    Sasa hapo dini ya mungu ni ipi??kila mtu anasema kwake ni bora je mimi nikikaa bila dini nitalaumiwa? Imani ni bora kuliko dini 🙏

    • @maxabsjiii8122
      @maxabsjiii8122 Рік тому

      Bila dini utapotea. Dini ni uislamu. Uchristo si diini. Bibilia haikutaja ukristo ni dini. Uislamu kwa qurani na bibilia ime taja uislamu ni diini. Sasa wewe fata maandiko, na ufanye utafiti kweli utapata.

  • @kawtharalbarwani1337
    @kawtharalbarwani1337 3 роки тому +20

    Ndacha acha kupotoza umma ukweli unaonekana
    MashaAllah barakallahu feekum masheikhe wetu Allah awabariki kila la kheir na baraka

  • @tourorganizer6296
    @tourorganizer6296 3 роки тому +11

    Mazinge unanimalizia MB 🤣🤣 mashaallh 🙏

  • @hafidhabdi2004
    @hafidhabdi2004 Рік тому +2

    Ahhh mashaallah Shekh mazinge

  • @nilfatshabani7429
    @nilfatshabani7429 2 роки тому +7

    Mashallah,Allah(s.w) azidi kuwajaalia neema katika Kazi kubwa ya kuitetea kalima ya Laa ilaha ilallah na dini ya haki. Bismillah

  • @mohammedrajabumwamba1322
    @mohammedrajabumwamba1322 2 роки тому +4

    Namuona Sheikh wangu Mazinge Anafurahia saaaana kuona vijana wake Wana wakalisha Mapasta waongo

  • @laduboy
    @laduboy 2 роки тому +4

    lailahailallahh muhammad rasull.lahh

  • @Jackson-tn9yw
    @Jackson-tn9yw Рік тому +1

    Alla awape jannatifridaus inshaallah

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Allahum Amiin 🤲 🤲 🤲 🤲

  • @zulfahamissi4725
    @zulfahamissi4725 3 роки тому +5

    Mazinge Allah aku linde sana uendelee kutangaza uislam inshaallah

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 3 роки тому +6

    Maneno ya kipuuzi hayajibu swali,ooh nitawatengeneza ooh wanasaidiana ,ushabik tu ndacha ,jibu swali hauna lolote kwa mwenye Akili

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Yey ni uong tuuu anatumia

  • @samirasamira2729
    @samirasamira2729 3 роки тому +6

    Mazingé mze mwalimu bingwa

  • @sttevemwangi
    @sttevemwangi 2 роки тому +1

    Wakristo wanaelewa ulimwengu wa mwili na roho. Ufahamu wa roho kwa waislam siujui maana waegemea wa mwili tu.

  • @saidamur5747
    @saidamur5747 3 роки тому +1

    Kma.mnampenda.yesu.mbona.hamumfwati.mkifa.mnazikwa.nasuti.yesu.alivalishwa.sanda.mnajichekesha.tu.mnafurahisha.wtu.nakuwapotoa.mutumwe.wetu.alikujakusawazisha.vitabu.venu.vimeandikwa.nawatu.wamewapotosha.sana.amkeni.kanisani.mmnapinga.ngoma.yesu.alipinga.ngoma.yesu.alisujudu.nyie.hamsujudu.mmnashelehekea.ksimasi.mtoto.wazina.lolani.haikucha.kitu.imefafafanua.sana.amkeni.hatasiku.moja.huwezi.kumkuta.baa.lakini.askofu.analewa.nakingine.mapadili.hawaoi.wanamfwata.nani.na.masisita.nakati.mmeambiwa.mkazaane

  • @fatumakingi9753
    @fatumakingi9753 Рік тому +5

    Masha allah am proud to be muslim🙏🙏🙏

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 роки тому +10

    Francis Ndacha is too loud,but don't assume that loud is strong and quiet is weak,to the contrary Mazinge and Kinyogoli won the debate, islam won christianism lost

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 2 роки тому +2

    Sijapata kuona nchi kama Tanzania Watu wa dini tofauti kukaa pamoja kuilimishana au kufundisha tu; HII NCHI TAKATIFU!!!! VIONGOZI WA NCHI MTAMBIE!!!!! MUECHE KUPIGA!!!!

  • @labilowabiikongo9338
    @labilowabiikongo9338 2 роки тому +3

    Mashaallah nakutakiyen kher mashekhe wangu mungu awajaliy mwisho mwema nafanya kz ya mitume

  • @kenyamoja179
    @kenyamoja179 3 роки тому +10

    profesa mazinge Mashallah. Tabaraka ALLAH.

  • @ameenajumah7335
    @ameenajumah7335 3 роки тому +5

    🤣🤣🤣🤣eti huku kwetu kenya ulimaliza kazi Ndacha wacha uongo maswali Yussuf wambugu alikuuliza hujawahi kujibu sasa umekimbilia Tanzania utatiwa adabu huko ni moto wakuotea mbali .Tuliza munkar Ndacha .

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 роки тому +11

    This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA

  • @IbrahimAli-vi9ep
    @IbrahimAli-vi9ep 3 роки тому +3

    Ati unazungumza Kiswahili cha Kenya Sema hujui Kiswahili watu wa Pwani hawazungumzi kama wewe umewadanganya

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 роки тому +2

    Jamani mbona ustadh mazinge anakatwa juzijuzi kwenye mdahalowa ukonga alinyimwa mda...wanamuongopea

  • @saumurashidi1785
    @saumurashidi1785 2 роки тому +1

    Sheikh mazinge vizuri sana

  • @rahimdikungule3737
    @rahimdikungule3737 3 роки тому +6

    Maashaallah mashekhe wetu Allah awaongoze

  • @ZakariaHaji-cj6zf
    @ZakariaHaji-cj6zf 11 місяців тому

    Professa mazinge Allah.akulipe ujiramwema.duniani.na.akhera.nawaislamuwootekwajumla nnishaallah

  • @ZakariaHaji-cj6zf
    @ZakariaHaji-cj6zf 11 місяців тому

    Professa mazinge Allah.akulipe ujiramwema.duniani.na.akhera.nawaislamuwootekwajumla nnishaallah

  • @kinglast9507
    @kinglast9507 3 роки тому +3

    Ndacha mbona humalizi aya za qur an tukufu Mashekh endeleni kuwaelewesh Allah akipenda wataongoka

    • @AAA-zu1vy
      @AAA-zu1vy Рік тому

      Yan kisi anasema kanisan anadhan na kwenye muhadhara atatumia zil bin zakanis akajisahau Kam Kuna wa somi

  • @jasminabubakary5601
    @jasminabubakary5601 Рік тому +1

    Masha’Allah uislam ni raha jamani❤ Allah awape umri mref na wenye baraka tele ndani yake, Na Hamidu anajua sana kusoma na kuleta raha kwa kweli❤

  • @abuminnatilkhair8309
    @abuminnatilkhair8309 Рік тому +1

    What language are they speaking??

  • @mkojanielectricalsolution1195
    @mkojanielectricalsolution1195 Рік тому +1

    Kuna watu wanatupenda na kuutetea uislamu bila sababu mungu awatunze sanaa👏🏽👏🏽

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 2 роки тому

    Mnafikiri mnaukwaza Ukristu kumbe mnauhubiri Ukristu.Hamuwezi kuudhofisha Ukristu Kwa mfumo wowote ule.Mt.16:18. Kule kuuchalenji Ukristu ni maumivu tu ambayo kupona kwake ni kumuamini Yesu na kumfuata.

  • @nurdnkadabla5413
    @nurdnkadabla5413 Рік тому +1

    Asalam alekum yasheikhe mazinge

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Рік тому

    Nawachora tu mlio comments mnavyotiana moyo na kufarijiana, mi jambo moja nishajua majini walislim na shetani alislim na ww umeslim na Sasa mmekua ndugu na mko gari moja ya kwenda either Jehanam au peponi, utajiulza mwenyewe Sasa hiyo gari yenye mmepanda itaenda kukushushia wap😂😂😂😂😂😂

  • @saidasalum8826
    @saidasalum8826 Рік тому

    Kwani muumini ni nani muumini ni muislamu huyo haijui quran anyamaze SHEKHE MAZİNGE ALLAH AKULİPE KİLA LA KHEİR

  • @hemedmteta1201
    @hemedmteta1201 2 роки тому

    Mnapoteza mda hamna kazi za kufanya, Dini ni mifumo 2 mungu ni 1 tu wote mnaabudu huyohuyo kwa njia Tofauti. Acheni kuwa mazuzu wazeni Kwanza Africa yenu, vya kupokea mvitafakar kwa usahihi. Kila dini sio sahihi na kila dini ni sahihi, Kwa kutegemea Imani ya mtu.

  • @WILLIAMCHINA
    @WILLIAMCHINA Рік тому

    Ukitafakari Sana Ndacha Anauelewa Mkubwa na Watu Wenye Akili wanamuelewa Sana Kuliko Walimu Wanazitumia Rugha ya Kiswahili .