Jonijoo anachokosea ni kujaribu kuiga matamshi ya kiingereza ya wakenya... Prezoo yeye anamleta kwenye kiswahili... Jonijoo alitakiwa atembee na kiswahili
JONIJO Kiingereza hukijui kwann uinalazimisha kwann usiwe free kuongea kiswahili chako >> watangazi wa kitanzania mnaboa sanma sana . prezoo mwachi english yake piga kiswahili mbona fresh tuuu mnakera sama bhaana badilikeni achenim ujimga wa kuiga iga
Huyu jamaa nilikuwa namkubali kwenye style yake ya Kurap🎉🎉🎉🎉
Prezzo ata asipotoa ngoma Bado Ako trending.Good to see you bro
Prezzo always understanding the assignment.... Swahili safi
Prezoo namkubali sana one love from 🇹🇿
Sana gechu is crezyyy
❤woow love my city my town🇰🇪
Prezzo mnyamwezi sana alafu ana hofu ya MunguMasha Allah
I love the brother toka ma city ma town love from Tanzania #dar es salaam
Prezz. Sasa hivi. Una swahili ya kibomgo kabisa. Stori za kibongo kabisa. Safi bro. Umetisha kinyama
My brother CMB Prezzo. Big up mahn
Amazing adhan @EFM Tanzania ndio TV ya kwanza! It's liked by me
Huyu ndo Mkenya anae ongea kiswahili vizuri,pamoja Tena✌🏽
Bonge la show.....I respect prezz, ❤ from tanzania
Big show wote ni my brothers na enjoy kinoma good show
I like this style of intertview
Hii ndio inaitwa kufikiria kwa kazi yko good job jon joo hii kitu inaanza kwa Hali ya juu sana
Iko vizuri sana
Endelea hvy hvy big upo J
Jonijo very creative
Prezzo's interviews zinakuwaga tu amazing.
Akili kubwa Sana kweli nimehamini Ehaujui
Karibu sana lushoto broo big city bro
Unyama mwingi sana 💯
Majizo hapa Jonijoo ameua kaka Mwambino lazima ajipange kaka
I love the creativity ❤
Anyway this is love from Classic Don
Jonijo na cmb prezoo 🎉🎉🎉🎉
Nakubali ☄️
One love CMB prezo straight outta kampala
one love to my homeboy ngechu....real recognizes real, no cap. #rapcellency
Jonijoo on this one
#NGECHU. Our true blood! Xo much love for yah! God bless you!
ANAZUNGUMZA KISWAHILI KIZURI SANA MKUBWA PREZZO🫶
Mtu yeyote ambaye ana umri wa juu anaelewa kiswahili vizuri kwa sababu Kiswahili ambacho kilikuwepo zamani Kenya ni cha hali ya juu sana
Nice intro
C.M.B Prezzo in the building
Realest dude to ever do it...big s/out to prezzo💥💥💯
Kiukweli Baba Yao deserves award
that intro is on its own level...weeeeeeh respect bro💥💥💥💫
Napenda style yake
Hahah I like the intro Islamic sound it gives lahore, Baghdad,kabul vibes 😅😅😅
Unasahau Kandahar😂😂
Sure
Tamu sanaaaa MashaaAllah ❤
Big up bro
Wow amazing
Prisoo kenya
Mwamba ana unyamwezi mwingi sana
noma sanaa
Nakufagilia sana bro
Jonijoo we ni mkali
@@noelselemani7459 namba moja Kwa East Africa
Prezoo kma Prezzoo Aminia
Napenda prezzo cmb
Jonijoo once again
Naapriciate wat u do jonijoo,
Jonijooooo ni mmoja tu kisha mimii☄
We ni nan
@@emanuelgavile3503huyu ni mwalimu wa maths wa prezzo😂
Content meets creativity
Salunt jonjoo nimeijoy lusho Kama uk
Prezoo is the realest
Mwamba anajua jonijoo
the real O.G.
Namuelewa saana mshikaji amezibeba alafu ana mmbo mengi
🎉🎉
I like that
Respect ❤
Oya weeeee.
Jackson makini
Fantastic creativity
Noma
🔥🔥
Prezzo ume tutenga brother tupe ngoma
Baba ako unyama ni mwingi sn aise🔞🙌
Prezzo ana maneno flani ivi yana ongelewa sana na wa Tanzania ambayo baadhi ya wakenya wengi hawayajui
Wapwani wanajua
@@husseinchea5524 yah
Tunasubir part broo jonijo
Gentlemen talk😁
Anyone else here for prezzo?🖐
✌️👊👍.
Prezzo Mtu Mzima.
Miongoni mwa Ma legend ambao wame chonga barabara ya tasnia nzima ya Music sio tu Kenya mpaka Tanzania na East Africa kwa ujumla.
Usiseme 🇹🇿 sema kachonga barabara huko 🇰🇪 wewe unamjua sugu, Prof Jay,kbc,sigon nature has wachache sana
@@mackjr5291 pole sana
😢
Kasema miongoni
@@mackjr5291kasema miongoni elewa kiswahili
E TV 📺 so mchezo
THE POWER OF PRAYER
Prezzo mwana hasaaaa😂😂😂😂
jonijo kashindikanaaaaa
I get a good watch ⌚ but I don't have time
bravo
Cmb cash money boy
✊🕒
Og og
Jonijoo anachokosea ni kujaribu kuiga matamshi ya kiingereza ya wakenya... Prezoo yeye anamleta kwenye kiswahili... Jonijoo alitakiwa atembee na kiswahili
He is the best hakuna but. Respect The man
Jonijooo hajawahi kukosea Wala kuharibu best creativity presenter in EA.
Yote ni east Africa akuna tatizo na lugha ata wakenya kuna wale wanaongea kama wabongo Wacha siasa
Jifunze kuappreciate jonijo hapa kauwa sana mpe maua yake tu roho safi...watu mnakosoa sana sio poa
Wewe unachuki zako binafsi sasa Kuna baya gana apo nawewe ujaelewa Nini acheni maneno ya chuki nauchochezi
✊
CMB PREZZO
jonijoooooo
Nkumkubal xna hyo mwamba jonijooo
Prezzo poa sana
Mwamba anamadin sanaa
Mimi ndo huyo tax driver😂
Are the snippers on the roof… 😅
Kumbe prezo ni damu yetu 😂
Mama yake Msukuma
Mamake mtanzania
Sisi ni marafiki tunaowana❤🇰🇪🇹🇿
Ww umezaliwa juzi kujua pre mama Ake ni Mtz
Ndo mana ananyosha kiswahili vzr,ninge shangaa maana kuna wale wengine dah 😂
Jonijo damu😂
Like dat shit
Jonijoo akir kubwa
💯 💯
JONIJO Kiingereza hukijui kwann uinalazimisha kwann usiwe free kuongea kiswahili chako >> watangazi wa kitanzania mnaboa sanma sana . prezoo mwachi english yake piga kiswahili mbona fresh tuuu mnakera sama bhaana badilikeni achenim ujimga wa kuiga iga
Ko abaki tu east Africa na watazamaji kama wewe
CMB prezzo
Lushoto home boy kwakina johnnijoo uko
Amesoma Chuga Sec ila Sio Mtu wa Chuga Ni Msambaa
Bango bat bovu