DADA WA KAZI AGEUKA MKE EP YA 40...KARIBU UBWABWA JAMANI MAMBO NI MOTO.
Вставка
- Опубліковано 16 жов 2024
- NEW BEST BONGO MOVIE 2024.
#snake boy #clamvevo #baba yangu kipofu #baba Joan #wrong house #chinga media #siri ya huba #rk movies #millard ayo #wasafitv #simulizi #aliniumiza sana #manara tv #film #bongomovies #nigerianmovies #comedyvideos #funnyshortsvideo #diamondplatnumz #veronica simulizi #kipesile
HAYAWI HAYAWI SASA YANAKUWA WALISEMA AOLEWI MBONA ANAOLEWA ...MAWIFI CHEREKO CHEREKO POPOTE PALE ULIPO.....
Nasubiri ubwabwa kakangu
Cherekooo,jamani tunaomba vijora 🤣🤣, Mungu ni mwema saan,kwanguvu za Mungu leo yamekua jamaniii eeeeh oooooh, mambo hayooo tunakula Ubwabwa Ma sha"Allah
Uyo bwan harus anaingia aaaa anaingi anaingia walosem haolwe mbon kaolew walosem haolewi mbon kaolew hhhhhhhh mau yak ay bwan harus na bibi harus 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤❤ miss yuo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mama anajua sana jamani 🎉🎉
Hongereni washiriki wote ila mpaka rangi nyumba yenu Kimaro msimsahau kwenye Ubwabwa
Mpoji leo umeniuwa eti alipaka rangi akapaka adi mke 😂😂😂😂😂hila nimependa mama hajra n mm mzuri mnyenyekevu kbsa,ongera sana mpoji nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉adi mwisho niko n nyinyi pamba tu pamba❤❤❤😂😂😂😂
Bibi.shadia.unaniliza.namie.hongera.sana
Your views, likes, comments, share and subscriptions mean the world to me. Thank you so much for watching our videos. Love y'all ❤❤❤. God bless you.
kazi nzur❤
Hongera sana 🎉🎉🎉
Hongera hongera tena hongera watu wa mageeee mwajua kufundisha mashaallah allah awabariki nyote inshaallah❤❤❤
Mponji ameweza tumpe maua yakee🌺🌺🌺🌺
Wapi mauwa ya Mponji na mage🎉😂❤
😢😢😢bibi ya Shadia anacheza vizuri sana tena sana❤
Na msikaliShe sana
Nimefika jamani nawapenda wote ❤❤❤❤
Nimewai mm apa jamani ❤❤❤❤❤
Making with pambe❤
Mpoji umeangukauyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤
Muvi nzuri
Aky hapa twajifunza sana ak hongera sana nyote mnaoshiriki kwa hii movie
Mmetufundisha Sana jamani family ya mage ubalikiwe sana
Nimewai nipeni like zangu from kenya 😂😂 nawapenda sana
Jamani ❤❤❤❤😢😢😢
Mamake Marge shukurani Sana nimejifunza kitu kutoka Kwa mafunzo yenyu and for you Magey zingatia hayo Manzo eeh Kwa mainlaw wengi Wana roho mby sana
Bibi Shadia ninampenda saan,anajua kuigiza,napia ni Mama mstarabu saan anajua kulea ni Mama bora,mwenye mapenzi kwa watoto .
Ila kongole masomu ya mage mumesema maneno na ustarabu kabisa yani hamjatoka kwa line ❤❤❤❤
Mage usipeleka sheria mjini kaa na yy mtoto hana makosa na anakipenda mtoto mwenyewe. Kazi kwako mage
Tulo maliz hammam usiku uu tujuan hhhhh
Wow hongera kwa mashangazi wa Maggie bwana nimeipenda kwa kweli
Jambo la msingi hapa ni kwamba tamaa haisaidii na tusikubali kushawishika na marafiki kirahisi.
Ooo namm nimeshajifunza ap kwenye kufunzwa dada mage hhhhh nikipat mume nishasom hhhh
😂
Apo kwenye matatu Mimi, chakula,na maji ya kuoga nimependa hyo ntaibeba asante Mama kwa elimu
Kazini zuri sana mungu hawahinuwe zahidi❤❤❤❤❤
Haya mapenzi kwangu yamekufa
Maman shadia Léo atakiona😂
Jaman namim kwa Mara yakwanza naomba like ata mia😂❤
Haya mage sikiza masomu maneno hayo
Ila me naomba mponji ununue gari, unafany kazi Bank na unatembea kwa miguu jamn,,😂😂
Kazi nzuri sana mponji ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂mpoji bwana ety kampaka mamake shadya rangi ety sindio kawa mzuri saii😂😂
Makungwi pambe❤
Team strong mna onaje mama shadie kina mraba sasa wahenga wali sema mtaka yote ukosa yote 😂😂😂😂🎉❤
Yaani huyu mama Shadya na mama naniii flanii wa sehemu moja hivi ya move ni kama mdogo na dada,na yeye kule mambo ni moto anapata taaaabu mpaka cyo poa.kama unamfahamu gonga like then toka nduki
Jamani tamu
Mm nitaanza ya kuna vitu tatu.mmimi,maji na chakula
Hongera sana mponji🎉🎉
Huyu mama anajua sana yan🎉🎉🎉
Very nice movie ..❤❤❤
Nimeshashona hadi sare yakula ubwabwaa magee😂😂😂❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤
Na.mimi.nautaka.ubwabwa.nirushie.kwenye.simu
Director uko good kwenye kujielezea😂😂😂
Nasubirii ubwabwa mm😂😂
Zanzibar ❤❤❤
Mama shadya huyo anavoonekana hajajifunza kwa lolote lile hapo atakapokuja na huyo shadya atawasumbua mnoo huvo bas umakin unatakiwa mponji na mage...
Mbona amumwambii kuhusu usafiii
Nakupenda sana maggy olewa na mponji ila uwe na tambia njema usilete dharau kama ma shadyia.
Makungwi🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa yenu hayo🎉🎉🎉❤
Good advice ❤❤
Wakwanza team strong kutoka omani kazi nzur mponji
Wewe muongo...pasi umepig saa ngap..mpak uwe wa kwanza...
@@joleemvungi😂😂 Niiingia kwa kuiba
@@SwaumuMuome 🤣🤣🤣🤣
Marvelous 🎉🎉👏👏 mponji Kwa kazi nzuri yenye kuelimisha sana
May God bless you much.
Ila mponji kaka ang unatupa mafunzo kwa kazi zako in sha Allah kwa ajili ya Allah akuweke na uzidi kutufunza
Ukiendelea kuishi na shadya bado utasumbuliwa na mama shadya afadhali mtafutie shule huko kijijini na uendelea kumsaidia akiwa na bibi yake
Mwana kulitafuta mwana kulipata😂😂😂😂😂
Mambo ni motroo🔥🔥🔥mponji tuna subir uwabwabwa bhan
Mponji hongera sana kwa kazi nzuri 🎉🎉🎉
Wakwaza mimi leo form tanzania
Yaan katika siku umefraisha ndo hiiyaleo muponjhi lea mtoto Kwan yy nmalaika tu
Nimewahi pia.. nipeni like zenu bhas make sijawahi kuwaomba hata.
❤❤❤❤❤❤🔥🔥🔥
Mponji mage ana mapacha usikonde
Napenda kweli mautani y mponji n mage ❤❤❤
Aya mage husipuuze Ayo maneno ayo
😂😂😂😂mama shadyaa roho inauuumaaaa
❤❤❤❤ nawapenda bure
N😂😂😂nimekuwa wakwanzaa leeooooo
Shadia aende bode
Mama shadya utapata laana y mama yako. Mzazi halii
Kashaipata mapema tu
Mbma sijaona mtu anaemsifia shadia kipaji kubwa
Yani hapa shangazi wanamfunda mage hawajui kwamba ndo fundi, ila sema wanatimiza wajibu wao.
Watano leooooo🎉🎉🎉🎉🎉
❤🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤hongen sana
Jamani unapokua ukifanyia mtu umbaya jua kuna kecho alio yapitia mponji do yanatia uruma kwakweli wakenya wenzangu tukutaneni hapa kwenye like natokea kenya 🇰🇪 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂 kwan ww mkenya
@@HassanSeif-mh6oh yeah
Leo nimewah jamani😁😁
Jamani hayo Sasa makubwa
Nakutakia ndoa njema
Nimewahi mwenzenu
Wa kwanza like nyingi nyingi jamani
Shadya mzur sana
Hagra atauza mifuko tu apende asipende Hagra laana inamtafuna haya bas twende nayo harusi
Kama umeamua kumsaidia shadya, mpekeleke kwa bibi amtafutie ad hl
Eti hajra unakuwa mkali tena unadai mwanao kwa nguvu,,,hajielewi kumbe wewe
Kila cku ndoa.. alafu hamfungi
❤❤❤❤❤❤❤🎉
😅😅
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🇧🇮
Wakenya tunao fatilia 2ko wapii?
❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Mjinga wewe unatafuta pesa na mtoi wako🤔🤔🤔🤔
❤❤❤