Nimewahi Kutoka Kenya 🇰🇪 team strong 💪 mko wapi maua ya mchungaji halafu fashion na Mama Karobo fake wanaelekea kuumbuka sass 😂😂🤣🤣🤣Kama waamini Nguvu za mungu ndo kinga thabithi gonga likes
Kaaa we ni funny wa baba Joan uwezi pita bila ya ku like 😢, tangu niwe funny wa baba Joan kutoka uku Kenya 🇰🇪 cjawai pata ata like 10 pekee Leo nawaomba jamani, juu hakuna movie sai inatufundisha ati Mungu upo kaa Si movie za baba Joan
Yayayaya loyi nafasheni mwishowenu tutauona zuuunatamani uwe mpezi wa baba karobo kibaniyo asan kumpa kumptambaniy babakarobo nasra asante sana rahasa asante baba karobo anaenda kuwa tajiri 😊😊😊😊😊
Yani leo Nina furaha kubwa kwa sababu baba karobo kana Tena Asante mungu furaha imerundi kwa Familia ya mwanae na Dada yake mungu azidi kuwapa furaha ❤❤❤❤❤nawapenda Sana
Nilizubiri Sana movie ifika hapa atimae imefika,kweli mungu ni mgumu na hakuna kinacho mshinda ukimwamini,waauuu,asande Sana mungu wetu kumponya ba kalobo na iwe funzo kwa wanao waamini binadam wenzio Kama huyo fashion na ma kalobo,Sasa wacha fashion na ma kalobo waote mto waliowasha, kutoka 🇰🇪🌻🌻
🎉 Hongereni ila jitahidini movies zenu ziwe na hekaheka , watu at least wawe wanafanya kazi sio kula,kukaa, na kutembea barabarani alafu mambo mengine muwe mnapunguza havina umuhimu, movie inaenda mbele kama inarudi nyuma,.
Mama karobo kitakuramba 😂😂😂😂 nawafatasana kutoka 🇧🇮 🇧🇮 koma umemutesa sana baba karobo Baba karobo pore sana kaka Alhamdulillah kwakuona ❤❤❤❤maansha Allah 🎉🎉🎉
Nimefatilia kila movie na kwa hii leo nmejifunza tuwe watu wa kutegemea mwenyezi mungu mganga hana nguvu zozote za kupambana na nguvu zake muumba shalom sholom 🙏🙏
Eeeh Mungu nimekukimbiria wewe, eeeh Mungu uniepushe na wale waovu, usiache nafsi yangu iyangamike,Kwa kuwa wewe ndio nsaada wanguu🙏🇰🇪 twajua huu wimbo more love time strong 💪 Tuned in from 🇶🇦
wandugu nafurahi ju papa karobo amepona ananza wona kwa macho nami nashuru mungu yee amesikia maombi ya watumishi wake minabapenda sana nayishi ishi ya Rwanda
Movie Nzuri sn yenye mafunzo makubwa sn MUCH Love ♥️💚♥️ Kibanio Na waloshiriki wote Kumsaidia Baba Kalobo hadi kaona jamoni eeeh twasubiria FINAL ÉPISODE, maana Mama Kalobo Fake sura imemshuka shuuuuu, jamoni eeeh tutendeni mema, maana Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu na Malipo ni hapa hapa Duniani Akhera ni mahesabu tu.
Mashallah baba karobo kazi zuri San wallah Roy na lazz wake wameyatimba kweupe Kwa doko kipara wp baba karobo na zuu wake harusi tunayo hatuna wanaaza kuchechiana Tena Roy na lazz wake 🔥🔥🔥unaaza kuwakia sasa wejewe Kwa wejewe hum 2
Nmependa jmn kibanio alivyo mpambania kaka ake mpaka akaona Tena wanao mkubali kibanio na kundi lake gonga like apa
Pamoja na wenzake
Mlininyima tu like hata moja tu maskini mm😅😂❤🎉
Nimekupa mwaya
Movie imefika mwisho sijapata like hata moja nipeni likes kama mnafurahi kuona kwa baba joan🥰🥰🥰
Ume pendez san t
Waooo baba karobo naenda sana kazi zake mungu amupe maisha marefu azidi kutuburudisha
Nimewahi Kutoka Kenya 🇰🇪 team strong 💪 mko wapi maua ya mchungaji halafu fashion na Mama Karobo fake wanaelekea kuumbuka sass 😂😂🤣🤣🤣Kama waamini Nguvu za mungu ndo kinga thabithi gonga likes
Ndio ss 😂😂
Kwel Mungu ndo tegemeo sku zote
Tuko hapa
Kaaa we ni funny wa baba Joan uwezi pita bila ya ku like 😢, tangu niwe funny wa baba Joan kutoka uku Kenya 🇰🇪 cjawai pata ata like 10 pekee Leo nawaomba jamani, juu hakuna movie sai inatufundisha ati Mungu upo kaa Si movie za baba Joan
Nimeipenda na nimependa uyo Mwamba ako na ameoa kweli???
Mzuri mzuri.,🤤🤤🤤🤤,
God bless this movie ❤
Yayayaya loyi nafasheni mwishowenu tutauona zuuunatamani uwe mpezi wa baba karobo kibaniyo asan kumpa kumptambaniy babakarobo nasra asante sana rahasa asante baba karobo anaenda kuwa tajiri 😊😊😊😊😊
Leo nimekuwa team strong hya team strong mpo wapi naombeni like zangu ❤❤❤❤🎉🎉
Chukua hioo🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤ tupo hap mpenz
@@SaidaKatana-gf4eg 😱🥰♥️♥️
@@Anwarmoh-p3x 🙏🤩🤩
Tunapika mbarate😂😂😂😂
Kazi nzuri sana.... watching from kenya wapi likes,❤️❤️❤️
❤❤team babakarobo nawafuatilia sana nikiwa nairobi kenya
Yani leo Nina furaha kubwa kwa sababu baba karobo kana Tena Asante mungu furaha imerundi kwa Familia ya mwanae na Dada yake mungu azidi kuwapa furaha ❤❤❤❤❤nawapenda Sana
Nilizubiri Sana movie ifika hapa atimae imefika,kweli mungu ni mgumu na hakuna kinacho mshinda ukimwamini,waauuu,asande Sana mungu wetu kumponya ba kalobo na iwe funzo kwa wanao waamini binadam wenzio Kama huyo fashion na ma kalobo,Sasa wacha fashion na ma kalobo waote mto waliowasha, kutoka 🇰🇪🌻🌻
Baba joan hongera unapendeza sana ❤🎉 asante pia kwa kazi nzuri jaman 😊🎉❤❤❤❤
Anaye soma comment hiii mungu amlinde siku zote za maisha yake,👏👏
Inshaallah Amina nawe pia
Amiin
@ZubedaSaid-kn9dp🎉Amina sana
@@mossikombo959Amina sana🎉
Amen 🙏
Mama karoho limemshuka shuu!! Alafu kawa mpole utafiliki ndondocha jomon nimefrahi sana baba karobo kuona tenaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂atimae kimewaramba swadakita natokea kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪wakenya wenzangu wanao wamini mungu tukutaneni hapa kwa like jamani🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante kwa movie zenu baba Joan ya team yako Nawapenda sana.ni Jospin kutoka Congo Drc Kivu yakusini
Wa kwanza leo jmn like zangu nyingi hapa
Ashanti mungu baba karobo anaona
Kweli mwisho wa ubaya ni mateso ya 😀😀😀😀😀😀mganga muhuni sana eti bimdashi una mia mbili hapa eti Sina ela ninamajanga tu
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂yaani nimecheka saaana eti una jero apo 😂😂😂😂mganga muhuni
😂😂😂😂😂😂
Movie tamu sana..😂😂😂kimewaramba akina fasheni na mma karobo feki Mungu ni mkubwa na ni Mfalme wa wafalme❤❤❤❤❤
Oooh😂 msta jackob umenifulahisha sana kwa hicho hicho umeaidi kwa dada yako na mungu atimizi ndoto zako bye mubaki salama
50 ndio sasa tunangoja next week part 1😂😂
Mama karobo fake amenywea utafikiri siyo yeye
🎉
Hongereni ila jitahidini movies zenu ziwe na hekaheka , watu at least wawe wanafanya kazi sio kula,kukaa, na kutembea barabarani alafu mambo mengine muwe mnapunguza havina umuhimu, movie inaenda mbele kama inarudi nyuma,.
🎉
Daaah Kai umefika huku na ww tn dash ❤❤❤❤ pokea maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Movies mzuri sana 🎉🎉🎉🎉kweli mwisho wa ubaya aibu mama karobo leo yameshuka uchawi kwisha 🎉🎉baba karobo ongera sana kwa kazi nzuri sana
Wow nimefurah kumuona Kai kweny team baba Karobo🎉🎉
Bonge la series baba joan Mungu azidi kukupa uzima utupatie move kali
Atasijui niongee nini leo furaha ilionje. Team strong tujuwane hapa kwa like ila zuu shep ulipewa mama❤❤❤❤❤
Ay jmn mnao mkubali bab kalobo njooon tuendeleee
Jamani tangu nianze baba karobo zijapata like naombeni 😮
❤❤❤❤❤
Iyo apo
Wa Congo tujawane apa jamani jana tulibora wa tanzania ma goals 2-0 leo tuwabore kwenye likes
Muna pikwa jana goals 2
Vue ya kwanza comment ya kwanza kutoka inchi Burundi .Malafiki zangu na WA fans wa baba kalobo mugongeni malayiki uku jamen tumuonyeshe upendo❤❤
Oyeeeee
Tuko hapa jamani
Zuu naona kama wewe ukonauchuba na bb karombo🎉🎉🎉🎉🎉
🎉
😂😂😂mungu ni mwema kila siku
Sijachelewa nipate likes zangu team strong from saudi❤
Niko Furaha kubwa sana kumuona baba karobo amekuwa na tabasamu la Furaha Kwa kuona acha Mungu aitwe Mungu
Tunao subiri mamakarobo feki na fasheni kuazirika gonga like hapa😂😂😂
Sio mbali 😂😂😂😂 vizuri sana mganga
Hhhhhhhh nip ap nasubiria kiwarambe
Wakwanza Léo na ombeni likes zenu hâta mbili kwa wale wana mukubali baba karobo
Mama karobo kitakuramba 😂😂😂😂 nawafatasana kutoka 🇧🇮 🇧🇮 koma umemutesa sana baba karobo Baba karobo pore sana kaka Alhamdulillah kwakuona ❤❤❤❤maansha Allah 🎉🎉🎉
Ila huyu Zuriati. Mmmmmh Romantic girl ❤❤❤❤
Nguvu hakuna tena, mganga hakuna kutoa msaada mwingine acha waaibike
Leo nimecelewa Sanaa 😮😮😮 lakini iyi movie ninayipend sanaaa❤❤❤❤🎉🎉🎉 team slong. Kwakutok 🇧🇮 ❤❤❤❤
🇴🇲🇧🇮
Nice baba kalobo🎉
Baba karobo sasa amuoe zuuu love from 🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Nimefatilia kila movie na kwa hii leo nmejifunza tuwe watu wa kutegemea mwenyezi mungu mganga hana nguvu zozote za kupambana na nguvu zake muumba shalom sholom 🙏🙏
Karbu sana Kai , kwny movie ya baba yang kipofu,
Ao marafiki walio mpa ela mbona alivyo kuwa kipofu awajatoa msahada anae ona kama mimi gonga like😂😂
Leo nawayi naomba at like at moja
Wenzenu wamesha yabananga ukuuu😂😂😂😂😂 baba kalobo upewe mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Baba Joan unafanya kazi nzuri sana upewe maua yako💐🌺🥀🌹🌷🌷
Tunawapenda nahomba munioneshe barundi muko apa munioneshe❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
weh umbwa una buku hapo 😂😂😂😂😂 kumbavu zangu hii series tamuu kweli 🎉🎉🎉ongereni baba joan
Mm sijapenda hii mbon kiny kinya haijanipa taarifa lakin nimewasamehe bure nawapenda 🥰team baba karombo from Dubai
Amini mungu kwa Kila jambo na tuache kuyumba yumba
Wa kwanza leo mimi. Naomba likes tafadhali, nami nitashukuru na nitalike back pia.
Kama mganga anajua awesi kubishana na mungu 🙏🙏ww ni nani usimwamini 🎉mungu ....kama unaimani kwake like tukisonga 🎉
Mungu ni Mungu tu hashindani na mwanadamu
Nime wahi Leo chukueni maua ❤❤❤❤❤❤
Leo nimewahi jamani nipeni like zangu hata kumi tu 😅😅 baba karobo hapa😅
Wa kwanza from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipe likes
Mnipe likes kama mnampenda baba Joan jamani
Mganga mwenyewe Doko, hahahahahah, et jero Mara Mia mbili,
Ahahajja mganga doko 😅😅😅😅 usinivunje mbav mama kalobo anaend kuumbuka
Kabisa😂😂
baba Joan na Kai nashukuru sana kwakuwaona pamoja na wa penda sana maua Yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Jaman Wanaume Kama Fashion Bad Wape Ndo Mjifunze Tamaa Mbele Mauti Nyuma Nipe Like Zangu Jaman ❤️🤣🤣
Mimi leo wa kwaza kutoka mozambique
Pamoja sana Baba Joan 🙏🙏🙏kazi nzuri ❤❤❤
Haaaahaaa😂😂😂😂 mganga dokoo mr kipara ingwe😂😂
Hapa mm nakua wakawaza Leo kwa kila kitu,likes jamani
Anaeamini makalobo feki mambo yake yameisha gonna like apa
🎉🎉🎉❤❤❤wakwanz Leo jaman🎉🎉uwiiiii like nzang hapo😢
Loi na fasheni kimewalamba mtakoma na uchawi manafiki wakubwa nyie hongera team baba karobo kwa kazi nzuri😂
Wakwanzaaaaa🎊🎊🎊Leo mimi
Movie nzuri xn 💥💥
🎉leo mimi wa kwanza
Kazi Safi
Duuuu movie Kali sana
Jamen mm kutoka kenya apa nipeeni likes wezangu🎉
Tulio furaha kumuona Kai wa house girl ndani ya baba yangu kipof tugonge like 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Wakwanza Nip lik 🎉🎉❤
Namewahi jaman like nizione😂
Wa kwanza Congo bukavu bagira mulambula
Eeeh Mungu nimekukimbiria wewe, eeeh Mungu uniepushe na wale waovu, usiache nafsi yangu iyangamike,Kwa kuwa wewe ndio nsaada wanguu🙏🇰🇪 twajua huu wimbo more love time strong 💪 Tuned in from 🇶🇦
wandugu nafurahi ju papa karobo amepona ananza wona kwa macho nami nashuru mungu yee amesikia maombi ya watumishi wake minabapenda sana nayishi ishi ya Rwanda
Nitakupa vyeti vyangu baba Karobo pia mimi nitafutiwe kazi😊😂. Kila unakoenda naona kuna nafasi.
Kazi nzuri sana Baba Joan🇹🇿
No1 ❤
Nawapenda sana mwe wote kiukweli munajua kucheza vizuri baba karobo Big p sana❤
Movie Nzuri sn yenye mafunzo makubwa sn MUCH Love ♥️💚♥️ Kibanio Na waloshiriki wote Kumsaidia Baba Kalobo hadi kaona jamoni eeeh twasubiria FINAL ÉPISODE, maana Mama Kalobo Fake sura imemshuka shuuuuu, jamoni eeeh tutendeni mema, maana Siku zote mwisho wa ubaya ni aibu na Malipo ni hapa hapa Duniani Akhera ni mahesabu tu.
Nimewai Leo❤️❤️❤️
First viewer❤❤
Glory be to God, waganga na wachawi hawana mamlaka juu maisha ya mwanadamu good lesson ❤❤🎉
Roy utakufa mpk ushuhudie kaburi liliv
😂😂😂
Wa kwanza ❤❤❤🎉🎉🎉
Hii movie imeniumiza sana umenilenga mm mme wangu alivyonitesa kuniharibia maisha ALLA unami nami ntafauli
Mashallah baba karobo kazi zuri San wallah Roy na lazz wake wameyatimba kweupe Kwa doko kipara wp baba karobo na zuu wake harusi tunayo hatuna wanaaza kuchechiana Tena Roy na lazz wake 🔥🔥🔥unaaza kuwakia sasa wejewe Kwa wejewe hum 2
Nimechelewa leo jamani nipeni like na mimi basi❤❤❤
Yani Kila nikijitahidi niwe wa kwanza kukoment lakini wap tatizo kuna watu wanashinda UA-cam na hawana kazi kabisa dah😮😮🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Asante baba karombo kwa kuanza kuona tena ,naona rafiki yako kai nayeye anafurahi.
Nafurai sana kuona baba karobo anaona mungu awabariki sana mlio pambana kwa ajili ya baba karobo adi amepona nawapenda sana❤❤❤❤❤
Hongera kwa muchungaji mimi natoka kenya nimependa hii move sana.
Team Kenya nko wapi like jameni
Mama karobo na fasheni kimekula kwenu sasa😅😅😅😅😅 hata mganga hawezi kuwasaidia hadi anawaita maumbwa😅😅😅😅😅 mmeyabwaga wenyewe
Umsi mbaye wi mbere
Umunsi mbaye wa mbere
Niko kenya mnasema aj wa tz❤❤❤