Polisi washika doria katika kituo cha feri Likoni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 бер 2020
  • Hatimaye mambo yamebadilika katika kivuko cha Likoni huku maafisa wa polisi wakishika doria kuhakikisha kuwa walioabiri feri wanatekeleza maagizo ya kutokaribiana . Hatua hiyo imepunguza msongamano kwenye feri huku idadi ya wanaoabiri kwa wakati mmoja ikipunguzwa.

КОМЕНТАРІ • 68

  • @allyyussufshuwari4508
    @allyyussufshuwari4508 4 роки тому +2

    Poleni sanna ndugu zangu Kenya

  • @georgejindwa8135
    @georgejindwa8135 4 роки тому +10

    Mm maoni yangu ya Kenya ferry rekebisheni hilo Jango la kuenda kwa ferry jengo bovu mabati yamezeeka hata juu la anguka aibu

  • @jeffchurum1431
    @jeffchurum1431 4 роки тому +7

    Hadi waleo hakuna bridge. Old skul

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 роки тому +1

    Sija hafiiki.haya pia bado swsws na mateso sijui sasa tufikirie corona au hali gani sasa.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @staceymayar4606
    @staceymayar4606 4 роки тому +1

    I wish our people can be this ruly, Kenya would be a great country to live in. This is how ruly majuu is

  • @eunicewairimu5015
    @eunicewairimu5015 4 роки тому +2

    MI ningekuwa hapo nikirudi nyumbani tu maisha ikiwa ngumu nirudi shags warai Corona inatesa huu msimu

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 4 роки тому +1

    Hapo ni Kweri Kaka Rhashidi, Nganga nganga za Mganga huwa Zina laza Mgonjwa kwa Tamaa, Nasi tukiwa huku Ugaibuni Twa Sema Watangazaji Wenye Sauti Zuli kama Yako, Na yenye Kumtoa Joka Pangoni, Hutu fanya Tusi Gatuke Kamwe Kwenye Runiga ya Citizen 👍🤗😁

  • @otiendenelson2584
    @otiendenelson2584 4 роки тому +1

    Enyewe kulinda nchi si kazi rahisi

  • @Utadowot
    @Utadowot 4 роки тому +11

    So that governor hoho cannot replace those rusty iron sheets ama he's too busy travelling the world and shopping?

    • @Ladypeace12312
      @Ladypeace12312 4 роки тому +3

      Fleur that's what is sad in kenya, people chose shitty people as leaders. Joho is a good example of a corrupt shitty idiot

    • @abouhafs2891
      @abouhafs2891 4 роки тому +1

      Governor hoho ako county ipi?lol

    • @Utadowot
      @Utadowot 4 роки тому +1

      @@abouhafs2891 mombatha kwa governor hoho

    • @abouhafs2891
      @abouhafs2891 4 роки тому +1

      @@Utadowot kabadilishwa jina sasa?

    • @Utadowot
      @Utadowot 4 роки тому

      @@abouhafs2891 jina la heshma kiasi chake

  • @leonidahayuma9528
    @leonidahayuma9528 4 роки тому +5

    Nani ameona hayo mabati mzeee na watu wanalipa ushuru

  • @veronekv3732
    @veronekv3732 4 роки тому +1

    Kuchapa mtu haimanishi ugojwa haitauwa

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier5444 4 роки тому +2

    Mabamba yameoza kfs bure kabisa serikali nayo ovyoo pambavu

  • @nanimkenya1015
    @nanimkenya1015 4 роки тому +1

    kumbe si bure watu kwanguka feri serikali jiushize mabati mzee sana.

  • @coolkidabbas910
    @coolkidabbas910 4 роки тому +8

    Mumetesa waswahili wetu aki😂

    • @Ryoof-qo7if
      @Ryoof-qo7if 4 роки тому

      Piya wabara wengi sikuhizi wako mombasa

  • @damariam7497
    @damariam7497 4 роки тому

    Ningekuwa mm ningevuka kwa kuogelea tu. Nigehota mashaka

  • @shadrackouma1460
    @shadrackouma1460 4 роки тому

    My own opinion is that Kenya is a revered country in the East Africa block we need to build a permanent bridge. Ferry is an old school method

  • @aminalibondo7507
    @aminalibondo7507 4 роки тому +1

    Kheri inshaAllah

  • @bejamataria7362
    @bejamataria7362 4 роки тому +3

    mnyonge hana haki the poor citizens

  • @nanimkenya1015
    @nanimkenya1015 4 роки тому +1

    tuaisimu mombasa kwani hata huku kuna mabati mzee kuliko kwetu basi, najifikiri ninashida kumbe bado. hicho nikibanda chakuuzia giteri au cha serikari?

  • @azizmatano6668
    @azizmatano6668 4 роки тому +4

    Hii shida ililetwa na serekali yetu,,,bure kabisa ,,,,wengeli zuiya ndenge kutoingia inchini kabla ya vukevuke la corona kuingia hapa

  • @ayeshal4395
    @ayeshal4395 4 роки тому

    Sana niumasikini ndo uko Kenya raisi eti yko hahaha

  • @siasabora
    @siasabora 4 роки тому +2

    kwa kifupi kaa nyumbani

  • @mmukolo_MBA
    @mmukolo_MBA 4 роки тому

    Waume wawe kando kwenye foleni.....vile vile wanawake wawe na foleni Yao.

  • @wilsonkidundu8969
    @wilsonkidundu8969 4 роки тому +1

    Citizen mumechelesha matangazo yenu mlikuwa wapi asubuhi tumebanana sana upande wa likoni kuanzia saa 6am hadi saa 10asubuhi

  • @korshenomar7376
    @korshenomar7376 4 роки тому

    Sawa

  • @theconfirmed6772
    @theconfirmed6772 4 роки тому

    Ferry ifungwe kwa week mbili atlist...

  • @fauzishma8033
    @fauzishma8033 4 роки тому +2

    Hapo watavukisha watu mpaka usiku

  • @nafisaabdalla2599
    @nafisaabdalla2599 4 роки тому

    watoe tu taarifa kwamba watafunga ferry ili watu wajipange kubaki majumbani mwao watulie ndio huo mda wa saa moja utawapata makwao.

  • @naomiwhite3832
    @naomiwhite3832 4 роки тому +1

    Mtajua hamjui stay home otherwise mkileta Funjo mtanyooshwa curfew ain't a joke ata majuu tuko indoors

    • @abusaeed9037
      @abusaeed9037 4 роки тому

      Naomi White uko wapi

    • @naomiwhite3832
      @naomiwhite3832 4 роки тому

      @@abusaeed9037 Europe

    • @bratonwilliam7877
      @bratonwilliam7877 4 роки тому

      Watakula nn wakikaa home

    • @naomiwhite3832
      @naomiwhite3832 4 роки тому

      @@bratonwilliam7877 who cares? Niwajipange this da highest stupidity my fellow Kenyans have ata wakijaribu kuzuiliwa na njia zote they still have neg mind. If their prob is fud watoke wakatafute wakijuaga corona is hunting them

  • @nafisaabdalla2599
    @nafisaabdalla2599 4 роки тому

    kwa maoni yangu mm ilkua nasema ili kuwaeka nyumbani watu kwa mda huo uliotolewa na rais uhuru bora wafunge izo ferry tu ndio watu watatulia nyumbani lkni ikiwa zitafanya kazi mda huo wakuwataka wakae nyumbani utawapata apo apo wakisubiria ferry kuja kuwabeba.

  • @MambaAfrica
    @MambaAfrica 4 роки тому

    Serekali itengenezwe daraja.

  • @sarahjustice526
    @sarahjustice526 4 роки тому

    Evil human for government.Who are those who say they were chosen by God!

  • @leahndinda9314
    @leahndinda9314 4 роки тому

    Imagine how they are treating this people like some shit they have to struggle yet they will wake up at dawn and vote for stupid leaders kuleni kiburi yenu the day people will learn the hard way that is when kenya will change

  • @tusomepamoja2519
    @tusomepamoja2519 4 роки тому +3

    weka curfew mpaka mchana wacha kutukejeli

    • @assas9740
      @assas9740 4 роки тому

      Watu wetu watakufa njaa kwa nyumba.

    • @assas9740
      @assas9740 4 роки тому

      Mungu awasaidie.

    • @elnorahmjomba1311
      @elnorahmjomba1311 4 роки тому

      Siku ile bridge itapatikana Mombasa itakua Raha jamani serekali fanyeni mpango basi

  • @rashidsalim3801
    @rashidsalim3801 4 роки тому

    Likoni ferry ni chafu mbovu yani aibu tupu kazi kuonwa watu tu

  • @moraaontiri4082
    @moraaontiri4082 4 роки тому

    Hamna haja kuvaa mask kwa foreheads

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 4 роки тому

    Shida zote hizi niserekali yetu duni yani wanajua kbsa China wana corona then wanawaruhusu waingie Kenya bure kbsa

    • @abusaeed9037
      @abusaeed9037 4 роки тому

      Shifaa Zawadi sio wakati wa kulaumiana sahi

    • @shifaazawadi4438
      @shifaazawadi4438 4 роки тому

      Niwakati wa nini

    • @kingmrevil5279
      @kingmrevil5279 4 роки тому

      Wachina wasiwaruhusu kuingie Kenya nawa ltaly

    • @shifaazawadi4438
      @shifaazawadi4438 4 роки тому

      Eti walifungu juzi upumbavu mtupu mwafu najanga la corona muliingiza tayari mwafunga kazigani bure kabisa

  • @kennyjones539
    @kennyjones539 4 роки тому

    Make a snake line

  • @mohammadsalim7879
    @mohammadsalim7879 4 роки тому

    Hiyo sio dawa wengie hawana mask

    • @bratonwilliam7877
      @bratonwilliam7877 4 роки тому

      mohammad salim mask haisaidii chochote ,atakuwa anaivalia kila siku

  • @juliusmuriungi1709
    @juliusmuriungi1709 4 роки тому +1

    Matexo

  • @RashidRashid-nc8hq
    @RashidRashid-nc8hq 4 роки тому

    Ujinga tu