Washukiwa 4 wakamatwa kwa tuhuma za uhalifu eneo la maboksini, Mombasa
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2024
- Watu watatu wamekamatwa huku wengine wakisakwa kuhusiana na visa vya utovu wa usalama mjini mombasa.haya yanajiri huku operesheni ya pamoja ikifanyika kufurusha familia za mitaani katika eneo la maboksini.
Wabara wameleta ujambazi na ukorofi pwani ,pwani was so peaceful before you could leave your shop open and house but since wabara kuingia Mombasa wameleta uhalifu na wizi mkubwa sana
Kwa hivyo pia hawa majambazi wa old town na kisauni ni wabara
boss unajiskiza kweli unavyoongea...waswahili ndio hushikwa daily
wageryenge wametuharibia pwani yetu.
@@tobias2912 angalia majina Yao utaona ni wabara, wanafundisha mpaka wapwani wanaharibu Sasa, Mombasa hakukua na mauaji ya kiholela
Thanks police