Washukiwa 4 wakamatwa kwa tuhuma za uhalifu eneo la maboksini, Mombasa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 вер 2024
  • Watu watatu wamekamatwa huku wengine wakisakwa kuhusiana na visa vya utovu wa usalama mjini mombasa.haya yanajiri huku operesheni ya pamoja ikifanyika kufurusha familia za mitaani katika eneo la maboksini.

КОМЕНТАРІ • 6

  • @dembaba6925
    @dembaba6925 Рік тому +1

    Wabara wameleta ujambazi na ukorofi pwani ,pwani was so peaceful before you could leave your shop open and house but since wabara kuingia Mombasa wameleta uhalifu na wizi mkubwa sana

    • @fhhfd8449
      @fhhfd8449 Рік тому

      Kwa hivyo pia hawa majambazi wa old town na kisauni ni wabara

    • @tobias2912
      @tobias2912 Рік тому

      boss unajiskiza kweli unavyoongea...waswahili ndio hushikwa daily

    • @kinara5365
      @kinara5365 Рік тому

      wageryenge wametuharibia pwani yetu.

    • @dembaba6925
      @dembaba6925 Рік тому

      @@tobias2912 angalia majina Yao utaona ni wabara, wanafundisha mpaka wapwani wanaharibu Sasa, Mombasa hakukua na mauaji ya kiholela

  • @mjijibwoy
    @mjijibwoy Рік тому

    Thanks police