PADRE DKT KAMUGISHA ''ACHA MTUNGI''/ WANAOKUHUKU WANAIHUKUMU SAKRAMENTI YA KITUBIO / MSHANGAE MUNGU
Вставка
- Опубліковано 15 бер 2020
- Ni katika homilia ya Dominika ya tatu ya Kwaresma katika Parokia ya Mt. Yohana Maria Muzeeyi Jimbo Katoliki la Bukoba amewataka waamini kuacha kuhukumiana na kuzidharau sakramenti mbali mbali za Kanis
Nawashukuru watazamaji kwa maneno yenu ya kutia moyo, shukrani na ushauri wenu. Nawaomba mwendelee "ku-subscribe."
Baba niko Oman nafuatilia mafundisho yako najiona kama nipo na kanisa ubarikiwe hatua zako zote
Najivunia kuwa mkatoliki Asante baba kwa mafundisho yako hakika tunabarikiwa mapadri wetu mnavitu vikubwa sana na kanisa katoliki linautajiri mkubwa sana wa Imani
Nakufuatilia kutoka iraq....kushangaa ni hatua ya kwanza ya kuondoa mazingara...
Kushangaa ni mwanzo wa kuabuduku"kamugisha we unamaono haswaa,kila kukicha nabarikiwa na mafundisho yako,siku nikifika bukoba lazima nikuone live niondoke na baraka zako!!👋
Nimekua nikifwatilia mafunzo yako padre niya kutia moyo na kujenga ubarikia
Mungu ongeza watumishi kama huyu watu tupone
Asante padre kuwa mahubir natamani kuendelea kukusiiliza ila bando zinaisha haraka Mungu akubariki
Mungu akutunze baba wewe ni tunu katika kanisa
Ninakuombea BABA uendelee na kutuelimisha tunakuelewa
Be blessed father Kamugisha nakufuatilia vizuri kabisa.Mungu awe nawe Katika
Asante sana Fr kwa utume ulio tukuka barikiwa
Barikiwa sana padre Kamughisha
Ameen ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu
Napenda sana homilia ya Fr Kamugisha. Nimepata mahubili kama haya nilipokutana nawe chuo cha SAUT Bukoba.
Barikiwa saaana baba padre mungu akupe siku nyingi za kuishi iriuhubiri nenola mungu
God strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission.
Kushangaa ni Mwanzo wa Kuabudu. Mungu anatuamsha tumwabudu. Amina
Wanadamu tutengeze mazingira tuache mazingara,Mungu ni mwema asante sana father
Amina 🙏