Fr Kamugisha Msamaha Pt1: Msamaha unabadili historia/Samehe bila kikomo/Samehe vitu/
Вставка
- Опубліковано 19 лют 2021
- Ni mafundisho ya Kwaresima yaliyotolewa na Paroko wa Parokia ya Minziro Jimbo Katoliki la Bukoba Padre Dkt Faustine Kamugisha katika Kanisa kuu la Kiaskofu Jimbo Katoliki la Bukoba. Mafundisho haya hutolewa kila Ijumaa baada ya njia ya msalaba kanisa kuu la Jimbo (Cathedral) na mapadre mbali mbali wa Jimbo hilo.
#ShajaraFaraja
Ahsante father nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏
Amen good homily👍💯
Asante Baba
Amen mtumishi
Asante padre kwa neno zuri
Asante sana Fr.nimebarikiwa sana
Fadher uje parokia yeti ya bujora mwanza,
Hallelujah Fr Kamugisha
Asante Sana Sana Baba nimebarikiwa mnooo Kwa mahubiri haya
OGod strengthen faith of Padre kamugisha to countiue in is mission olord.
Amen ubarikiwe father
Tunakushukuru kwa kutulisha neno father
Fadher mungu akutunze vyema nabarikiwa Kila siku,mahubiri Yako nimeyafanya kuwa kahawa ya hasubuhi Kila siku nabarikiwa mtumishi wa mungu
Napenda utembelee Rukwa uhutubu katika makanisa! Nabarikiwa sana na kilichowekwa ndani yako!
Amen
AMEN mtumishi wa Mungu
Amina baba Mungu akubariki
Karibu sana katoro geita
Nayakubari mafundisho yako
Amina