REV. DR. ELIONA KIMARO: WAKATI WA KUTOKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 вер 2024
  • KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH - IBADA YA EVENING GLORY - FRIDAY PRAYERS - 17/11/2023.
    KICHWA CHA SOMO: KUSUDI LA KUWEPO"
    "A SENSE OF PURPOSE"
    NENO KUU
    UNAFANYA NINI HAPA?
    WHAT ARE YOU DOING HERE?
    NYI - KYIKYI UWUTA IHA?
    1 Wafalme 19 : 9
    UNAFANYA NINI HAPA?|
    "WAKATI WA KUTOKA"
    FROM TEST TO TESTIMONY
    Isaya 19 : 19 - 25
    Maombolezo 3 : 31 - 33

    Kutoka 11 : 1 - 5
    1 Bwana akamwambia Musa, Liko pigo moja bado, nitakaloleta juu ya Farao na juu ya Misri; baadaye atawapa ninyi ruhusa mtoke huku; naye hapo atakapowapa ruhusa, atawafukuza mtoke huku kabisa kabisa.
    2 Basi nena wewe masikioni mwa watu hawa, na kila mtu mume na atake kwa jirani yake, na kila mwanamke atake kwa jirani yake, vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu.
    3 Bwana akawapa watu hao kibali machoni pa Wamisri. Zaidi ya hayo, huyo Musa alikuwa ni mkuu sana katika nchi ya Misri, machoni pa watumishi wa Farao, na machoni pa watu wake.
    4 Musa akasema, Bwana asema hivi, Kama usiku wa manane mimi nitatoka nipite kati ya Misri;
    5 na wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri watakufa, tangu yule mzaliwa wa kwanza wa Farao aketiye katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa huyo kijakazi aliye pale nyuma ya jiwe la kusagia; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.
    Kutoka 12 : 31 - 36
    31 Akawaita Musa na Haruni usiku, akasema, Ondokeni tokeni katika watu wangu, ninyi na wana wa Israeli; enendeni, kamtumikieni Bwana kama mlivyosema.
    32 Twaeni kondoo zenu na ng'ombe zenu kama mlivyosema, enendeni zenu, mkanibariki mimi pia.
    33 Wamisri nao wakawahimiza watu, kuwatoa katika nchi kwa haraka, maana walisema, Tumekwisha kufa sote.
    34 Watu wakauchukua unga wa mikate yao kabla haijatiwa chachu, na vyombo vyao vya kukandia wakavitia ndani ya nguo zao mabegani.
    35 Wana wa Israeli wakafanya kama neno lile la Musa; wakataka kwa Wamisri vyombo vya fedha na vyombo vya dhahabu, na mavazi.
    36 Bwana akawajalia kupendelewa na Wamisri hata wakawapa kila walichokitaka. Nao wakawateka Wamisri nyara.
    Mwanzo 1 : 27 - 28
    27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
    28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.
    MAOMBI:
    1. TOBA NA KUITA DAMU YA YESU
    2. KUOMBEA WABEBA KUSUDI LA KUWEPO
    3. KUSHUGHULIKIA UPINZANI NA VITA
    JUU YA KUSUDI LA KUWEPO.
    - MAAPIZO YA KICHAWI
    - MANENO YA WATU
    4. KUOMBEA KIJANA WA KIAFRIKA
    5. UREJESHO NA KUHUISHWA KWA KILA KILICHOIBIWA CHA KUWEZA .....KUSUDI ( UKOMBOZI )
    6. SADAKA
    Mhubiri : Rev. Dr. Eliona Kimaro
    Kwa maombi na ushauri :
    Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
    Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

КОМЕНТАРІ • 49

  • @LucyLema-m7e
    @LucyLema-m7e 3 місяці тому +1

    Mungu akubariki kimaro umeniamiinisha makubwa

  • @DorisKimario-sp3gm
    @DorisKimario-sp3gm 3 місяці тому

    Asante Dr kimaro Mungu amekutumia umenivusha

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 5 місяців тому +1

    Weuh! Middle East hapa tumetingizwa, tunarudi Africa na kuwa baraka 🙏🙏🙏

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 9 місяців тому +1

    Mchungaji kimaro una kibali Sana tunakupenda Mungu amekuweka hapo kwa ajili yetu Mungu akutunze na akupe ujasiri mwingi wa kumtumikia yeye kwa kila hali

  • @KanadeMrangu
    @KanadeMrangu 13 днів тому

    AMEN ❤❤❤❤❤❤

  • @forminaformina7694
    @forminaformina7694 Місяць тому

    Amina

  • @happynessjanuary6152
    @happynessjanuary6152 9 місяців тому +1

    Ameni nabarikiwa Kwa mahubiri Yako yesu aendelee kukutumia

  • @neemakimaro4475
    @neemakimaro4475 3 місяці тому

    Aminaaaa

  • @bestcakes7098
    @bestcakes7098 7 місяців тому

    Amen🙏

  • @user-zd1xb6ik1c
    @user-zd1xb6ik1c 6 місяців тому

    Amen bwana apewe sifa

  • @adrophwilliam3225
    @adrophwilliam3225 10 місяців тому +1

    Nimetoka kwenye laana na mikosi ufukara na umasikini kudhalilisha na kulogwa kabisa kabisa kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti Aminaaaaaaaa

  • @aivanntomi9484
    @aivanntomi9484 7 місяців тому

    Amen iwe kama mtumishi wa Mungu ulivyonena katika Jina la Yesu Kristo Mimi kama Mwafrika nitakuwa Baraka ya Dunia Amen 🙏🙏🙏

  • @user-dv5po2es2o
    @user-dv5po2es2o 9 місяців тому +1

    Ubarikiwe mchungaj

  • @Uplifiting
    @Uplifiting 8 місяців тому

    Rev. Kimaro, we love you so much. From 🇺🇸

  • @lucykandie1109
    @lucykandie1109 10 місяців тому +1

    Thank you rev dr Eliona this my remer word. I'm going to bless the world in Jesus's name amen.

  • @josephkigembe-ec4pq
    @josephkigembe-ec4pq 9 місяців тому

    Nakupata na kukufuatilia nikiwa nchini Ujerumani Gütersloh, hakika wewe ni Mchg. wa Kimataifa. Kwa jina la Yesu tutamiliki na kutawala popote. Amen

  • @Filex-qt1iy
    @Filex-qt1iy 10 місяців тому

    A Amina mtumishi wa Mungu naminii napokea Kwa damu ya Yesu

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому +1

    Asante pastor kwa fundisho lako mungu akubariki

    • @kenya588
      @kenya588 10 місяців тому

      Asante baba

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому +1

    Amen

  • @ancillabura1457
    @ancillabura1457 9 місяців тому

    🎉

  • @collinslyimo448
    @collinslyimo448 10 місяців тому

    Ameeeeen

  • @neemakimaro4475
    @neemakimaro4475 3 місяці тому

    Amina.wtoto wetu waww na akili za kimiujiza

  • @StellaPhilipo-yk5fu
    @StellaPhilipo-yk5fu 9 місяців тому

    Amina Amina mchungaji

  • @restitutatheobald619
    @restitutatheobald619 9 місяців тому

    Hallelujah 🙏🙏

  • @neemaswai8358
    @neemaswai8358 10 місяців тому

    Amina mtumishi

  • @fleviahella9818
    @fleviahella9818 2 місяці тому

    Hfi divctq😊

  • @alvinngowi2193
    @alvinngowi2193 10 місяців тому

    Amen

  • @MeshyNgigwana
    @MeshyNgigwana 10 місяців тому +1

    Àmeeen.

  • @MonicaLijaa
    @MonicaLijaa 9 місяців тому +1

    Àmina lmk mchungaji

  • @HonolinaKamgisha
    @HonolinaKamgisha 10 місяців тому

    Amina nabarikiwa

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому

    Napokea kwa jina la yesu

  • @restitutatheobald619
    @restitutatheobald619 9 місяців тому

    Ninamiliki na kutawala

  • @furahamtweve4222
    @furahamtweve4222 10 місяців тому

    Amen baba mchungaji

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому

    Hallelujah 🙏🙏🙏

  • @user-rx6sd6vl6o
    @user-rx6sd6vl6o 8 місяців тому

    Ninatoka kwenye upweke

  • @lucybhujo6774
    @lucybhujo6774 10 місяців тому

    Ameeeen

  • @EdwinKahindi
    @EdwinKahindi 10 місяців тому

    Amina

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому +1

    Nitakwenda kumiliki nyumba yangu kwa jina la bwana

  • @neemaswai8358
    @neemaswai8358 10 місяців тому

    12:52

  • @KhalidiMsuya-h6o
    @KhalidiMsuya-h6o 10 місяців тому +10

    Mch.kimaro maombezi yako hua yananijenga sana. Japo mimi kiimani ni muislam ila nakufuatilia sana mana wewe una kitu cha pekee

    • @greenermichael2057
      @greenermichael2057 9 місяців тому +2

      Kabisa huyu mchungaji Ni wa kipekee Sana jaman

    • @BarakaRwegoshora
      @BarakaRwegoshora 8 місяців тому +1

      Ukiamini na kujiamini katika haki ya kweli inawezekana kwa Imani.

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 7 місяців тому

      Okoka sasa, njoo kwa YESU KRISTO

  • @HonolinaKamgisha
    @HonolinaKamgisha 10 місяців тому

    Na mimi nitamiliki nyumba yangu

  • @sanetag2173
    @sanetag2173 10 місяців тому

    Natoka kabisa kabisa

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 9 місяців тому

    Mungu akubariki sana mchungaji azidi kukupa hekima na maarifa

  • @pasklinajohn9347
    @pasklinajohn9347 9 місяців тому

    Mchangaji ubarikiwe sana