Naye mtt wakike anaona sawa tuu mwanamke wakuvaa vaazi km hilo kwenye kadanasi ya watu nimtiha mbona biharusi kavyaa vizuri aliy kamwe utabeba mzingo mzito siku yako ya mwisho hilo sio vaazii la mtt wakike abakisha nn sasa hapo auoneshe utupu aha mwanangu aliy baadilika mtafuti mwanamke vaazi la kujistiri wee hujaona kutoka nyumbani
Bi harusi hongera kwa kujistiri vizur
Baba Ally kamwe kama namuon anavyoona upaja wa mkwewe😂😂
Chefuuu
sio kwa mpasuo huo kwa kweli
Tubadilikeni jamani kuna mungu 😢
Sherehe ya kislamu anavaa kama anaenda bar mwengemrudisha😢😢
Kama ndo mchumba hamnakitu hapo changu Tu huyo hafai kuolewa nasemaji letu
MISA UKUMBI MZIMA YY NDO KAFUNIKAAAA❤❤❤❤❤😂😂😂
Challenge zote zile kapita yeye lakin kweny iyo mshono kabigi san
Mmh amina nipite zangu mie niyaache ya dunia watu wafanye vyenye wanataka mmh 😂😂😂😂
Du kwa kwel hiyo nguo sijaielewa paja lenyewe kama kisamvu cha nyongeza, loo hadi aman huna kwa ajili ya nguo kwan ukivaa kawaida utapungukuwa nn du!
Mwanamke kuacha paja wazi katika kadamnasi ya watu inaashira nini katika siku muhimu kama hiyo jamani
Naye mtt wakike anaona sawa tuu mwanamke wakuvaa vaazi km hilo kwenye kadanasi ya watu nimtiha mbona biharusi kavyaa vizuri aliy kamwe utabeba mzingo mzito siku yako ya mwisho hilo sio vaazii la mtt wakike abakisha nn sasa hapo auoneshe utupu aha mwanangu aliy baadilika mtafuti mwanamke vaazi la kujistiri wee hujaona kutoka nyumbani
Ndio haki wanazo pambania...
Siku hizi kama hutembei uchi wewe Bado ni mshamba
❤❤❤❤
Hilo ua mbona humpiii
WAjamen hiyo inaitwa nightdress inavaliwa usiku tuu
mtu anajiachia na mtuwe
shida ipo wap?
Mmh kwanz hata hawaendan
Nguo imemnyima furaha 😂
Unavaa nguo inayokunyima amani😅😅😅
Nauliz hivi kwan hz magauni huwaga zinalemea nn maan huwanaona wanapat tabu kwel yni gauni lko hila hauko comfortable nalo...yn walishk mpk hufik uko mbel y safar...ilaa kapendez
Hapo hapo weweeee mmependeza wenve wifu wajinvonge
Huyo mchumba mcharuko haiwezekani uvae nguo paja nje ili iweje vaa nguo yenye kujistil
unatambulishwa ukweni bila gharama so sad😁
Mhhhhh
tumefaidi paja bila GHARAMA YOYOTE.......so sad
Hata akiacha kuma wazi si yake ndo kashapendwa hivyo
Duu
Mchumba kavaa Kama anaenda baa kulewa
Ally kamwe kalizika na mchumba wake wanao chukia wajinyonge haraka iwejezanavyo
PUMBAVUUU KWA HERUFI KUBWA ATI MCHUMBA KUVAA GANI KAMA MALAYA AU MALAYA TU
Semaji mbona km unamwogopa mtoto
Halafu unafunika na pochi kenge wacha tu si umekwenda kuonesha hivyo vipaja vya njiwa
Ally kuna vitu unayakiwa kuona wewe tuuuu
Amepigwa mchana kweupe
Biharusi kizeeee
😂