Billnas kaka yng una aibu sana jmn Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
Nandy unampenda sana bill😘😘😘true love
Mpaka huluma
Sana inaonesha
Daaah! Sana
Nandy anampenda sana bill😍😍
Saaaanaa
Mmejua kunifurahisha sana Nandy na mangi Mungua awatangulie mfunge ndoa.
MashaAllah!! Nafurai kuwaona hivi. Fanyeni muowane sasa. ❤❤
Nawapenda Sana napenda niwaone mkiwa hivyo mnapendeza Sana mungu awabariki mfike mbali
Nandy loves this guy truly sio yakufake hataaa
I love both of them 🥰🥰
I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯
Nandy anampenda billnass sana...
Yaani kuonekana pamoja tuh ni biashara.... hearth is hard
Nandy ndio anaependa sana nenga hamna kitu
Neenga!!!! mwanang sanaaa🔥🔥🔥
Mnao juwa kumsoma mtu macho NANDY aisee inaonesha anavyo Mapenzi makubwa kwa BILLNASS.
Hahaaaa kwa luge alifta nini..😂...kama bado anapenda?
Umeona eee!nawapenda sn sn jmn waoane 2 jmn.
Baada yandoa Niko hapa nawakubali sana Nenga n Bill
Nawapenda sana hawa jamaa coz wanapendana sana mpaka najiskia raha sana nawaombea kwa mungu awape upendo wa dhat na baraka tele Inshaallah.
Waandishi mnaharibu muziki, mnakamia mahusiano akati kilichowaleta ni muziki🙌🙌
Nand anampenda sana mpaka namuonea uluma
Nafurahi sana kuwaona tena❤️
Yan uyu bilnas ata ayuko romantic kwa mwenzie Yan Nandy kanajitahidi kumregezea jicho ye amekazaa
😂😂😂
Dah penzi lenu linsnikosha sanaaaa Nandy Big up💪❣️
What a love 💕
Billnas, unajina kubwa sana.. una jina la Nyota.. yaan mida hii ulitakiwa uwe juu sanaaa
OMB. 3:22 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.
Mapenzi ya upande mmoja magumu sana. Ngoja kwanza Nandy apate experience
😀😀😀lakini ww
Nandy anampenda Sana huku Kaka hata kwa macho anaonekana Ila huyu Kaka sasa
Wanawake wanajua sana kupretend
The lady loves the man more than the man does
Yes but i think her parents are too negative towards their relationship, which is very discouraging for a man.
@@alicekisanga8004 yeah that's
So what!!!
Yes true nandy amependa sana
Nandys parents are negative towards bilnass kisa na maana kipato cha Nandy kipo juu
Jamn me naipenda hii couple more than love all
Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie
Hahaha
YAANI HUYU NANDI ANAMPENDA MTU MPAKA ANARINGA
Cha ajabu jamaa Hana hata habari nae dahh ..haya mambo painfull sana
😂😂😂🙌
❤😂😂nimecheka
Billnas kaka yng una aibu sana jmn
Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu
Anachezea cm si dharau ni aibu huyo
Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣
Hakuna mapenzi hapo
Ila Nandy anampenda saana billnass yaani anavomuangalia tu unaona mtoto kafa kaoza Mungu aendelee kuwasimamia
Nawapenda jamn
best couple in town
Nandy nakuona vile tu unaiangalia sema you guys are inlove😁😂
hii story isijekuw kama jux na vee😂😂
Wamekamilisha
Mnaendana sana🔥
Nice🙏🙏🙏✍️✍️
That guy is a cool guy
Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari
Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂
Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.
@@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣
Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE
Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake
Being in an interview and you're busy on phone is total disrespect
For real… very very stupid
Unprofessional kabisa
Pia Mimi sipendi simu qwani inahama akimuacha atawahi pata Kama Nandy
I second you broo
there is a disconnect btwn nenga n nandy
Upo sahihi, though people can't see that.
Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana
@@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.
Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku
Nandi uyo bwana anadharau achana nae acha kubebelea mizigo ya ovyo kiukweli uyo bwana hakupendi acha kujibembeleza mh!
Mpenzi ayafichiki hongera nandi
Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy
Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.
Nadhani yuko shy ☺️ sana
Oya aiseee the africa prince
Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana
Sweety couple
Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku
Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,
Ndio washaoana na mtoto tayari
Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu
ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,,
yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana
Wananyanduana na condom au ?
Billnass anamapoz ya kishamba
True definition of he fell first but she fell harder😆
Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela
Nawapendaga 🥰🥰
Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza
Nawapenda sana
True love never see handsome ur beautiful
Nandy i love you
huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh
Waoooh
Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!
Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa
Wakwendreeeee huko.
Saaanaaaa
💓💓💓😘
WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏
Wewwwww nandy
Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".
✌️✌️✌️✌️
@@mayahassan1330 🔥🔥🔥.
Mistake gani kubwa kiasi kwamba nandy asiweze rudiana nae kimahusiano?
@@junaithammahad3844 mtoto nje wakati bado wakiwa ndani ya mahusiano
@@eshimendinkya8678 ohhh ok apo mm mwenyewe nisingemsamehe. Ok thanks
good bless
Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill
Mfuyyeee wewe vipiii
Love it
Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa
Bilnas hana comfidance kabisa.
SNS 💕💞💙
This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo
Love..
Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her
I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.
Ata amemwita Huyu alikua South Africa
Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???
unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa
Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??
Nenga hua ana akiri sana
Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu
Uhum
❤you biiin
Safi sanaaa nandy
Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.
Wamefunga ndoa
Te amo nandy
nenga unakaa kinyongee sana
Best couple in tanzania
Play don't worry by hakim Sasha please i
The guy yuko busy na cm ad anaboa😏
Let's not ignore Billnass rudeness???
Nenga mah broh
wanakumbushia 😂😂😂
Sidhani kama hapa kuna mahusiano
Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠
Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote
Bill aibuuu kama mm🤣🤣
Sasa hiyo cm ya Nini?
Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu
Nandy pull up your lov is so high to these guy but bill nae buguzaa leo umeringa ata macho yako tu white kuangalia chini na sim maanake nn sasa
Kama kwa wenzetu ni disrespects au ni muongo ndo maana ana kwepa eye contact na waandishi lakini kibongo bongo ana aibu
Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake
Bill Nas anaaibu sanàa
Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍
Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂
Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore
hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Wameshaoana tayari