NANDY ambana BILLNASS kuhusu kupata mtoto na mwanamke mwingine, "Nataka ufanye interview useme"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024
  • #Nandy #Billnass

КОМЕНТАРІ • 249

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 роки тому +53

    Nandy unampenda sana bill😘😘😘true love

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 2 роки тому +44

    Nandy anampenda sana bill😍😍

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 2 роки тому +14

    Mmejua kunifurahisha sana Nandy na mangi Mungua awatangulie mfunge ndoa.

  • @64aaa
    @64aaa 2 роки тому +37

    MashaAllah!! Nafurai kuwaona hivi. Fanyeni muowane sasa. ❤❤

  • @tausiomary5294
    @tausiomary5294 2 роки тому +14

    Nawapenda Sana napenda niwaone mkiwa hivyo mnapendeza Sana mungu awabariki mfike mbali

  • @angelmutua9575
    @angelmutua9575 2 роки тому +9

    Nandy loves this guy truly sio yakufake hataaa

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 2 роки тому +12

    I love both of them 🥰🥰

  • @JaylesGeorge
    @JaylesGeorge 8 місяців тому +1

    I really apreaciate dis couple❤❤❤❤💯💯

  • @mutisyatv
    @mutisyatv 2 роки тому +9

    Nandy anampenda billnass sana...

  • @BacktoPhiladelphiaministry
    @BacktoPhiladelphiaministry 2 роки тому +13

    Yaani kuonekana pamoja tuh ni biashara.... hearth is hard

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 роки тому +21

    Nandy ndio anaependa sana nenga hamna kitu

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 2 роки тому +15

    Neenga!!!! mwanang sanaaa🔥🔥🔥

  • @thefarahatlifestyle
    @thefarahatlifestyle 2 роки тому +16

    Mnao juwa kumsoma mtu macho NANDY aisee inaonesha anavyo Mapenzi makubwa kwa BILLNASS.

    • @abdulsinga2464
      @abdulsinga2464 2 роки тому +1

      Hahaaaa kwa luge alifta nini..😂...kama bado anapenda?

    • @christamazara1266
      @christamazara1266 2 роки тому

      Umeona eee!nawapenda sn sn jmn waoane 2 jmn.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 роки тому +2

    Baada yandoa Niko hapa nawakubali sana Nenga n Bill

  • @hassanford7148
    @hassanford7148 2 роки тому +3

    Nawapenda sana hawa jamaa coz wanapendana sana mpaka najiskia raha sana nawaombea kwa mungu awape upendo wa dhat na baraka tele Inshaallah.

  • @w_media_house
    @w_media_house 2 роки тому +10

    Waandishi mnaharibu muziki, mnakamia mahusiano akati kilichowaleta ni muziki🙌🙌

  • @khadijamasoudmikidady1726
    @khadijamasoudmikidady1726 2 роки тому +6

    Nand anampenda sana mpaka namuonea uluma

  • @lynnkyra4101
    @lynnkyra4101 2 роки тому +10

    Nafurahi sana kuwaona tena❤️

  • @saraaudax8138
    @saraaudax8138 2 роки тому +7

    Yan uyu bilnas ata ayuko romantic kwa mwenzie Yan Nandy kanajitahidi kumregezea jicho ye amekazaa

  • @erastojackson8432
    @erastojackson8432 2 роки тому +3

    Dah penzi lenu linsnikosha sanaaaa Nandy Big up💪❣️

  • @leahfanuel254
    @leahfanuel254 2 роки тому +7

    What a love 💕

  • @constanciashangali7523
    @constanciashangali7523 2 роки тому +3

    Billnas, unajina kubwa sana.. una jina la Nyota.. yaan mida hii ulitakiwa uwe juu sanaaa

  • @isaya.junior
    @isaya.junior 2 роки тому +4

    OMB. 3:22 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.

  • @mr.elevator4567
    @mr.elevator4567 2 роки тому +11

    Mapenzi ya upande mmoja magumu sana. Ngoja kwanza Nandy apate experience

  • @eazieofficial6209
    @eazieofficial6209 2 роки тому +7

    Nandy anampenda Sana huku Kaka hata kwa macho anaonekana Ila huyu Kaka sasa

  • @yvesmasirika3839
    @yvesmasirika3839 2 роки тому +44

    The lady loves the man more than the man does

    • @alicekisanga8004
      @alicekisanga8004 2 роки тому +9

      Yes but i think her parents are too negative towards their relationship, which is very discouraging for a man.

    • @fadhiliyusuph5195
      @fadhiliyusuph5195 2 роки тому

      @@alicekisanga8004 yeah that's

    • @evenabwire1860
      @evenabwire1860 2 роки тому +2

      So what!!!

    • @marykaingu4888
      @marykaingu4888 2 роки тому +1

      Yes true nandy amependa sana

    • @sylviah9666
      @sylviah9666 2 роки тому +3

      Nandys parents are negative towards bilnass kisa na maana kipato cha Nandy kipo juu

  • @fatmayassin1668
    @fatmayassin1668 2 роки тому +3

    Jamn me naipenda hii couple more than love all

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 роки тому +20

    Katoto laini ona kanavyo mwangalia najicho la mahaba Nenga ana faidi nyie

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 2 роки тому +44

    YAANI HUYU NANDI ANAMPENDA MTU MPAKA ANARINGA

    • @flova7022
      @flova7022 2 роки тому +2

      Cha ajabu jamaa Hana hata habari nae dahh ..haya mambo painfull sana

    • @ashaomari7972
      @ashaomari7972 2 роки тому +1

      😂😂😂🙌

    • @zulfakajanja1170
      @zulfakajanja1170 11 місяців тому

      ❤😂😂nimecheka

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 роки тому +6

    Billnas kaka yng una aibu sana jmn
    Japo ugomvi umakuwepo lkn ktk media naona mpo vzr si rahis kujua mtu nyie mnagombanaga hivi huu ni mfano wa kuigwa si kugomban watu had mitandaoni no si poaa ila narudia twna bro ana aibuuu
    Anachezea cm si dharau ni aibu huyo

    • @64aaa
      @64aaa 2 роки тому +1

      Hawo hawana cha maojiano ni umbea tu. Na billnenga ndie anaewaweza. Media za bongo wanasubiri uteleze tu ndio utakiona🤣🤣🤣

  • @tehamarobema9403
    @tehamarobema9403 2 роки тому +6

    Hakuna mapenzi hapo

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 2 роки тому +12

    Ila Nandy anampenda saana billnass yaani anavomuangalia tu unaona mtoto kafa kaoza Mungu aendelee kuwasimamia

  • @jastinmkandala5620
    @jastinmkandala5620 2 роки тому +4

    Nawapenda jamn

  • @dyzerjoshuah5475
    @dyzerjoshuah5475 2 роки тому +3

    best couple in town

  • @kimah9855
    @kimah9855 2 роки тому +13

    Nandy nakuona vile tu unaiangalia sema you guys are inlove😁😂

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 2 роки тому +8

    hii story isijekuw kama jux na vee😂😂

  • @zachariaamos5585
    @zachariaamos5585 2 роки тому +5

    Mnaendana sana🔥

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 2 роки тому +6

    Nice🙏🙏🙏✍️✍️

  • @evenabwire1860
    @evenabwire1860 2 роки тому +12

    That guy is a cool guy

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 2 роки тому +25

    Yani wasani wa tz ndo maana awatofika popote sasa wewe unaojiwa unajifanya uko busy na simu kweli, hizo nikuonyesha zarau kwa waandishi wa abari

    • @tunuyaomar5017
      @tunuyaomar5017 2 роки тому +12

      Sio dharau ana asili ya aibu kwa hiyo hapo anazuga kucheki camera hataki😂😂

    • @64aaa
      @64aaa 2 роки тому +3

      Wewe waona mna mwaswali ya maana hapo isipokuwa Umbea. Waandishi na media za Bongo watakahivyo coz wanasubiri uteleze tu wapate ya kuongezea.

    • @64aaa
      @64aaa 2 роки тому +3

      @@tunuyaomar5017 kabisaaaa na apendi maswali ya kimbea.🤣🤣🤣

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 роки тому +1

      Si bora wasaniiiiiiii huwa nasikia kuwachapa viboko wana siasa wa chama fulani yaani hata kwenye mikutano ya maana wako busy na simu NONSENSE

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 2 роки тому +2

      Sasa kama maswali yenyewe ndo haya ataachaje kuwa bize na mambo yake

  • @LynCvlogs
    @LynCvlogs 2 роки тому +23

    Being in an interview and you're busy on phone is total disrespect

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 2 роки тому +2

      For real… very very stupid

    • @hamdusimai7711
      @hamdusimai7711 2 роки тому +1

      Unprofessional kabisa

    • @angelxwt7879
      @angelxwt7879 2 роки тому +1

      Pia Mimi sipendi simu qwani inahama akimuacha atawahi pata Kama Nandy

    • @hopeeve3558
      @hopeeve3558 2 роки тому +1

      I second you broo

  • @esthernonneh2740
    @esthernonneh2740 2 роки тому +10

    there is a disconnect btwn nenga n nandy

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 2 роки тому +1

      Upo sahihi, though people can't see that.

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 2 роки тому

      Hayo ni mawazo yako aise. Wapo poa tena sana

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 2 роки тому

      @@phinaswai4718 Upo sahihi na wewe pia. Some see that way.

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 2 роки тому +1

      Yess hata mm naona hapa kila mtu ana hamsini zake ..Ni kama yale ya vee na jux kuambiana wasiexpose mambo nje ila mwisho wa siku

  • @atamotivetv8104
    @atamotivetv8104 2 роки тому +3

    Nandi uyo bwana anadharau achana nae acha kubebelea mizigo ya ovyo kiukweli uyo bwana hakupendi acha kujibembeleza mh!

  • @امينهعلي-ض5ث
    @امينهعلي-ض5ث 2 роки тому +2

    Mpenzi ayafichiki hongera nandi

  • @atroisfoundation5546
    @atroisfoundation5546 2 роки тому +10

    Nenga ila next usishike simu unapokua unahojiwa sio poa..bora ukatae interview next time if ur busy

    • @64aaa
      @64aaa 2 роки тому +1

      Media za bongo zinataka mtu kama billnenga. Hapo amna mwaswali ya maana zaidi ya Umbea.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 роки тому

      Nadhani yuko shy ☺️ sana

  • @mediaisbawa7255
    @mediaisbawa7255 2 роки тому +3

    Oya aiseee the africa prince

  • @upendodavid3081
    @upendodavid3081 2 роки тому +4

    Aseee bill wanawake uwa tupo romantic Sana na hasa ukiwa na umpendae ebu mfanye dandy awe na furahaa Kuna kitu akipo sawa hasa upande wa nenga mpe mapenzi ya dhati nandy please usi act kibaba baba Sana naona Kama upo silius Sana

  • @bonifacegervas7936
    @bonifacegervas7936 2 роки тому +2

    Sweety couple

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 2 роки тому +11

    Bilinasi hana mapenzi yaukweli wanawake hua twamizwa kilasiku

    • @salummzengaeka9341
      @salummzengaeka9341 2 роки тому +1

      Dada angu wanawake ndio mnaumuza sana wanaume mana wanawake mnadanganywa sana ,na mpo tayali kumuacha mtu alikupenda na kukujali ukamfuata mwanaume anaekushawishi na kukufanyia stalehe ,

    • @donathalaizera6561
      @donathalaizera6561 Рік тому

      Ndio washaoana na mtoto tayari

  • @projazzpromoter7503
    @projazzpromoter7503 2 роки тому +1

    Mapenzi Adimu. From MuseziTv 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @officialarafa6511
    @officialarafa6511 2 роки тому +3

    Yaaniie huwa nawashangaa sana watu wa kwetu 7naulizwa maswali lkn hujibu inavotakiwa sababu ni nini lkn muda wote huo munapotezewa watu bando tuu

  • @jemmymarioty848
    @jemmymarioty848 2 роки тому +6

    ila nandy na nenga pumbaaaaaafu saaaana ,,,
    yan mnang'ang'amuana afu mnajdai mmeachana

    • @MrNdanguza
      @MrNdanguza 2 роки тому

      Wananyanduana na condom au ?

  • @dach_addiction9557
    @dach_addiction9557 2 роки тому +7

    Billnass anamapoz ya kishamba

  • @SabrinaAlly-ri7ql
    @SabrinaAlly-ri7ql 7 днів тому

    True definition of he fell first but she fell harder😆

  • @fadhiladam7769
    @fadhiladam7769 2 роки тому +1

    Jmaa anakilk sana broo nakukubal ata kujibu kwako nakukubal sana nandy anakufaaa msela

  • @zabibuamissi1141
    @zabibuamissi1141 2 роки тому +9

    Nawapendaga 🥰🥰

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 2 роки тому +1

    Wabongo wanapenda sana umbea na wengine kuharibikiwa, aina ya maswali ya so called waandishi wsnauliza

  • @omahmoses9710
    @omahmoses9710 2 роки тому +2

    Nawapenda sana

  • @queentoto3878
    @queentoto3878 2 роки тому +2

    True love never see handsome ur beautiful

  • @RoseBitanga
    @RoseBitanga 7 місяців тому

    Nandy i love you

  • @jacqdaniels891
    @jacqdaniels891 2 роки тому +2

    huyu nae cm utasema kajua cm leo loooh

  • @masalukasomi1617
    @masalukasomi1617 2 роки тому +1

    Waoooh

  • @zuhra480
    @zuhra480 2 роки тому +2

    Why are you guys blaming billnas being on phone...maybe he has interview phobia...nit everyoneikes interviews!!

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba3587 2 роки тому +4

    Ila wapare jmn wanajua kupenda hawajui kuacha wakishapenda na wivu juuu kwa sanaa

  • @mamy8220
    @mamy8220 2 роки тому +7

    💓💓💓😘

  • @kaymsafi
    @kaymsafi 2 роки тому +2

    WANAKAA VZURI SANA👏👏👏👏👏

  • @calvinmayola7866
    @calvinmayola7866 2 роки тому +1

    Wewwwww nandy

  • @denisdejo5033
    @denisdejo5033 2 роки тому +21

    Something is very wrong with these two. No matter what things will never be the same between them. Billnas made a huge mistake while he was still in a relationship with Nandy of which she is using that to hold the relationship between them. Nenga wants to be forgiven so they can get back together but Nandy will find a way to forgive him but not to be with him again. And for those who think that Nandy loves Nenga more than him, big NO, it,s Nenga loves Nandy more than her. As a result, Nandy will be healed from this and move on but Nenga will never recover from this I can promise you that. I really like the new song from Nandy with Nenga "Party".

    • @mayahassan1330
      @mayahassan1330 2 роки тому +1

      ✌️✌️✌️✌️

    • @denisdejo5033
      @denisdejo5033 2 роки тому +2

      @@mayahassan1330 🔥🔥🔥.

    • @junaithammahad3844
      @junaithammahad3844 2 роки тому +2

      Mistake gani kubwa kiasi kwamba nandy asiweze rudiana nae kimahusiano?

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 2 роки тому +2

      @@junaithammahad3844 mtoto nje wakati bado wakiwa ndani ya mahusiano

    • @junaithammahad3844
      @junaithammahad3844 2 роки тому +2

      @@eshimendinkya8678 ohhh ok apo mm mwenyewe nisingemsamehe. Ok thanks

  • @lameckjr4243
    @lameckjr4243 2 роки тому

    good bless

  • @williamkeitha1262
    @williamkeitha1262 2 роки тому +4

    Billnass umekuja kwa interview but haupo serious upo busy na simu acha uboya hapo umebebwa tu na NANDY.acha upuuzi aisee bill

  • @RamadhaniMnderi-up7em
    @RamadhaniMnderi-up7em Рік тому

    Love it

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 2 роки тому +4

    Tatizo waandishi wa habar mnapoa sana,tabia ya kung'ang'ania kitu uliza maswali ya msingi yanayohusu mada iliyoletwa

  • @zubedamagambo9600
    @zubedamagambo9600 2 роки тому +5

    Bilnas hana comfidance kabisa.

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 2 роки тому +2

    SNS 💕💞💙

  • @milbys3decarter998
    @milbys3decarter998 2 роки тому +1

    This lady eeeish maringo!!!! Ppppthoooo

  • @bettychambogo4582
    @bettychambogo4582 2 роки тому

    Love..

  • @faithmutio2628
    @faithmutio2628 2 роки тому +17

    Nandy deserves a man who respects her..billnass doesn't seem to respect her

    • @jacklinebaini3517
      @jacklinebaini3517 2 роки тому +1

      I think we are on the same page. Will end up separating like venessa and jux.

    • @Kobe_254
      @Kobe_254 2 роки тому +1

      Ata amemwita Huyu alikua South Africa

    • @videozaaj1069
      @videozaaj1069 2 роки тому +5

      Nyie watu mnajaji watu sana!!!MNAWAJUA???

    • @saeedalsaedy9916
      @saeedalsaedy9916 2 роки тому +2

      unafki mbaya daah wanapendna wte sna snaa

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 2 роки тому +2

      Haya wamefunga na ndoa kabisa, nyie mnao wajua sanaaaa imekuaje??

  • @dannywiston6391
    @dannywiston6391 2 роки тому +2

    Nenga hua ana akiri sana

  • @finishmasai4562
    @finishmasai4562 2 роки тому +1

    Nawakubali Sana ficheni Mambo yenu

  • @albasnepa3001
    @albasnepa3001 2 роки тому +1

    Uhum

  • @SamuelNkorerimana
    @SamuelNkorerimana 5 місяців тому

    ❤you biiin

  • @user-lc8cd3cw2m
    @user-lc8cd3cw2m Рік тому

    Safi sanaaa nandy

  • @imeldathomas760
    @imeldathomas760 2 роки тому +5

    Natamani siku moja kuona mmefunga ndoa.

  • @dolicajosedolicajose1447
    @dolicajosedolicajose1447 2 роки тому

    Te amo nandy

  • @pharmaceuticalnotesbank3348
    @pharmaceuticalnotesbank3348 2 роки тому +3

    nenga unakaa kinyongee sana

  • @kingideo4032
    @kingideo4032 2 роки тому

    Best couple in tanzania

  • @hakimsashamusic
    @hakimsashamusic 2 роки тому

    Play don't worry by hakim Sasha please i

  • @msbeckie4693
    @msbeckie4693 2 роки тому +1

    The guy yuko busy na cm ad anaboa😏

  • @nimoshe0423
    @nimoshe0423 2 роки тому +1

    Let's not ignore Billnass rudeness???

  • @kunlecryzee2933
    @kunlecryzee2933 2 роки тому

    Nenga mah broh

  • @ashiriiyulu6430
    @ashiriiyulu6430 2 роки тому +2

    wanakumbushia 😂😂😂

  • @eshimendinkya8678
    @eshimendinkya8678 2 роки тому +2

    Sidhani kama hapa kuna mahusiano

  • @leilaadamu4817
    @leilaadamu4817 2 роки тому

    Nawapenda muwe wote jmn acheni hizi breck up😠😠😠

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 роки тому

    Hivi mnao andika kingereza mna Nini lakin hamjuh kiswahili au nawependa nyote

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 2 роки тому +2

    Bill aibuuu kama mm🤣🤣

  • @lulugora2712
    @lulugora2712 2 роки тому +1

    Sasa hiyo cm ya Nini?

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 роки тому +3

    Mwanaume yuko busy na nacm utafkiri wakala mxiiiiiiiiu

  • @mourinenekesa673
    @mourinenekesa673 2 роки тому

    Nandy pull up your lov is so high to these guy but bill nae buguzaa leo umeringa ata macho yako tu white kuangalia chini na sim maanake nn sasa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 роки тому

      Kama kwa wenzetu ni disrespects au ni muongo ndo maana ana kwepa eye contact na waandishi lakini kibongo bongo ana aibu

  • @cecilemsupa2015
    @cecilemsupa2015 2 роки тому +9

    Huyu bill as anajifanya, nandy atafute mwanaume wa hadhi yake

    • @patrickmukundichalamila3038
      @patrickmukundichalamila3038 2 роки тому +2

      Bill Nas anaaibu sanàa

    • @wardaridhwankassim4774
      @wardaridhwankassim4774 2 роки тому +1

      Nandy anatuaibisha wapare😂 Emb Afate njia ya dada V😍

    • @tonybyser7961
      @tonybyser7961 2 роки тому

      Nandy kampenda sana Billnass kwo hawezi kumuacha hata iweje 😂😂😂

    • @eshimendinkya8678
      @eshimendinkya8678 2 роки тому

      Nadhani hapa hakuna mahusiano tena hata maswali yanavyojibiwa utaelewa tu..na nahisi ni baada ya nenga kuzaa nje ndo maana umesikia nandy akikomalia aitwe kwenye interview ya kuhusu mtoto means no relationship anymore

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 2 роки тому +4

    hawa wanachanaka nakurudiana kilasiku daah 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰🥰🥰🥰