NYANGUMI na makubwa MAZITO? Ni kiumbe wa MAAJABU! Hula Bahari ya ANTARCTIC na kuzaa Bahari ya Mtwara

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 86

  • @jacobmathew475
    @jacobmathew475 День тому +3

    Haya ndo mambo tunayopenda hongereni sana...

  • @rahilmountana2340
    @rahilmountana2340 День тому +6

    wa kwanz kuskiliz sns 📌

  • @chuseboy
    @chuseboy День тому +15

    Duuuh hii dunia alaf kuna mtu aamin kama mungu yupo juu ya maajab yote haya😢

    • @Sarah-e1o9k
      @Sarah-e1o9k День тому +3

      Hakika

    • @PUTINN365
      @PUTINN365 День тому +3

      Ahimidiwe

    • @jamilaathumani5481
      @jamilaathumani5481 23 години тому +3

      Nikwel kaka mungu ni mkubwa

    • @chuseboy
      @chuseboy 23 години тому

      @@jamilaathumani5481 hakika ametakasika yule aliumba ulimwengu na vitu vyote

    • @hkaniugu
      @hkaniugu 14 годин тому +1

      Shida na yeye Mungu katokea wapi? Maajabu hayaishi, hakuna majibu

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому +2

    Unakujaaa vzuriii sn eskooo keep Up

  • @OnTarget-t6v
    @OnTarget-t6v День тому +1

    Asante SnS

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 День тому +1

    SMS is doing good , i love this topic!

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin День тому +3

    Nyie msicheze na huyo mnyama ni noma sana

  • @KhamisMohammed-y9l
    @KhamisMohammed-y9l День тому +3

    Utafiti wakuletewa na wazungu huu mimi toka watuletee kitabu kinasema binadamu alitokana na nyani nimeshindwa kuwaamini wanasayansi wote hata hili la nyangumi namashaka nalo

    • @jonamnyone8014
      @jonamnyone8014 День тому +1

      Kipi kinakutia shaka mbona vyote anavyosema vina ushahidi. Mfano kuzaa nyangumi hatagi. Kunyonyesha nyangumi ana matiti. Damu joto nk.

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 День тому +2

      Fanya utafiti wako binafsi mkuu then utuletee tutakuelewa sana

  • @MohamadHamza-hb2qv
    @MohamadHamza-hb2qv День тому +1

    Gharama za kwenda kumtembelea nyangumi mnazi bay ni kiasi gani,atuambie tukatembee

  • @KijaSayenda-jo4iy
    @KijaSayenda-jo4iy День тому +1

    Tembo ana Tani 9

  • @fahimkhalifa5904
    @fahimkhalifa5904 День тому +2

    Nauliza nchi zinazofanya majaribio ya silaha au kurusha maroketi kutokea baharini je haileti madhara kwa viumbe hivi Nyangumi na Nguva ?

    • @FredMwamgogwa-td6ni
      @FredMwamgogwa-td6ni День тому +2

      Bahari inabeba sumu zote za duniani na takataka zote za duniani pili bahari ni pana sana

  • @nassormakame4955
    @nassormakame4955 23 години тому +1

    Je hoyo maziwa ya nyangumi anaeweza kutumia binaadamu

  • @benardmakori4012
    @benardmakori4012 День тому +2

    Nyagumi siyo samaki ni mnyama tena mbona sikuelewi kabisa kaka

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f День тому +1

    Tunawasikiliza hapa watu wa bahari

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 День тому +3

    Hapo kwenye samaki mtu sijakuelewa mkuu km umetupiga ivi

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 День тому

    🎉

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mahir-12-qe
    @Mahir-12-qe День тому +4

    Je nyangumi yualiwa?

    • @RonnieBertin
      @RonnieBertin День тому +2

      Wajapani wakimuona huyu kama sisi tukiona kuku mbuzi ng'ombe

    • @CulverBariki
      @CulverBariki 11 годин тому +2

      Haya wazungu wanakula sana

  • @OnesmoEphrata
    @OnesmoEphrata День тому +1

    Urefu wa uume wa nyangumi ni fut8 mpaka fut10 hatari sana sasa sjui huwa unaliwa kama kitoweo au laaah 😮😮😮

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 День тому +1

    Shukurani nataka kusikia story ya papa

  • @eliasaNgahehwa-l2f
    @eliasaNgahehwa-l2f День тому +1

    Haya sasa papa si azaa nae inakiwaje samaki

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu 23 години тому

      Sasa unamuuliza munguu au unamkosoa????

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 День тому

    Ungemuuliza kuhusu merimid je ikoje?

  • @Chw_Kdmn83
    @Chw_Kdmn83 8 годин тому

    Nyumbu nae anazo akili kwa maana ileile ya nyangumi kw vile anauwezo wa ku survive na anajua afanyeje ili a survive. Ni ktk wanyama wanaosoma nyakati. Mungu alimuumba kwa kumlimit uwezo wake ili iwe vile alivokusudia. Wanavyo fanya nyumbu ndilo dhumuni lao la kuwepo ulimwenguni. Binaadamu ndie kiumbe mharibifu mwenye kufanya makosa mengi kuliko wote lkn pia hatusemi hana akili. Ila nyumbu mwenye kufanya majukumu yake sawa yy ndo hana akili..?

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 День тому

    Mnatuchanya bhana tan 2 ni kifaru tembo ni zaidi ya tan 9 mchambuzi umetuchanya nipo Kilimanjaro tembo tupo nao kila siku

  • @user-ui7lb5yc2l
    @user-ui7lb5yc2l 18 годин тому

    Wanawake wanakela na vikelele vyao kukiwa na hali ya hatali

  • @mathiasmb4967
    @mathiasmb4967 18 годин тому +1

    Mbona kwa biblia wanasema eti, Yona alimezwa na nyangumi,nahapo unasema kwamba haina umwezo wa kumeza ball kiddo.????? !!!

  • @husseinbushiri9973
    @husseinbushiri9973 19 годин тому

    Nyangumu ni samaki sio nyama acha uwongo mnyama gani Ana mapezi

  • @chikusangalala7759
    @chikusangalala7759 День тому +1

    Ngoja apinduwe boti

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m День тому +1

    msitudangaye kuhusu mambo ya samaki na maisha yao baharini

    • @ibnujumanne4054
      @ibnujumanne4054 День тому

      Nguva anahistoria yake kwenye vitabu vya Dini Ni miongoni mwa viumbe vilivyolaaniwa

  • @khamishussein3502
    @khamishussein3502 День тому +1

    Wanasayansi bhana😂

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f День тому

    Kifaru ni tani 2, tembo ni tani 4-6, mwisho, yaani tembo dume yule mkubwa sana ana uzito wa tani 6. Ni hivo tu.

    • @MikiGermany210
      @MikiGermany210 21 годину тому

      Nyangumi tani 40

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 19 годин тому

      Tembo dume wanasema akipiga bao moja,shahawa zake ni Lita 20,je shahawa hizo zitajaza nyuchi ngapi za masista duu wangapi mtaani??😢

    • @hajimbwanahaji7197
      @hajimbwanahaji7197 10 годин тому

      ​@@kdloon2030😂😂

    • @MichaelMathew-j3f
      @MichaelMathew-j3f 10 годин тому

      @@kdloon2030 usicheze na tembo.

  • @nsajensaligwa4976
    @nsajensaligwa4976 23 години тому +1

    Anasema nyangumi hamezi hata kitenes Sasa biblia inadanganya maana inasema Yona alikaa siku 3 ndani ya tumbo la samaki kwaiyo ni uongo???

    • @Abdul-latifKhalfani
      @Abdul-latifKhalfani 23 години тому

      Samaki gani?

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu 23 години тому

      Sasa umeammbiwa nyangumi ni mnyama

    • @Rahima-kv6mn
      @Rahima-kv6mn 13 годин тому +1

      We nae ata usikilizi vzr kwaiyo iyo bibilia wamesema uyo yona amekaa kwenye tumbo la nyangumi siku tatu sio kitabu chako alafu ata uelewi kinafundisha nini aya rudi kasome tena alafu uje hapa 🙌

    • @trustmwimanzi3754
      @trustmwimanzi3754 3 години тому

      Hizi dini ni hadithi tu ukitaka kuthibitisha fatiliza story ata nusu saa humaliz tumbon mwa mnyama ko ni story tu hazijawahi tokea ndo mana kuna story zingine wanataman kuzibadil kwenye din wanawaza tu watabdilisha vip story za uongo mana sayansi imetuprove wrong wew bshia sayansi uish maisha magum na sim usitumie nena kwa lugha tutakuskia 😂😂😂

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m День тому

    samaki afundishwi kuogelea

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 34 хвилини тому

    Kipindi kizuri

  • @user-gp1hi7sw5k
    @user-gp1hi7sw5k День тому

    Mbona hatadini zimeletwa tuu

  • @sifuelmamuya457
    @sifuelmamuya457 День тому

    Samaki kumbe sio mnyama ninin sasa🤣🤣🤣

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 День тому

    Nyangumi ni mnyama siyo binadamu

  • @SaidOmar-d3m
    @SaidOmar-d3m День тому

    nyangumi anyonyeshi akuna samaki anaenyonyesha uongo kama uongo mnaosema nguva anakichwa cha mtu mwilisamaki anakula samaki ana wadogo pamoja na nyungunyungu

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @KijaSayenda-jo4iy
    @KijaSayenda-jo4iy День тому +1

    Tembo ana Tani 9

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤

  • @RayMakini
    @RayMakini День тому

    ❤❤❤❤❤❤❤