Utafiti wakuletewa na wazungu huu mimi toka watuletee kitabu kinasema binadamu alitokana na nyani nimeshindwa kuwaamini wanasayansi wote hata hili la nyangumi namashaka nalo
Nyumbu nae anazo akili kwa maana ileile ya nyangumi kw vile anauwezo wa ku survive na anajua afanyeje ili a survive. Ni ktk wanyama wanaosoma nyakati. Mungu alimuumba kwa kumlimit uwezo wake ili iwe vile alivokusudia. Wanavyo fanya nyumbu ndilo dhumuni lao la kuwepo ulimwenguni. Binaadamu ndie kiumbe mharibifu mwenye kufanya makosa mengi kuliko wote lkn pia hatusemi hana akili. Ila nyumbu mwenye kufanya majukumu yake sawa yy ndo hana akili..?
We nae ata usikilizi vzr kwaiyo iyo bibilia wamesema uyo yona amekaa kwenye tumbo la nyangumi siku tatu sio kitabu chako alafu ata uelewi kinafundisha nini aya rudi kasome tena alafu uje hapa 🙌
Hizi dini ni hadithi tu ukitaka kuthibitisha fatiliza story ata nusu saa humaliz tumbon mwa mnyama ko ni story tu hazijawahi tokea ndo mana kuna story zingine wanataman kuzibadil kwenye din wanawaza tu watabdilisha vip story za uongo mana sayansi imetuprove wrong wew bshia sayansi uish maisha magum na sim usitumie nena kwa lugha tutakuskia 😂😂😂
nyangumi anyonyeshi akuna samaki anaenyonyesha uongo kama uongo mnaosema nguva anakichwa cha mtu mwilisamaki anakula samaki ana wadogo pamoja na nyungunyungu
Haya ndo mambo tunayopenda hongereni sana...
wa kwanz kuskiliz sns 📌
Duuuh hii dunia alaf kuna mtu aamin kama mungu yupo juu ya maajab yote haya😢
Hakika
Ahimidiwe
Nikwel kaka mungu ni mkubwa
@@jamilaathumani5481 hakika ametakasika yule aliumba ulimwengu na vitu vyote
Shida na yeye Mungu katokea wapi? Maajabu hayaishi, hakuna majibu
Unakujaaa vzuriii sn eskooo keep Up
Asante SnS
SMS is doing good , i love this topic!
Nyie msicheze na huyo mnyama ni noma sana
Utafiti wakuletewa na wazungu huu mimi toka watuletee kitabu kinasema binadamu alitokana na nyani nimeshindwa kuwaamini wanasayansi wote hata hili la nyangumi namashaka nalo
Kipi kinakutia shaka mbona vyote anavyosema vina ushahidi. Mfano kuzaa nyangumi hatagi. Kunyonyesha nyangumi ana matiti. Damu joto nk.
Fanya utafiti wako binafsi mkuu then utuletee tutakuelewa sana
Gharama za kwenda kumtembelea nyangumi mnazi bay ni kiasi gani,atuambie tukatembee
Tembo ana Tani 9
Nauliza nchi zinazofanya majaribio ya silaha au kurusha maroketi kutokea baharini je haileti madhara kwa viumbe hivi Nyangumi na Nguva ?
Bahari inabeba sumu zote za duniani na takataka zote za duniani pili bahari ni pana sana
Je hoyo maziwa ya nyangumi anaeweza kutumia binaadamu
Nyagumi siyo samaki ni mnyama tena mbona sikuelewi kabisa kaka
Tunawasikiliza hapa watu wa bahari
Hapo kwenye samaki mtu sijakuelewa mkuu km umetupiga ivi
anatumia akili kma binaadam
😢😢😢😢😢😢
❤❤❤❤❤❤
🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Je nyangumi yualiwa?
Wajapani wakimuona huyu kama sisi tukiona kuku mbuzi ng'ombe
Haya wazungu wanakula sana
Urefu wa uume wa nyangumi ni fut8 mpaka fut10 hatari sana sasa sjui huwa unaliwa kama kitoweo au laaah 😮😮😮
Shukurani nataka kusikia story ya papa
Papa wa roma
Haya sasa papa si azaa nae inakiwaje samaki
Sasa unamuuliza munguu au unamkosoa????
Ungemuuliza kuhusu merimid je ikoje?
Nyumbu nae anazo akili kwa maana ileile ya nyangumi kw vile anauwezo wa ku survive na anajua afanyeje ili a survive. Ni ktk wanyama wanaosoma nyakati. Mungu alimuumba kwa kumlimit uwezo wake ili iwe vile alivokusudia. Wanavyo fanya nyumbu ndilo dhumuni lao la kuwepo ulimwenguni. Binaadamu ndie kiumbe mharibifu mwenye kufanya makosa mengi kuliko wote lkn pia hatusemi hana akili. Ila nyumbu mwenye kufanya majukumu yake sawa yy ndo hana akili..?
Mnatuchanya bhana tan 2 ni kifaru tembo ni zaidi ya tan 9 mchambuzi umetuchanya nipo Kilimanjaro tembo tupo nao kila siku
Wanawake wanakela na vikelele vyao kukiwa na hali ya hatali
Mbona kwa biblia wanasema eti, Yona alimezwa na nyangumi,nahapo unasema kwamba haina umwezo wa kumeza ball kiddo.????? !!!
Nyangumu ni samaki sio nyama acha uwongo mnyama gani Ana mapezi
Ngoja apinduwe boti
msitudangaye kuhusu mambo ya samaki na maisha yao baharini
Nguva anahistoria yake kwenye vitabu vya Dini Ni miongoni mwa viumbe vilivyolaaniwa
Wanasayansi bhana😂
Kifaru ni tani 2, tembo ni tani 4-6, mwisho, yaani tembo dume yule mkubwa sana ana uzito wa tani 6. Ni hivo tu.
Nyangumi tani 40
Tembo dume wanasema akipiga bao moja,shahawa zake ni Lita 20,je shahawa hizo zitajaza nyuchi ngapi za masista duu wangapi mtaani??😢
@@kdloon2030😂😂
@@kdloon2030 usicheze na tembo.
Anasema nyangumi hamezi hata kitenes Sasa biblia inadanganya maana inasema Yona alikaa siku 3 ndani ya tumbo la samaki kwaiyo ni uongo???
Samaki gani?
Sasa umeammbiwa nyangumi ni mnyama
We nae ata usikilizi vzr kwaiyo iyo bibilia wamesema uyo yona amekaa kwenye tumbo la nyangumi siku tatu sio kitabu chako alafu ata uelewi kinafundisha nini aya rudi kasome tena alafu uje hapa 🙌
Hizi dini ni hadithi tu ukitaka kuthibitisha fatiliza story ata nusu saa humaliz tumbon mwa mnyama ko ni story tu hazijawahi tokea ndo mana kuna story zingine wanataman kuzibadil kwenye din wanawaza tu watabdilisha vip story za uongo mana sayansi imetuprove wrong wew bshia sayansi uish maisha magum na sim usitumie nena kwa lugha tutakuskia 😂😂😂
samaki afundishwi kuogelea
Kipindi kizuri
Mbona hatadini zimeletwa tuu
Samaki kumbe sio mnyama ninin sasa🤣🤣🤣
Naona itakuwa ni mmea
@@ellymaz2187 🤣🤣🤣
Ni mnyama bro anazaa ni kama popo
Basii nyangu ni mme 😂😂
Nyangumi ni mnyama siyo binadamu
nyangumi anyonyeshi akuna samaki anaenyonyesha uongo kama uongo mnaosema nguva anakichwa cha mtu mwilisamaki anakula samaki ana wadogo pamoja na nyungunyungu
Nyangumi ni myama elew somo
Unatombwa akili
Huyo jamaa hasikilizi mana anachoandika wala hakiendani na mzungumzaji, unambiwa nyangumi ni mnyama we unatuambia samaki hanyonyeshi ni uongo
Dah akili yako ni matope matupu mwanangu
Shulen ulikuwa unaelewa???
❤❤❤❤❤❤
Tembo ana Tani 9
Ni tani 4 hadi 6. Mwisho. Niulize mimi
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤❤