AJIKUTA KWENYE HEKAHEKA KUBWA BAADA YA KUWA NA MAHUSIANO NA MKE WA MTU BILA KUJUA
Вставка
- Опубліковано 2 бер 2022
- Kijana huyu amejikuta kwenye hekaheka kubwa baada ya kuwa na mahusiano na mke wa mtu bila yeye kujua.
Tizama hapa umuone mwenyewe akielezea mwanzo mwisho
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
UNAOGOPA POLISI TENA, Humuogopi ALLAH ambae anakataza ZINAA. Tubu HARAKA ndugu yangu
haya ndio madhara ya zinaa acheni zinaa ndugu zangu zinaa inamaumivu makali angalia unavodhalilika kisa uzinifu
Huyo mwanamke na mumewe lengo Lao moja, itakuwa ni tabia Yao kula pesa za wanaume wengine
Kabisaa Sikuiz wanaruhusu mke kudanga
Kweli hiyo mipango tuu
Uyu baba ubuyu wake uko kwa mange nae anachezea Wana wake eti
unaukumbuka wimbo wa madanga ya mke wng,🤣🤣 alikua anadangwa akula na mumewe kha 2🙌🏽
Corect na mm nimewaza ivo ivooo
Asiye na dhambi na awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu bro😂😂😂😂
Ndiyo maana Mungu alitoa amri kwamba USIZINI. Yanayokusibu sasa ni matokeo ya kuvunja amri ya Mungu
😂😂😂😂😂😂kama hutendi dhambi unamhukumu mtu kwa dhambi ambayo hutendi wakati unatenda zingine 😂😂😂😂😂😂😂
We nae angejuaje kama ni mkewa mtu??na ameshakwambia amedate nae miezi tisa what don't you understand??
Huyu mzinifu
@@fauzishabani2622 wewe ujawah kuzin tema mate dada
Kuna watu hapa wanatupa lawama kwa hawa watu 2. Kuna baadhi ya wanaume hawana time kabisa na watu wao matokeo yake ndo haya.
Ni kitu gani unachomlaumu huyo mshikaji
soma uelewe
Tena wengi mno komesha
Lamuhimu tu wakumbuke Kila mla Cha mwenzie na chake huliwa. Haimaanishi mke tu Bali hata watoto, dada, shangazi na wengineo. Iwe bahati mbaya au kisasi. Halafu ujifanye mkaaali ukihatibiwa mwanao au nduguyo. Wanaume badilikeni. Nyama ni ileile ukitaka ladha tafauti badilisha mapishi tu usibadili nyama. Jenga familia yako iwe na heshima na furaha pia Kwa kumthamini mke na watoto wako. MMungu atatusaidia amiin.
Sawaa ila mtaponza wengi😂😂😂😂
Pole sana kaka kwa yaliyokukuta achana na huyo mwanamke.Utajihatarishia maisha yako bure.Huyo atakuwa c mume bali ni mume wa michongo na ishu yote anaijua toka mwanzo
Nikweli
@@bakariomari8758 Unafikiri?Hiyo itakuwa ndio tabia yake.Kuanzisha mahusiano mwisho wa cku kujifanya ana mume.Na kesi ya fumanizi lazima upigwe faini.
Uyo hana mume Wala Nini ni mtu wa michongo tu mpigaji tuma picha tumjue
Wanawake siku hizi wanatumiwa Sana kwa utapeli ukute hao wapo kazini angalia hao wezi huyo mwanamke na huyo mwanaume matapeli pengine
@@latifachilala2015 Ingekuwa vizuri tukaona picha yake ili cku nyingine akome
Pole sana. Uyo mwanamke sio mkwerri. Na uyo mwanaume yawning eti mumewee ni mpuhuziiii au wamepanga diriii niniiii wapeleleziii MKOOO WAPI?? WASHIKWE NA WAKAJIELEZE MATAPELU HAOOOOO
Mkweli
Ndio Akome..aache umalaya kumbe ana mke.. Hlf anazungusha matako tu kwa wanawake wengine..
Unaweza kukuta "MUME" na "MKE" wa michongo. Huenda ndo mradi wao huo, mke anajilengesha kwa kibopa halafu mume anajifanya kamfumania mgoni wake ili mgoni atoboke!
True
Kosa la kufanya mapenzi nnje ya ndoa ndio hiyo
Naomba no ya gea ninashida nae
@@lucygesimba7603 nimekupenda jaman uwe mme wangu nitafute
Mume atakuwa anajua SEMA wanakula tu Hela ya jamaa😂😂
Una haibu Zina unaigeuza halali tasbill mkononi Subuhanallah Allah atujaaliemwishomwema
Pole sana kaka
Kharamu wallah 💔.
Subhannahllah
Allah atuepushe na ibilisi huyo
Hilo ni deal la Mke na mumewe au si Mume,amejua kama una pesa wanataka wakuchomoe
Umeonaee eeeh
Kweli
Safi sana broo kwa kuongea ukweli
Subhanallah pole sana bro wanawake tuwace tama
Hapo ndo utajua kwanini Mungu katukataza zinaa mpaka tuolewe au tuoe haya ndiyo madhara yake,halafu bado kijana unajidhalilisha kuja kujishtakia kesi ya zinaaa tena kwenye media dooh Astaghfirullah laadwim allah atupe mwisho mwema 👏
Kweli
Nsha ona mwanamke anaolewa kabisa na ni mke wa mtu, watu kwenye jambo lao hawashindwi
njoo unioe mie tu unahangaika na nn🤣🤣🤣
Pengine huyo mwanamke wamepanga plan hili wamchune kwa vitisho
Inawezekana skuhiz wanaume wanatumia wake zao
@@annamduma4009 maisha magumu 🤣🤣
Inawezekana.
Toka zamani wanaume wengine wanawatuma wake zao kutafuta Pesa Tena siyo kwa wanaume wa hali ya chini .Wanawatuma kwa wanaume matajiri au wenye vyeo vikubwa so hiyo tabia huwa ipo tu. Ni sawa na wanaume wanao acha Pesa ndogo ya matumizi kwa siku, arudipo jioni anapewa chakula kizuri matunda na juice na wala haulizi mke Pesa katoa wapi huku akijuwa chakula alichopewa ni Cha thamani 🙈
Pole Sana broo
Hawa Watu wanaojikuta n'a pesa wanadharau sana. Mungu atustiri atuepushie n'a viumbe namna hii 😳 mitihani kweli
Hicho ulichofanya Allah atakuonyesha malipo yake hapa hapa duniani haufi mpaka uone malipo ya kidunia kwanza
Kaka pole sana .Dah wanawake wanatuangusha sana
Zinaa imekatazwa kwahio nijumla yamadhara yazinaa unaacha mke wako ndani unaenda kumtafutia maradhi umletee mke wako ndani loo acheni tabia mbaya
Uyu Kaka nishemeji yangu tabia yake ya kubadili wanawake asiwadanganye nimshenzi na nusu
Jaman
Kama nimempenda huyu jamaa alimpenda sana huyu mdada sema huyo dada ni malaya tu
Mange kasema uyu baba ni afai ana wachanganya wa dada na ana mke wake
Naye pia huyu jamaa malaya , wacha yamkute
@@estermahenge5972 achana na Mange huyo kila mtu Ulimwenguni hapa anamjua.....!! 😆😆😆
Nenda kwenye account ya mangekimambi app ndo utajua huyu Kaka ninani
@@missmwayway4704 hapana mange vingine anaongea kweli na wanao mwambia ni wahusika wenyewe mkewe nasikia anateseka sana
Pole sana ss wanawake mola atustiri tumekuwa wabaya sanaa
Mpemba gani ww unafanya mapenzi nnje ya ndoa alafu ufanyi kwa sili unjitangaza ivo!! Utakuwa ww ni mpemba wale waun waun jilekebishe kinyume na apo yatakufka zaidi ya hayo
Tofautisha mpemba wa pemba na mpemba wa Dar, hao ni watu wawili tofauti sana, usiwamixie mafile
Yan mnajiona wasafiii ...mamae
Huyu jamaaa anajitangaza wanawake wamjue ki muonekano tu kwasie tunaojua kusoma wanaume huyu ni play boy,na hiyo dhambi uliyofunga na huyo mzinifu mwenzio naona kesho utaikuta,sema tu najitangaza asiyewajua wanaume wa rangi hiyo ataona bonge la dume kumbe hupo kwenye matangazo tu hapo unatafua wadhinifu wenzio
Maskini kaka wawatu mzuri na huyo mwanamke kaona u Handsome akawa amezama ila kakosea sana huyo mwana mkee, au atakua ndo dili zake na mume wake maana madili hayo yapo watu wanaishi mjini kiaina aina jmn pole sana kaka angu Mungu atakulipia
Kwa kweli KABISA watu wanaishii ki mchongoo
Watu wana deal za hivyo na wake zao
DSM vitu vigumu ni viwili, mke na viwanja.
Wanamke akitongozwa yeye anaangalia pesa. Kumbe mke wa mtu,
Kiwanja hivyo hivyo, buy at your own risk
Hunahela. Viwanja kibao
Hahaaaaaaaaa
Duuuhh pole sana is njoo tu Kwangu mm sina mtu
Hutajutia 💞😘
Pole kaka kwa mitihani bora Ulivosema ukweli wako yalimkuta mrs NANA hayo true store binadamu
Pole Sana kk we ndio mambo t
ingelikuwa vizuri tusikilize pande zote mbili tupate uhakika wa jambo lenyewe
pole Sana bro wewe hunamakosa unecheza part yko Allah yuko nawewe duwa Kwa wingi hery itapatikanaa inshallah
Story haijakaa vizuri kabisa, IPO jama anajitangaza kama anauza magar aweke wazi mbona alikua anachkiliwa video vile!
Pole kaka
Dah mtihani kweli jmn pole kaka
Ukimkosea Mwenyezi Mungu kwa kufanya Zinaa usiitangaze ingawa kwa yote yaliokufika. Zinaa ni katika madhambi makubwa.
Hilo ndio chumo la Zinaa. Na iwe fundisho kwa wazinifu wengine waachane na uzinifu kama unajihisi hutosheki na Mke mmoja bora uoe wa pili ingawa Mkeo atakasirika Lakini utanisurika na mengi.
Swadacta
Ndio allah akasema kukifanya kwa siri atakuhukumu kwa siri na ukifanya kwa dhahiri hatakuhukumu kwa dhahiri tupunguzeni sinaa jamani allah asema laa taka Raab ziinaa
Kweli kabisa
@@zakiaabdula4709 sahihi wallah hawana haya wanaume hawa
Na Sasa kama mkeo alikuwa hajui tayari ameshajua. Amani itapungua nyumbani kwako. Na hebu kumbuka mara ngapi ulimnyima haki mkeo na kumpatia huyo hawara. Ikiwa mpaka saa Saba usiku uko nae. Mkeo ulimwacha peke yake akilia Kwa sababu yako. Hebu wanaume muamke na kuheshimu wake zenu. Muwapende na kuwatunzia heshima zao. Kama kipo ulokikosa mwambie tu mwanamke ni dhaifu sana Kwa mwanamme ampendae. Angalizo wake zenu munawaharibu na kupunguza mapenzi na uaminifu Kwa kuwaendea kinyume (kuwasaliti) na hayo ni malipo ya zinaa
Hayo ndiyo madhara ya zinaa Kaka braza mwishowe ndiyo hivyo habari ndiyo hiyo😭
Pole
Kwakweli alafu bado na yeye anamke mpuuzi sananhuyu kaka malaya mkubwa
@@johasaeed391 alipokuwa yuwazinii nae hakutangaza mitandaoni sasa maji yamezidi unga.mmh pata mwanangwa nisije kujuwawa.🤭🇰🇪
@@johasaeed391 umeon love mtu an mke n watoto tamaa zimponza akome
Pia machozi mwamke anayolia pale unapofanya umalaya nje uko ayakuachi salama
Munamtania mungu nyinyi munafunga saumu kweye uzinifu
Una mjurge kambe ww uko kamili
Hakuna mkamilifu Dunia Mwenyezi Mungu tu
Umeonaee wameshinda na njaa na zambi juu
Napenda anavyoelezea very straight hadi raha
Huyu jamaa bishoo tu ye km ni mtu na mambo yako kwanini usioe uwe kwenye penzi silias ,uyo dem naona mtoto wa mjini tu acha ampeleke mbioo
Kama kakusudia kumuowa huyo unajuwaje usiombe yakufike
@@Shuu.A ndo miezi tisa acha kutetea zinaa
@@ibraimoissiaca6058 waridhisheni wake zenu kivyovyote
We unadhani kuoa ni kukrupuka 😄😄
@@estermathias8354 kinasikitisha wanawake ndo mnaependa kuchezewa
Pole
Pole ulimpenda ila mapenzi ya mchongo hayo mpemba! TUSHAKUELEWAAAAAA SANAAAA
Njoo kwangu
Daaaaaaaaa mpole sna mwarabu wangu aise ila wadada WA mjini wajanja mno kudadeq muache kudanga nyoko nyie tafuteni Kaz pumbavu sna.... Pole sna bro🇦🇪
zinaa athari zake ndo hzo na wanawake wa mjini wake za watu ndo zao kusema wako single dunia gunia ina mengi Allah atuepushe na uchafu huo atujalie wake sahihi na wakati sahihi tupate salama na yatuepuke majanga haya Ammyn🤲🤲
Dah atar sana tuache tamaa
Tamaa
Pole sana kaka
Dah hatati sana
Ila wanawake bana...kama hamupo tayari kuingia kwenye ndoa subirini kwanza...kumrubuni kaka wa watu na kumletea matatizo siyo vizuri ndiyo yaliyomkuta mejakunta....mtulie kwenye ndoa zenu...mnatubania sie mabinti kupata wachumba😀😀😀 ndiyo nini sasa kuwa na wanaume 2...pole kakangu.
Tamaa zinatuponza
Pole, wakinadada wa kibongo Acheni tabia mbaya,,.. huyo Kaka amuweke huyo dada hadharani, pengene ndio njia zao hao kutafuta pesa , mpeleke huyo Kaka kwenye vituo vya TV vikubwa ili mkondo wa sheria uchukuliwe na wengine Waone na waache huo upuuzi.. kama huyu Kaka yupo sahihi, amshitaki huyo dada,, ingekuwa nchi zilizoendelea huyo dada angepay Big time.
Story ipo mange app
Pole sana hawa wanakulia pesa
Izo ndoa za dili huyo mwanaume karuhusu mke akadange sasa kaona mgodi umeyumba ndo anajitia kushtaki haiwezekani mke wa mtu danga lako kila linapokuhitaji unapata muda kwa miez tisa hayo ndo maisha yanayowaweka mjini mke na mume
Yes true
💯% true
Jamani huyu dada kakosea pakubwa sana huyu kaka anaonekana alikua na mapenzi ya dhati sana na huyo dada
Sana ata kuongea kwake unamuona kabisa
Tamaa za ngono unaachana na mama watoto wako unaenda kuwa mchepuko kuna kitu anaficha hyu kijana
Kweli kaka anajuwa kupenda kha!
Pole kaka your handsome Mungu atakupa girlfriend mwingine pole sana babaa
Hongera kwa usema ukweli!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmecheka sana this comment
haya ndio madhara y zinaa hy mwanamke alikuwa anatamaa sidhani kama ana mume Kwa unavyosimulia kikubwa picha y huyo mwanamke daa gea ungempost asijenichukulia shombe shombe wangu 🤣🤣
Yes dear 😘😘
Wanawake tunaponzwa na tamaa ndio Maana tunauliwa ovyo mno
Yote tamaa hiyo iliyomfanya akatae kwamba si mke wa mtu
Brooo kaa nae mbali atakuponza
N yy akome atulie n mke wake an mke n watoto tamaa z nni
@@getrudamartin2409 wanawake tujiongeze wanaume awatoshek
Kwa kweli
Kaka tafuta mke ufunge ndowa sawa acha ayomaishasio mazuli
Mshenzi eti awala wako mama watoto wako anamjua uyu jamaa mshenzi wa tabia anamtesa mkewe sababu ya awala ndo ukome umekomeshwa hasa
Kapatikana kishenzi na Tabia zake mange Katoa ubuyu wote
Bonge la kakaaaa mashallah
Lakini hajielewi 😃😀
@@yusrasalum 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ukweli kuhusu huyu kaka upo mange kimambi app
Daaaaaaah pole saaana kaka
Huyunkakankazid mtu ana mkewe vp unakwenda na wanawake nje hamuheshimu mkewe
We kaka kama hujaoa jamani mie nimekupenda bureeee,tena tufunge ndoa sio kuzini🥺🥺
Bonge la bwana😛😛😛
Wote wahuni😭c demu wangu.. Sipendi ilo jina Demu wangu
define neno demu
Nisahihi sana
kabisa silipendi haswa na naweza kukuacha hafla nickusemeshe ukinita hili jina
Jina gani hiloo
Kwanza mtu mzima kama huyu mwenyewe anakaa je kwa mahusiano kwanini usioe ukaishi na halal na ukaacha uzinifu , ndo adhabu ya watu kama wewe hasa hata angekua sio mke wa mtu bado ni mtoto wa Mtu .
Msahara wa Dhabi mauti. Huyu jamaa mnafiki bona hajaenda kwa Akina dame.karibu Nairobi
Dawa yake mwisho wa umalaya na uzinifu nuaacha mkeo wa halali yako kufuata mchepuko hayo ndiyo matokeo yake.... Haki ya mke imetoka kumdhulum yeye akikuhuni wewe utapenda????
Mwanamke huyu ni bwana 2 kwa mujibu wa maelezo sasa huyu mume alikuwa wapi ck zote hizo?
Pole kaka yangu
Basini jamani ma zinaa ruduni kwa Alllah. Subhhannah AstakhfiruAllah
Na mbaba anamtasbihi mkononi mask n
@@abeidakhamisi5495 🙂
Mtulie na wake zenu hii ni laana eti hata watoto wangu mke wangu wanajua bila aibu...na ikiwa amemsaliti mumewe mpk kuwa nawewe ujue na wewe atakusaliti.....na inawezekana yeye ndo mtafutaji weshakata walichotaka....sasa kakulipua....pole sana
Mimi nipo single weee! Pole ndugu yangu.
Huyo mwanamke ndiyo kakosea.
Alikuwa hashibishwi na huyo mume wake.!.Kijana muombe Mwenyezi Mungu atakusaidia..
Wengine.wanakuwa wanashiba unatoka tu kwa kuzidiwa na majaribu. Yaani kucheat hakunaga faida ni upuuzi tu
Sheitwani naye yuko kazini
Pole kaka njoo kwangu sina mtu nataka MTU wakunipenda sana
Nipe namba yk bx nikutafute tiyajenge
Majanga, uyo Mwanamke nae ni ninja 😀🙌🏽
😅😅
Mkome Mana Una mke na watoto na bado hutosheki. Wanaume wanaumiza sana wanawake ndio mana siku hizi wanawake wamezibuka.
Sio mkewe Ni mama watoto wake aliyezaa naye
Jamaaa kapenda
Na ww hiyo ndio malipo ya dhambi ww unajigamba hawara anqjulikana na mkeo Hadi na watoto wako mwenyewe unaona sifa utasahauliwa ndugu yangu acha hizo
Kasema mama mtoto hakusema mkewake kwani Kiswahili kigumu? Kwaio mtu Aliza namtu tu Ndio kamuoa?
Da Geah huyo anaedai kuwa mume wa ndoa anajuana na huyo mwanamke na itakuwa ni tabia yao wanatapeli watu HAKUNA NDOA HAPO wanataka kupiga hela
Jihadhari kaka angu asa iv nchi ye2 imebadilika w2 wanauwana nje nje, muache huyo mwanamke araka xn!!!!
Huyo mwanamke inaonekana kashapanga na mtu aseme kuwa ni mumewe na hiyo kukupeleka polisi ni njia yakutaka ulipe mapesa . subiri huyo bwana atasema ulipe fine . au atakufunga jela , lakini umeyataka utakoma au utazidi uzinifu .
Nimewaza pia wamehona mabye anavijipesa
Weww unayemwambia mwenzako anapenda zinaa una uhakika wewe hujawah kuzini mfyuu zakoo
@@zaharamakota7434 Ahaa ! inaonekana wewe umekubuhu kwenye hili jambo ndiio maana watetea wazzinifu . km nimewahi au sijawahi Mungu ndio anayejua , yeye kaja kujianika tungejuajee ? Allah ametwambia " LAA TAKRABU ZINAA " usiikaribiye zinaa sikwambii yeye aliivaa hasa. Ukiona mtu linapozungumziwa jambo la laana akawa mkali ujue naye ni mmoja wao ndio wewe .
Maajabu yy mwenyewe mume wa mtu halina aibu looh
Ndo akome hawara anaspend naye na yeye mke wake amemtelekeza
Hata akili halina urefu wa bureew
@@kazkaz1943🤣🤣🤣🤣
Awana lolote wanataka kukuchuna tu itakuwa walipanga ayo mambo wamesha kuona una pesa ivyo wanataka wakuchune pesa zako wanawake kwakweli nushida mtu una ndoa yako una angaika na wanaume wengine wanini utapeli tu
Wamepanga huyo mwanamke shsuri moja na mumewe hanisi tu
Dada geah sory nilikuwa naomba no ya huyo kaka plz nimempenda sana
Mungu waumbue haw wote wazinifu
😅😅😅
Dada geha niunganishe nae mie nitampenda naa kumkabidhi mbakaa kongosho yangu 🥰
Hahah
😂😂😂😂😂
Yarabi wanawake wezangu tuweni makini tutaulliwa kwa uzembe huuu ni mtihani sijuii tutaishiya wapi
😆😆😆nimecheka haki sasa we nae unafamilia bado unachepuka nabado hadi mama watoto wako unamuonyesha kama unachepuka inanekana mama wa watoto wako una mnyanyasa tulieni na wake zenu acheni kunusanusa kila tundu
Hahaaa huyu mwanaume si mume gumegume changudoa lakiume hili
Oooh jaman sorry dear.