HILI MAYAHUDI HAWATAKI KUWA WAKWELI | WANAGOMBEA ENEO LISILO KUWA LAKWAO :-DR.SULLE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 218

  • @talents7934
    @talents7934 11 місяців тому +1

    Sawa Shekhe Ukimaliza Naomba uhadithie Pia Makuu yalivyofanywa Na Mababu zetu Hapa Africa kama vile kinje kitile Ngwale,Mkwawa Na wale Walipigania Vita Dhidi ya Utumwa Hadi ukazaliwa Wewe,Maana Unaijua sana Historia Ya Watu Waliotutawala zaidi Ya Historia Ya Mababu zako Waliopigania Ardhi Yetu Hadi leo unaikanyaga Kwa Uhuru🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ommyj9653
    @ommyj9653 Рік тому +7

    Mola muhifhi mwalimu wetu ustadh dr sule🙏

  • @aminamrisho8878
    @aminamrisho8878 Рік тому +2

    Allah akuongoze ktkt kuitangaza dini ya kiislam....❤

  • @sadaalsheibani7106
    @sadaalsheibani7106 11 місяців тому

    Dr sule👏👏 umelezea vizur sana kama kitabu cha Allah kilivyoeleza pongezi zako tunataka free palistn palestin

  • @Laila-nuraa
    @Laila-nuraa 11 місяців тому +1

    Allah Akbar Allahu Akbar Alxamdulilah ❤

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 11 місяців тому +3

    Nimekupenda sana Mtumishi wa Mungu mimi ni mkristo

    • @phchouse
      @phchouse 11 місяців тому

      Mtumishi wa shetani. Mungu Hana watu waongo na walio jaa chuki

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Рік тому +5

    ALLAH atawapa nguvu kubwa sana Wapalestna Inshallah

    • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
      @NATACIARAPHAEL-iz8kr 11 місяців тому

      Sote ni ndugu tuombe tatizo liishe kuwe na Amani hakuna damu iliyohalishwa kumwagwa tusipindishe maneno Yohana 8:36
      Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.

    • @georgechiwango7381
      @georgechiwango7381 11 місяців тому

      Lini?

    • @erickmaisha4773
      @erickmaisha4773 11 місяців тому

      Allah kaumba nini Hana lolote nikuumba meli na makanzu mnabudu msicho kijua nyie

  • @mariamhakim1463
    @mariamhakim1463 11 місяців тому

    Allah Ihalik shekh❤

  • @JumaaJumaawaziriy
    @JumaaJumaawaziriy 11 місяців тому +1

    Utagundua mayahud na washilikina ndio maadui wa waisilam alihmdu lnllah.

  • @maryammaryamm9548
    @maryammaryamm9548 11 місяців тому

    Shukran Shekh sule kwa ufafanuzi mayahudi hawajui chochote tuwaombee Allah awaongoze Mayahudi heti Kwasababu wamepewa Dunia basi wamejisahau kwamba kuna Akhera

    • @maase2023
      @maase2023 11 місяців тому

      Waisrael pale ni eneo lao hata mungu anatambua hilo ila waislam ni tabu tu ukweli hawautaki kwa kuwa waisrael mungu ametunuku sana

    • @yassirabdallah3230
      @yassirabdallah3230 11 місяців тому

      Dada Maryam ww n muislamu kasome suratul Maidah aya y 121 hdi 127 utpta jibu

  • @mariadoschools515
    @mariadoschools515 11 місяців тому +1

    Masha allah

  • @ChristineKathule
    @ChristineKathule 11 місяців тому

    May God do his will,nobody is meant to be suffering

  • @BudaBoss-dc7tv
    @BudaBoss-dc7tv 7 місяців тому

    Kweli kabisa Dr sule.

  • @SaidaMzee-yd5rp
    @SaidaMzee-yd5rp 11 місяців тому +3

    Hakika dini mbele ya mw/ mungu ni ya uislaam.

    • @dani72130
      @dani72130 11 місяців тому

      ndo inaleta fujo dunia nzima, kusingekuwa na hii dini duniani tusingesikia vita na mabomu ya kujilipua ambayo huwauwa watu wasio na hatia.

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 11 місяців тому +1

    Wewe Dr sulle issa bin Mariam siye YESU Kristo usiwachanganye

    • @erickmaisha4773
      @erickmaisha4773 11 місяців тому

      Hio kweli mwanzo kazaliwa chini ya mtende yesu hori vitu viwili tofauti

  • @KAFILABulimwengu-d3n
    @KAFILABulimwengu-d3n 11 місяців тому

    Unajuwa Baba.

  • @JoshuaMwamala-z1g
    @JoshuaMwamala-z1g Рік тому +1

    Mungu hasahihishwi.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Рік тому +4

    Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚

  • @felixseven042
    @felixseven042 11 місяців тому

    Before the Jews scattered, where was their original land? Thank God you're in Tanzania you got Peace

  • @nizaruddeenal_awsy.
    @nizaruddeenal_awsy. Рік тому +1

    Shekhe historia ya palestina huijui vizuri.
    Rudi ukasome historia vizuri. Na wale usiwakilishe waislamu Kwa ufahamu wako. Sio vizuri.

    • @BahatiMakoga
      @BahatiMakoga Рік тому +2

      Hubirini kweli watu watubuzambi zao wamgeukie mungu acheni siasa nyie watu mbona hatuwaelewi uchochezi tu mnaufanya simuende huko

  • @NancyPatrick-il8zj
    @NancyPatrick-il8zj 11 місяців тому +1

    Kweli hii ni vita ni kati ya mayaudi na maislamu

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 11 місяців тому +5

    Japokua uslamu ni dini ya kutengeneza lakin bado mmeshindwa kuitengeneza vizuri.
    1.ukisema ibrahim alitoka uru wa walkadayo kwenda palestina inamaanisha uzao wa ibrahim ambao ni yakobo na esau wote ni wapalestine, apo tayar umeshajileza😂
    2.ukwel ni kwamba asili ya ibada ambayo ilikua kwa waisrael hadi ujio wa yesu ni kivuli tosha cha wakristo wa sasa na haina uhusiano na uislam kwenye ibada zao au jinsi yesu alivyotenda ni tofauti na manabii wa kale ni tofauti na mohamed hii inaonyesha huyu aliyekuja baada ya Yesu ni kitu kingine.
    3.Baada ya kifo mtaona wenyew yale mliyoyakataa

    • @saidambarouk2804
      @saidambarouk2804 11 місяців тому +1

      Yesu (Nabii Issa) alisema lini kama yeye ni Mkristo??
      Mzee Ukristo ni Dini ya Biashara tu! Bro karibu katika Dini ya Kweli na Haki ya Uislamu muda ni sasa Ucje Ukafa ikawa huna Dini. Tafadhali kasome Juu ya Dini ya Uislamu!!!

    • @Queenrinna98
      @Queenrinna98 11 місяців тому

      ❤❤❤❤❤

    • @DanielWillison-fd6ql
      @DanielWillison-fd6ql 11 місяців тому +1

      @@saidambarouk2804 kwani wewe unaaminije yesu si kristo na tunaomwamini sisi ni wafuasi wake unaposema ukristo siyo dini unapotosha

    • @manenoagrey1519
      @manenoagrey1519 11 місяців тому

      @@saidambarouk2804 Yeye mwenyewe ndo kristo endelea kupoteza muda pia alibatizwa katika mto Yorodani na upo mpaka leo

    • @saidambarouk2804
      @saidambarouk2804 11 місяців тому

      @@manenoagrey1519 Duh! Kwakweli Mapasta wenu wanawapotosha sana🤔 cjui kitu gan kinawafanya Muamini. Mimi Swali langu Lini na wapi Nabii Issa (as) alisema kama yeye ni Mkristo? Ukinijibu nakupa hela ya kijio cha wiki nzimaa👂💖

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 11 місяців тому

    Israel big up sabato iendelee

  • @KennedyNgusa
    @KennedyNgusa 11 місяців тому

    Nenda kagombane mzee ,unahamasisha ugonvi bola uende ukasaidie

  • @sheikhamansoor3522
    @sheikhamansoor3522 11 місяців тому +2

    Nyie mnaokashifu uislam hamjui kitu chochote kuhusu shari za mayahudi someni uislam mtajua habari za ban Israel
    Waslam tunajua habari za yesu toka kabla hajazaliwa na ni nabii wa mungu hatumkatai kama nyie mnavyomkataa Muhammad SAW

  • @thomasngui826
    @thomasngui826 11 місяців тому

    Sule yaani ogopa sana mapokeo unachokisema kama unakijua

  • @stevekiilu8764
    @stevekiilu8764 11 місяців тому +1

    Mimi ni mkristo, ila nimekusikiza kwa makini na nimepata mengi ambayo sijayasikia toka kwa waislamu wengine. wewe unahubiri amani ambayo ndio mapenzi ya Baba Mungu kwa watu wote. Sifurahii kuona wamama na watoto wanakufa pale palestine sababu ya vita. vilevile sikufurahi vile wamama na watoto wadogo walipouliwa pale Israel na hamas.
    Kwa kukusikiza, Bible na Quran zinaendana sana kwa mambo mengi, sana sana kwenye agano la kale la Biblia. Hivo nimesoma mengi kupitia kukusikiza, licha ya tofauti zetu kuhusu Yesu na Mohammed. ubarikiwe kwa kuwajulisha kizazi cha leo mengi.

    • @mshambaused3840
      @mshambaused3840 11 місяців тому

      Yesu na Muhammad ni wamoja

    • @stevekiilu8764
      @stevekiilu8764 11 місяців тому

      Jesus lived from 7 BC to 30 AD. Mohammad was born in 571 AD and died in 632 AD. So 541 years from Jesus’ physical death to Mohammad’s birth.

  • @scollarnjerii1275
    @scollarnjerii1275 11 місяців тому

    Sawa. Kama wasayuni ni kati ya mia tatu na mia Tano na wanatawala Dunia na niwaongo! Mbona wakweli wasitawale Dunia na ni mamilioni ya uma?

  • @GodwinBuberwa
    @GodwinBuberwa 11 місяців тому

    Kwa kupangilia maneno awajambo Duhuu,

  • @herikipengele8321
    @herikipengele8321 Рік тому +3

    Someni vitabu msihangaishe watu kwa kupotosha vitu vipo wazi sana

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 10 місяців тому

    Wayahudi walipewa ardhi hii na Mungu
    Huo msikiti ni lazima ubomolewe.
    Haiwezekani mjitwalie ardhi ya waisrael muifanye iwe milki yenu

  • @Laila-nuraa
    @Laila-nuraa 11 місяців тому +1

    Asalamu caleikum naomba namba ya Dr,zulle

  • @benedictinestory1454
    @benedictinestory1454 11 місяців тому

    Wewe ulizaliwahuko?

  • @felixseven042
    @felixseven042 11 місяців тому

    NO DAY MUSLIMS WILL LEAD THE WORLD NO AND NO BIG NO HUGE NO.

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 11 місяців тому

    Mbona maelezo yanaejieleza vizuri kwamba ibrahim alitoka uru kwenda canaani et anaiita palestine

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile 11 місяців тому

    Kaka unadanganya

  • @manenoagrey1519
    @manenoagrey1519 11 місяців тому

    Suleiman alijenga Hekalu

  • @sheikhamansoor3522
    @sheikhamansoor3522 11 місяців тому

    Mayahudi walitaka kumuua yesu je sisi

    • @NATACIARAPHAEL-iz8kr
      @NATACIARAPHAEL-iz8kr 11 місяців тому

      Ilitabiliwa ikatimia vita vilishatabiliwa hakuna jipya yote yapo kwe kitabu cha Vitabu vya mungu

  • @sadaalsheibani7106
    @sadaalsheibani7106 11 місяців тому +1

    Waizrael wengine wapo hapa kwenye comment hawajapenda ukweli anaoelezea sule huo ndio ukweli mukitaka musitake

  • @manenoagrey1519
    @manenoagrey1519 11 місяців тому

    Jamaa muuongo huyu kabla ya Yesu hakukua na Msikiti hata mmoja bali lilikua Hekalu nasiyo msikiti

    • @hamisiramadhani3538
      @hamisiramadhani3538 11 місяців тому

      Maneno msikiti ulikuwepo soma vizuri biblia sinagogi ni nini angalia nyuma ya biblia yako

    • @manenoagrey1519
      @manenoagrey1519 11 місяців тому

      @@hamisiramadhani3538 Jengo la kukutania la wayahudi ndugu pia biblia unayosema nisome Nyuma ile ilitafsriwa na Shehe wenu hapo Mombosa kwani wazungu walipo fika Africa Kiongozi huyo kidogo alikuwa anajua Kingreza akasaidia kutafsiri Biblia lakini hiyo siyo maana halisi ya Sinagogi na yapo mengi tu mbona Hamswali mule kama ni Misikiti usipotoshwe na hilo

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 11 місяців тому

      Uislam umejengwa kwenye uongo,bila uongo hakuna uislam,😆😆😆

  • @bonheurNimbeshaho-qy7sy
    @bonheurNimbeshaho-qy7sy Рік тому +3

    Mayahudi ni wauwaji hao

  • @georgechiwango7381
    @georgechiwango7381 11 місяців тому

    Yote yaliyoandikwa ktk Biblia kuhusiana na Israel lazima yatimie. Yatatimizwa huku mkitazama.

  • @leko3040
    @leko3040 11 місяців тому +1

    Soma kitabu cha zephenia 4:2 na uendelee ndo ujue mambo

    • @MbofaniHusseni-sy6qo
      @MbofaniHusseni-sy6qo 11 місяців тому +1

      Maya udi hawana kipya yani hata kwa hoya hawaji wezi labda vita ndo wana weza

  • @BarajaMagunila
    @BarajaMagunila 11 місяців тому

    We sule homsikiti unaonyesha ulikuwepo kabla uislamu je ninani aliswalia mule kabla ya uislamu?

  • @ChescoMwakipesile
    @ChescoMwakipesile 11 місяців тому

    Kwaiyo nynyi uwisilama mumeunda nynyi wakati nanynyi mumeletew na walabu

  • @MbofaniHusseni-sy6qo
    @MbofaniHusseni-sy6qo 11 місяців тому

    Nyinyi wenye vitabu vyenu c mtu elimishe na nyinyi mekaa 2 soma vitabu soma vitabu vip

  • @MorganMwaipyana-tz9vc
    @MorganMwaipyana-tz9vc 11 місяців тому

    Mbona Nabii Issa anatajwa sana lakini wanamkashifu Yesu?

  • @SaluTen-d8s
    @SaluTen-d8s Рік тому +2

    Acha uongo

  • @StefanoNzunda-z9e
    @StefanoNzunda-z9e 11 місяців тому +1

    Dr. Sule huna elimu unachoongea ni uongo toa historia si kosa lako ni shule huna.

  • @msafirithomas7751
    @msafirithomas7751 Рік тому +1

    Mwulizeni sheh aliyepelekwa utumwani misri ni mpalestina au mwisraeli kwa hiyo sheh usiwadanganye acha uongo we mdengeleko wenye kuumaliza ni mungu tu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 місяців тому +1

    Huyu mbumbumbu ni Punguani pekee anayeweza kumwamini. Nonsense

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 11 місяців тому

    Macho kodooo is rail angalia kwako

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 11 місяців тому

    Kwani hapo ulipo hakuna msikiti mpaka ukodolee macho msikiti ambao upo israel

  • @raykyando7571
    @raykyando7571 Рік тому +1

    Sasa kama walikimbia kwe ye ardhi yao hamtaki warudi ,nyumbani ni nyumbani nikisafiri sio kwamba nimetupa ardhi yangu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Рік тому +2

      Walikuwa wakiishi ndan ya nchi ya Palestine (kanaan), waisrael walikuwa hawana nchi, ila walikuwa wanaish ndan ya nchi ya kanaan Palestine, wao wakiwa kama watu wa Israel (yakobo)

  • @micahnjoroge3685
    @micahnjoroge3685 11 місяців тому

    Soma bible zanosi 1-6-7 Wafilisit watapigwa na Wa Israel mpaka wa malizike

  • @KevineKataka
    @KevineKataka 11 місяців тому

    Iziraheli ni Muji mutakatifu kwa wakirsto na waisilamu na wayaudi kwa ivyo lazima tuwogeh kwa sababu iyo diyo mboma la bibilia na &rani kwa manabii

  • @georgechiwango7381
    @georgechiwango7381 11 місяців тому

    Hapo mzee umedanganya, msikiti miaka 600 kabla ya kristo ulitokea wapi? Mfalme Suleimani hakujenga msikiti bali alijenga hekalu.

  • @shau78
    @shau78 11 місяців тому

    Hivi nikitoa hela nikanunua ardhi nikawa na hatimiliki kumbe haiwi ya kwangu? kumbe inaelndelea kuwa mali ya yule ambae ilikuwa yake kihistoria?

    • @MorganMwaipyana-tz9vc
      @MorganMwaipyana-tz9vc 11 місяців тому

      Shughuli pevu,umenunua ardhi na ndugu zako wamekuja wamenunua hapo Tabora lakini hamruhusiwi kusema Tabora ni kwenu.

    • @erickmaisha4773
      @erickmaisha4773 11 місяців тому

      Alienunua Nani ?

  • @robi7printing291
    @robi7printing291 11 місяців тому +1

    Sisi sote ni wamoja tukipigana ni sawa na kujipiga na kujidhoofisha. ivi kweli elimu zetu ndo zimeishia hapo!

    • @yohanaibrahim4128
      @yohanaibrahim4128 11 місяців тому

      Kumbe walinunua kumbe yakwao

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 11 місяців тому

      ​@@yohanaibrahim4128sasa kama walinunua Ibrahim hao mayahudi wanahusikaje wakati ibrahim alikuwa na watoto wawili Ismail na Ishaq na pia aliowa mke mwengine ketura akazaa naye madyani kwahiyo wana wa israel ni sehemu tu ya wana wa ibrahim wapalestina pia ni watoto wa ibrahim kwa mjukuu wake Essau kaka wa yakobo ambaye uzao wake unavuruga mashariki ya kati..!

  • @paschalcharles6097
    @paschalcharles6097 11 місяців тому

    Hivi kweli unazaliwa duniani kuja kutetea msikiti???au msikiti una umuhimu gani????

  • @moseskivunge1719
    @moseskivunge1719 11 місяців тому

    Tupe nukuu ya vitabu ulivyotoa historia hio tafadhali shekhe.....

  • @nehemiaayo9527
    @nehemiaayo9527 Рік тому

    Kumbuka kuna mayaudi pia apo kushi

  • @raykyando7571
    @raykyando7571 Рік тому +1

    Sasa kama hiyo nchi walipewa na Mungu basi wapalestina hawana haki itabidi waondolewe

  • @ngoni7944
    @ngoni7944 11 місяців тому

    Ukisto na uislam ulio anza ni ukisto
    Uislam ulikuja miaka 600 baada ya ukristo
    Kwa hiyo waisrael ndio wenye haki ya pale

  • @leonardalphonce8924
    @leonardalphonce8924 11 місяців тому

    pale nikwa mze ibrahim baba yao we hutaki warud kwenye koloni lao

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 11 місяців тому

    Nenda ukawasaidie pia muslam nikopyi auna dili

  • @wgnckasarani
    @wgnckasarani 11 місяців тому

    Zaburi 83

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 11 місяців тому +1

    Quran inasema Nabii Muhammad ndio kaja na Uislam na imeandika Muislam wa kwanza bi Khadija na Quran kashushiwa Muhammad sasa huo Msikiti walikua wana swali kwa muongozo gani? maana Quran haikuwepo, Fafanua hapo Sule hii imekaaje.

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 10 місяців тому

      Yesu,Mussa,Ibrahimu,Issihac na manabii wote ibada zao zilikuwa swala na kusujudu swala zao zilikuwa rakaa 2 tu na walikuwa wanaswali umo ktk misikiti hiyo ya kale Mohamed Mungu amempa swala 5 lakn ibada ni ile ile ya manabii wote waliotangulia Khadija alikuwa muislam wa kwanza kuslimu yaan watu wa mwanzo mwanzo kuukubali uislam kutoka kwa makuleishi wa maka neno uislam upo tangu Adam (a.s)na ndo mana Ibada zao zilikuwa kuswali na kusujudu lakaa 2 tu kwa siku tofauti na sasa ivi tumeamrishwa swala tano

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Рік тому +2

    Waislamu mtakuwa waongo Hadi lini!? Uislam umekuja duniani 610 AD tayari hekalu la mayahudi upo. Yaani mnaosema uongo Hadi mnachukiza

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Рік тому

      Kwahio mwenye haki pale ni nani? Embu tume elim

    • @mozarashid-wr6ec
      @mozarashid-wr6ec 11 місяців тому

      Uislamu ndio dini ya mwanzo tangia waumbwe binadamu ulianza tangu alipoumbwa Adam na bib Hawaaa isipokua haipendwi coz inazungmza ukweli na inakataza maasi na watu wanapenda maaovu, kwaio sie sio waongo waongo ni nyie makafiri

  • @sadaalsheibani7106
    @sadaalsheibani7106 11 місяців тому

    Uislamu ndio dini ya haki na itabakia kua hivyo wala sio dini ya warabu tu kila kabila wapo weusi na weupe

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Рік тому +14

    Ila sisi watu weusi bwana, dah! Yaani Imani iliyo letwa na weupe watu wameibeba hata kama walidanganywa wao wanapaza sauti na kushupaza shingo kwa jambo lisilo wahusu, unaenda kutafuta historia ya waYahudi na waArabu na haikupi msaada wowote, imani bwana ni kitu Cha ajabu sana, yaani ukisikiliza kwa makini iwe kweli au iwe uongo lakini faida yake kwa mTanzania ni nini? Mtu ambaye mababu zako waliabudu chini ya miti na MUNGU akajibu leo huzungumzii hilo unazungumzia Ardhi na Imani ya watu wa mbali, na kuponda Imani zingine...mala eti Ibrahim si wa waKristo ni wa waIslamu😂😂,yaani hii Dunia dah!

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 11 місяців тому +5

      Kwa hiyo we ulitaka tusijue we tangu lini mzungu akakuletea Dini yeye kaitoa wap na wakati hakukuwahi kutokea nabii Wala mtume mzungu Wala kutoka ulaya

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor 11 місяців тому +9

      Bil y shaka ww n kafiri mwenye chuki n uislam maan ungekuw una dini ungekuwa n akili

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor 11 місяців тому +5

      Ww inaonesha ata mungu hukubal kam yupo yaan unajion kam umejiumba

    • @mozarashid-wr6ec
      @mozarashid-wr6ec 11 місяців тому +8

      Asiejua maana haambiwi maana lkn sie waislamu tunaelewa anachokisema coz kila kitu kipo ktk Quran

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor 11 місяців тому +2

      Ahsant ustadhat

  • @pascal2415
    @pascal2415 11 місяців тому

    Na kwanini Waisrael isiwe haki yao huo msikiti?

  • @DanielWillison-fd6ql
    @DanielWillison-fd6ql 11 місяців тому

    Wakati wanauawa na hitira walikua katika inchi gani na unchi hiyo ilikuwa inaitwaje namba likuwa maeneo yapi.

  • @mahershalalhashbazi2189
    @mahershalalhashbazi2189 11 місяців тому

    Imamu kweli ni kiongozi wa maamuma..
    Gaza wenyeji wake ni WAAVI sio Wapalestina/wafilisti.Mwanzo 10:14. Wapalestine/Wafilisti kwao ni Visiwa vya KAFTORI Yeremia 47:4.
    Waavi ni kabila gani leo sheikh ?

  • @phchouse
    @phchouse 11 місяців тому

    Huyu jamaa hata kwa kumtazama hajui kusoma kitabu chake anacho kutumia kuabudu. Kajaa ujinga upumbavu na chuki

  • @maase2023
    @maase2023 11 місяців тому

    Kwani hao waisrael kwao ni wapi? Au waislam mnapenda chokochoko tu? Tokea dunia imeanza waisrael pale ni kwao

  • @chizcom4229
    @chizcom4229 11 місяців тому

    Utashangaa mtu kama huyu anafunikwa na sheik kipozeo

  • @ChristineKathule
    @ChristineKathule 11 місяців тому

    So wewe unapiga kampeni ya amani ama ni kuongeza vita,huna tofauti na hao wakora

  • @EmmanuelMandela-f7k
    @EmmanuelMandela-f7k 11 місяців тому

    Sas storia yako inamsaada kwa wat wagaza kelele mingi uongo mwingi msaada hamna

  • @Paul.957
    @Paul.957 11 місяців тому

    Hata wewe hujui kile unasoma waisiraeli wanamilki chombo gani Cha habari....

  • @maryammaryamm9548
    @maryammaryamm9548 11 місяців тому +1

    Tatizo sio watu weusi cc waislam mila yetu n moja Dunia nzima mzungu muhindi mwafrica ili mladi n Muislamu basi mila moja sio km nyie msiokuwa n dini

    • @MorganMwaipyana-tz9vc
      @MorganMwaipyana-tz9vc 11 місяців тому

      Hujui chochote,kuwa mila moja ndio dini? Una mila sawa na wahindi wewe?

  • @ramadhanchenga4606
    @ramadhanchenga4606 Рік тому +2

    Dr sulle mbona umeenda shule kwa nn unadanganya unawazaja watu ujinga,

  • @pascaljoshua8879
    @pascaljoshua8879 11 місяців тому +1

    Okoka tu mhubiri,ila ukishupaza shingo yako itavunjika.

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 11 місяців тому

      17:3 yohana tafuta UZIMA WA MILELE USIJE KUFA KABLA HUJAUPATA UZIMA UTAKWENDA KUCHOMWA BURE

  • @raykyando7571
    @raykyando7571 Рік тому +3

    Kwanini na ninyi mlijenga msikiti sehemu palipokuwa na kanisa la suleiman?

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 Рік тому +3

      😂😂Nabii suleiman alikuwa muislam na kanisa wapi na wapi

    • @isaliisu3408
      @isaliisu3408 Рік тому +2

      Aliyekuambiya suleiman ni mkristo ninani

    • @saidiissa4673
      @saidiissa4673 Рік тому +2

      Suleiman sio mkristo

    • @nubianqueen6700
      @nubianqueen6700 Рік тому +2

      Wakristo kwanza ni kina Nani? Hamtambuliwi hata na Hao mayahudi, walimuua mungu wenu wakamtundika msalabani. Sasa nyinyi mkiongelea hii mambo mnaongea kwa foundation gani?

    • @jaabirbakar2081
      @jaabirbakar2081 Рік тому +1

      Et mkristo waongea tuu tupe dalili umejazwa maneno ya akina mwamposa wajinga wenzenu et nabii mnyakyusa😂😂,subutu, Allah awaongoze muwe waislam

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Рік тому

    Raykyando wayahud na wapalestina n wa Ibrahim walipo teswa misri waliletwa na MUSSA TENA ISRAEL,kwa hio wote n wa IBRAHIM,

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Рік тому +1

      Ni kweli usemayo ila ikiwa hakuna mzungu aliye ishi utumwani kwa mujibu wa historia zoote ulimwenguni ni wazi wale ni wayahudi wa kiimani tu ila sio waizrael kizazi cha yakobo. Waweza kuwa muisrael ila usiwe muyahudi na waweza kuwa muyahudi na usiwe muisrael.

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni 11 місяців тому

    Kaa kimya wewe huwezi kushindana na wayahudi.

  • @MkomboziKibwita-ss3kk
    @MkomboziKibwita-ss3kk 11 місяців тому

    Ata ww ni mjinga usiye jitambua Huna dini .? Kila jambo na wakat wake .. lipe.nafas liwe linakuhusu au alikuhusu cha msingi na mbaya zaidi usilidhihaki au lulidharau au Acha kabisa kuyafatili je ww ni nani ?

  • @GodyMussa-sc9fj
    @GodyMussa-sc9fj 11 місяців тому

    Ila hawa maplofesa na ma dr wa kiislamu huwa nashindwa kabisa

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim2680 11 місяців тому

    Kikundi cha majambazi

  • @mybrain8940
    @mybrain8940 11 місяців тому

    Hajui lolote huyu hii ni vita ya Dini jihad, tell me Palestine ilikuwa wapi b4 60s then we argue

  • @talentsmediacrew3373
    @talentsmediacrew3373 Рік тому +1

    Kabla hawajapigwa na Adolf hitrer walikuwa wanaishi wapi?

  • @samuelndosi9577
    @samuelndosi9577 11 місяців тому

    This black people problem, jifunze historia ya kabila lako. 🤣🤣

  • @carolihando6271
    @carolihando6271 11 місяців тому

    Kwanini kujenga msikiti juu ya hekalu la Suleiman na kaburi la Yesu? Kuchukuliwa utumwani mara nyingi walirudi Israeli ikiwemo Palestine.

  • @mobigo2unlocker-iv7kn
    @mobigo2unlocker-iv7kn Рік тому

    Kwanini wamiliki hivyo vitu
    Rudi kwenye maandiko mkuu.bado ujasema
    Tatizo aliye rusha ngumi amerudishiwa ngumi imemuzidi

    • @mozarashid-wr6ec
      @mozarashid-wr6ec 11 місяців тому

      Mh jmn kumbe mpo wingii mnaochukia uislamu, kwaio wao wanavowapiga kila siku je? Wew utakubli kuonewa kila siku or?

  • @sharomdguda
    @sharomdguda Рік тому +3

    Yaani km vile mjinga !, Ardhi Siyo tatizo , qurani na mtume alisema ktk Aya nyingi kuwa ardhi ni ya waisrael. Je mtume hakuwaona wapelestina?

    • @dinocastico8495
      @dinocastico8495 Рік тому +1

      Mtume hana aya katika Quran, wala hana neno lolote lile ndani ya Qurani nenda kasome ufaham.

    • @nassorphamadi6065
      @nassorphamadi6065 11 місяців тому +1

      Ww una dini yako na sisi tuna din yetu

    • @nassorphamadi6065
      @nassorphamadi6065 11 місяців тому +1

      Uwisilam ndiy dini ya hak

    • @ramadhanikuhanga3324
      @ramadhanikuhanga3324 11 місяців тому

      Mjomba hv umesoma au limekuropoka tu?

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 10 місяців тому

      We mpuuz umevimbilwa kitimoto na makande yaliochacha unasikiliza maandiko au unaongea tu kwa vile mdomo unao??

  • @EfesoSichinsambwe
    @EfesoSichinsambwe Рік тому +1

    Kitabu cha tano ni kumbukumbu la torati

  • @micahnjoroge3685
    @micahnjoroge3685 11 місяців тому

    Uongo mtupu

  • @EmmanuelMandela-f7k
    @EmmanuelMandela-f7k 11 місяців тому

    Acha uongo wewe palstina haipgani na izrael Gaza ndo inapigana na izrael alafu storia yako uwongo mwing

  • @tedymshisha-dn5ez
    @tedymshisha-dn5ez 11 місяців тому

    Ujuwi lolote

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 11 місяців тому

    Ww hujui kitu unapotosha watu wapotoshe wajinga wasiojua