Sawa Shekhe Ukimaliza Naomba uhadithie Pia Makuu yalivyofanywa Na Mababu zetu Hapa Africa kama vile kinje kitile Ngwale,Mkwawa Na wale Walipigania Vita Dhidi ya Utumwa Hadi ukazaliwa Wewe,Maana Unaijua sana Historia Ya Watu Waliotutawala zaidi Ya Historia Ya Mababu zako Waliopigania Ardhi Yetu Hadi leo unaikanyaga Kwa Uhuru🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Shukran Shekh sule kwa ufafanuzi mayahudi hawajui chochote tuwaombee Allah awaongoze Mayahudi heti Kwasababu wamepewa Dunia basi wamejisahau kwamba kuna Akhera
Japokua uslamu ni dini ya kutengeneza lakin bado mmeshindwa kuitengeneza vizuri. 1.ukisema ibrahim alitoka uru wa walkadayo kwenda palestina inamaanisha uzao wa ibrahim ambao ni yakobo na esau wote ni wapalestine, apo tayar umeshajileza😂 2.ukwel ni kwamba asili ya ibada ambayo ilikua kwa waisrael hadi ujio wa yesu ni kivuli tosha cha wakristo wa sasa na haina uhusiano na uislam kwenye ibada zao au jinsi yesu alivyotenda ni tofauti na manabii wa kale ni tofauti na mohamed hii inaonyesha huyu aliyekuja baada ya Yesu ni kitu kingine. 3.Baada ya kifo mtaona wenyew yale mliyoyakataa
Yesu (Nabii Issa) alisema lini kama yeye ni Mkristo?? Mzee Ukristo ni Dini ya Biashara tu! Bro karibu katika Dini ya Kweli na Haki ya Uislamu muda ni sasa Ucje Ukafa ikawa huna Dini. Tafadhali kasome Juu ya Dini ya Uislamu!!!
@@manenoagrey1519 Duh! Kwakweli Mapasta wenu wanawapotosha sana🤔 cjui kitu gan kinawafanya Muamini. Mimi Swali langu Lini na wapi Nabii Issa (as) alisema kama yeye ni Mkristo? Ukinijibu nakupa hela ya kijio cha wiki nzimaa👂💖
Nyie mnaokashifu uislam hamjui kitu chochote kuhusu shari za mayahudi someni uislam mtajua habari za ban Israel Waslam tunajua habari za yesu toka kabla hajazaliwa na ni nabii wa mungu hatumkatai kama nyie mnavyomkataa Muhammad SAW
Mimi ni mkristo, ila nimekusikiza kwa makini na nimepata mengi ambayo sijayasikia toka kwa waislamu wengine. wewe unahubiri amani ambayo ndio mapenzi ya Baba Mungu kwa watu wote. Sifurahii kuona wamama na watoto wanakufa pale palestine sababu ya vita. vilevile sikufurahi vile wamama na watoto wadogo walipouliwa pale Israel na hamas. Kwa kukusikiza, Bible na Quran zinaendana sana kwa mambo mengi, sana sana kwenye agano la kale la Biblia. Hivo nimesoma mengi kupitia kukusikiza, licha ya tofauti zetu kuhusu Yesu na Mohammed. ubarikiwe kwa kuwajulisha kizazi cha leo mengi.
@@hamisiramadhani3538 Jengo la kukutania la wayahudi ndugu pia biblia unayosema nisome Nyuma ile ilitafsriwa na Shehe wenu hapo Mombosa kwani wazungu walipo fika Africa Kiongozi huyo kidogo alikuwa anajua Kingreza akasaidia kutafsiri Biblia lakini hiyo siyo maana halisi ya Sinagogi na yapo mengi tu mbona Hamswali mule kama ni Misikiti usipotoshwe na hilo
Walikuwa wakiishi ndan ya nchi ya Palestine (kanaan), waisrael walikuwa hawana nchi, ila walikuwa wanaish ndan ya nchi ya kanaan Palestine, wao wakiwa kama watu wa Israel (yakobo)
@@yohanaibrahim4128sasa kama walinunua Ibrahim hao mayahudi wanahusikaje wakati ibrahim alikuwa na watoto wawili Ismail na Ishaq na pia aliowa mke mwengine ketura akazaa naye madyani kwahiyo wana wa israel ni sehemu tu ya wana wa ibrahim wapalestina pia ni watoto wa ibrahim kwa mjukuu wake Essau kaka wa yakobo ambaye uzao wake unavuruga mashariki ya kati..!
Quran inasema Nabii Muhammad ndio kaja na Uislam na imeandika Muislam wa kwanza bi Khadija na Quran kashushiwa Muhammad sasa huo Msikiti walikua wana swali kwa muongozo gani? maana Quran haikuwepo, Fafanua hapo Sule hii imekaaje.
Yesu,Mussa,Ibrahimu,Issihac na manabii wote ibada zao zilikuwa swala na kusujudu swala zao zilikuwa rakaa 2 tu na walikuwa wanaswali umo ktk misikiti hiyo ya kale Mohamed Mungu amempa swala 5 lakn ibada ni ile ile ya manabii wote waliotangulia Khadija alikuwa muislam wa kwanza kuslimu yaan watu wa mwanzo mwanzo kuukubali uislam kutoka kwa makuleishi wa maka neno uislam upo tangu Adam (a.s)na ndo mana Ibada zao zilikuwa kuswali na kusujudu lakaa 2 tu kwa siku tofauti na sasa ivi tumeamrishwa swala tano
Uislamu ndio dini ya mwanzo tangia waumbwe binadamu ulianza tangu alipoumbwa Adam na bib Hawaaa isipokua haipendwi coz inazungmza ukweli na inakataza maasi na watu wanapenda maaovu, kwaio sie sio waongo waongo ni nyie makafiri
Ila sisi watu weusi bwana, dah! Yaani Imani iliyo letwa na weupe watu wameibeba hata kama walidanganywa wao wanapaza sauti na kushupaza shingo kwa jambo lisilo wahusu, unaenda kutafuta historia ya waYahudi na waArabu na haikupi msaada wowote, imani bwana ni kitu Cha ajabu sana, yaani ukisikiliza kwa makini iwe kweli au iwe uongo lakini faida yake kwa mTanzania ni nini? Mtu ambaye mababu zako waliabudu chini ya miti na MUNGU akajibu leo huzungumzii hilo unazungumzia Ardhi na Imani ya watu wa mbali, na kuponda Imani zingine...mala eti Ibrahim si wa waKristo ni wa waIslamu😂😂,yaani hii Dunia dah!
Kwa hiyo we ulitaka tusijue we tangu lini mzungu akakuletea Dini yeye kaitoa wap na wakati hakukuwahi kutokea nabii Wala mtume mzungu Wala kutoka ulaya
Imamu kweli ni kiongozi wa maamuma.. Gaza wenyeji wake ni WAAVI sio Wapalestina/wafilisti.Mwanzo 10:14. Wapalestine/Wafilisti kwao ni Visiwa vya KAFTORI Yeremia 47:4. Waavi ni kabila gani leo sheikh ?
Wakristo kwanza ni kina Nani? Hamtambuliwi hata na Hao mayahudi, walimuua mungu wenu wakamtundika msalabani. Sasa nyinyi mkiongelea hii mambo mnaongea kwa foundation gani?
Ni kweli usemayo ila ikiwa hakuna mzungu aliye ishi utumwani kwa mujibu wa historia zoote ulimwenguni ni wazi wale ni wayahudi wa kiimani tu ila sio waizrael kizazi cha yakobo. Waweza kuwa muisrael ila usiwe muyahudi na waweza kuwa muyahudi na usiwe muisrael.
Ata ww ni mjinga usiye jitambua Huna dini .? Kila jambo na wakat wake .. lipe.nafas liwe linakuhusu au alikuhusu cha msingi na mbaya zaidi usilidhihaki au lulidharau au Acha kabisa kuyafatili je ww ni nani ?
Sawa Shekhe Ukimaliza Naomba uhadithie Pia Makuu yalivyofanywa Na Mababu zetu Hapa Africa kama vile kinje kitile Ngwale,Mkwawa Na wale Walipigania Vita Dhidi ya Utumwa Hadi ukazaliwa Wewe,Maana Unaijua sana Historia Ya Watu Waliotutawala zaidi Ya Historia Ya Mababu zako Waliopigania Ardhi Yetu Hadi leo unaikanyaga Kwa Uhuru🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mola muhifhi mwalimu wetu ustadh dr sule🙏
Amiin
Allah akuongoze ktkt kuitangaza dini ya kiislam....❤
Dr sule👏👏 umelezea vizur sana kama kitabu cha Allah kilivyoeleza pongezi zako tunataka free palistn palestin
Allah Akbar Allahu Akbar Alxamdulilah ❤
Nimekupenda sana Mtumishi wa Mungu mimi ni mkristo
Mtumishi wa shetani. Mungu Hana watu waongo na walio jaa chuki
ALLAH atawapa nguvu kubwa sana Wapalestna Inshallah
Sote ni ndugu tuombe tatizo liishe kuwe na Amani hakuna damu iliyohalishwa kumwagwa tusipindishe maneno Yohana 8:36
Basi Mwana akiwaweka huru, mtakuwa huru kweli kweli.
Lini?
Allah kaumba nini Hana lolote nikuumba meli na makanzu mnabudu msicho kijua nyie
Allah Ihalik shekh❤
Utagundua mayahud na washilikina ndio maadui wa waisilam alihmdu lnllah.
Shukran Shekh sule kwa ufafanuzi mayahudi hawajui chochote tuwaombee Allah awaongoze Mayahudi heti Kwasababu wamepewa Dunia basi wamejisahau kwamba kuna Akhera
Waisrael pale ni eneo lao hata mungu anatambua hilo ila waislam ni tabu tu ukweli hawautaki kwa kuwa waisrael mungu ametunuku sana
Dada Maryam ww n muislamu kasome suratul Maidah aya y 121 hdi 127 utpta jibu
Masha allah
May God do his will,nobody is meant to be suffering
Kweli kabisa Dr sule.
Hakika dini mbele ya mw/ mungu ni ya uislaam.
ndo inaleta fujo dunia nzima, kusingekuwa na hii dini duniani tusingesikia vita na mabomu ya kujilipua ambayo huwauwa watu wasio na hatia.
Wewe Dr sulle issa bin Mariam siye YESU Kristo usiwachanganye
Hio kweli mwanzo kazaliwa chini ya mtende yesu hori vitu viwili tofauti
Unajuwa Baba.
Mungu hasahihishwi.
Maa shaa ALLAH 💚💚💚💚
Mashaallah
Before the Jews scattered, where was their original land? Thank God you're in Tanzania you got Peace
Shekhe historia ya palestina huijui vizuri.
Rudi ukasome historia vizuri. Na wale usiwakilishe waislamu Kwa ufahamu wako. Sio vizuri.
Hubirini kweli watu watubuzambi zao wamgeukie mungu acheni siasa nyie watu mbona hatuwaelewi uchochezi tu mnaufanya simuende huko
Kweli hii ni vita ni kati ya mayaudi na maislamu
Japokua uslamu ni dini ya kutengeneza lakin bado mmeshindwa kuitengeneza vizuri.
1.ukisema ibrahim alitoka uru wa walkadayo kwenda palestina inamaanisha uzao wa ibrahim ambao ni yakobo na esau wote ni wapalestine, apo tayar umeshajileza😂
2.ukwel ni kwamba asili ya ibada ambayo ilikua kwa waisrael hadi ujio wa yesu ni kivuli tosha cha wakristo wa sasa na haina uhusiano na uislam kwenye ibada zao au jinsi yesu alivyotenda ni tofauti na manabii wa kale ni tofauti na mohamed hii inaonyesha huyu aliyekuja baada ya Yesu ni kitu kingine.
3.Baada ya kifo mtaona wenyew yale mliyoyakataa
Yesu (Nabii Issa) alisema lini kama yeye ni Mkristo??
Mzee Ukristo ni Dini ya Biashara tu! Bro karibu katika Dini ya Kweli na Haki ya Uislamu muda ni sasa Ucje Ukafa ikawa huna Dini. Tafadhali kasome Juu ya Dini ya Uislamu!!!
❤❤❤❤❤
@@saidambarouk2804 kwani wewe unaaminije yesu si kristo na tunaomwamini sisi ni wafuasi wake unaposema ukristo siyo dini unapotosha
@@saidambarouk2804 Yeye mwenyewe ndo kristo endelea kupoteza muda pia alibatizwa katika mto Yorodani na upo mpaka leo
@@manenoagrey1519 Duh! Kwakweli Mapasta wenu wanawapotosha sana🤔 cjui kitu gan kinawafanya Muamini. Mimi Swali langu Lini na wapi Nabii Issa (as) alisema kama yeye ni Mkristo? Ukinijibu nakupa hela ya kijio cha wiki nzimaa👂💖
Israel big up sabato iendelee
Nenda kagombane mzee ,unahamasisha ugonvi bola uende ukasaidie
Nyie mnaokashifu uislam hamjui kitu chochote kuhusu shari za mayahudi someni uislam mtajua habari za ban Israel
Waslam tunajua habari za yesu toka kabla hajazaliwa na ni nabii wa mungu hatumkatai kama nyie mnavyomkataa Muhammad SAW
Yes aliingia msikitini Au la hasha
Sule yaani ogopa sana mapokeo unachokisema kama unakijua
Mimi ni mkristo, ila nimekusikiza kwa makini na nimepata mengi ambayo sijayasikia toka kwa waislamu wengine. wewe unahubiri amani ambayo ndio mapenzi ya Baba Mungu kwa watu wote. Sifurahii kuona wamama na watoto wanakufa pale palestine sababu ya vita. vilevile sikufurahi vile wamama na watoto wadogo walipouliwa pale Israel na hamas.
Kwa kukusikiza, Bible na Quran zinaendana sana kwa mambo mengi, sana sana kwenye agano la kale la Biblia. Hivo nimesoma mengi kupitia kukusikiza, licha ya tofauti zetu kuhusu Yesu na Mohammed. ubarikiwe kwa kuwajulisha kizazi cha leo mengi.
Yesu na Muhammad ni wamoja
Jesus lived from 7 BC to 30 AD. Mohammad was born in 571 AD and died in 632 AD. So 541 years from Jesus’ physical death to Mohammad’s birth.
Sawa. Kama wasayuni ni kati ya mia tatu na mia Tano na wanatawala Dunia na niwaongo! Mbona wakweli wasitawale Dunia na ni mamilioni ya uma?
Kwa kupangilia maneno awajambo Duhuu,
Someni vitabu msihangaishe watu kwa kupotosha vitu vipo wazi sana
Vitabu vip wewe wakati ukweli una jieleza
Wayahudi walipewa ardhi hii na Mungu
Huo msikiti ni lazima ubomolewe.
Haiwezekani mjitwalie ardhi ya waisrael muifanye iwe milki yenu
Asalamu caleikum naomba namba ya Dr,zulle
Wewe ulizaliwahuko?
NO DAY MUSLIMS WILL LEAD THE WORLD NO AND NO BIG NO HUGE NO.
Mbona maelezo yanaejieleza vizuri kwamba ibrahim alitoka uru kwenda canaani et anaiita palestine
Kaka unadanganya
Suleiman alijenga Hekalu
Mayahudi walitaka kumuua yesu je sisi
Ilitabiliwa ikatimia vita vilishatabiliwa hakuna jipya yote yapo kwe kitabu cha Vitabu vya mungu
Waizrael wengine wapo hapa kwenye comment hawajapenda ukweli anaoelezea sule huo ndio ukweli mukitaka musitake
Hewala😂😂😂
Jamaa muuongo huyu kabla ya Yesu hakukua na Msikiti hata mmoja bali lilikua Hekalu nasiyo msikiti
Maneno msikiti ulikuwepo soma vizuri biblia sinagogi ni nini angalia nyuma ya biblia yako
@@hamisiramadhani3538 Jengo la kukutania la wayahudi ndugu pia biblia unayosema nisome Nyuma ile ilitafsriwa na Shehe wenu hapo Mombosa kwani wazungu walipo fika Africa Kiongozi huyo kidogo alikuwa anajua Kingreza akasaidia kutafsiri Biblia lakini hiyo siyo maana halisi ya Sinagogi na yapo mengi tu mbona Hamswali mule kama ni Misikiti usipotoshwe na hilo
Uislam umejengwa kwenye uongo,bila uongo hakuna uislam,😆😆😆
Mayahudi ni wauwaji hao
Wakolofi ni akina nani
Yote yaliyoandikwa ktk Biblia kuhusiana na Israel lazima yatimie. Yatatimizwa huku mkitazama.
Soma kitabu cha zephenia 4:2 na uendelee ndo ujue mambo
Maya udi hawana kipya yani hata kwa hoya hawaji wezi labda vita ndo wana weza
We sule homsikiti unaonyesha ulikuwepo kabla uislamu je ninani aliswalia mule kabla ya uislamu?
Kwaiyo nynyi uwisilama mumeunda nynyi wakati nanynyi mumeletew na walabu
Nyinyi wenye vitabu vyenu c mtu elimishe na nyinyi mekaa 2 soma vitabu soma vitabu vip
Mbona Nabii Issa anatajwa sana lakini wanamkashifu Yesu?
Acha uongo
Dr. Sule huna elimu unachoongea ni uongo toa historia si kosa lako ni shule huna.
Mwulizeni sheh aliyepelekwa utumwani misri ni mpalestina au mwisraeli kwa hiyo sheh usiwadanganye acha uongo we mdengeleko wenye kuumaliza ni mungu tu
Kama wewe unajua historia njoo usimulie basi kama kweli acha chuki
Huyu mbumbumbu ni Punguani pekee anayeweza kumwamini. Nonsense
Macho kodooo is rail angalia kwako
Kwani hapo ulipo hakuna msikiti mpaka ukodolee macho msikiti ambao upo israel
Sasa kama walikimbia kwe ye ardhi yao hamtaki warudi ,nyumbani ni nyumbani nikisafiri sio kwamba nimetupa ardhi yangu
Walikuwa wakiishi ndan ya nchi ya Palestine (kanaan), waisrael walikuwa hawana nchi, ila walikuwa wanaish ndan ya nchi ya kanaan Palestine, wao wakiwa kama watu wa Israel (yakobo)
Soma bible zanosi 1-6-7 Wafilisit watapigwa na Wa Israel mpaka wa malizike
Iziraheli ni Muji mutakatifu kwa wakirsto na waisilamu na wayaudi kwa ivyo lazima tuwogeh kwa sababu iyo diyo mboma la bibilia na &rani kwa manabii
Hapo mzee umedanganya, msikiti miaka 600 kabla ya kristo ulitokea wapi? Mfalme Suleimani hakujenga msikiti bali alijenga hekalu.
Hivi nikitoa hela nikanunua ardhi nikawa na hatimiliki kumbe haiwi ya kwangu? kumbe inaelndelea kuwa mali ya yule ambae ilikuwa yake kihistoria?
Shughuli pevu,umenunua ardhi na ndugu zako wamekuja wamenunua hapo Tabora lakini hamruhusiwi kusema Tabora ni kwenu.
Alienunua Nani ?
Sisi sote ni wamoja tukipigana ni sawa na kujipiga na kujidhoofisha. ivi kweli elimu zetu ndo zimeishia hapo!
Kumbe walinunua kumbe yakwao
@@yohanaibrahim4128sasa kama walinunua Ibrahim hao mayahudi wanahusikaje wakati ibrahim alikuwa na watoto wawili Ismail na Ishaq na pia aliowa mke mwengine ketura akazaa naye madyani kwahiyo wana wa israel ni sehemu tu ya wana wa ibrahim wapalestina pia ni watoto wa ibrahim kwa mjukuu wake Essau kaka wa yakobo ambaye uzao wake unavuruga mashariki ya kati..!
Hivi kweli unazaliwa duniani kuja kutetea msikiti???au msikiti una umuhimu gani????
Tupe nukuu ya vitabu ulivyotoa historia hio tafadhali shekhe.....
Kumbuka kuna mayaudi pia apo kushi
Sasa kama hiyo nchi walipewa na Mungu basi wapalestina hawana haki itabidi waondolewe
Mungu yupiii?
Ukisto na uislam ulio anza ni ukisto
Uislam ulikuja miaka 600 baada ya ukristo
Kwa hiyo waisrael ndio wenye haki ya pale
pale nikwa mze ibrahim baba yao we hutaki warud kwenye koloni lao
Nenda ukawasaidie pia muslam nikopyi auna dili
Zaburi 83
Quran inasema Nabii Muhammad ndio kaja na Uislam na imeandika Muislam wa kwanza bi Khadija na Quran kashushiwa Muhammad sasa huo Msikiti walikua wana swali kwa muongozo gani? maana Quran haikuwepo, Fafanua hapo Sule hii imekaaje.
Yesu,Mussa,Ibrahimu,Issihac na manabii wote ibada zao zilikuwa swala na kusujudu swala zao zilikuwa rakaa 2 tu na walikuwa wanaswali umo ktk misikiti hiyo ya kale Mohamed Mungu amempa swala 5 lakn ibada ni ile ile ya manabii wote waliotangulia Khadija alikuwa muislam wa kwanza kuslimu yaan watu wa mwanzo mwanzo kuukubali uislam kutoka kwa makuleishi wa maka neno uislam upo tangu Adam (a.s)na ndo mana Ibada zao zilikuwa kuswali na kusujudu lakaa 2 tu kwa siku tofauti na sasa ivi tumeamrishwa swala tano
Waislamu mtakuwa waongo Hadi lini!? Uislam umekuja duniani 610 AD tayari hekalu la mayahudi upo. Yaani mnaosema uongo Hadi mnachukiza
Kwahio mwenye haki pale ni nani? Embu tume elim
Uislamu ndio dini ya mwanzo tangia waumbwe binadamu ulianza tangu alipoumbwa Adam na bib Hawaaa isipokua haipendwi coz inazungmza ukweli na inakataza maasi na watu wanapenda maaovu, kwaio sie sio waongo waongo ni nyie makafiri
Uislamu ndio dini ya haki na itabakia kua hivyo wala sio dini ya warabu tu kila kabila wapo weusi na weupe
Hio mpya andika kitabu chako
Ila sisi watu weusi bwana, dah! Yaani Imani iliyo letwa na weupe watu wameibeba hata kama walidanganywa wao wanapaza sauti na kushupaza shingo kwa jambo lisilo wahusu, unaenda kutafuta historia ya waYahudi na waArabu na haikupi msaada wowote, imani bwana ni kitu Cha ajabu sana, yaani ukisikiliza kwa makini iwe kweli au iwe uongo lakini faida yake kwa mTanzania ni nini? Mtu ambaye mababu zako waliabudu chini ya miti na MUNGU akajibu leo huzungumzii hilo unazungumzia Ardhi na Imani ya watu wa mbali, na kuponda Imani zingine...mala eti Ibrahim si wa waKristo ni wa waIslamu😂😂,yaani hii Dunia dah!
Kwa hiyo we ulitaka tusijue we tangu lini mzungu akakuletea Dini yeye kaitoa wap na wakati hakukuwahi kutokea nabii Wala mtume mzungu Wala kutoka ulaya
Bil y shaka ww n kafiri mwenye chuki n uislam maan ungekuw una dini ungekuwa n akili
Ww inaonesha ata mungu hukubal kam yupo yaan unajion kam umejiumba
Asiejua maana haambiwi maana lkn sie waislamu tunaelewa anachokisema coz kila kitu kipo ktk Quran
Ahsant ustadhat
Na kwanini Waisrael isiwe haki yao huo msikiti?
Wakati wanauawa na hitira walikua katika inchi gani na unchi hiyo ilikuwa inaitwaje namba likuwa maeneo yapi.
Kachapia mengi tu pamoja na hilo.
Imamu kweli ni kiongozi wa maamuma..
Gaza wenyeji wake ni WAAVI sio Wapalestina/wafilisti.Mwanzo 10:14. Wapalestine/Wafilisti kwao ni Visiwa vya KAFTORI Yeremia 47:4.
Waavi ni kabila gani leo sheikh ?
Huyu jamaa hata kwa kumtazama hajui kusoma kitabu chake anacho kutumia kuabudu. Kajaa ujinga upumbavu na chuki
Kwani hao waisrael kwao ni wapi? Au waislam mnapenda chokochoko tu? Tokea dunia imeanza waisrael pale ni kwao
Utashangaa mtu kama huyu anafunikwa na sheik kipozeo
So wewe unapiga kampeni ya amani ama ni kuongeza vita,huna tofauti na hao wakora
Sas storia yako inamsaada kwa wat wagaza kelele mingi uongo mwingi msaada hamna
Hata wewe hujui kile unasoma waisiraeli wanamilki chombo gani Cha habari....
Tatizo sio watu weusi cc waislam mila yetu n moja Dunia nzima mzungu muhindi mwafrica ili mladi n Muislamu basi mila moja sio km nyie msiokuwa n dini
Hujui chochote,kuwa mila moja ndio dini? Una mila sawa na wahindi wewe?
Dr sulle mbona umeenda shule kwa nn unadanganya unawazaja watu ujinga,
Haongei ujinga anawaelimisha wajinga
Okoka tu mhubiri,ila ukishupaza shingo yako itavunjika.
17:3 yohana tafuta UZIMA WA MILELE USIJE KUFA KABLA HUJAUPATA UZIMA UTAKWENDA KUCHOMWA BURE
Kwanini na ninyi mlijenga msikiti sehemu palipokuwa na kanisa la suleiman?
😂😂Nabii suleiman alikuwa muislam na kanisa wapi na wapi
Aliyekuambiya suleiman ni mkristo ninani
Suleiman sio mkristo
Wakristo kwanza ni kina Nani? Hamtambuliwi hata na Hao mayahudi, walimuua mungu wenu wakamtundika msalabani. Sasa nyinyi mkiongelea hii mambo mnaongea kwa foundation gani?
Et mkristo waongea tuu tupe dalili umejazwa maneno ya akina mwamposa wajinga wenzenu et nabii mnyakyusa😂😂,subutu, Allah awaongoze muwe waislam
Raykyando wayahud na wapalestina n wa Ibrahim walipo teswa misri waliletwa na MUSSA TENA ISRAEL,kwa hio wote n wa IBRAHIM,
Ni kweli usemayo ila ikiwa hakuna mzungu aliye ishi utumwani kwa mujibu wa historia zoote ulimwenguni ni wazi wale ni wayahudi wa kiimani tu ila sio waizrael kizazi cha yakobo. Waweza kuwa muisrael ila usiwe muyahudi na waweza kuwa muyahudi na usiwe muisrael.
Kaa kimya wewe huwezi kushindana na wayahudi.
Ata ww ni mjinga usiye jitambua Huna dini .? Kila jambo na wakat wake .. lipe.nafas liwe linakuhusu au alikuhusu cha msingi na mbaya zaidi usilidhihaki au lulidharau au Acha kabisa kuyafatili je ww ni nani ?
Ila hawa maplofesa na ma dr wa kiislamu huwa nashindwa kabisa
Kikundi cha majambazi
Hajui lolote huyu hii ni vita ya Dini jihad, tell me Palestine ilikuwa wapi b4 60s then we argue
Kabla hawajapigwa na Adolf hitrer walikuwa wanaishi wapi?
Ulaya
@@Hussein-gx4qu sasa kwao waliporudi ni wapi
Kwani Adofl hitler aliwatoa wapi
This black people problem, jifunze historia ya kabila lako. 🤣🤣
Kwanini kujenga msikiti juu ya hekalu la Suleiman na kaburi la Yesu? Kuchukuliwa utumwani mara nyingi walirudi Israeli ikiwemo Palestine.
Kwanini wamiliki hivyo vitu
Rudi kwenye maandiko mkuu.bado ujasema
Tatizo aliye rusha ngumi amerudishiwa ngumi imemuzidi
Mh jmn kumbe mpo wingii mnaochukia uislamu, kwaio wao wanavowapiga kila siku je? Wew utakubli kuonewa kila siku or?
Yaani km vile mjinga !, Ardhi Siyo tatizo , qurani na mtume alisema ktk Aya nyingi kuwa ardhi ni ya waisrael. Je mtume hakuwaona wapelestina?
Mtume hana aya katika Quran, wala hana neno lolote lile ndani ya Qurani nenda kasome ufaham.
Ww una dini yako na sisi tuna din yetu
Uwisilam ndiy dini ya hak
Mjomba hv umesoma au limekuropoka tu?
We mpuuz umevimbilwa kitimoto na makande yaliochacha unasikiliza maandiko au unaongea tu kwa vile mdomo unao??
Kitabu cha tano ni kumbukumbu la torati
Kuumbe😅😅 ngoja nkasome chap
Alafu huyu shekhe muongo atar
Uongo mtupu
Acha uongo wewe palstina haipgani na izrael Gaza ndo inapigana na izrael alafu storia yako uwongo mwing
Ujuwi lolote
Ww hujui kitu unapotosha watu wapotoshe wajinga wasiojua