USHUHUDA wa kusisimua, Hakika inafurahisha, kIJANA Asimulia Bikira maria alivyomuonekanikia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • USHUHUDA wa kusisimua, Hakika inafurahisha, kIJANA Asimulia Bikira maria alivyomuonekanikia

КОМЕНТАРІ • 99

  • @antoniadavid1233
    @antoniadavid1233 2 роки тому +6

    Asante mama Maria Kwa upendo Kwa nchi yetu pia Kwa kaka yetu huyo naomba unipe Neema ya kusali rozali kila siku pia kuichangia radio yako 🙏🏼

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Рік тому

      Mama anaupendo gani kwa nchi sio mungu tena mbona mnapenda kukufuru waziwazi shida ni nini embu rudini darasani msome tena upya maandiko inakera sana kwa jinsi watu wanavyopindisha mafundisho

    • @user-it4uh7vu5c
      @user-it4uh7vu5c 7 місяців тому +1

      Acha hizo my friend,rosali ni sanamu,picha ya huyo mmuitaye bikira maria ni sanamu pia. Biblia inasema; (usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni au kilicho chini duniani, au kilicho majini chini ya nchi. Usivisujudie wala kuvitumikia) Hapo vipi?

  • @michaelkasogela370
    @michaelkasogela370 3 роки тому +9

    Mimi pia nina shuhuda nyingii sanaa........za mama bikira Maria

  • @phillipgabriel6102
    @phillipgabriel6102 Рік тому +1

    shuhuda nzuri mno mno Mungu akubariki.Ningepata no zako ningekushuhudia makuu zaidi ili usirudi nyuma.Mama Maria anatenda.Niko Arusha

  • @einhardmbuge7692
    @einhardmbuge7692 4 роки тому +15

    "Laiti mngejua ninavowapenda mngelia machozi ya furaha" asema Mama Wa Mungu Bikira Maria.
    Hakika Mama anatupenda mnooooooo

    • @laumasefi66
      @laumasefi66 2 роки тому

      Amina

    • @stevenmwenda3005
      @stevenmwenda3005 Рік тому

      Ivi mungu ana mama kwanini mnakufuru wazi wazi jamani kweli mungu anavumilia mengi sana ila siku inakuja baada ya kufufuliwa na kuhukumiwa ndo tutajuta kwa haya watu wanayoyafanya sasa

  • @winniewilliams2331
    @winniewilliams2331 8 місяців тому

    Wow 😊 I love the way u love mother Mary am impressed 😁🙏Mungu akubariki sana kaka 😊 ki ukwel mama Maria anasaidia sana ❤ hapa tunavyongea na mm kanitembelea nyumbani mwangu tena kanitendea makuu 😊😊😍

  • @evamringo2331
    @evamringo2331 3 роки тому +1

    Yesu Kristo ndio msaada wetu .. ameni

  • @meckrinamatembo2926
    @meckrinamatembo2926 3 роки тому +3

    Amina
    Mama anatupenda sana

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 роки тому +10

    Sio wewe tu ni kweli mama Maria anasaidia.mnooo mimi amenisaidia mnooo siwezi kueleza

  • @fadhilapretty5876
    @fadhilapretty5876 2 роки тому +1

    Najiskia kubarikiwa mno..🙏💕🙏💕

  • @battyomabene482
    @battyomabene482 3 роки тому +3

    Our father is in heaven will forgive all of us every sin and he can not Leave us alone God to bless through the name of the father and the son and the holy spirit together 🙏➕👍❤️💟👋😇💐🥰🤑Amen

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 4 роки тому +1

    Nimejifunza kitu barikiwa bro na familia yako

  • @vedastoyohana9075
    @vedastoyohana9075 3 роки тому

    Hongera sana Mungu azd kuwa nawew katika kulijenga kanisa

  • @beaab1248
    @beaab1248 4 роки тому +1

    Hongera sana Kaka... nimependa sana uamuzi wako wa kujenga Groto ya Mama, niombe na mm natamani kujenga Groto ya Mama..Natamani saan kuja kusali kwako.. Tupo pamoja rafiki wa Radio Maria🙏🏽🙏🏽

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 роки тому

    Aminaa barikiwa sana kaka mama Maria hakika ni mama wa upendo

  • @kwayayamt.mariaconsolatasu4773
    @kwayayamt.mariaconsolatasu4773 3 роки тому

    Kaka Mungu akubariki saana

  • @sophiealto
    @sophiealto 4 роки тому +2

    Amen

  • @fellytemba9064
    @fellytemba9064 Рік тому +1

    Mama yetu msaada wa daima utuuombee.

  • @aichaabdul5844
    @aichaabdul5844 4 роки тому

    Asante sana, mama kanisa aendelee kuwa nazi....huku nilipo nimebahatika kusali katika parokia tofauti tofauti na nilichokigundua baada ya misa kabla waumini hawajarudi majumbani kwao hupita katika kroto kumsalimia mama kanisa. Ndio maana ni karibu parokia zote huku zipo na kroto ya bikira Maria.

  • @d.a.t3383
    @d.a.t3383 2 роки тому

    Nimejifunza kitu Asante Mama Maria

  • @blandinakimbe8910
    @blandinakimbe8910 7 місяців тому

    Mama maria yupo nakwambia wewe unayebisha,taratibu,hatuachi kusali, Nampenda Bikira Maria,

  • @majaliwaphilipo8277
    @majaliwaphilipo8277 3 роки тому +1

    Asanteee

  • @zenosaki4328
    @zenosaki4328 2 роки тому

    Mungu ni mwema

  • @winfridahaule4364
    @winfridahaule4364 2 роки тому

    Barikiwa

  • @neemataris3273
    @neemataris3273 11 місяців тому

    Rozari kwangu ni kila kitu mama ana upendo sana

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 роки тому +3

    Niko USA najitahidi kuchangia kila mwezi naomba ndgu zngu tusiache kuchangia uinjilishaji nachingia kupitia neema msacky

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 4 роки тому +2

    Jamani wewe kaka mungu aibariki familia yako jamani

  • @davidfirst714
    @davidfirst714 4 місяці тому

    Naomba namba ya huyu brother tafadhali

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 4 роки тому +9

    Rozari siwezi kuielezea ila Nina ushuhuda nayo sana kiukweli rozari ukiiweka kama kimbilio haikuachi nilipata viza mbili USA na CANADA kupitia rozari na novena ya mt.Ritha na sikukutana na maswali wala vikwazo kuanzia ubalozini mpaka airport Mimi hivi vitu viwili ndio hirizi yangu

    • @deogratiaskomba8333
      @deogratiaskomba8333 4 роки тому +1

      Hongera sana

    • @Annethpius_234.
      @Annethpius_234. 4 роки тому +1

      Mama ni mwema sana kwetu daima hatuachi. Huko vizuri sana

    • @vedastoyohana9075
      @vedastoyohana9075 3 роки тому +2

      Ubarikiwe sana

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 3 роки тому +2

      Kinywa chako kinasema kuwa hirizi zako sasa ww ni wa Mungu au Shetani??? Tegemea damu na Jina la Yesu Mpendwa fungukaaaaaaaa

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 2 роки тому

      @@edwiniluther3263 wacha kucomplicate mambo namaanisha Kuna watu wanaamini hirizi za waganga sasa mimi ukiniuliza hirizi yangu ni nini nitakujibu rozari(hope you get my point)

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 4 роки тому +2

    Yaani Ni silaha kubwa I wish watu wote waisali mama anatuombea sana

  • @davisfidelis4149
    @davisfidelis4149 Рік тому

    Inasemekana katika uchaguzi huo uchaguzi huo wa papa mwaka 1978 aliyeshinda ni Rugambwa ila busara ikatumika,dunia haikuwa tayari kwa papa mweusi wakati huo,sijui leo!

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 роки тому

    Mama Maria muombezi wetu,utuombee

  • @dianamaugo3032
    @dianamaugo3032 3 роки тому +1

    Mama Bikira Maria anajibu

  • @nkombemaro7852
    @nkombemaro7852 4 роки тому

    🙏

  • @AstridaNdovanga-tz6vj
    @AstridaNdovanga-tz6vj Рік тому

    Kama hujui namna tunavosali tulia vinginevyo utamkosea mungu

  • @delmasonyancha9301
    @delmasonyancha9301 2 роки тому +1

    Mama Bikira Maria utuombee

  • @kastoriooko7157
    @kastoriooko7157 Рік тому

    Kuna njia ionelanayo ..........., bali njia ya mauti

  • @robistermwansepele5456
    @robistermwansepele5456 2 роки тому

    Hakika Mama Maria ni Tumain Letu

  • @anethchua4041
    @anethchua4041 4 роки тому

    Urikiwe sn

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 4 роки тому +3

    Bikira maria hatokei watu bana, wacha kutuzingua. Wacha kuomba sala kwa bikira Maria, omba kwa Yesu.

    • @fridabernadette6872
      @fridabernadette6872 3 роки тому +1

      Do yourself a favor and stop commenting what you don't know Freddo

    • @heriethkusigwa8469
      @heriethkusigwa8469 3 роки тому

      Imani yako haba inakutesa San Mungu akusaidie 🙏🙏

    • @kasianzulu3859
      @kasianzulu3859 3 роки тому

      Usichokijua ni bora ukanyamanza maana hujui ukiomba msaada ujulishwe unapewa ila kwa comment yako,ya jeuri hatakusaidia, JARIBU kuchunga ulimi wako uskupelekeshe kukutendesha dhambi nakupenda,badilika,ata kama huna iman hiyo, ahsante ndgu yangu katika KRISTO, AMINA

    • @alphoncetemu9859
      @alphoncetemu9859 3 роки тому

      Amina kweli kabisa nami pia ni mshirika mkuu saana wa kusali rozari, nampenda saana mama bikira Maria, ukiomba naye anakuombea

    • @lovemkalawa7965
      @lovemkalawa7965 2 роки тому

      Ni kweli rozari Ina nguvu sana hata Mimi ni mengi sana nimefankiwa ninachosubir saizi ni kufika nga ndoa TU naomba kw maombezi ya mama Bikira Maria na iwe hivyo

  • @revocatuskyaishozi1702
    @revocatuskyaishozi1702 4 роки тому

    mm nataka sana ila sijui sijui unanisaidia vp

  • @freddokuckelmann8502
    @freddokuckelmann8502 4 роки тому +3

    Badala ya kuomba kwa Yesu mnaomba kwa bikira Maria. Mtaamka lini usingizini nyie???? Haya onyesheni maandiko mliyoambiwa kuomba kwa bikira Maria

    • @erastom5277
      @erastom5277 3 роки тому

      Kuma ww kwani uliitwa imani yko fala nini

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 3 роки тому

      Ameeen Mungu azidi kuwainua waijue kweli!!!

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 3 роки тому

      Ombeni kwa jina langu Yesu Kasema ..sasa habari za kutoamini maandiko ni shida huu wote n Uvivu wa kutomtafuta Mungu kwa bidii kila kitu kutafuniwa kisha Amen

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 3 роки тому +1

      Mbingu sio mchezo Wapendwa tuamke na kuijua kweli itatuokoa !!Mungu azidi kulibariki neno lake ameeeeen

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 3 роки тому +1

      Hata Shetani ujifanya Malaika wa Nuru maandiko yamesema

  • @kapendalubowa534
    @kapendalubowa534 3 роки тому +3

    Mama Maria tumaini letu,umenitendea maajabu.