Tuna tatizo ktk jamii! Ktk kiwango hiki cha uongozi, tulistahili kuzungumzia tatizo la jamii badala ya kupigania heshima ya bunge na heshima ya wabunge bila kujali udhaifu wao na tabia zao. Makonda yuko sahihi. Ni njia ya kupambana na wasiojitambua ktk jamii.
Kama mnaona aibu kwa nini ulienda kufanya nje wakati una mke. Mbona hata mtoto ana haki ya kujua bana yake. Wewe unataka mtoto akuwe halafu akutafute nani anakukuzia huyo mtoto. Na kwa nini hukutumia kondomu kama ulikuwa hutaki mtoto tena ndo nyinyi ukiambiwa utumie kondomu unasema siyo tamu hainogi unataka nyama kwa nyama au unasema mimi niko salama. Kwani hamjui kondomu zinazuia mimba zisizo ma mpango?
Unaongeaga pumba tu chalii wakati mahenge Sasa hivi watu tunashindwa kurudi kwetu kisa Barbara. Heri kuchagua upinzani tu maana leo Kigoma Hii ya Zitto imekuwa tofauti Sana. Wewe unaombea bunge badala ya Julia na Barbara za mahenge Dawa iko jikoni kaka mkuu
Hivi unaenda kujipanua mpaka unazaa unategemea nini? Mwanaume kakutaka kwa muda tuu wewe unataka kuweka kambi kabisa yani sisi wanawake hatufikiriagi!!!
Kila mtoto ana haki ya kuita baba..makonda yuko vizuri kabisa...nyie mna chuki na makonda kwa sababu anafanya mambo kuwazidi.gere tu..mtu akinyimwa tendo la ndoa anashitaki mahakamani mbona hamsemagi udharirishwaji!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?
Mambo yanayofanywa na MAKONDA nakushangiliwa ni kwasababu yako vizuri. Kama ulimlaghai mwanamke ili utimize haja zako ndio ujue kwamba sasa kaja mkombozi wa walaghaiwa
Mimi ni mkenya lakini napenda uongozi wa Tanzania, Mungu amewajalia na viongozi bora,asante rais Nyerere kwa kuweka msingi mwema
🇹🇿 👉 PROFESSOR KABUDI amesema ukweli na Ukweli Mtupu. So Help me "GOD".🙏🙏🙏
👉PROFESSOR KABUDI HOYEEEEEEEE👈👍
Good speech from bright minister,kenya leaders should emulate this kind of leadership
nakupenda sana mwanasiasa nguli❤❤❤❤❤ unaakili sana
For the first time I second you prof
Kabidi mzee wangu nakupa salute
Bright mind, keep up,mr.waziri
Makonda kawapiga lazima mchukie
Nabii Suleiman ati alikuwa Mwanaharamu .Sisi Waislamu
Imani yetu Mitume ya Mungu wote wako safi.
Mamake Suleiman akiitwa Saba na Babake Nabii Dauud
Professor Kabudi Waziri Wa Katiba na Sheria Nimekuvulia kofia . Ni Kiboko yao.
Kuna watoto wengi wametelekezwa jaman tuache ushabiki na kukwepa majukumu ya kulea
Prof Kabudi, the next President of Tanzania
Uyu anafaa kabisa
Tuna tatizo ktk jamii! Ktk kiwango hiki cha uongozi, tulistahili kuzungumzia tatizo la jamii badala ya kupigania heshima ya bunge na heshima ya wabunge bila kujali udhaifu wao na tabia zao. Makonda yuko sahihi. Ni njia ya kupambana na wasiojitambua ktk jamii.
Next Tanzania president after mama suluhu
Duuu kamanda Kabudi ni kiboko miaka Mia huyu jamaa ni msomi mwenye faida
Nyie we nye we hamna baba Kumbe, mnanijua
Hawana baba? Duh! Wakikujaje duniani😂😂
Daaa hili ni jembe jingine. Heshima kwa usomi na uelewa wako mh. Kabudi
My next president haki...
Wanaharamu ni haraamu.
Pwani kula kwa pamoja ni fasheni.
Selemani hakuwa mtoto wa haraamu.
Mungu hapendi zinaa.
Nadhani we una matatizo ya kuchepuka tunataka mambo ya Bungeni mwako
Wizara ilikuwa wapi kushughulikia.Ujue kwamba wizara kunaulasimu.
Kwa asilimia kubwa wanawake kutoa. Mimba kutupa na kutelekeza watoto chanzo wanaume kutokwenda sawa na wapenzi wao
ASANTE SANAAA MUHESHIMIWA YOTE USEMAYOOO NI HAKI. UBALIKIWE BABA KWERI KABISA DAAAA
Kama mnaona aibu kwa nini ulienda kufanya nje wakati una mke. Mbona hata mtoto ana haki ya kujua bana yake. Wewe unataka mtoto akuwe halafu akutafute nani anakukuzia huyo mtoto. Na kwa nini hukutumia kondomu kama ulikuwa hutaki mtoto tena ndo nyinyi ukiambiwa utumie kondomu unasema siyo tamu hainogi unataka nyama kwa nyama au unasema mimi niko salama. Kwani hamjui kondomu zinazuia mimba zisizo ma mpango?
Watoto wa nje
Wale tulio pwmoja kwenye mara nying watoto wa nje ya ndoa hupewa baracka tujuane mapema
Wanaharamu wanawadhuru wazazi wao.
Haaaaaaaaaaaaaaaa waziri ummy utavunja meza
Kama ulitembea nje na unao watoto nje na umewasaliti,unalo
Kwan wabunge nyote mnachepukana??? Mbona mapovu jaman achen makonda afanye yake na prof Kabudi mie nmemuelewa sana.
Mmm wabunge aibu kubwa punguzeni zinaaa.
Kweli wamekuleta sehemu yako.tunaomba bunge liwe raiv.maana litakua tam
bonge la waziri
NAMKUBALI SANA KABUDI ILA KATIKA HILI NASIMAMA NA MAKONDA
Clip hii isambazwe kote mtandaoni ili Dai aisome na aione vizuri!!!
OK nikweli
We ni kichwa hatarii sana
Unaongeaga pumba tu chalii wakati mahenge Sasa hivi watu tunashindwa kurudi kwetu kisa Barbara.
Heri kuchagua upinzani tu maana leo Kigoma Hii ya Zitto imekuwa tofauti Sana.
Wewe unaombea bunge badala ya Julia na Barbara za mahenge
Dawa iko jikoni kaka mkuu
Hivi unaenda kujipanua mpaka unazaa unategemea nini? Mwanaume kakutaka kwa muda tuu wewe unataka kuweka kambi kabisa yani sisi wanawake hatufikiriagi!!!
Ha ha ha waambie wenzio.
Asha Ally-una akili sana
Akapime akili hili pengine hunajina LA kike jinsia ya kiume mbuzi wee udojielewa
Ndiyo mlivyo mambo yakiwagusa mnatafuta pakutokea.makonda chapa kazi.
Social fathers lazima watapinga tu
Huyu makonda IPO cku ataleta machafuko mbona anakurupuka
Wachepukaji wakubwa hawa on
Kwani kuwa kiongozi aliyetumikia serikali ndio kigezo Cha usafi ? Me can't take it .
Hivi kweli makonda alikosea kweli
Watoto ni mali ya taifa lazima walindwe. Hili Watanzania lazima tuungane sote kulinda watoto wa taifa hili.
Sio makonda anawataja niwanawake mliokua mnastalehe nao.
Zuluma. Ina mwisho wake
Udhalilishajigani????
Professor zimwi
Elimu yako ndogo Kama umefika chuo kikuu huwez sema hivo
Mwehu ww
Tumekua kuku au
Kila mtoto ana haki ya kuita baba..makonda yuko vizuri kabisa...nyie mna chuki na makonda kwa sababu anafanya mambo kuwazidi.gere tu..mtu akinyimwa tendo la ndoa anashitaki mahakamani mbona hamsemagi udharirishwaji!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?
Mkifanya mapenzi na wanawake na kuwapa mimba na kusepa
Wote mnamuoinga hiyo hoja mumewambia
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Piya na wewe ndungai unamwidho wako.
Palamagamba nimeanza kumuelewa.....
ndiyo Bonnie
Kwann uonge kingeleza bunge la tanzania
Mambo yanayofanywa na MAKONDA nakushangiliwa ni kwasababu yako vizuri. Kama ulimlaghai mwanamke ili utimize haja zako ndio ujue kwamba sasa kaja mkombozi wa walaghaiwa
Gabriel Mugabo Akili zko zinafanana na makonda kwanini waliweka ustawi wa jamii ?
JJ Kimaro wala haujakosea,kwasababu huwa hatuogopi maneno ya wavimba macho kama wewe
Kwani walilazimishwa au walijitokeza baada ya tangazo?
Ili lizee Kuna saa a aropokwa 🙄
achen uboya km ulizaaa ukasepa usitajwe
Kafiri Mkubwa unakufuru suleiman gani aliyekuwa mwana wa nje ya ndoa Mshenzi mkubwa
Kama hujazaa harami wewe basi umezalowa haramu
Makonda kasaidia wajane kwenye zoezi hilo
Mh Makonda chapa kazi
Alizaliwa nje yuko sahihi
Hhhh
Mpuuzi tu huyu kuandika kafiri unamaanisha unaudini ambao ni upuuzi
Watoto wa nje
Udhalilishajigani????