african revolution paulina

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 98

  • @twallibkassim6023
    @twallibkassim6023 2 місяці тому +1

    2024 hit like...nakumbuka oldies tu hapa

  • @issamangury7939
    @issamangury7939 Рік тому +3

    Badi Bakule Yuko wapi simsikii kabisa naomba kujulishwa aliko Badi bakule

  • @LeonardJames-ee6nl
    @LeonardJames-ee6nl 4 місяці тому +1

    Badi bakule mnyama,, Mwinjuma fundi,, &Amina ngaluma.🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 місяці тому

      💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @unclesaleh3257
    @unclesaleh3257 3 роки тому +5

    Hizi ndio zilikuwa nyimbo hazichuji miaka 300, Asante Sana Badi Bakule.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 2 роки тому +1

    Doh....nimemtafuta sana BADI BAKULE Hatimae nimempata....big up..!..jamaa Lina VOCAL noma..!

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Рік тому +1

    Hizi nyimbo Melody imekaa mahala pake hapa ndo unaski maan ya muzik vyomb unavskia saf san2023❤

  • @hamisikaisi461
    @hamisikaisi461 4 роки тому +5

    Daaaah hiii inanikumbusha bahama mama kimara miaka ioooo ..duu african revolution ndio basi tena..

    • @twahachano2559
      @twahachano2559 4 роки тому +1

      hamisi.kais baama mama ilikuwa mpango mzima.ukikosa.kwenda imekula.kwako

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 4 роки тому

      Ndiooo nyumbaniii ukooo

    • @maxlupapa4554
      @maxlupapa4554 2 роки тому

      Dah hatar sn bahama mama club

  • @richardcharle866
    @richardcharle866 4 роки тому +21

    Hii ni story ya kweli kabisa kama watu walikuwa awajui ilimtokea sekedia mpiga kinanda wa hii band alikuwa anadem kipindi icho chule ya jangwani kulikuwa na watoto kinoma sasa jamaa alikuwa na Dem nae pale akamsaliti ndo wakamtungia nyimbo uyo msichana ni story ndefu kidgo

  • @samedward4211
    @samedward4211 2 роки тому +2

    Ati"kanambia mwenyewe Tia mkono upapase utachokikuta size yako" ha haaaa.. Much love kwenu

  • @h.jrugashaula1296
    @h.jrugashaula1296 3 роки тому +2

    Bad Bakule(Jongoo la Mjini) ni hatari sana

  • @naswade3624
    @naswade3624 4 роки тому +5

    Hizi ni sauti za dhahabu kwakweli... Badibakule, Rashid Mwenzingo R.I.P na Mwinjuma Muumini kwa hakika kibao hiki walikitendea haki vilivyo nakumbuka mbali mnoo

    • @omarisukari7760
      @omarisukari7760 4 роки тому +1

      Mzee kwani Rashid Mwezingo amefariki??

    • @kwabikagwe8203
      @kwabikagwe8203 4 роки тому +1

      Rashid mwenzingo yupo,anafanya Nazi na family band pale mza bundasliga.Ila kiukweli hawa jamaa wanajua,Nazi zao zoote in tamu

    • @engyhy1985
      @engyhy1985 Рік тому +1

      Mdau, kwa nini useme RIP? Nijuavyo dada yetu Halima Ngalume ndiye katangulia pekee

    • @naswade3624
      @naswade3624 Рік тому

      @@engyhy1985 typing error tu ila nilimkusudia Amina

  • @mwanaidmohamed5653
    @mwanaidmohamed5653 Рік тому

    Sesesesemeee! sauti hpo ya bakule hatari tupu, mwinjma tiamkono upapase du!

  • @godfreymlimbila2770
    @godfreymlimbila2770 3 роки тому +1

    Ndg nazitafta sana nyimbo za zamani kama hizi aise

  • @twahachano2559
    @twahachano2559 4 роки тому

    jogoo lashamba.badi.bakule. kweli kila.jambo nawakati.mziki.mzuri nyimbo.sauti nzuri

  • @faustindamian2370
    @faustindamian2370 Рік тому

    Naipenda hiii nyimbo sisi wahenga raha sana

  • @ramadhaniyusuph9058
    @ramadhaniyusuph9058 3 роки тому +2

    Hakika nyimbo za zamani zilikuwa nzuli sana

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 2 роки тому

    Petro alimkana bwana yesu ×3 lakini Petro alisamehewa! Shikamooo mapenzi!

  • @swaumuramadhan9982
    @swaumuramadhan9982 Рік тому +1

    Long time enzi hizo nipo Biharamulo jaman maisha huenda mbio

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 Рік тому

      Dah! Kipindi hicho Mambo yalikuwa burudani2003 bimlo redio station asa redio one kuikamata mpaka upande kuanzia bomani! Au mpaka hali ya hewa!

  • @Mwana-d1u
    @Mwana-d1u Місяць тому

    Samehe 7×70 niwanaume wachache sana wenye kukubali makosa

  • @user-if5ho9gv9u
    @user-if5ho9gv9u 5 місяців тому

    Maisha yanakimbia mnoo

  • @briansinkara7223
    @briansinkara7223 4 роки тому +5

    safi sana,,weka video zote za zamani ,,maana mziki mzuri ulkuwa zaman sio sasa

    • @neno2515
      @neno2515  4 роки тому +3

      poa kaka ntaziweka

  • @kqmizajoseph1611
    @kqmizajoseph1611 4 роки тому +1

    Nyimbo hii acha tyu asee inanikumbusha mbal sana

  • @Kamwela47
    @Kamwela47 4 роки тому +3

    Vzr sana endelea hvyo kuweka video za zamani. Tena naomba uweke na Band flani ya kitambo ingawa jina silifaham ila waliimba nyimbo km Shangingi, na mbio za sakafuni huishia ukingoni.

  • @majaliwambambila2063
    @majaliwambambila2063 4 місяці тому

    Sauti ya Badi Bakule😊😊😊

  • @davidsonibrahim9185
    @davidsonibrahim9185 3 роки тому +4

    2021's gonga like tujuane legendaries

  • @righitkileo
    @righitkileo 9 місяців тому

    ❤❤Badi Bakule mwamba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-ou1ez4cz2x
    @user-ou1ez4cz2x Рік тому

    Yani dah!! Hiinyimbo naipendaga ballaaa!❤❤❤

  • @paulinaemanueli6881
    @paulinaemanueli6881 4 місяці тому +1

    hahahahahahaha 🤣 hatimyeeee my name is here PAULINA

  • @mwanaidmohamed5653
    @mwanaidmohamed5653 Рік тому

    Nakili kosa naomba mnisamehe da petro huyo

  • @louiskayange1476
    @louiskayange1476 4 роки тому +3

    Upload album yote kaka

  • @abdallaabdulrahman8319
    @abdallaabdulrahman8319 4 роки тому +1

    Hivi Badi Bakule upo wapi!? Dah! Umepotea sana kaka

  • @ExcitedButterfly-ht3lw
    @ExcitedButterfly-ht3lw 2 місяці тому

    Badi bakule jogoo la mjini

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 5 місяців тому

    Nakumbuka nilikuwa ziwa rukwa navua samaki enzi hizo miaka hiyo

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 4 роки тому +3

    Muumin noma....

  • @PaulMsema
    @PaulMsema 8 місяців тому

    Hizi ndio nyimbo za watu wenye akili Pana,maana ujumbe unaongea uelewa na maarifa , l wish u all merry Christmas and new year 2024

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому +2

    Jogoo la mjini katika ubora wake!!

  • @jasmineally3360
    @jasmineally3360 Рік тому

    Aisee kitambo xn,hv yuko wp Badi Bakule ck hiz,vp bado anaimba?

  • @WillyJohn-br8bu
    @WillyJohn-br8bu Рік тому

    Naomba wimbo mayamaya

    • @OmaryShadrack
      @OmaryShadrack 5 днів тому

      Mm mwenyewe nautafuta sana ukiupata nitumie

  • @mrishoomary7941
    @mrishoomary7941 Рік тому

    Jamani mmenikumbusha mbali

  • @paulmichael6100
    @paulmichael6100 2 роки тому +1

    Amazing music

  • @yahayamagota6708
    @yahayamagota6708 Місяць тому

    Huu ndo ulikuwa mziki

  • @swaumuramadhan9982
    @swaumuramadhan9982 Рік тому

    Iga ufeeeee

  • @mwanaidmohamed5653
    @mwanaidmohamed5653 Рік тому

    Ya kale ni hatari

  • @petermchami1164
    @petermchami1164 3 роки тому +1

    Bend bora waimbaji bora hakika vilikuwa vichwa hivi

  • @mwanaidmohamed5653
    @mwanaidmohamed5653 Рік тому

    Na dhahabu

  • @ZiadaSaddi
    @ZiadaSaddi Місяць тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @aminamohamed9427
    @aminamohamed9427 2 роки тому

    Badi Bakule 🥀

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 2 роки тому

    Bad bakule jogoo la mjini na mwinjuma muumin wako wap hawa viumbe

  • @richardsamwel9183
    @richardsamwel9183 3 роки тому

    still 2021

  • @emmajmmasuke1497
    @emmajmmasuke1497 2 роки тому

    2022 still on top

  • @henryyona3575
    @henryyona3575 2 роки тому

    The nith

  • @omarmbuyu3929
    @omarmbuyu3929 4 роки тому +1

    Mziki mzuriiiiii

  • @mwanaidmohamed5653
    @mwanaidmohamed5653 Рік тому

    Sekedia sekedia sekedia

  • @salumaron3469
    @salumaron3469 3 роки тому

    Inakumbusha niko darasa la 4 mwaka 2000

  • @SaidiAbdallah-b6n
    @SaidiAbdallah-b6n 25 днів тому

    Kocha wa dunia hakuna zaid yake

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 3 роки тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @NasebMilik
    @NasebMilik Рік тому

    Endu sekedia

  • @johnmmbwanga5251
    @johnmmbwanga5251 3 роки тому

    Haha sawaa

  • @chrisantedwardndigile6954
    @chrisantedwardndigile6954 3 роки тому

    Jamani Paulina inanikoshaga

  • @mohamedmakwega4594
    @mohamedmakwega4594 2 роки тому

    We acha tu

  • @muddyville
    @muddyville 4 роки тому

    Badi Bakule Shaban....

  • @chrisantedwardndigile6954
    @chrisantedwardndigile6954 3 роки тому

    Yaani humu huwa kunadem huwa namkubali toka enziizo mpaka reo nikiangalia hii ngoma huwa namwangalia yeyet

  • @burudanitv874
    @burudanitv874 4 роки тому +1

    Kwa kwer watuwaliimba sana na awakupta mafanikio

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 3 роки тому

    R.I.P. AMINA NGALUMA.

  • @methodngosha1814
    @methodngosha1814 5 місяців тому

    Hapo kulikuwa na Hii Double M, Upande wa pili unakuta kuna Twanga Pepeta, TOT plus mji ulikuwa wa moto sana kizazi hiki
    In the meantime BongoFlavor ilikuwa inajitafuta snaa

  • @sadickwaziri3182
    @sadickwaziri3182 3 роки тому +1

    Kipindi hicho hakuna kolona wala ukimwi sio sasa kweli dunia imekwisha

    • @davidsonibrahim9185
      @davidsonibrahim9185 3 роки тому +1

      Weee huo ukimwi kipindi hiki mgonjwa akikuangalia umeupata🤪

    • @oscarmrosso1067
      @oscarmrosso1067 2 роки тому

      Acha tu

    • @flaviadeluce9099
      @flaviadeluce9099 5 місяців тому

      Wakati huo ukimwi ni kama wote, hadi ukawa unaitwa kimeta, umeme, na majina kibao. Mda huu pia tulikuwa tunadharau hizi nyimbo, kwamba za zamani ni bora kuliko hizi. Hivi sasa naona watu wale wale tunaziongelea vingine kabisa.😂

  • @paulinaemanueli6881
    @paulinaemanueli6881 4 місяці тому

    hahahahahahaha 🤣 hatimyeeee my name is here PAULINA