Hii ni story ya kweli kabisa kama watu walikuwa awajui ilimtokea sekedia mpiga kinanda wa hii band alikuwa anadem kipindi icho chule ya jangwani kulikuwa na watoto kinoma sasa jamaa alikuwa na Dem nae pale akamsaliti ndo wakamtungia nyimbo uyo msichana ni story ndefu kidgo
Hizi ni sauti za dhahabu kwakweli... Badibakule, Rashid Mwenzingo R.I.P na Mwinjuma Muumini kwa hakika kibao hiki walikitendea haki vilivyo nakumbuka mbali mnoo
Vzr sana endelea hvyo kuweka video za zamani. Tena naomba uweke na Band flani ya kitambo ingawa jina silifaham ila waliimba nyimbo km Shangingi, na mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Hapo kulikuwa na Hii Double M, Upande wa pili unakuta kuna Twanga Pepeta, TOT plus mji ulikuwa wa moto sana kizazi hiki In the meantime BongoFlavor ilikuwa inajitafuta snaa
Wakati huo ukimwi ni kama wote, hadi ukawa unaitwa kimeta, umeme, na majina kibao. Mda huu pia tulikuwa tunadharau hizi nyimbo, kwamba za zamani ni bora kuliko hizi. Hivi sasa naona watu wale wale tunaziongelea vingine kabisa.😂
2024 hit like...nakumbuka oldies tu hapa
Badi Bakule Yuko wapi simsikii kabisa naomba kujulishwa aliko Badi bakule
Badi bakule mnyama,, Mwinjuma fundi,, &Amina ngaluma.🔥🔥🔥🔥🔥🔥
💥💥💥💥💥💥💥💥
Hizi ndio zilikuwa nyimbo hazichuji miaka 300, Asante Sana Badi Bakule.
Doh....nimemtafuta sana BADI BAKULE Hatimae nimempata....big up..!..jamaa Lina VOCAL noma..!
Hizi nyimbo Melody imekaa mahala pake hapa ndo unaski maan ya muzik vyomb unavskia saf san2023❤
Daaaah hiii inanikumbusha bahama mama kimara miaka ioooo ..duu african revolution ndio basi tena..
hamisi.kais baama mama ilikuwa mpango mzima.ukikosa.kwenda imekula.kwako
Ndiooo nyumbaniii ukooo
Dah hatar sn bahama mama club
Hii ni story ya kweli kabisa kama watu walikuwa awajui ilimtokea sekedia mpiga kinanda wa hii band alikuwa anadem kipindi icho chule ya jangwani kulikuwa na watoto kinoma sasa jamaa alikuwa na Dem nae pale akamsaliti ndo wakamtungia nyimbo uyo msichana ni story ndefu kidgo
Aahahaha na jina ni Paulina au walibadri jina tu
Alikua na demu mwanafunzi. Shenzi yake
My lovely dear oooooh paulina wa jangwani alimtesa jaman
@@geofreysolomon5954😂😂😂😂😂
@@geofreysolomon5954shenzi zake😂😂😂
Ati"kanambia mwenyewe Tia mkono upapase utachokikuta size yako" ha haaaa.. Much love kwenu
Bad Bakule(Jongoo la Mjini) ni hatari sana
Hizi ni sauti za dhahabu kwakweli... Badibakule, Rashid Mwenzingo R.I.P na Mwinjuma Muumini kwa hakika kibao hiki walikitendea haki vilivyo nakumbuka mbali mnoo
Mzee kwani Rashid Mwezingo amefariki??
Rashid mwenzingo yupo,anafanya Nazi na family band pale mza bundasliga.Ila kiukweli hawa jamaa wanajua,Nazi zao zoote in tamu
Mdau, kwa nini useme RIP? Nijuavyo dada yetu Halima Ngalume ndiye katangulia pekee
@@engyhy1985 typing error tu ila nilimkusudia Amina
Sesesesemeee! sauti hpo ya bakule hatari tupu, mwinjma tiamkono upapase du!
Ndg nazitafta sana nyimbo za zamani kama hizi aise
jogoo lashamba.badi.bakule. kweli kila.jambo nawakati.mziki.mzuri nyimbo.sauti nzuri
Naipenda hiii nyimbo sisi wahenga raha sana
Hakika nyimbo za zamani zilikuwa nzuli sana
Petro alimkana bwana yesu ×3 lakini Petro alisamehewa! Shikamooo mapenzi!
Long time enzi hizo nipo Biharamulo jaman maisha huenda mbio
Dah! Kipindi hicho Mambo yalikuwa burudani2003 bimlo redio station asa redio one kuikamata mpaka upande kuanzia bomani! Au mpaka hali ya hewa!
Samehe 7×70 niwanaume wachache sana wenye kukubali makosa
Maisha yanakimbia mnoo
safi sana,,weka video zote za zamani ,,maana mziki mzuri ulkuwa zaman sio sasa
poa kaka ntaziweka
Nyimbo hii acha tyu asee inanikumbusha mbal sana
Vzr sana endelea hvyo kuweka video za zamani. Tena naomba uweke na Band flani ya kitambo ingawa jina silifaham ila waliimba nyimbo km Shangingi, na mbio za sakafuni huishia ukingoni.
mbio za sakafuni.waliimba bendi.ya muungano imetulia.sana ile nyimbo
Hongereni sanaaaaaaa
Mbio za sakafuni wameimba muungano bendi
Sauti ya Badi Bakule😊😊😊
2021's gonga like tujuane legendaries
❤❤Badi Bakule mwamba❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yani dah!! Hiinyimbo naipendaga ballaaa!❤❤❤
hahahahahahaha 🤣 hatimyeeee my name is here PAULINA
Nakili kosa naomba mnisamehe da petro huyo
Upload album yote kaka
Hivi Badi Bakule upo wapi!? Dah! Umepotea sana kaka
Jogoo la mjini
Hatariii sana ni fire
Badi bakule jogoo la mjini
Nakumbuka nilikuwa ziwa rukwa navua samaki enzi hizo miaka hiyo
Muumin noma....
Hizi ndio nyimbo za watu wenye akili Pana,maana ujumbe unaongea uelewa na maarifa , l wish u all merry Christmas and new year 2024
Jogoo la mjini katika ubora wake!!
Aisee kitambo xn,hv yuko wp Badi Bakule ck hiz,vp bado anaimba?
Naomba wimbo mayamaya
Mm mwenyewe nautafuta sana ukiupata nitumie
Jamani mmenikumbusha mbali
Amazing music
Huu ndo ulikuwa mziki
Iga ufeeeee
Ya kale ni hatari
Bend bora waimbaji bora hakika vilikuwa vichwa hivi
Na dhahabu
❤❤❤❤❤❤
Badi Bakule 🥀
Bad bakule jogoo la mjini na mwinjuma muumin wako wap hawa viumbe
still 2021
2022 still on top
The nith
Mziki mzuriiiiii
Sekedia sekedia sekedia
Inakumbusha niko darasa la 4 mwaka 2000
Kocha wa dunia hakuna zaid yake
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Endu sekedia
Andrew Sekedia
Haha sawaa
Jamani Paulina inanikoshaga
We acha tu
Badi Bakule Shaban....
Yaani humu huwa kunadem huwa namkubali toka enziizo mpaka reo nikiangalia hii ngoma huwa namwangalia yeyet
Amina ngaluma au sio?
😂😂😂
Kwa kwer watuwaliimba sana na awakupta mafanikio
Wewe acha tu..
Yaani bastu
R.I.P. AMINA NGALUMA.
Hapo kulikuwa na Hii Double M, Upande wa pili unakuta kuna Twanga Pepeta, TOT plus mji ulikuwa wa moto sana kizazi hiki
In the meantime BongoFlavor ilikuwa inajitafuta snaa
Kipindi hicho hakuna kolona wala ukimwi sio sasa kweli dunia imekwisha
Weee huo ukimwi kipindi hiki mgonjwa akikuangalia umeupata🤪
Acha tu
Wakati huo ukimwi ni kama wote, hadi ukawa unaitwa kimeta, umeme, na majina kibao. Mda huu pia tulikuwa tunadharau hizi nyimbo, kwamba za zamani ni bora kuliko hizi. Hivi sasa naona watu wale wale tunaziongelea vingine kabisa.😂
hahahahahahaha 🤣 hatimyeeee my name is here PAULINA