Akhy baaraka Allaahu fiik. Ila da'wah ya namna hii sisi hatuihitaji, nawala da'wah salafiyyah haiko hivi. Sasa nyinyi alie kupeni kibali cha kuwatoa wana Sunnah ndani ya Sunnah na Manhaji ya Salafi ni nani?
Huyu Muhammad haijui dawatu assalafiyah, angeijuwa dawa hii iliyobarikiwa asingefanya utetezi kuwatetea watu walopinda na walionje na manhaj ya assalaf kama jamaatul tabliigh, watu wa bibilia na wngn na wote anawatetea, hatak wasemwe!
Ndugu yangu uislamu una mambo tele ya kujadiliwa sio kila siku kulumbana na Muhammad Bachu hii ni aibu kila siku Bachu Bachu uislamu gani inaonekana mna ilimu kubwa ila ufahamu wenu juu ya uislamu ukawa ni mtihani.
@@mahamoudduchi3318 Kumbe hujaifaham daa'wa salafiya ikoje. Sio kila siku bachu bachu bali mtu akipinda sharti awekwe sawa Pili markaz zote za salafiya ni darsa tu zinazomeshwa ww ndo hufuatilii ndo maana unaona kila siku bachu bachu Kwa msaada zaidi pakua app ya firqatunnaajia ndo utayakuta yote humo:- -Darsa -khutba -Mihadhara -Nadwa -Rudduud -Midahalo ya kielimu Na mengineyo mengi.
Sijuwi ni nani atakuwa ni mwenye kujitahidi akapatia ili alipwe hizo mara mbili, na ni nani aliyejitahidi na kulipwa angalau hio mara moja kwa kujitahidi kwake? Naona fitna tu baina ya waislamu wenyewe kwa wenyewe. Hii ni hatari sana kwa hakika na nikuombeni mutafakkari sana na sio kujiona eti mm nitakuwa dhalili nikikubali kushindwa kutkna na ukweli utakapo dhihiri.
Wewe ni mbaguzi. Na ubaguzi ni uovu na uvundo. Mnyamwezi ni bora kwa Allah na apendeza zaidi kwa Allah akiwa mchamungu. Na sis wazanzibari ni punda na mzoga tu ikiwa si wachamungu mbele ya Allah. Mtake msamaha Allah akhy. Sisi wazanzibari kazi yetu kusifu tuu Hatutaki kusoma na tunapenda kuwakweza watu. Usidharau watu kwa anapotokea. { یَـٰۤأَیُّهَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرࣲ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبࣰا وَقَبَاۤىِٕلَ لِتَعَارَفُوۤا۟ۚ إِنَّ أَكۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَىٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِیمٌ خَبِیرࣱ } [Surah Al-Hujurât: 13] Tumche Allah anapokosolewa mtu wewe tafuta haqi simamia dalili, fanyia kazi lkn unaenda kufanya ubaguzi wa wazi kabisa kwa mapenzi yako tu juu ya mtu. Nimekushusha thamani akhy.
Eeeh kijana utakuja dhurika kulumbana na maulamaa wacha utoto wa kubishana Elimu hio iwe ww ukosawa umesoma wapi wakat Wanazuon waliopita walisoma mwanzo wakat hata huyo baba yk hajazaliwa walikuwa hawajui kusoma uje kuwa ww ndio mwenye Elimu unauparadanya Uislamu unadhani Allah atakulipa nn muogope Allah ww ulikuwa kuwapiga vita makafir sio Waislamu wezio,hemu jifunze vitabu miongo mwavitabu nakupa kitabu hichi, Bi dayat hidaya utajua jinsi ya kuitumia elimu yk iweje ktk kuisha ktk dunia ili kutaka radhi za Allah, jifunze kusoma historia za wachamungu hawa kuwa na Ujinga km huo,Mohammed Nassor bachu,,Maulamaa wote wanakutaja hujui km Laana hii itakushukia uje tafute nn kimekudhuru rudi chuon ukasome bado huja fudhu Ndugu yetu Ogopa dunia muongope Allah
Mawahabi shikamoo
Moto umewaka mawahabi wameanza kupomdana wao kwa wao
Kweli Muhammad bachu arudi kusoma tu siyo kukosea huko wazi wazi
Nyie ni masalaf au wapumbavu
Waisalamu tunakwenda wapi ya jamaa
Kwa mambo haya
Mmeaza kusengenyana letinidalili mtume kafanya hivyo
Hivi mwenyekiti na katibu mkuu wa salafi tz ni nani?
Haya mambo mume yakoroga wenyewe sasa kwann sasaivi mulalamike?
Akhy baaraka Allaahu fiik.
Ila da'wah ya namna hii sisi hatuihitaji, nawala da'wah salafiyyah haiko hivi.
Sasa nyinyi alie kupeni kibali cha kuwatoa wana Sunnah ndani ya Sunnah na Manhaji ya Salafi ni nani?
nendeni vijijini wamasai wanaimbishwa ndowaingia kwenywe uisilimu muko mjini mnagombana tu
Huyu Muhammad haijui dawatu assalafiyah, angeijuwa dawa hii iliyobarikiwa asingefanya utetezi kuwatetea watu walopinda na walionje na manhaj ya assalaf kama jamaatul tabliigh, watu wa bibilia na wngn na wote anawatetea, hatak wasemwe!
Ndugu yangu uislamu una mambo tele ya kujadiliwa sio kila siku kulumbana na Muhammad Bachu hii ni aibu kila siku Bachu Bachu uislamu gani inaonekana mna ilimu kubwa ila ufahamu wenu juu ya uislamu ukawa ni mtihani.
@@mahamoudduchi3318
Kumbe hujaifaham daa'wa salafiya ikoje.
Sio kila siku bachu bachu bali mtu akipinda sharti awekwe sawa
Pili markaz zote za salafiya ni darsa tu zinazomeshwa ww ndo hufuatilii ndo maana unaona kila siku bachu bachu
Kwa msaada zaidi pakua app ya firqatunnaajia ndo utayakuta yote humo:-
-Darsa
-khutba
-Mihadhara
-Nadwa
-Rudduud
-Midahalo ya kielimu
Na mengineyo mengi.
Sijuwi ni nani atakuwa ni mwenye kujitahidi akapatia ili alipwe hizo mara mbili, na ni nani aliyejitahidi na kulipwa angalau hio mara moja kwa kujitahidi kwake?
Naona fitna tu baina ya waislamu wenyewe kwa wenyewe. Hii ni hatari sana kwa hakika na nikuombeni mutafakkari sana na sio kujiona eti mm nitakuwa dhalili nikikubali kushindwa kutkna na ukweli utakapo dhihiri.
nyinyi hamna lolote katafute nyanya uislam si unyamwezi we ni mnyamwezi lugha huiwezi mchezee bachu akufundishe
Wewe ni mbaguzi. Na ubaguzi ni uovu na uvundo.
Mnyamwezi ni bora kwa Allah na apendeza zaidi kwa Allah akiwa mchamungu. Na sis wazanzibari ni punda na mzoga tu ikiwa si wachamungu mbele ya Allah. Mtake msamaha Allah akhy. Sisi wazanzibari kazi yetu kusifu tuu
Hatutaki kusoma na tunapenda kuwakweza watu.
Usidharau watu kwa anapotokea.
{ یَـٰۤأَیُّهَا ٱلنَّاسُ إِنَّا خَلَقۡنَـٰكُم مِّن ذَكَرࣲ وَأُنثَىٰ وَجَعَلۡنَـٰكُمۡ شُعُوبࣰا وَقَبَاۤىِٕلَ لِتَعَارَفُوۤا۟ۚ إِنَّ أَكۡرَمَكُمۡ عِندَ ٱللَّهِ أَتۡقَىٰكُمۡۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِیمٌ خَبِیرࣱ }
[Surah Al-Hujurât: 13]
Tumche Allah anapokosolewa mtu wewe tafuta haqi simamia dalili, fanyia kazi lkn unaenda kufanya ubaguzi wa wazi kabisa kwa mapenzi yako tu juu ya mtu.
Nimekushusha thamani akhy.
Sasa huoni kama huo na wewe ni usheitwani unaongea Nini hapooo
Eeeh kijana utakuja dhurika kulumbana na maulamaa wacha utoto wa kubishana Elimu hio iwe ww ukosawa umesoma wapi wakat Wanazuon waliopita walisoma mwanzo wakat hata huyo baba yk hajazaliwa walikuwa hawajui kusoma uje kuwa ww ndio mwenye Elimu unauparadanya Uislamu unadhani Allah atakulipa nn muogope Allah ww ulikuwa kuwapiga vita makafir sio Waislamu wezio,hemu jifunze vitabu miongo mwavitabu nakupa kitabu hichi, Bi dayat hidaya utajua jinsi ya kuitumia elimu yk iweje ktk kuisha ktk dunia ili kutaka radhi za Allah, jifunze kusoma historia za wachamungu hawa kuwa na Ujinga km huo,Mohammed Nassor bachu,,Maulamaa wote wanakutaja hujui km Laana hii itakushukia uje tafute nn kimekudhuru rudi chuon ukasome bado huja fudhu Ndugu yetu Ogopa dunia muongope Allah