Babu tale unacheza vzr yaan unaenda sawa na ngoma na wimbo ila pole Sana najarbu kuvaa kiatu chako lakin hakinitosh😭😭😭😭hata huko kucheza wajikaza tuuu Kwan huko namaumivu makali sana
Ukifiwa kuna kitu kinakujia cha kukumbuka uliowazika piah ivyo apoh uenda ata taswr ya br ake Abdul bonge imemjia (kikubwa kuomba mwisho mwema ty ) @notsharoboi IG
Ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo, imani yake ni kubwa kwa Mungu hata ingawa ana uchungu mkubwa wa kuondokewa na mwenzi wake, Mungu ampe faraja siku zote aendelee na majukumu yake na kutunza watoto kwa baraka tele🙏
@@yunaisamir2099 hili la kukosoa mbona ni kawaida maana wabongo kwa kujifanya kujua kila kila kitu sijui anadhani wote wanaoshiriki msiba wa muislamu wote ni waislamu? Au wote wameenda madrasa hapa ni kumpa sapoti na faraja mfiwa au mlitaka awe peke yake?
Kwan we elim yako mpka drasa la ngap ndugu maana hta drasa la nne anajua wakat uliopo ulio pita na kadhalika wanasema alie kuwa kwamaana yaan alisha kufa kwahyo yupo ktk wakat ulio pita
Babu tale unacheza vzr yaan unaenda sawa na ngoma na wimbo ila pole Sana najarbu kuvaa kiatu chako lakin hakinitosh😭😭😭😭hata huko kucheza wajikaza tuuu Kwan huko namaumivu makali sana
Ukifiwa kuna kitu kinakujia cha kukumbuka uliowazika piah ivyo apoh uenda ata taswr ya br ake Abdul bonge imemjia (kikubwa kuomba mwisho mwema ty ) @notsharoboi IG
Hivi mnavyosema kwenye maazishi ya aliyekuwa mke wake kwani walitengana?
Ajabu!
Ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo, imani yake ni kubwa kwa Mungu hata ingawa ana uchungu mkubwa wa kuondokewa na mwenzi wake, Mungu ampe faraja siku zote aendelee na majukumu yake na kutunza watoto kwa baraka tele🙏
Pole babu tale m ungu akupe nguvu kwenye wakati hi mgumu wamajonzi
Katika haya mazishi kuna vitu va ajabu hasa hao wanaoradi allah ma swali ala muhamad wa ally.ndo dini gani.mungu awasamee
😭
Jina la Allah yatakiwa kuanza na herufi kubwa
@@bintimohammed3233 hahahaha mbavu zangu mie ana kosoa wengine nae ana kosolewa kuandika kwenyew hajui daah 🤣🤣🤣🤣🤣
@@yunaisamir2099 hili la kukosoa mbona ni kawaida maana wabongo kwa kujifanya kujua kila kila kitu sijui anadhani wote wanaoshiriki msiba wa muislamu wote ni waislamu? Au wote wameenda madrasa hapa ni kumpa sapoti na faraja mfiwa au mlitaka awe peke yake?
@@davidcurtis8556 mitandao ya kijamii ina tupeleka puta sana yan mtu hta hafikirii wala kuangalia au kusikiliza kasha comments pumba daah
sijui kama hawajamtoa mwezwao kafara maana haiwezekani mtu afiwe na mkewe halafu acheze mziki kamaa si uchawi kitu gani
Yah apo umeongea ni uchawi coz msibani akuna nyimbo
@@abdifatahmohamed2939 hapa walikua wanacheza nn
It’s so painfully
Sasa kwenye Msiba watu wanacheza jmni?? wamepata wapi hii nguvu ya kufanya Uislamu haupo hivi Allah amrehemu Marehemu atusamehe na sisi
Amiin
Ona walivyomsumbua mfiwa
Mim kiukwer mnaniboa kwani mkiandika mkewe mnapungukiwa nin mpaka muandike alikuwa kwa waliachana
Nkt😭😭😭😭
Alikekuwa sababu alishakufa
Kwan we elim yako mpka drasa la ngap ndugu maana hta drasa la nne anajua wakat uliopo ulio pita na kadhalika wanasema alie kuwa kwamaana yaan alisha kufa kwahyo yupo ktk wakat ulio pita
Masikini sio ana cheza hiyo ndio zikili ya kislam kani furahisha sn na kuni uzunisha
Sikuiz waislam wanazika na majeneza huku wanacheza mziki
😂😂wallah nimechekaa kwa sauti wallah
Kwaa akili yako inavokutumaaa
Jamani aloyekuwa mke wake ebu waandishi muwe mnasoma na lugha ,.mizingatie lugha
Hum lakini dunia inakwenda wapi
Aisee nimejikuta na mwaga machozi poleni sana wote mlioguswa na msiba huu mzito
Poleni Sana jamani mpaka machoz yananitoka nikimuangalia tale mungu akutie nguvu
Hizo nyimbo za kikwao kimila sikislam
Babu Tale anacheza kwa uchungu mkubwa
Inaumaaa jamani kifo kisikie tu mwenzako
Muridi utasimama kiama insh aallah mungu awepe mioyo ya subira
Pole tale
I feel for him sorry babu tale mungu akupee nguvu
R. I. P shamy pole babu tale Mungu aktie ngv so sad
Ngooooma, letelete muridi
Mung awatie nguvu wanafamiliy wote
Poleni saana familia ya Babu Tale🙏
Diamond kama anacheza inama ya msiba
😂😂😂😂😂kufuru hiyo wee mwana
haya
Pole sana
Tanzania kweli kuna balaa.hayo mazishi au nnini?
Sasa ww unaona nn
Sijaelew ni kabila lao au ni uislaam
Kabila hyo hakuna kwenye uisalm hii hata wanayo sema maneno ya kilugha
daah!!!! Inauma sema ndo mngu
Amechenganikiwa boss tale kwa uchungu hayupo sawa kabsa mungu hamtie nguvu 😰
Amina
Aamiin
Pole sana babu tale
Pole tale
Mmh